SURAT AN- NISA

41
JUZUU 4 SURAT AN- NISA lmsttremka Madina Ina .Aya 17 6 K wa Jltll Ia M wenyezi Mungu M wenye kuneemesha neema kubwa kubwa na M wenye kuaeemeshi necma ndogo ndogo pia. I. Enyi watu! Mcheni Mola wenu ambaye amekuumbeni katika nafsi (asli) moja. · Na · akamuumba mkewe katika nafsi ile ile. Na akaeneza wanaume wcngi na wanawake kutoka katika wawili hao. Na mcheni Mwenyezi Mungu ambaye kwaye mnaQmbana. Na (mwatazame) jamaa. Haki.ka Mwenyezi Mungu ni Mlinzi juu yenu (anayaona kila mnayoyafanya). · Na wapeni mayatima mali zao. Wala msibadilishe kibaya kwa kizuri. (Yaani msikhitari cha haramu). Wala msile mali zao pamoja na mali zenu. Hakika (yote) hayo ni jukumu kubwa. 3. Na kama mkiogopa kutowafanyia uadilifu mayatima (basi ogopeni vile vile kutowafanyia uadilifu wanawake). Basi oeni mnaowapenda katika wanawake, (maadamu mtawafanyia insafu) Waw.Ui au watatu au wane (tu). Na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi (oeni) mmoja tu, au (wawekeni masuria) wale ambao mikono .yenu ya kiume imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea kutofanya jeuri. LAN TANALU Makara 24 1. Hapa inaonyeshwa kuwa Bibi Hawa kaumbwa katika Udongo ulc ulc alioumbiwa Nabii Adamu--siyo kaumbwa katika mbavu za Nabii Adamu; kwa hivi kila mwanamume ana ubavu mmoja wa kushoto kae;,ro kuliko mwanamke! Habari bii hakusema Mtume in1awa inatajwa katika baadhi ya vitabu vya tafsiri. Hapa inahimizwa kumcha Mwenyezi Mungu-kumhishimu ukafuata amri Zake na ukajiepusha na mal::uazo Yake; kwani Yeye ndiye aliyekuumba na akakuumbia vyote alivyokuumbia. Bali hata wewe mwenyewe ukiakl kumtia nguvu mwenzio asikuvunje, akufanyie unalomtaka akufanyie, unamwambia 'Nakuomba kwa jina Ia Mwenyezi Mun1u unifanyie ... ' kwa kuona kuwa · haraweza kukuvunja maadam umemtaja Mwcnyezi MunllJ; unaona atalipa hishima jina Ia Mwenyezi Mun1u; hatalivunja. Basi mbona wewe unalivunja jina Ia Mwt·nyezi Mun1u? Unaacha aiyokuamrisha, au unafanyaaliyokataia. Unawaraka watu wafanye usiyoyafanya wewe! Namna pni hivil Na inaambiwa hapa kuwa Mwenyezi Munau analiona kila iambo wanalolitenda waja Wake; hata likiwa d010 vipi na likafichwa vipi . .J. Wanavyuoni wore wa sharia ya Kiislamu kwamba aya hii imeweka mpaka wa idadi ya wake ambao mru aweza kuoa, na inakataza mtu kuwa na zaidi ya wake wane wakati mmoja. Hadithi za Mtume pia ziDatilia n1uvu kon1amano hilo. lmehadithiwa kuwa Ghailan, mtemi wa Taif, alikuwa na wake ti:;ia aliposilimu. Mtume akamwambia abakishe wane tu na awataliki wote wengine. Kuna na riwaya ya Naufal bin Muawiyah uabaye, aliposilimu naye, aliamrishwa na Mtume kumtalilci mmoja wa wake zake watano. Pia iaapasa kuzingatia kuwa aya hii, inaawa inatoa ruhU$1 mtu kuoa mke zaidi ya mmojn, ni sharti awafanyie imafu (awqawie haki zao kwa usawa). Kwa hivyo, mtu yoyote anayeitumia vibaya ruhusa hii kwa kuoa mke zaidi IOl

Transcript of SURAT AN- NISA

JUZUU 4

SURAT AN- NISA lmsttremka Madina

Ina .Aya 17 6

K wa Jltll Ia M wenyezi Mungu M wenye kuneemesha neema kubwa kubwa na M wenye kuaeemeshi necma ndogo ndogo pia.

I. Enyi watu! Mcheni Mola wenu ambaye amekuumbeni katika nafsi (asli) moja. · Na · akamuumba mkewe katika nafsi ile ile. Na akaeneza wanaume wcngi na wanawake kutoka katika wawili hao. Na mcheni Mwenyezi Mungu ambaye kwaye mnaQmbana. Na (mwatazame) jamaa. Haki.ka Mwenyezi Mungu ni Mlinzi juu yenu (anayaona kila mnayoyafanya). ·

~. Na wapeni mayatima mali zao. Wala msibadilishe kibaya kwa kizuri. (Yaani msikhitari cha haramu). Wala msile mali zao pamoja na mali zenu. Hakika (yote) hayo ni jukumu kubwa.

3. N a kama mkiogopa kutowafanyia uadilifu mayatima (basi ogopeni vile vile kutowafanyia uadilifu wanawake). Basi oeni mnaowapenda katika wanawake, (maadamu mtawafanyia insafu) Waw.Ui au watatu au wane (tu). Na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi (oeni) mmoja tu, au (wawekeni masuria) wale ambao mikono .yenu ya kiume imewamiliki. Kufanya hivi ndiko kutapelekea kutofanya jeuri.

LAN TANALU

In~ Makara 24

1. Hapa inaonyeshwa kuwa Bibi Hawa kaumbwa katika Udongo ulc ulc alioumbiwa Nabii Adamu--siyo kaumbwa katika mbavu za Nabii Adamu; kwa hivi kila mwanamume ana ubavu mmoja wa kushoto kae;,ro kuliko mwanamke! Habari bii hakusema Mtume in1awa inatajwa katika baadhi ya vitabu vya tafsiri.

Hapa inahimizwa kumcha Mwenyezi Mungu-kumhishimu ukafuata amri Zake na ukajiepusha na mal::uazo Yake; kwani Yeye ndiye aliyekuumba na akakuumbia vyote alivyokuumbia. Bali hata wewe mwenyewe ukiakl kumtia nguvu mwenzio asikuvunje, akufanyie unalomtaka akufanyie, unamwambia 'Nakuomba kwa jina Ia Mwenyezi Mun1u unifanyie ... ' kwa kuona kuwa· haraweza kukuvunja maadam umemtaja Mwcnyezi MunllJ; unaona ~uwa atalipa hishima jina Ia Mwenyezi Mun1u; hatalivunja. Basi mbona wewe unalivunja jina Ia Mwt·nyezi Mun1u? Unaacha aiyokuamrisha, au unafanyaaliyokataia. Unawaraka watu wafanye usiyoyafanya wewe! Namna pni hivil

Na inaambiwa hapa kuwa Mwenyezi Munau analiona kila iambo wanalolitenda waja Wake; hata likiwa d010 vipi na likafichwa vipi .

.J. Wanavyuoni wore wa sharia ya Kiislamu wa~ekongamana kwamba aya hii imeweka mpaka wa idadi ya wake ambao mru aweza kuoa, na inakataza mtu kuwa na zaidi ya wake wane wakati mmoja. Hadithi za Mtume pia ziDatilia n1uvu kon1amano hilo. lmehadithiwa kuwa Ghailan, mtemi wa Taif, alikuwa na wake ti:;ia aliposilimu. Mtume akamwambia abakishe wane tu na awataliki wote wengine. Kuna na riwaya ya Naufal bin Muawiyah uabaye, aliposilimu naye, aliamrishwa na Mtume kumtalilci mmoja wa wake zake watano.

Pia iaapasa kuzingatia kuwa aya hii, inaawa inatoa ruhU$1 mtu kuoa mke zaidi ya mmojn, ni sharti awafanyie imafu (awqawie haki zao kwa usawa). Kwa hivyo, mtu yoyote anayeitumia vibaya ruhusa hii kwa kuoa mke zaidi

IOl

JUZUU 4 AN NISAA (4)

4· Na wapeni wanawake mahari yao, bali ya kuwa ni hadiya (aliyowapa Mungu). (Lakini hao wake zenu) wakikupeni kwa radhi ya nafsi zao kitu katika hayo (mahari) basi kuleni kwa furaha na kunufaika.

s. Wala msiwape wapumbavu mali zenu (mali zao mlizonazo) ambazo Mwenyezi Mungu amezijaalia kwa ajili ya maisha yenu (nyote); na wapeni chakula chao humo na wavisheni na waambieni maneno mazuri.

6. Na wajaribuni mayatima (wanapokuwa karibu ya kubaleghe kama wataweza kutumia fedha zao vizuri wakati watakapobaleghe. Wajaribuni kidogo kidogo) mpaka waftke wakati wa kuoa (kubaleghe). Kama mkiwaona wana akili njema, wapeni mali zao. Wala msizile kwa fujo na kwa haraka ya kwamba watakua (wazitake; hebu tuzile upesi). Na mwenye kuwa tajiri basi ajiepushe (na kuchukua ujira katika kuwafanyia kazi zao). Na atakayekuwa mhitaji basi ale kwa namna inayokubaliwa na Sharia. Na mtakapowapa mali zao, basi wawekeeni mashahidi (juu ya kuwa) M wenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi.

LAN TANALU

ya mmoja bila ya kufanya insafu, atakuwa anajaribu kumhadaa Mwenyezi Mungu. Kwa sababu hii, mahakama ya nchi za Kiislamu yamepewa uwezo wa kulazimisha kufanywa insafu iU kurakibisha kosa alilofanyiwa mke au wake. Pamoja na hayo, ni kosa kabisa kuchukulia kwamba, kwa kuweka sharti hiyo ya insafu, aya hii imekusudia kuondoa ruhusa ya kuoa wake wengi. Hivyo sivyo inavyosema Qurani; wanaosema hivyo ni wale Waislamu ambao wametekwa akili zao na Wakristo wa nchi za Magharibi. Wao husema kwamba Qurani pia inapinga kuoa wake wengi, lakini haikuliondoa jamb.o hilo moja kwa moja kwa sababu haikuona kuwa ni jambo Ia busara kufanya hivyo wakati huo kwa vile ambavyo dasturi yenyewe ilikuwa imeenea. Bndala yake, inamruhusu mtu kuoa wake wenai maadamu atawafanyia insafu. Kwa kuwa sharti hii ni ngumu. mno kuitekeleza, pendekezo hapa ni kuoa mke mmoia; Kwa hakika, fikira hizo husababishwa na kutawaliwa akili, kwa sababu kuoa wake wengi koo kwenyewe si jambo ovu, kwani wakati mwingine huwa ni jambo la lazima i1i kumzuia mja asiipindukie mipaka ya Mwenyezi Mungu. Kuna watu. wengine, hata wakitaka, hawatosheki na mke ·mmoja. Ruhusa ya kuoa wake mpaka wane huwaepusha watu kama hao na madhara ya uhasharati usio na kifani. Ndio Qurani ikawaruhusu watu kama hao kuoa mpaka wake wane maadamu watawafanyia insafu.

Ama wale wanaoona kuwa ni ufisadi kuoa wake wawili mpaka wane, ni khiari yao kuipinaa Qurani na kuibeza ruhusa hiyo, lakini hawana haki ya kuisingizia upotofu wa mawazo yao, maana Qurani imehalalisha jambo hili kwa lugha Uiyo wazi bila ya kutumia neno lolote liwezalo kupin'duliwa kwa namna yoyote iii liwe na maana kwamba Qurani imekusudia kukataza jambo hili. ·

4. Kumdai wewe mwanamke mahari yako uliyompa-au kumtoza (edha nyin1ine-ndiyo huna ruhusa. Lakini mwenyewe-katika furaha zenu-akikutunukia kitu kukupa kipokee: usimkatalie utamvunja. Kama wewe unavyompa na yeye anaweza kukupa.

s. Mawasii-kama walivyoambiwa-wasiwadhulumu mayatima, wawape haki yao kamili ndivyo wanavyoambiwa hapa vile vile kuwa waendelee kuwatazamia mali zao hao mayatima wala wasiwape wenyewe maadamu bado wapumbavu, wabadhirifu, hawaiui kima cha rqali, wanatumia ovyo ovyo. Basi wasiwape wenyewe japo, wamekwisha balqhe. Waendelee kuendesha na kuwaambia maneno mazuri kama vile kuwaambia 'Dado nakuona si hodari wa kudhibiti chako. Utakitosa bure. Wacha nikuendeshee tu vivi hivi mpaka siku za mbele kidogo. Nikikuona imetua m~kini yako, unaweza kujimiliki katika tasarufu zako nita·kupa mwenyewe.' Na kama hi vi.

Kwani hayo mali ya huyo yatima yakipotezwa k"'a njia za batili hatakuwa huyo yatima tu ndiye aliyekosa; .bali njia za kheri zitakuwa zimekosa. Mali 'ildicho kitengezaji kikubwa cha kila kheri. .

103

JUZUU 4 AN NISAA (4)

1· Wanaume wana sehemu katika mali wanayoyaacha wazazi na jamaa waliokaribia. Na wanawake (pia) wanayo sehemu katika yale waliyoyaacha wazazi na jamaa waliokaribia. Yakiwa kidogo au mengi. (Hivi) ni sehemu zilizofaridhiwa (na Mwenyezi Mungu).

8. Na wakati wa kugawanya wakihudhuria jamaa na mayatima na masikini, wapeni kitu katika hayo (mali ya urithi) na waambieni kauli njema.

9· Na waogope (mawasii kuwadhulumu mayatima; na wakumbuke) kama na wao wangewacha nyuma yao watoto madhaifu wangekuwa na khofu juu yao; basi wamwogope M wenyezi Mungu na waseme maneno yaliyo saw a (kwa hao mayatima waliousiwa kuwatazama).

10. Hakika wale ambao wanakula mali ya mayatima kwa dhuluma, hila shaka wanakula moto matumboni mwao; na wataungua katika huo Moto (wa Jahannam) uwakao.

LAN' TANALU

11. Mwenyezi Mungu anakuusieni juu ya g; '~ b~h.;:.:r,~~?i.. '! 1 ~~ _H " """ """" ~ I " .... " .c;W ~-'l watoto wenu·, mwanamume apate sawa na sehemu ya " '- '1'"! 1 ~:'·"'~• 1-'' 1-Y'""' ~'1', IL ~ A.?.!i: wanawake wawili. Na ikiwa wanawake ni (wawili au) ~~ ~'"?' I.JJ ,;~ c;,.J ~~·~9~1

zaidi ya wawili, basi watapata thuluthi mbili za (mali) ~,, u \"".1!~"' •"' ·~r~~ "' "'l"i~ r'/,':. . • '~ ~~~~o~··~Jt.!;.J"' \.4 ...:;.;..J aliyoiacha (maiti). Lakini akiwa mtoto mwanamke ni w

mmoja, basi apewe nusu. Na wazazi wake wawili, :!J;:5 ~~ .. ~~~ ~~~!J'~ ~~SJ; kila mmoja wao a pate sudusi (sehemu ya sit a) ya , , ,. , .; .. ,. , ~ , ,~ !t ; r" .,;', (, , ~ , (mali) aliyoiacha (maiti), akiwa (maiti huyo) anaye ~v,J j jJJ 4.! ~;, i.:.l~:vJJ '0 ~o ~! mtoto (au mjukuu). Lakini kama hana mtoto, na u~ ~ .. ~ 1 ~·~ g- :.utL~..l!J, .:U~ ~;.1 wazazi wake wawili wamekuwa ndio warithi wake, " "' " 1:1,=--' ~ "'" " ' " • . ., "'"I ~~. ' .,' .... ; ; .,, ~ J , I basi mama yake atapata thuluthi moja (na baba t.:..:--'-' ~ l..ff:X. ~J ~~U"'~I

6. lakini inataka awe akimjaribujaribu kaaika kumwachia kutasarafu kidogo l<idogo kila mara iJi achume ujuzi wa kutumia, awe hodari ka'lla walivyo hao mahodari. Akishamwona kafikilia daraja hiyo ampe mwenyewe-­asijidai kutoa udhuru huu na huu wa uwongo iJi zisclehee kukaa kwake daima, au zikac zaidi kuliko inavyotakikana. Asi(anye hivyo.

1· Hapa inaingiwa kutaja habari za kurithi: Kuwa kwa Kiislamu wanawake wanawarithi jamaa zao-sio kuwa wanaume tu ndio wanaorithi.

Lakini schcmu anayopewa mwanamke huwa· ni ndoao kuliko schemu anayopcwa mwanamume, kwani mwanamume ndiye mwenye mas-ulia (responsibilities) mengi kuliko mwanamke. Mwanamume ana mas-ulia ya kumtazama mkewc, wanawe na wazce. Ama mwanamke hana mas-ulia katu juu ya mumcwe, wala hana mas-ulia juu ya wanawe mpaka baba awe hohe hahe hana mbelc hana nyuma, wala kufanya kaz1 hakumudu - na huyo mama ana bali nzuri. Hapo ndipo itapompasa mama kutazama wanawe.

Na mas-ulia 'yakc mwanamke ya kutazama wazee wake ni nusu ya mas-ulia ya ndugu yake, (mwanamume). 8. Mali ni kitu kinachotokewa roho na wanadamu wote khalla kikionekana kana kwamba kinapatikana bure-­

kama mali ya kurithi. Basi wale wasiopata hufanya kijicho sana. Ndiyo maana akascma hapa Mwenyczi Mungu kwamba katika kugawanywa hayo mali ya urithi wakitokca jamaa hivi wapcwe kitu kidogo na watakwe 'radhi kwa kuwa hicho wanachopcwa ni kidogo. ·

9· Wanakumbushwa mawasii kuwa wasione tamu kuwadhili watoto wa watu. Wajikumbukc kuwa na wao mara moja wanawcza kufa wakaacha watoto wao nyuma, wakadhiliwa kiMa wanavyowadhili wa watu. 'Mia cha

104

JUZUU 4 AN NISAA (4)

thuluthi mbili). Na kama (huyo maiti) anao ndugu, basi mama yake atapata sudusi (sehemu ya sita). Na huku kurithi kunakuwa) baada ya kutoa aliyoyausia au kulipa deni. Baba zenu na watoto wenu: nyinyi hamjui ni nani miongoni mwao aliye karibu zaidi kukunufaisheni. (Hiyo). ni Sharia iliyotoka kwa Mwenyezi Mungu. Bila shaka Mwenyezi Mungu ni Mjuzi(na)Mwenye hikima.

12. Na nyinyi mtapata nusu ya (mali) walizoacha wake zenu, kama wao hawana mtoto (wala mjukuu). Na ikiwa wana mtoto (au mjukuu), nyinyi mtapata robo ya walivyoacha. Baada ya kuto~ walivyousia au kulipa deni. N ao (wake zenu) wata'pata robo ya mlivyoacha, ikiwa harrtna mtoto, ( wala mjukuu). Lakini ikiwa mnaye mtoto (au mjukuu), basi wao (hao wanawake) watapata thumni (sehemu ya nane) ya vile mlivyoacha. Baada ya kutoa mlivyousia au kulipa deni. Na kama mwanamume au mwanamke anayerithiwa hana mtoto (wala mjukuu) wala wazazi, lakini anaye kaka (wa kwa mama) au dada (wa kwa mama pia), basi kila mmoja katika hawa atapata sudusi (sehemu ya sita). Na wakiwa · zaidi kuliko hivyo basi watashirikiana katika thuluthi (sehemu ya tatu). Baada ya kutoa vilivyousiwa au kulipa deni, pasipo kuleta dhara. (Huu) ndio wasia uliotoka kwa Mwenyezi Mungu. na Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi (na) Mwenye Upole.

mwenziwe na chake huliwa.'

LAN TANALU

I I. Hapa inapambanuliwa namna ya urithi ltwamba:- (a) Akifa mtu akaacha watoto wanaumc na wanawake, basi kila mwanamume atapata mara mbili kuliko kila mwanamke (b) Akifa akaacha watoto wanawake tu-wawili au zaidi kuliko wawili (wala hakuacha mtoto mwanamumc: hata mmoja}- i.Jasi watoto hao watachukua thuluthi mbili za mali, wagawanye wote sawl'; pasi na mmoia kumzidi mwenziwe. Na thuluthi iliyozidi itarithiwa na mawarithi wengine kama wako. Kama hapana watarejcsbewa wenyewe wale watoto wanawake.

· N.B. Thuluthi mbili ni kugawa yale mali sehemu tatu sawa sawa, na hao wakachukua sehemu mbili katika tatu hizo. Na (c) Akifa akaacha mtoto mwanamke mmoja tu (wala hana ndugu mwanamume), basi mali yalagawiwa sehemu mbili. Sehemu moja (yaani nusu yake) atapewa huyu mtoto. Na nusu iliyosalia watapewa warithi wengine kama wapo. Kama hapana atarejeshewa mwenyewe huyo mtoto mwanamke.

Hukumu ya wajukuu ni karna hukumu ya watoto inapokuwa maiti huyo hana mtolo - ana wajukuu. Na (:!) Akifa mtu akaacha waloto wake (au wajukuu wake) na wazee wake (baba na mama), basi baba atapata

sudusi yake na mama atapata sudusi yake. Na mali yaliyosalia warithi wale watoto wa maili au wajukuu. Na sudusi ni mali ile kug~wiwa sehemu 6 na yeye akachukua sehemu moja. Na (e) Akifa mtu akamwacha baba

yake na mama yake tu pasina watoto wala wajukuu; basi mama atachukua thuluthi moja ya mali; na thuluthi mbili atazichukua baba. Na (0 Akifa m1u akamwacha mama tu na ndugu zake--wakiwa makhalisa, au kuumeni (kiumeni) au wa kukeni (kiukeni) au wanaume au wanawake au mchanganyiko-mama atachukua sudusi ya mali.

Mawarithi hawana ruhusa kutithi 'mpaka zilipwe (a) Deni zote za huyo maiti anazodaiwa. Na zitolewe (b) Nyasia alizousia. Wasiwe warithi wepesi kupapia mali ya kurithi. Sharti yatolewe haya kwanza. Lakini huo. wasia sharti usiwe wa kuwadhuru hao mawarilhi wake, kama ilivyotajwa katika Aya ya 12. Hana ruhusa kuusia zaidi ya thuluthi ya mali yake.

105 10

JUZUU 4 AN NISAA (4)

13. Hiyo ni mipaka ya Mwenyezi Mungu. Na · anayemtii Mwenyezi Mungu na Mtume wake, (M wenyezi Mungu) atamwingiza katika Bust ani zipitazo mito mbele yake; wakae humo milele. Na huko ndiko kufaulu kukubwa.

14. Na anayemwasi Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na kuiruka mipaka yake, (Mwenyezi Mungu) atamwingiza Motoni, humo atakaa milele, na atapata adhabu zifedheheshazo. ·

1 s. Na wale wanawake wafanyao machafu (ya wenyewe kwa wenyewe) miongoni mwa wanawake w~nu; basi washuhudishieni mashahidi wane (waliowaona wanafanya hivyo) miongoni mwenu. Na kama wakishuhudia, basi wazuieni majumbani mpaka mauti yawafishe au Mwenyezi Mungu awafanyie njia nyengine (kama kupata waume kuwaoa, na kama haya).

16. Na wale .wanaume wawili wanaofanya uchafu (wa wanaume kwa wanaume) miongoni mwenu, waadhibuni wote wawili. Na wakitubia na wakatengenea waacheni. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye apokeaye toba(na)ndiye Mwenye kurehemu.

17. Toba inayopokelewa na Mwenyezi Mungu ni ya wale wanaofanya uovu kwa ujinga, kisha wakatubia kwa upesi. Hao ndio Mwenyezi Mungu huipokea toba yao. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi

(na) Mwenye hikima.

'

LAN TANALU

u. Hapa unatajwa urithi wa watu wensine kuwa :-(a) Akifa mke akamwacha mume (wala hakuacha mtoto wala mjukuu, Ia mwanamume wala mwanamke) basi mume atapata nusu ya mali aliyoyaacha huyo mkewe. Na (b) Akifa mke akamwacha mume na mtoto (au miukuu), basi mume atapata robo ya mali.

Na Robo ni kuaaiwa sehemu Me akachukua sehemu moja. Na (c) Akifa m&.:me akamwacha mke (bila kuacha mtoto wala mjukuu), basi mke atapata robo ya mali ya mumewe. Na yaliyosalia yarithiwe na mawarithi wensine. Na (d) Akifa mume akamwacM mke na mtoto au mjukuu, basi mke atapata thumni ya mali ya mume.

Na ahumni ni ku1aiw1 sehemu nane akachukua sehcmu moja. Na {c) Akifa mni asiwac,.e mtoto (wala mjukuu) wala wazec; lakini kaacha ndugu mmoja tu wa kwa mama (mwanamume ·au mwanamke), bui ndugu huyo a11pata sudusi ya mali. Na kilic:hosalia warithi mawarithi wen1ine. lkiwa hapana mawarithi wenaine atarejeshewa huyu nduau. Na (0 Akifa mtu asiache mtoto (wala miukuu) wala wazazi; lakini kaacha nduau wa kwa mama-wawili au zaidi, wanaume au wanawake au mc:han1anyikcr-nduau · hawa watachukua thuluthi ya mali ya. maiti, pasina mwauamume kumzidi mwanamke wala mwanamke kupun&uka kulilco mwanamume.

1 s - 16. Hizi ni Aya zinazotaja adabu ya kutiwa (a) wanawake wanaofanyana machafi.a na (b) wanaume wanaofanyana machafi.a, na (c) wanawakc wanaofanya machafu na wanaume. yote haya mabaya kabisa; na zaidi ni yale ya wanaume kwa wanaume, kisha ya wanawne na wanawake, na baadaye wanawake kwa wanawake.

17. Ni kuonyesha kuwa Mwenyezi Munau anakubali toba ya kila mwenye kutubia; lakini kwa hizi sharti mbili alizozitaja katika Aya hii (a) Kurubia upesi-sio umekwishakuwa mgonjwa, uko kitandani, ndio unasema kuwa 'Sasa natubia' (b) Kuwa kalifanya jambo liJe kwa ujinga (yaani yale matamanio yamemvaa saa ilc hata yamemtia ujingani kama kwamba hajui adhabu kubwa inayomngojea. Sio kuwa jambo Jile Ia maasi analiianya kia

106

JUZUU 4 AN NISAA (4)

18. Hawana toba wale ambao hufanya maovu mpaka mauti yamemhudhuria mmoja wao, (hapo) akasema: "Hakika mimi sasa natubu." Wala (hawana toba) wale ambao wanakufa katika bali ya ukafiri. Hao tumewaandalia adhabu iumizayo.

1 g. Enyi mlioamini! Si halali kwenu kurithi wanawake kwa jeuri. Wala msiwazuie (kuolewa na waume wengine kwa kuwa hamuwataki wala hamtaki kuwaacha ila kwa pesa) ili mpate kuwanyans'anya baadhi ya vile mlivyowapa. {Hapana ruhusa haya) isipokuwa wawe wamefanya uovu ulio wazi. Na kaeni nao kwa wema; na kama mkiwachukia basi (msiwaache) kwani liuwenda mkakichukia kitu, na Mwenyezi Mungu ametia kheri nyingi ndani yake.

20. Na kama mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke, (yaani kumwoa mke mwengine na kumwacha huyo wa zamani), na bali mmoja wao (naye ndiye huyo unayemwacha) mmempa mrundi wa mali, basi msichukue cho chote. Je, mnachukua kwa dhulma na kwa khatia iliyo wazi?

LAN TANALU

siku-bila ya kujali wala kubali hala kidoco-kama kwamba ni jambo Ia dasturi linalofanywa daima. Huyu ni jeuri, hajali, basi huyu Mwenyczi Mungu atamuadhibu. lnataka anayeasi awe anaogopa, anajiona kuwa mbaya, anakosa; sio kuwa habai haiali, kama b .. o walao riba au kudhulumu mayatima na wengjneo katika hayo majumba ya kurithisha. Kila usiku uchao wanazidi kuyaonea tamu hayo wanayoyafanya; hao hawana dalili ya kusalimika na Moto.

19. Hapo katika zama za kabla ya Uislamu ilikuwa hivi:- Akifa baba mtu, wanawe wanarithi wake waliukuwa wa baba yao-wasiowazaa wao. Kila mtu a1amrilhi yule asiyemzaa ycye. Kisha, Wakitaka (a) Waaawaoa au (b) Watawaoza waumc wawallkao wao (na wapokcc wao mahari, wayalc) au (c:) Watawadhili na kuwataabisha mwisho wa kuwatubiaha mpaka wajikomboc kwa fcdha watakazo wao (d) Au wadumu vivyo hivyo kadka kifungo hic:ho

mpaska· wafc.k h k fa h · · h' K" hil' · k · hak · h lSI wana IIIZWI apa U nya ayo; )CUD IZO za IJI I ZIMC WIS WIS a. Na walikuwa wanaumc wenainc vile vUe wanaowadhili na kuwataabisha wake zao wcnyewe-wanapoazimia

kuwaacha-ili wachokc waUkomboc kwa fcdha walizowaolea au kwa vinaincvyo. Namna hivi wakifanya makaliri hapo zaman~ wakakatazwa na Uislamu.

Lakbi kuna wanaoUita "'aislamu na wanafanya haya mpaka leo! Basi Waislamu hao? Waisl~mu kweli! WapH Uislamu mc:hezo wanadhani? Uislamu ni kufuata amri za Mwenyezi Munau na Mtumewc na kuiizuilia na makatazo yao. Jina wala kanzu sio Uislamu. Uislamu ni Nia n;ema na Mancno latifu na Vitendo vizuri.

Mwanamke humtaki mwachc, endc zakc akaolcwc na atakayemtaka. Huna ruhusa kukaa naye vivyo hn')'O tu kwa inda, wala huna ruhusa kumtoza fedhL Ukiweza kukaa nayc kwa vizuri-japo humpendi-bora ka.a narc.

lla akiwa yeye mwanamke ndiye mleta uovu na vitendo vibaya vibaya kwa kuwa haku11ki tu wala huna lu lote baya ulUomfanyL Hakutaki IU ndio anakufanyia mizinlili mwanambiji hiyo. Basi hapo ndipo unapoweza kumwambia kuwa akikupa mahari yake uliyompa utamwacha. Wala usimtake zaidi kuliko ulivyompa. Wala usikatae kumwac:ha ukawa unamfanyia inda kuwa "Na mimi sikuachi., lmekatazwa hivi.

Na wahlmizwa watu hapa wakae na wake zao kwa vizuri sana; wala wasiwawache hata wakiwa hawawapendi kwani 'Huwcnda mkakichukia kitu, na Mwenyezi Muntu amelia kheri nyingi ndani yake'.

Mambo ya kuacha yamechukizishwa sana katika Uislamu. Wanahimizwa wacu kuoa na wanavunjwa nguvu kuacha; kinyume cha wanavyofanya Waislamu wenaine - Kuoa na Kuacha tu ndiyo kazi yao. Sivyo hivyo.

107

JUZUU 4 AN NISAA (4)

21. Na mtachukuaje, na bali nyinyi kwa nyinyi mmeingiliana? Nao (wanawake) wamepokea kwenu ahadi thabiti (kuwa mtakaa nao kwa uzuri).

22. Wala msiwaoe wake waliowaoa baba zenu; isipokuwa yale yaliyokwisha pita. (Yaliyopita yamepita yasirejeshwe tena). Bila shaka jambo hili ni uovu na uch1~kizo na ni njia mbaya.

23. Mmeharimishwa (kuoa) mama zenu, na watoto wenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na ndugu za mama zenu, na watoto wa ndugu zenu, na watoto wa dada zenu, na mama zenu waliokunyonyesheni, na dada zenu wa kunyonya, na mama wa wake zenu, na waroto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu, waliozaliwa na wake zenu mliowaingilia. Lakini kama nyinyi hamjawaingilia, basi si vibaya kwenu (kuwaoa). Na (mmeharimishiwa) wake wa watoto wenu waliotoka katika migongo yenu. Na (mmeharimishiwa) kuwaoa

LAN TANALU

20 . Wamepachika uwongo katika hii Aya waliyoifanya kuwa ni ya 2 I. Wakasema "Sio QJuradi wa Aya hii kuwa mtu anayo ruhusa ya kumwacha mkewe bure. Lazima pawe na sababu za kutosha." Uwongo! Hapana habari hii. Hapana shaka jambo Ia kuachana linachukiza ka.tika dini ya Uislamu, na Mtume kasema: "Halali anayoichukia Mwenyezi Mungu ni talaka." Lakini haikuwekwa katika Sharia kuwa "HAISIHI talaka bure bure, lazima pawe na sababu ya kutosha." 1

20-21. Aya hizi ndizo katika hizo zinazokataza kutoza wake fedha au kuwasamehesha mahari wakati wa kuwawacha. Na watu wakaonea tamu kazi hiyo. Basi itawatia Motoni. Mambo ya kudhulumiana yanamwudhi sana sana Mwenyezi Mungu.

22. Aya hii na zifuatazo zinataia wanawake ambao Sharia imekataza kuwaoa (haramu kuwaoa): (I) Mwanamke aliyepata kuolewa na baba yako. (babu yako. babu wa baba yako-wa kuumeni na kukeni).

Si mke wa ami wala mjomba. Walioachwa na ami au mjomba unaweza kuwaoa. Na walioachwa na ndugu zake babu. (z) Mama aliyekuzaa, (bibi aliyezaa waliokuzaa ... ). (J). Binti wako uJiyemzaa (au binli aliyezaliwa na uliyemzaa wewe . . . ). (4) Dada yako khaJisa au baba mmoja nawe au mama mmoja nawe. (5) Shangazi lako. Ndugu wa baba yako (na ndugu wa babu yako ... ). (6) Mama mdogo. Ndugu wa mama yako (au ndugu wa bibi yako ... ). (7) Binti wa ndugu yako mwanamume, khalisa au wa kwa baba au kwa mama (na leila kilicholaliwa na yeye). (8) Binti wa nduglJ yako mwanamke, khalisa au kwa baba au kwa mama (na kilichozaliwa naye). (9) Mama wa kuku'nyonyesha (na mama zake wa kumzaa au wa kumnyonyesha). (ro) Dada yako wa kunyonya naye aliyenyonyeshwa na aliyekunyonyesha). (I 1) Mama yake mkeo wa kumzaa au wa kumnyonyesha (na bibi yake pia

wa kumzaa na wa kumnyonyesha . . .). Ama ndugu yake mama yake mkeo (wa kumzaa au kumnyonyesha) unaweza kumwoa akifa huyo mtoto wa

nduguye utiye naye. au ukimuacha' na eda ikesh~. . \ rz) Binti wa mkeo utiyeingia nyumbani naye (na mjukuu wake .. . ). Binti wa kumzaa au W:l kumnyonyesha

na kizazi chake; wote haramu kwako. Ama ikiwa hukuingia nyumbani naye-alcafa au ukamwacha-unaweza kumwoa huyo mwanawe au mjukuu

wake ... ( 1 3) Mke atiyeolcwa na mw:anao (au mjukuu wako .. . ) wa kumzaa mwenyewe (au wa kunyonyeshwa na

mkco); si mtoto wako wa kupanga wala wa kambo. Wahoachwa na hao watoto wa kupanga na wa kambo si haramu kwako kuwaoa. ( q) Mtu na ndugu yake pamoja (au mtu na shangazi lake au ·mtu na mama yake mdogo).

Akifa mmoja - au ukimwacha na eda ikisha - unaweza kumwoa wa pili. Lakini kuwa nao wore pamoia (ndugu na nduguyc ... ) ndiyo hapana ruhusa.

(Is) Mke wa mtu; bado mwenyewe hajafa wala p.akumwacha. I Ia wakiwa makaftri na akatekwa huyo mke katika vita vya Jihadi; basi inabatilika ndoa yake. Na baada ya miezi

mitatu anaweza kuolewa japo huyo mumewe hajafa wala hakumwacha; na akiwa hana mimba.

108

JUZUlJ 4/S AN NISAA (4)

madada wawili wakati mmoja; isipokuwa yale yaliyokwishapita. (Yaliyopita yamepita yasirejeshwe tena). Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kurehemu(na)Mwenye kusamehe

24. Na pia (mmeharimishiwa) wanawake wenye ( waurne zao) isipokuwa wale iliyowamiliki mikono yenu ya kuume. (Ndiyo) Sharia ya Mwenyezi Mungu juu yenu. Na mmehalalishiwa (kuoa wanawake) minghairi ya hawa. Muwatafute kwa mali zenu, kwa kuwaoa bila ya kufanya zina. Basi wale mnaowaoa miongoni mwao wapeni mahari rao yaliyolazimishwa. Wala si vibaya kwenu katika (kutoa) yale mliyoridhiana badala ya yale yaliyotajwa. Hakika M wenyezi Mungu ni Mjuzi (na) M wenye hikima.

2 5. N a asiyeweza katika nyiye kupata mali ya kuoa wanawakc waungwana Waislamu, (na aoe) katika wajakazi walio Waislamu iliyowamiliki mikono yenu ya kuume (ya kulia). Na Mwenyezi Mungu anajua sana imani yenu; nyinyi kwa nyinyi. (Watumwa na waungwana ni sawa sawa katika Uislarnu). Basi waoeni kwa idhini ya mabwana wao na wapeni mahari yao kwa Sharia. (Waoeni na bali ya kuwa) ni wanawake wema wasiokuwa wenye

W ALMU HSA NAT

24. Hapa inabainishwa kuwa kila wanawake wasio~uwa wale waliotajwa ni halali kuwaoa. Na inataJWa kuwa lazima umpe mwanamke mahari yake yaliyotajwa wakati wa kuozwa. Lakini anasema vile vile Mwenyezi Mungu hapa kuwa mwenyewe mwanamke akikubali baadaye kumpunguzia mumewe yale mahari yaliyotajwa, basi khiari yake. Na mumc akitaka kumwongezea yule mkewe zaidi kuliko mahari yaliyotajwa, pia khiari yake. Hayo mahari si bei ya mwanamke lakini ni zawadi 1u-runza -anayompa mkewe kuonyesha mahaba yake juu yake. Basi vipi siku ya kumwacha ukamwambia 'Nipe mwenyewe.'

2 s. Mtoto aliyezaliwa na mama aliye mtumwa wa wa1u anakuwa mtumwa wa hao masaidi (mabwanal .r.ake mama yake japokuwa baba yake ni muungwana. Basi wanakatazwa hapa waungwana kuwaoa watumwa wa watu kwani watoto wao watakuwa watumwa.

Lakini akiwa mm ni masikini, hana uweza wa kuoa mke muungwana- na anajiogopea kuzint-bas1 a1apewa ruhusa kuoa huyo huyo miakazi; asaa huyo bwana atakapomwona huyo m1u1o, atamwonea huruma ampe uungwana. Na ndivyo wanavyohimizwa kufanya hivyo.

Tena wakaliwazwa hao masikini wanaooa wajakazi kuwa mazingatio kwa Mwenyezi Mungu ni dini - .si nasaba. Na nyinyi katika dini ni wamoja - ny01e Waislamu .

Lakini wanahimizwa waoe wake wazuri wasiozini ovyo ovyo wala kwa kinyumba. Katika zama zao za Uiahili mwanamke aliyekuwa akizini kwa kinyumba (na wanaume makhsusi) hawakuwa wakiona vibaya kumuoa. Wakiona vibaya kumuoa mwanamke aliyekuwa akizini na kila mpita njia. Basi katika Uislamu zinakatazwa z01e zina mbili hizo na unaambiwa ujiepushe na kuoa wanawake waliokuwa na feli hizo; ita i.kiwa wame1ubia kweli kwcli, unaona kuwa h;twataufanya mwendo huo 1ena.

Na ikalajwa hapa kuwa mjakazi (au mtwana) akizini atiwc nusu ya adabu anayotiwa muungwana. Muungwana anapigwa bakora 100; basi yeye atapigwa so, kwani muungwana ana vizuwizi vingi vya kumlUia . Nidyo maana kama hakuzuilika atiwe adabu kubwa zaidi.

Na utumwa tumetaja katika Aya ya 1 77 ya Suracul Baqarah kuwa umekatazwa katika Uislamu ila kwa njia moja tu . Wakati wasiokuwa Waislamu wakiwapiga Waislamu, na Waislamu wakapigana nao, wakawa hao wasiokuwa Wa~lamu wanawafanya ma1eka Waislamu kuwa watumwa, basi na Waislamu nao watapata ruhusa kuwafanya mateka wa hao kuwa watumwa. Na wakitaka watawaachia bure wende zao kwao au wataachia kwa

109

JUZUU S AN NISAA (4)

kuzini na kila mtu .wala si wenye kuzini na wanaume makhsusi (wa kinyumba). Na wanapoolewa kisha wakafanya ufasiki, basi itakuwa juu yao nusu ya adhabu iliyowekewa wanawake waungwana. Hayo (ya kuoa wajakazi wa watu) ni kwa yule miongoni mwenu anayeogopa kuzini. Na mkisubiri (msiwaoe mpaka mpate fedha za kuoa muungwana) ndio bora kwenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wi Kusamehe (na) Mwingi wa Kurehemu.

26. Mwenyezi Mungu anataka kukubainisbieni na kukuongozeni katika mwendo wa wale

'waliokutangulieni, na (anapenda) kukukhafif1Shieni. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi(na)Mwenye hikima.

27. Na Mwenyezi Mungu anataka kukukhafif1Shieni. Lakini wanaofuata matamanio (yao) wanataka mkengeuke mkengeuko mkubwa (uliokhalifu haki).

28. Mwenyezi Mungu anataka kukukhafiflshierti maana mwanaadamu ameumbwa dhaifu (bani nguvu kubwa kabisa za kiwiliwill wala nguvu kubwa za kupigana na moyo na shetani).

29. Enyi mlioamanif Msiliane mali zenu kwa batili. lsipokuwa iwe biashara kwa kuridhiana baina yenu. (Hiyo inajuzu) wala msijiue ( wala msiue wenzenu). Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kukuhurumiem.

30. Na .atakayefanya haya kwa uadui na dhulma, basi huyo tutamwingiza Motoni. Na hayo ni rahisi kwa M wenyezi Mungu.

31. Kama mkijiepusha na maovu makubwa mnayokarazwa, tutakufutieni makosa yenu madogo na tutakuingizeni mahali patukufu (kabisa. Napo ni Peponi). "

WALMUHSANAT

't"'?'i ~"' ~"' (XJ;" "' .-:~=-~ '"\ ,~ \ ~·, , t•tW I " JC ~,., 4U ...J ...., f/11' ··'-' ,..

orh-: 'l.;J ~ .. .,

vikomboko. Si lazima kuwafanya warumwa. Yametajwa haya kalika Aya ya 4 ya Surar Muhammad na huilwa Suratul Qiral.

19. Hapa inakatazwa kuliana mali kwa njia za batili; inakubalishwa kuuziana kunakopalikana kwa ridhaa ya wote wawili-mwuzaji na mnunuaii. Basi na miamala minsiac iliyokubalishwa katika Sbaria itakuwa ni kama kuuziana.

Aliposema Mwenyezi Mungu 'Msijiue• imeiqia kujiua mwenyewe mtu na kumwua mwenziwe kwani Waislamu wote ni kitu kimoja; na uiyekuwa mwislamu pia huna ruhusa kumuua.

Na kariki lamko hili Ia Kuua inaingia kuua Kbasa-akafa mru mara moja. Na inain1ia vile vile kufanya mambo ya kukuhilikisha kidoso kidoso mpaka ukahiliJd; kama uJevi na musi mensine kwani yote hayo yanahilikisha kidoso kidoso·. Sui anayeyafanya hayo anaiqia katika wanaojiua.

31. Hapa inasemwa kuwa rukijiepusha na ile midhambi mikubwa mikubwa Mungu atatusamehe vile vijidhambi vidoso vidoso, kwani binadamu mubali takriba kusalimika na hiv.Y.o vijidhambi vidoso.

Dbambi zote si namna moja. Kuaa nyinaine mateso yake madogo kwa kuwa dhara yake ni ndogo kwa mkabala wa hizo ·nyinaine. Si kama zile dhambi kubwa kubwa kama:- (a) Kuua (b) Kwiba (c) Kula riba (na kiJa dhuluma) (d) Kulcwa (e) Kuziai (au waaaume kwa wanaume wenyewe). Na bma haya.

110

JUZUU 5 AN NISAA (4)

32. Wala msitamani vile ambavyo Mwenyezi Mungu amewafadhilisha baadhi yenu (kwa vitu hivyo) kuliko wengine. Wanaume wanayo sehemu (kamili) ya vile walivyovichuma; Ill wanawake nao wanayo sehemu (kamili) ya vile walivyovichuma. Na mwombeni Mwenyezi Mungu fadhila Zake. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.

33· Na kila watu tumewawekea jamaa (zao) wa kurithi yale waliyoyaacha wazazi wawili na jamaa. Na wale mliofungamana nao ahadi wapeni sehemu yao. Hakika Mwenyezi Mungu ni Shahidi wa kila kitu.

34· Wanaume (wawe) ni walinzi wa wanawake; kwa sababu Mwenyezi Mungu amewafadhilisha baadhi yao kuliko wengine, na kwa sababu ya mali zao wanazozitoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kutii, wanaojihifadhi (hata) wasipokuwapo (waume zao); kwa kuwa Mwenyezi . Mungu amewaamrisha wajihifadhi. Na wanawake ambao mnaona uasi wao kwenu waonyeni' na waacheni peke yao katika vitanda na warigeni. Na kama wanakutiini msiwatafutie njia (ya kuwaudhi bure). Hakika Mwenyezi Mungu ndiye Aliye juu (na) Mkuu.

Si kama (a) Kumsema mtu kidogo (b) Kutazama lililoharimishwa, na kllma hivi.

WALMUHSANAT

Basi ukijiepusha na makubwa, hivi vijidogo dogo vitasamehcwa maadamu huvikithirishi. Na katika mijidhambi mikubwa ni kuacha amri za Mwcnyczi Mungu kama:- (a) Kuacha kusali (b) Kuacha

kutoa zaka na misaada minginc (c) kuacha kufunga (d) Kuacha kuhiji (e) Kuacha kutazama wazee. Nakama haya. Mara nyingi utasikia watu wakisema:- Kuwa baina ya mtu asiycsali wala kufunga wala ... lakini' hana ubaya na

mtu. Na baina ya mtu anayeyafanya haya ya kusali na vyenziwe, na akawa anafanya na mabaya pia. Wanasema kuwa yule wa mwanzo ni afadhali bali ni bora khasa kuliko huyu. Lakini sivyo kabisa. Si bora wala si afadhali kuliko buyo wa pili yake kwani kule kuacha maamrisho ya Mwenyezi Mungu ni dhambi kubwa kabisa kama kulc kufanya makitazo yakc: bali wakati mwingine huko kuacha maamrisho kunakuwa ni dhambi zaidi.

31. lnakatazwa hapa watu kuhusudiana. Lakini inataka kila mtu ajitahidi afanye kama anavyofanya mwcnziwe ill apate kama alivyopata huyo mwcnziwe kama anataka; bila kumhusudu wala kumchuk.ia, kwani hakukunyang'anya chako, sini. Kaiitahidi na Mungu kampa. Na wewe iitahidi na Mungu alakupa. Mwombwa na Mtoa ni yule yule tu Rabana.

33. Hapo zamani mtu alikuwa akichukua mtoto wa watu akimlea na akimfanya kama wake--kwa kumrithi kila chake na kwa · mengineyo. Na hutokana na wakwao, akawa hana_ ukhusiano nao, Ia kwa kurithiana wala mengine; ukhusiano wake huwa huku tu. Basi wanakatazwa hapa. Wanaambiwa kuwa kila mtu atarilhiwa na jamu zake sio na watoto Wl kupanga a,u wazee wa kupanga. Hao watoto (au wazee) wa kupanga wanaweza kuwundikia kitu katika mali yao. Lakini kisizidi thuluthi ya mali yao. Na kikipunguka kuliko thuluthi ndio bora zaidi. Au muradi wa tamko hili "Walladhyna Aqadat Aymaanukum" ni mke na mume. Mke anamruhi mume na mume anamrirhi mke. Na bora kufasiri kwa hivi.

34· Hapa inaambiwa wanaumc wawe ndio wcnyc amri juu ya wake zao-wawendeshe mwendo mzuri. Si kujifanya wubupavu hao wanawake, hawataki kutii amri za waume zao. Ikiwa hivyo hawatakuwa Waislamu wa kweli. Hata mailimu ya sasa-Biolot.Y na nyinginezo-yanaonyesha wazi wazi kuwa wanaume wamewashinda wanawake kat~a kila kitu takriba.

Tena zimetajwa baadhi ya sifa za wanawake wazuri. Kbalafu ikatajwa adabu ya kutiwa wanawake wasiokuwa hivyo. Kwanza waonywe kwa maneno tu na waume

zao. Yakiwa hayakufidi wawahujuru katika malazi--wasilale nao kitanda kimoia wala pengincpo. Wakitoatha jeuri

Ill

• ~ r

JUZUU S AN NISAA (4)

3 s. Na kama mkijua kuwa kuna ugomvi baina ya mk.e na mume basi pelekeni mwamuzi mmoja katika jamaa za mwanamume na mmoja katika jamaa za mwanamke. Kama wakitaka mapatano Mwenyezi Mungu atawawezesha . Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa habari za siri na habari za dhahiri.

36. Mwabuduni Mwenyezi Mungu wala msimshirikishe na chochote. Na wafanyieni ihsani wazazi wawili, na jamaa na mayatima na masikini na jirani walio karibu a jirani walio mbali, na raflld walio ubavuni (mwenu) na msafui aliyeharibikiwa, na wale iliyowamiliki mikono yenu ya kulia (kuume). Bila shaka Mwenyezi Mungu hawapendi wenye kiburi wajivunao

37· Ambao hufanya ubakhili (wao) na huwaamuru watu (wengine) kufanya ubakhili (pia kama wanavyofanya wao), na wanayaficha aliyowapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila Zake. Na tumewaandalia makaftri adhabu ifedheheshayo.

WALMUHSANAT

zao hata kwa hayo pia, basi wanapewa ruhusa waume wawapige wanawake hao pigo Ia kuwatisha, si Ia kuumiza. Lakini Hadithi za Mtume zimebainisha kuwa bora asifikilie katika daraja hii ya kupiga. Ajitahidi kumtcngeneza

katika taa kwa ile adabu ya kwanza tu. lkiwa hapana budi na kwa ile ya pili basi. Lakini· asiftke ile ya tatu. Akishindwa yeye kutengeneza atie watu wawasuluhishe kwani Sulhu ndio kheri. Na hao watu inataka waingie

wcnyewe wasuluhishe hata kabla hawajatakiwa msaada wao, seuze wanapotakiwa. Tena wanaonywa hapa hao wanaume wasiwafanyie jeuri wake zao bure kwa kujiona kuwa wao wakubwa.

Mwenyczi Mungu Mkubwa kabisa zaidi juu yao. Na Ulamaa wengine wanafasiri "Haafidhaatun Lilghybi" kwa tafsiri hii: "Wawc wenye kuhifadhi siri zinazopita baina yao na waume zao na siri zinazopita majumbani mwao". Kwani mara nyingi wanawake wanakuwa waropokaji. Wazee wa kizamani wakisema kwa Kiswahili cha kizamani: "Mengi Hayaro~gwa" yaani 'pana mambo mcngi kabisa ambayo HAlF AI kabisa kuyasema, seuze kuyatangaza., ccMambo ya nyumba kunga. Aibu kuyacleza" . .

3S· Wanaambiwa hapo hao waamuzi kama ikiwa kweli nia yao ni kupatanisha basi Mwenyezi Mungu atawasaidia mpaka yapatikane hayo mapatano ya kheri waliyoyakusudia-na Mwenyezi Mungu anajua nia ya kila mtu; hawezi kumficha. Basi wanahimizwa hapa watu wawe na nia nzuri na mapcndeleo ya kheri juu ya wenziwao.

Na vile vile huyo mke na mume wanaambiwa wawe na nia nzuri ya kupatana kwani kupatana ndio kheri. Asiwe kila m~oja kashadidil aliposhadidia-hataki ila hilo alilokuwa akilitaka tu. Isiwe hivyo. Bali wasikilize maneno ya hao waamuzi ill wapate kupatana. Sharti kUa mmoja aridhie kusamehe baadhi ya haki zake, sio kushikilia­ndindindi; habanduki alipo . lsiwe hivyo.

36. Wanaamrishwa watu hapa kumwabudu Mwcnyezi Mungu tu peke yake na wamwombe Yeyc tu peke Yake- Mwombwa Yeye tu Rabbana. /yyaka Naabudu Waiyyaaka Nasraiyn. (Wewe tu peke Yako ndiye tunayckuabudu na Wewe tu peke Yako ndiye tunayekuomba msaada).

Na waamrishwa wawafanyie ihsani wazee na wengine hao waliotajwa hapo; hata wakiwa hawawakhusu 'Ndcwe wQba Sikio,' na haca wakiwa si Waislamu. Hata Waislamu wasiosoma wanajua hayo. Utawasikia wanasema 'Allah Allah Jirani Walau Kana Baniyani.' Basi ndivyo hivi Uislamu unavyosema.

Na huyo raftki wa ubavuni mwenu ni yule unayekuwa naye sana, kame Mke (na iamaa uke), Mume (na jamaa mke), Rafik~ Unayefanya kazi nayc pamoja, na kama hawa. Na huwa ndio mara nyingi mcu kuwasahau. Hucnda kuwatafuta walio mbali akawasaidia akawasahau hawa walio ubavuni mwake. Ndio maana ikazidi kuhimizwa hapa. Wakamilishiwe hawa kwanza ndipo utoke nje. 'Mambo kwa daraja.' lnasemwa kwamba 'Kuwcka kitu pasipokuwa mahala pakc ni kama kudhulumu.' Basi kuwasaidia walio mbali ukawatupa walio karibu hakukupi thawabu; kutakupa dhambi kwani ni kudbuumu. Na mwisho wa Aya hii ya 36 mpaka mwisho wa Aya ya 38 wanatajwa watu wabaya asiowapenda Mwenyezi Mungu

112

JUZUU S AN NISAA (4)

38. Na ambao wanatoa mali zao kwa kuonyesha watu wala hawaamini (aliyoyasema) Mwenyezi Mungu wala siku ya mwisho. Na yule ambaye amekuwa Shetani ndiye raflki yake, basi ana rafdci mbaya kabisa.

39· Na ingekuwa mm juu yao kama wangaliamini (aliyoyasema) Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho, na wakatoa katika yale aliyowapa Mwenyezi Mungu? Na Mwenyezi Mungu anawajua vyema.

40. Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu (viumbe vyake hata kitu kilicho sawa na) uzito wa mdudu chungu; na kama likiwa ni jambo jema (Yeye Mungu) atalizidisha na kutoa ujira mkubwa unaotoka kwake.

41 . Basi itakuwaje tutakapoleta shahidi katika kila uma; na tukakuleta wewe (Nabii Muhammad) uwe shahidi juu ya huu (uma wako)?

42. Siku hiyo wale waliokufuru na kumwasi Mtume watatamani ardhi isawazishwe juu yao (yaani lau kuwa wamefukiwa tu kaburini bila ya kufufuliwa). Wala hawataweza kumficha Mungu hadithi yo yote (katika mambo waliyoyafanya).

43. Enyi mlioamini! Msikaribie Sala, bali mmelewa, mpaka myajue mnayosema, wala hali mna janaba - isipokuwa mmo safarini - mpaka mkoge. Na kama mkiwa wagonjwa (_mmekatazwa

WALMUHSANAT

Tafauti ya kil;i'i na fakhri ni kuwa (a) Kibri huwa katika moyo - ukajiona nani kar"" wewe. Na yakijaa hayo katika moyo hudhihiri katika maneno - kwa kujisifu mwcnycwe, kutukana wenginc na kama haya. Na hlJdhihiri katika vitcndo - kwa kuwatazama watu- kwa jicho Ia kejcli, kutowabali wanapompitia wakamtolca salamu, kutowaendca katika shughuli · zao na kama haya. Basi kibri kikifika daraja hii huitwa fakhri vile vile.

3 7. Kuficha aliyowapa -Mwenyezi Mungu kama vile mtu kuwa na ilimu asiwafundish~ watu - akafa nayo. Kama watu wengi walivyokuwa wakifanya zamani. Na wako wanaofanya mpaka sasa pia. Hawakubali kumfundisha mtu, au watamfundisha mtu mmoja tu hivi au wawili watatu waliomkhusu kweli kweli, kwa kuona kuwa riziki yake itakatika, itachkuliwa na hao anaowafundisha. Wala sivyo, kwani kila mtu ana riziki yake, haizidi haipungui. Hata tukisema kuwa hataaniwa yeye tu sasa peke yake - wataendcwa na hao .wenginc pia - basi iko nini? Si anajipatia thawabu kubwa kabisa za tangu uhai wake mpaka kufa kwakc maadamu ilimu yake ile inaendelca kutumiwa? Kuna riziki kubwa zaidi kuliko hii itakayomfaa Akhcra .wala haitamdhuru Duniani? Lakini watu hawataki Akhera. Maangalizi yao ni kutazama tu dunia, kama alivyosema Mwcnyezi Mungu kuwa "Bali nyinyi mnafadhilisba (starehe za) uhai wa dunia, na bali ya kuwa Akhera ndiyo bora na ndiyo ya kusalia milele."

38. Anayetaka alipwe hiyo Pepo na Mwenyezi Mungu basi shani awe anafanya hayo merna yake kwa aiili ya Mwenyezi Mungu, siyo kwa ajili ya kuwa watu wamwone wamsifu. Atakayefanya kwa nia hiyo hatak.uwa na malipo yo yote Akhcra; kwani kataka aonekane duniani, na k.c:Sha kuonekana.

40 . Tazama rehma na huruma ya Mwenyezi Mungu iuu ya viul'nbe: (a) wakifanya ovu moja hutipwa ovu moja, ikiwa hawakutubia; na kusamehewa pindi wakitubia; na hwenda wakasamehewa bila ya kutubia, na (b) wakifanya jema hulipwa chungu ya merna duniani na Akhera. Basi natujitahidi kufanya kila lilo iema; hata dogo kabisa hili tusilidharau kama tunavyoona hapa. Mtume akisema 'Jikingeni na Moto kwa kufanya mema japo kwa kutasadaki kwa kokwa moja tu hii ya tende.' Hapa ndipo pa kupandia ya kuvunia huko. Sharti tupande hapa ndio IUkavune huko.

113

ruzuu s AN NISAA (4)

kutumia maji) au mmo safarini au mmoja wenu ametoka msalani (chooni) au mmewagusa wanawake - na msipate maji - basi ukusudieni (tayamamuni) udongo safi, mpake nyuso zenu na mikono yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kurehemu na kusamehe (na) Mwenye kughufU'ia.

44· Huwaoni wale waliopewa sehemu ya (kukifahamu) Kitabu (cha Mwenyezi Mungu Mayahudi na Manasara)? Wanakhiari upotofu (upotevu) na wanakutakieni mpotee njia (ya kheri).

WALMUHSANAT

Atatamani kweli kweli mtu mwovu siku ya Kiama asiwe mwenye kufufuliwa, kwa kihoro atakachokiona, kama inavyosema Aya hli na. zinavyosema Aya nyingine. Si kihoro hicho kitachowafika wabaya, wasijue pa kukimbilia.

43. Mpango wa kuharimishwa kulewa tumeutaja katika maelezo ya Aya ya 106 ya AI Baqarah, na kadka maclezo ya 219 ya AI Baqarah.

Na imetajwa habari ya kutayamamu yaani kutumia mchanga badala ya maji katika (a) kutawadha, na (b) Kukosa.

Na kutumia kwenyewe unautumia (a) Usoni tu na (b) Mikononi. Unapiga viganja vya mikono thini katika mchanga safi wenye vumbi. Khalafu unapaka uso wako kwa hilo

vumbi jepesi lililomo kadka hivyo viganja vya mkono. Na kama vumbi jingi, unalilu,amta ·kwanza. Kisba unapiga tena viganja vyako vya mkono chini katika mch1nga namna ule. Tena kwa mchanga uliomo

katilca kiganja cha kushoto unaupakapaka mkono wa kulia wotc mpaka kifundoni kama unavyotawadha. Na kwa mchanga uliomo katika kiganja cha kulia unaupaka mkono wa kushoto kama vile ulivyofanya katika wa kulia.

Unafanya hivi unapotayamamu kuwa ni badala ya kutawadha, na unapotayamamu kwa kuwa ni badala Yll kukoga. Kwa yote mawili kufanya kwenyewe ni hivi t.ivi.

N.B.-Kwa Kiibadhi na Kihanafi hufiki katika vifundo- unavipaka vitanga tu vya mikono. Kwa kiganja cha kushoto unapaka kitanga cha kulia; na kwa kiganja cha kulia unapaka cha kushoto.

Wamepotoa tafsiri ya Aya walioifanya ya 44, wamescma: "Hali mmelcwa. Sio muradi wake kulcwa ulevi maana ulevi umcharimishwa katika Uislamu. Kulewa huku ni kwa mtu kukosa kufahamu anayoyasema kama ilivyocle1.a Aya ycnycwc yaani kama mtu anakuwa na njaa au hasira au usingizi na mc:ngiacyo (Bukhari, Abu Dawud)."

Ujasiri wao katika kugeuza maneno ya Mwcnyczi Mungu haukadiriki. Wao wanascma hapana Na_skh kama rulivyowavunja katika Aya ya 106 ya AI Baqarah. Na Quran imcjaa mifano ya kuonyesha Naskh kama hu-na tazama maclczo yetu katika Aya hii ya Suratun Nisaa na ile ya Suratul Baqarah. Basi ndio wanapindua tafsiri ya Aya hii iii usidhihari ule uwongo wao wa kuscma hapana Naskh. Wamekhiari kuyapindua maelez,na kugeuza tafsiri na kusingizia Hadithi za Mtumc za Bukhari na Abu Daud. Wallahi! Waongo. Haikufasiri~a "Waantum Sukara" tafsiri hiyo waliyoitoa, Ia katika Hadithi zilizomo katika Bukhari wala Abu Daud wala za kitabu chingine chochotc cha kutaja Hadithi wala katika tamko Ia mwanachuoni yo yote yule. Wao wamctaja mwanzo wa tafsiri yao chungu ya vitabu vya tafsiri za kutegemewa iii kuonycsha kuwa wametcgemea tafsiri hizo. Basi kwa nini hawakutaja kipi katika hivyo kilichofasiri tafsiri yao ya uwongo hii? Wanajua kwa yakini kuwa hamna humo. Wakaangukia kukisingizia kitabu cha AI Bukhari na Abu Daud. Kama huu si ukafari ni kitu gani? Kwenda kugcuza muradi wa mancno ya Mwenyczi Mungu. Hu siyo kazi waliyofanya Mayahudi katika Taurati na Manasara katika Injili Wakalaaniwa na Mwenyezi Mungu. Basi anayctafuta laana itamfika.

44-46. Hapa unatajwa baadhi ya ubaya wa Mayahudi na Manasara. (a) Mayahudi na Manasara walikuwa wakibadili maneno yaliyo katika Taurati na lnjili yanayoonyesha khabari za Nabii Muhammad au huyafasiri kwa Damna nyinginc ile yasimkhusu yeyc wala yasikhusu habari ya Uislamu. (b) Walipokuwa wakija mbcle ya Mtume (hasa Mayahudi) wakaambiwa maneno ya dini huscma 'Tumcsikia, tuaafuata'; kumbe katika nyoyo zao wanasema uTunaasi yote hayo unayoyasema, tunakudanganya tu." (c) Wanapokuja wakawasikia Masahaba wuapomsemesha. Mtume wakascma: "l1maa thayra m·usmaa" kama ada ya Waarabu ilivyokuwa. Waarabu walikuwa wanapomsemesha mtu wakascma: /smaa thayra musmaa. "Sikia, si mwcnye kusikilizishwa lnshaallah"; yaani 'Si mwcnye kusikilizishwa mabaya lnshaaUah.' Basi wao Mayahudi wakiintamkia Mtumc vivi hivi lakini wakidhamiria (wakikusudia) maana nyinaine. '~akikusudia 'Si mwenyc kusikilizishwa khcri lnshaallah - utakuwa ukisikia mabaya tu ya kukukcreketa maisha yako.' (d) Wanapokuja hao Mayahudi wakawasikia MaJahaba

114

JUZUU .S AN NISAA (4)

4S· Na Mwenyezi Mungu anawajua vyema maadui zenu. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa mlinzi, na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa msaidizi ..

46. Miongoni mwa Mayahudi wamo ambao hubadilisha maneno kuyatoa mahali pake, na husema (midomoni mwao): "Tumesikia"; Na (nyoy.oni mwao husema): "Tumeasi". (Na wanasema kumwambia Mtume): "Sikia bila kusikilizwa;" Na (hulitamka tamko la): "Raainaau kwa kuzipotoa ndimi zao (hata igeuke maana yake) iii kuitukana dini. Na kama wao wangalisema, "Tumesikia na tumetii. Na • usikie na utuangalie" (kwa tamko Ia Undhurna badala ya tamko la Raaina), irigalikuwa bora kwao na vizuri zaidi. Lakini Mwenyezi Mungu amewalaani kwa kufuru zao; basi hawaamini ila kido.go tu.

4 7. Enyi mliopewa Kitabu! Aminini tuliyoyateremsha yanayosadikisha yale yaliyo nanyi, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni," au kabla ya kuwalani kama tulivyowalani watu ( walioharibu utukufu) wa J umaamosi. N a amri ya Mwenyezi Mungu lazima kufanywa.

48. Hakika Mwenyezi Mungu hasamehe kushirikishswa; na huscmehe yasiyokuwa haya kwa amtakayc. Na anaycmshirikisha Mwenyezi Mungu hila shaka amebuni dhambi kubwa.

49. Huwaoni wale wanaojitakasa uafsi zao? Bali Mwcnyczi Mungu humtakasa amtakaye (akamwaflkia kufanya merna). Na hawatadhulumiwa hata kijuzi kilichomo ndani ya uwazi wa kokwa ya tend e.

WALMUHSANAT

wanamwambia Mtume "Raaina" yaani 'Tutazu:.e watu wako kwa jicho Ia rehema.' Na wao hulitamka tamko luJ1 hili lakini kwa kulipotoa kidogo hata likageuka maana yake. Linakuwa - kwa lugha ya Kiyahudi - 'Ewe mpumbavu!' Basi wakikusudia maana haya. Kama tamko Ia Kiarabu Ia '·'Mukibbau lilioko katika Suratil Mulk ambao maana yake "Mwenye kusinukia (kuqukaan1uka)." Budhi ya watu wanaofasiri uwongo hulitllllka kwa Mimu Sakin, wakascma 'Mkiba' na wakalifuiri kwa muna hayo ya kuiba.

Basi Waislamu wakaambiwa wuilitumic hilo tamko Ia "Raainaa"; bali walitumie tamko Ia "Undhu,.G." Na muna yake ni ile moja lakini haliwezi kupotoleka likawa matusi.

47· Wanahadidiwa hivi bao Mayahudi na wenziwao kuwa Mwenyezi Muncu atawafanyia hayo kama alivyowafanyia wale waUovunja hishima ya Juii\NIDosi, kama ilivyotajwa katika maelezo ya Aya ya 6' ya Suratul &~Nk .

49· Hao hao Mayahudi walikuwa wanadclca kwa ajili ya hao Mitume wao na wazee wao waliokuwa wcma. Wakisema mudamu wao wana watu kama hao basi hapana khofu juu yao. Kill wanalolifanya Mwenyezi Munp atawasamehe, hata likiwa baya vipi. Na wakijita w10 kuwa wao ni vipenzi vys Mwenyezi Munau na watoto wa vipenzi vya Mungu.

us

JUZUU 5 AN NISAA (4)

5o. Tazama jinsi wanavyotunga uwongo juu ya Mwenyezi Mungu, na haya yatosha kuwa dhambi zilizo dhahiri (za kuwatia >Motoni).

5 I. Huwaoni wale waliopewa sehemu ya (kufahamu) Kitabu (cha Mwenyezi Mungu)? Wanaarnini masanamu na upotofu. Na husema juu ya wale waliokufuru kuwa hao wameongoka zaidi katika njia (ya haki) kuliko wale walioamini.

52. Hao ndio Mwenyezi Mungu aliowalani. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemlani basi hutamwona kuwa na mwenye kumnusuru.

53· Au wanayo sehemu ya ufalme (wa M wenyezi Mungu; basi wanahamaki kwa 0101

kupewa mtu kitu pasina amri yao)? Basi hapo wasingaliwapa watu hata tundu ya kokwa ya tende

54· Au wanawafanyia watu husuda kwa yale aliyowapa Mwenyezi Mungu kwa ukarimu Wake? Basi tuliwapa (vile vile) watoto wa lbrahimu Kitabu na hikima na tukawapa ufalme mkubwa.

s 5. Basi kuna miongoni mwao walioyaamini haya, na wako miongoni mwao waliojiepusha nayo. N a J ahanam yatosha kuwa mota mkali wa kuwaunguza.

56. Hakika wale waliozikataa Aya zetu, tutawaingiza katika Moto . Kila ngoz1 zao

WALMUHSANAT

Basi ndio wanatolewa maanani hapa wanaambiwa 'Huwaoni wanaojilakasa nafsi zao kwa maneno ya midomo yao IU hila ya kufanya yale ya kuwatakasa?' Basi na baadhi yetu sisi huyadekea haya, wakaona maadamu wanatokana na wakubwa au wana alaqa na wakubwa, basi hapana khofu huko Akhera: si kweli haya hata chembe.

51. Tamk~ Ia Jibti na Taghuti linatumika katika Uislamu kama tamko.Ja She1ani. HUiumika katika kila ibada isiyokuwa ya haki (ya Mwenyezi Mungu) na katika kila jambo lisilowafiki Sharia ya haki.

Mayahudi bughudha yao ilipozidi juu ya Uislamu walikwenda kufanya Uitifaki na Makureshi na Waarabu wcngine iii wamshambulie pamoja, Mtume na watu wa)te- wawasagesage, asisalie yo yote. Basi hao wakubwa wa Kiyahudi walipofika huko kwenda kufunga huo uitifaki waliwasujudia masanamu waliokuwa wakiabudiwa na Waarabu-na bali wao ni Ah/11 Kuabu wanajua kuwa ni ukafiri kufanya hivyo. Na wakawatilia nguvu katika mambo mengine (hao Makureshi) na wakawaambia kuwa mwendo wao wa dini yao ni bora kuliko mwcndo wa dini aliyokuja nayo Nabii Muhammad - na bali ya kuwa wana)ua kuwa hivyo sivyo hata chcmbe laktni basi tu wanalaka wapate huo msaada wa Makureshi na Waarabu wcngine ili wawasagesage Waislamu kwa hasadi yao tu basi na kuona uchungu kwa nini Nabii Muhammad kupa1a neema hiyo ya Utume, kama kwamba ufalme wa Mwenyezi Mungu ni wao, wamehamaki kwa nini akapewa mtu ki1u pasina amri yao. Ndiyo Mungu anawasimanga kwa namna hiyo katika Aya ya SJ .

53-54 . Aya za kuunyesha kuwa y01e hayo waliyokuwa waktyafanya Mayahudi ni kwa ajili ya husuda tu ; wanaona kwa nini Waislamu wapate hayo waliyoyapata. Hapana kitu kinachowa1ia tabuni watu, kikawazuilia kufuata ya haki kama hasadi. Ukimhusudu mlu basi hukuhali kufuata Jake japo hilo ndilo Ia haki na lenye manufaa dhahin duniani na Akhera. Ba~i natutahadhari na sifa hii iii tufuate yaliyo ndiyo tustarehc huku na huko .

Na hii hasadi ni kitiba (sifa) cha zamani sana, kama tlivyotajwa hapa katika Aya ya 54 na ndicho kilichompclekea Iblisi kuwa Shaytamr Ra).vm na Qatdun ath,vm; na chungu ya wengineo Junaowasikia katika Tarehe.

116

' ~ ,

JUZUU S AN NISAA (4)

zitakapowiva, tutawabadilishia ngozi nyingine badala ya zile; ili wawe wanaonja (uchungu wa) adhabu (maisha). Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu (na) Mwenye hikima.

57. Na wale walioamini na kufanya vitendo vizurit tutawaingiza katika Mabustani yapitayo mito mbele yake kwa kukaa humo milele. Humo watakuwa na wake waliotakasika (na kila machafu), na tutawaingiza katika vivuli vizuri kabisa.

58. Hakika Mwenyezi Mungu anakuamrisheni kuzirudisha amana kwa wenyewe ( wanaozistahiki). Na mnapohukumu baina ya watu mhukumu kwa haki. Bila shaka mawaidha anayokutoleeni M wenyezi Mungu ni mazuri sana. Hakika Mwcnyezi Mungu ndiyc Asikiaye (na) Aonaye.

59· Enyi mlioamini! Mtiini Mwenyezi Mungu na mtiini Mtume na wenye mamlaka juu yenu, walio katika nyie (Waislamu wenzenu). Na kama mkikhitalifiana juu ya jambo lo lote basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamwamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho. Hiyo ndiyo kheri, nayo ina matokeo bora kabisa.

6o. Huwaoni wale wanaodai kwamba wameamm1 yale yaliyoteremshwa kwako na yaliyoteremshwa kabla yako? Nao wanataka wakahukumiwe kwa njia isiyowaftki Sharia; na hali wameamrishwa kukataa njia hiyo. Na Shetani anataka kuwapoteza upotofu (upotevu) ulio mbali (na haki).

WALMUHSANAT

s6- s 7. H apa yanatajwa malipo ya wabaya na malipo ya wema. Hii ni ada ya Qurani. Ikitaja malipo ya wabaya, mara hutaia malipo ya wema, na ikitaja malipo ya wema, mara hutaja malipo ya wabaya ili watu watanabahi kuwa merna yao na mabaya yao, sio kwa nasabu zao au mali yao au vyeo vyao. Akisema sana Mtume haya, na Qurani imekariri sana pia.

s8. Kuna baadhi ya watu huwachiwa amana na mtu, akaja akafa wala hakuweka mashahidi- au shahada ile haina nguvu- basi hurushilia mbali. Isiwe hivyo. Sio Uislamu huo. Mwislamu sharti awe mwaminifu, hata juu ya wasiokuwa Waislamu.

59. Kila wenye kutawalishwa ukubwa inataka watiiwe maadamu wanayoyaamrisha ndiyo ndivyo . Ikiwa hapana mkubwa wa kutiiwa yatakuwa mambo ovyo ovyo na litakuwa fujo. Na Uislamu haupendi mambo ovyo ovyo wala haupendi dhulma na jeuri. . .

Basi wakubwa watiiwe maadamu wanaamrisha mambo yaliyo ndiyo. Wakiamrisha yaliyo siyo hapana ruhusa leu tiiwa.

Na ikitokca mzozano - kuwa wao wakubwa wanaona ndivyo, na nyinyi mlio chini yao mnaona sivyo- basi itazamwe Mwenyezi Mungu au Mtume Wake Wamesema nini katika mfano wa jambo hilo. lfuatwe hukumu ya Mwenyezi Mungu na Mtume. Likiwa linastahiki kufuatwa lifuatwe, na likiwa halistahiki lisifuatwe . . Wala asishadidie lena huyo mkubwa kuwa "Naliwe tu"; japo sivyo Sharia inavyosema. Wala wasishadidie hao wafuasi kuwa "Haliwi tu;" japo ndivyo Sharia inavyosema. Ma1egemeo iwe Sharia ya Mwenyezi Mungu na Mtumewe.

6o. Hii Aya ya 6o na zilizo baada yake zinataja hukumu ya kukataa kuhukumiwa Kisharia. Na inaingia ka1ika Aya hii (a) Mtu kwenda kuposa mahali; wazee wa waposwaji wakenda kwa· mpiga bao

ku tazamia kwanza kama arusi hi yo itakuwa na kheri au i1akuwa na shari. Akiwaambia ina 'kheri wakubali au

117

JUZUU S AN NISAA (4)

61. Na wanapoambiwa: "Njooni katika yale aliyoyateremsha M wcnyezi Mungu, na (njooni) kwa Mtume," utawaona wanaftki wanajiweka mbali nawe kabisa.

62. Basi itakuwaje utakapowaftkia msiba kwa sababu ya yale iliyotanguliza mikono yao? Kisha wakakujia wakiapa "Wallahi! Hatukutaka ila wema na mapatano."

63. Hao ndio wale ambao Mwenyezi Mungu anayajua yaliyomo nyoyoni mwao. Basi waachilie mbali, (lakini) uwape mawaidha na uwaambie maneno yenye t~thira yatakayoingia katika nafsi (nyoyo) zao.

64. Na hatukumleta Mtume yo yote ila atiiwe kwa amri ya Mwenyezi Mungu. Na lau wangalikuja walipojidhulumu nafsi zao (kwa kwenda kubukumiwa kwa njia isiyokuwa ya Sharia) wakaomba msamaha kwa Mwenyenzi Mungu, na (yeye) Mtume pia akawaombea msamaha, bila shaka wangemkuta Mwenyezi Mungu ni Mwenye kupokea toba(na) Mwenye kurehemu.

WALMUHSANAT

akiwaambia ina shari waibtae. Badala ya kufuata alivyosema Mjumbe wa Mwenyezi Mungu. Mjumbe wa Mwenyezi MuJIIU- Mtume Muhammad Sallal Laahu Alayhi Wasallam - alikuwa akisema kama mtu ana wuiwasi wa jambo alifanye au asilifanye, basi asali rakaa mbili. Na mwisho wa sala katika Tahiyyacu-kabla ya kutoa salamu au baada ya kutoa saJamu - asome dua hii na alitaje jambo lake hilo linalomfanyia wasiwasi; amwombc Mwenyezi Mungu amwarlkie kulifanya kama likiwa na kheri na amwepushe nalo kama lina shari.

lkiwa anaisoma dua hii ndani ya sala basi sharti aisome kwa Kiarabu. Ama akiisoma baada ya· sala anaweza kuiloma kwa lusha aitakayo.

Afitabidi asali kwa ukan'lilifu barabara na unyenyekevu uliokamililca. Basi akae siku moja mbili. Akiona moyo wake umelipcnda jambo hilo basi nalifanye. Na akiona moyo wake umelichukia basi nasilifanye. Ukitomili moyo wake upande huu wala upande huu nasali tena mpaka imjie raghba ya mojapo-kulipenda au kulichukia.

·Dua yenyewe kwa Kiswahili chake, ikiwa unaisoma baada ya kutoa saJamu ni hii: "Ee Mola wansul Mimi nakuomba unijulishe liWo Ia kheri Jcwa ujuzi Wako. Na nakutaka uniwezeshe (hilo Ia kheri) kwa uweza Wako. Na nakuomba unipe (hilo Ia kheri) kwa fadhila yako iliyo kubwa. Kwani wewe ndiye unayc:liweza hilo mimi siUwezi. Na wewe ndiyc unayelijua hilo wala mimi silijui. Na wewe ndiye Mjuzi wa yote yaliyofichikana. Ee Mola wanau! lkiwa unajua kuwll lambo hilo ni Ia kheri na mimi katika dini yansu na uhai wanau na katika mambo yanau ya sasa n. yanayukuja, basi niwezesbe na unisahilishie n8 unitilie baraka. Na ikiwa unajua kuwa jambo hilo ni shari YIDIU kaaika dini yanau na uhai wanau na kalika mambo yanau ya sua na yanayokuja, basi liepuahe na mimi, na mimi niepu"she nalo. Unikadirie Ia kheri popote lilipo na uniridhishe nalo kwa rehema Yako."

Na inainaia vile vile katika Aya hii (b) Mtu kuwa maonjwa (yeye au mtu wake) akenda kwa mpisa bao kuaazamia labda katendewa, na nani aliyemtcndea. Au (c) Kuibiwa akenda kwa mpiaa bao kutazamia, kwani mambo ya kuwuadiJd wapiaaji bao yamekatazwa kabisa.

Na inainaia - dhahir shahir - kwa wale wanaokataa kuhukumiwa kwa Sharia ya Uislamu (maneno ya Mwenyezi Munau na Mtume Wake) wakataka wahukumiwe kikanuni (duree) kama wanavyokataa Wakopeshaji Riba kuhukumiwa "iistam·u. Anayaona maneno ya Mwenyezi Mungu na ya Mtume Wake siyo ya haki ~ akaona kanuni ndiyo yenye huk\!mu ya haki - basi mtu huyo ni kaftri.

64. Basi hao waendeaji wapiga bao na hao wapiga bao wenyewe - na wengineo wabaya kama hao wanaokataa kuhukumiwa Kiislamu wakataka kuhukumiwa Kikanuni - wakitubia baadaye, kwa shuruti zake, Mwenyezj Munau aaawapokea.

JI8

JUZlJlJ 5. AN NISAA (4)

65. Naapa kwa (haki ya) Mola wako. Wao hawawi wenye kuamini (kweli kweli) mpaka wakufanye (wewe ndiye) hakimu (m.wamuzi) katika yale wanayokhitalifiana, kisha wasione uzito nyoyoni mwao juu ya hukumu uliyotoa, na wanyenyekee kabisa.

66. N a kama tungeliwalazimisha kwamba "Jiueni nafsi zenu, au tokeni katika nyumba zenu (mwende vitani au muhame kabisa)," wasingalifanya hayo isipokuwa wachache tu katika wao. Na kama·~ wangalifanya- waliyoambiwa ingalikuwa bora kwao na yangekuwa yanathibitisha zaidi (Uislamu wao).

67. Na (ingekuwa hivyo) tungewapa malipo makubwa kutoka kwetu

WALMUHSANAT

6 s. Watu wakikhitalifiana katika jambo kuwa linafaa au halifai basi nawarcjec mancno ya Mungu na Mtume. Watazamc wamcscma nini katika jambo hilo. lfuatwe hivyo walivyoscma. Wala moyo wake usinyonge kwa kuona kuwa alivyotaka yeyc sivyo alivyotaka Mtumc. Bali asalimu amri mara moja. Aone aliyoyataka Mtume ndiyo ndiyo.

Kama vile wanawakc kuona kuwa amri zao zimo katika mikono ya waumc zao. Basi wasichukiwe. Waonc ndiyo ha.ki hiyo aliyopc:nda Mwcnyczi Mungu. Au vile mwanamumc katika kumtoza anayemwacha- bila ya kufanyiwa vihcndo na huyo mwanamkc- akaambiwa kuwa Mwenyczi Mungu na Mtume wamescma kuwa hapana ruhusa hayo. Basi asione uchungu. Asalimu amri. Aone ya Mwenyezi Mungu na Mtumcwe ndiyo ndiyo.

Au kama wafanyaji Matanga na ada zake na Tahalili na Arubaini na yaliyo kama haya. Wakiambiwa kuwa Mtume sivyo alivyoscma. Basi inataka mara moja waachc na waridhie kwa furaha. Wasione kuwa maiti wao wanakoscshwa thawabu. Wao wanajua mambo ya kumletea thawabu mairi kuliko anavyojua Mtume? Yangckuwa kwcli hayo yanamletea thawabu maiti Mtume angeyakataza akawaambia Masahaba zake wawambic watu kuwa siyo hayo? ·

Basi 1umfanyc Mtume ndiye muamuzi katika khitilafu zctu zote. Akishakusema yeye kitu iwe basi. Wamepindua kwa khatari kabisa muradi wa Aya hii walioifanya kuwa ya 6o. Wameona humo Mwenyezi

Mungu kascma "Wauli/ Amri Minkum" (Wenye mamlaka juu ycnu, walio katika nyinyi yaani Waislamu wenzenu). Wao kwa ajili ya kuwavuta Waislamu wamtii Mngereza - na tafsiri yao hii ilitoka 1953 zama za utawala wa Waingcrcza huku - wamcandika hivi:- "Katika maana iliyopanuka zai~i maneno haya yanawakusanya hata wale wasio Waislamu walio na mamlaka iuu ya Waislamu."

Tazama ukafiri wao. Kwa aJili ya kutaka kuifurahisha dola ya Kiingereza wanapindua mancno wazi ya Mwenyezi Mungu; wanayavungavunga. Na tamko Ia ''Mmkum" ambalo maana yake: "Walio mionsnni mwenu," au "wanaotokana na nyiyc, au uwalio katika nyiyc .. . " Wamelipindua kwa tamko li "F:ykum;" wakasema: "kati ycnu-wcnyc mamlaka kati ycnu., Na wanaona hapo kuwa Mwenyczi Mungu hakutumia Fykum: katumia Minkum. Tazama wanavyomgcuzia Mwenyezi Mungu maneno yake kwa ajili ya kutaka kuwafurahisha makaf1ri ili wawatukuzc katika nchi hizi na wawawekcl Khatari kubwa kabisa.

Tena wakazidisha uwonso wao wakascma: "Suna na Hadithi za Mtume s.a.w. zimeweka jambo hili wazi ya kuwa katika mambo ya kidunia Waislamu wawatii hat• hao wltawala wao wasiokuwa Waislamu ••. " Waon1o kabisa wazandiki wao. Kwa nini hawakuzitaia Hadithi hizo - japo kuwa moja - na mahali zilipo? Ukaf1ri mkubwa huu kumsingizia Mwcnyczi Mungu na Mtumewc wasiyoyasema. Hadithi mashuhuri kabisa ya Mtume "Sikilizcni na mtii hata akikutawalcni mtumwa . . . "; hakuscma "hata akikutawalcni asiyekuwa Mwislamu." Nawatuonycshc Hadithi hiyo-na kama hiyo-kama ipo. Hawataipata, kwani haiko Wanataka tu kui(urahisha dola ya Kiingereza ambayo Imckwisha Utema (Imekwisha ku'fa) pande hizi sasa. Hawakuyajua haya. Walikuwa wakilewalewa na necma yao ya wakati huo. Leo watakwimbia au wanaimba:-

Pc1e ile Kiivaa Zama sizo

Kwanza yalikuwa yangu Kadiri ya chanda changu Wanaivaa wcnzangu

119

JUZUU S AN NISAA (4)

68. Na Tungewaongoza njia iliyonyoka (ya kuwaflkisha Peponi).

69. Na wenye kumtii Mwenyezi Mungu na Mturne, basi hao watakuwa pamoja na wale aliowaneemesha Mwenyezi Mungu: Manabii na Masidiki na Mashahidi na Masalih (watu wema). Na uzuri ulioje (kwa mtu) watu hao kuwa raflki (zake).

70. Hiyo ni fadhila itokayo kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kutosha; (hapana asilolijua).

1 I . Enyi mlioamini! Shik~ni hadhari yenu (juu ya maadui zenu. Msikhadaike). Tokeni (kwenda vitani) makundi moja moja au tokeni nyote pamoja (kama atakavyokwambieni Mtume).

72. Na wako katika nyinyi wanaokaa nyuma ( wasende vitani, na huwakataza wenziwao wasende vitani). Na kama unakupateni msiba (kila mmoja) husema: "Mwenyezi Mungu amenineemesha ilivyokuwa 'sikuhudhuria pamoja nao.,

7 3. N a ikikuflkieni fad hila kutoka kwa Mwenyezi Mungu (kama kupata ngawira na kushinda), husema-kana kwamba haukuwa uraflki baina yenu na baina yake - (husema): "Laiti ningalikuwa pamoja nao nikapata kufaulu kukuu (huko).,

74· Basi qawapigane katika njia ya Mwenyezi Mungu wale \4anaouza maisha (yao) ya dunia kwa (kununua) ya Akhera. Na anayepigana katika njia ya Mwenyezi Mungu kisha akauawa au akashinda, tutampa ujira mkuu.

7 S. N a mna nini hampigani katika njia ya Mwenyezi Mungu na (katika kuwaokoa) wale walio

WALMUHSANAT

69-. Kila watakaolanya mema wataingia Peponi. Na kila watakaoingia Peponi wa1aku1ana na wenziwao wa Peponi wachtnganyike, katika baadhi za nyakati, japokuwa wako mahala mbali mbali kwa mnasaba wa daraja walizopewa kwa amali zao ambazo hazikuwa namna moja. Lakini juu ya hivi walakutana.

Miongohi mwa daraja zilizo1ajwa hapa ni daraja ya (a) Unabii (b) Usiddiqi (c) Ushahidi (d) Usalih. Salih ni anayelekeleza haki za Mwenyezi Mungu zili-zo juu yake na kulekeleza haki za viumbe wenziwe zilizo

juu yake, kwa mwisho WI& uweza wake; Na Shahidi ni anayefanya haya na akapa1a baha1i ya kuuawa kwa ajili ya dini; Na Siddiqi ni kama yule Salih. Lakini anatekeleza kwa ukamilifu zaidi kabisa, kama vile daraja ya Sayyidna Abubakrinis Siddiq.

Na Unabii ni kupindukia mipaka ya Ubinaadamu kwenda Umalaikani. Ukaftri wao wa kudai kuendelea Utume walioulia hapa katika Aya hai walioifanya kuwa ni ya 70 ndio ule ule

walioutia katika Aya 1 ya Suratul Faatiha, tukawajibu kwa urefu hapo. Basi 1azama jawabu yao huko usalimike na ukaftri wao mkubwa kabisa huu wa kumdaia Utume m1u wao huyo. Huo ni ukafiri dhahir.

p.. Zinalajwa habari za wanafiki na haaari yao, basi lujicpushe nao. 1S· Baada ya kuhama Mtume Makka walisalia baadhi ya Waislamu - wanaume na wanawakc na walolo­

wamedhibitiwa na jamaa zao na kufungwa ndindindi, hawawezj kukimbia wakaja Madina. Na wanadhiliwa na kutaabishwa kweli kwcli.

120

JUZUU S AN NISAA (4)

dhaifu - katika wanaume na wanawake na waloto - ambao husema: "Mola wetu! Tutoe katika mji huu ambao watu wake ni madhalimu, na tujaalie tuwe tuna mlinzi anay'etoka kwako, na tujaalie tuwe na wa kutunusuru anayetoka kwako."

76. Wale walioamini wanapigana katika njia ya Mwenyezi Mungu, lakini waliokufuru wanapigana katika njia ya Shetani. Basi piganeni na maraflki wa Shetani. Hakika hila za Shetani ni dhaifu.

77. Huwaoni wale walioambiwa: "lzuieni mikono yenu (na kupigana na makafll'i mpaka ije amri ya kupigana)? Na (sasa) simamisheni Sala, na loeni Zaka (tu)." Na (baadae) walipolazimishwa kupigana, mara kundi moja katika wao liliogopa watu (makafari) kama kumwogopa Mungu au kwa khofu zaidi. Na wakasema: "Mola wetu! Kwa nini umetulazimisha kupigana? Lau ungetuakhirisha mpaka muda kidogo hivi (ingekuwa vizuri)." Serna: "Starehe ya dunia ni ndogo. Akhera ni bora zaidi kwa hao wenye kumcha Mungu. Wala hamtadhulumiwa hata uzi ulio katika uwazi wa kokwa ya tende."

78. "Po pote mlipo mauti yatakuflkieni, na hata mkiwa katika ngome madhubuti." Na kama ukiwaflkia wema (wale wanaflki na makafll'i) wanasema: "Huu umetoka kwa Mwenyezi Mungu." Na ukiwafikia uovu husema: "Huu umesababika kwa ajili yakn (wewe Muhammad)." Serna: "Yote yametoka kwa Mwenyezi Mungu." Basi. wamekuwaje watu hawa? Hawawezi kufahamu maneno?

79. Wema uliokuflkia umetoka kwa Mwenyezi Mungu; na ubaya uliokuflkia unatoka nafsini mwako. (M wenyewe umefanya mambo hata yakakuflka hayo). Nasi tumekupeleka kwa watu

WALMUHSANitT

Basi wanahimizwa Waislamu vikitokea vita wapigane kweli kweli na hao makafiri mpaka waweze kuwaokoa hao Waislamu wanaotaabishwa hivyo.

Basi Waislamu wa kweti wakayafuata haya. Wakapigana hata wakaitia Makka mikononi mwao. Akatawalishwa liwali wa Kiislamu akawau)a taabuni wale Waislamu watiokuwa wakitaabishwa na kuomba vile. Dua ilisibu baada ya amri kufuatwa.

76. Muradi wa Muafiki wa Shetani ni wale makaf1ri wanaopigana na Waislamu. 7 7. Budhi ya Masahaba walipokuwa Makka na ikashtadi iuu yao shida za makafiri walimtaka ruhusa Mtume

wapisane na hao maadui zao. Mtume akawaa111bia "Sikuamrishwa kupigana na maadui. Nimeamrishwa kuvumilia. Basi natuvumilie vivi hivi mpaka tujue nini mwisho wake."

Basi wakanyamaza. Hata walipoflka Madina wakak-aa kiasi cha mwaka hivi, walipewa ruhusa sasa kupiaana na wale wanaowapiga. Lakini baadhi ya Masahaba wengine walifanya woga wakaona "Ah! Ya nini mambo ya kupigana? Kwa nini hatustahmili kama tulivyostahmili mwanzo?u Lakini kustahmili huko kutadumu ·mpaka lini? lkiwa mtu hendi vitani hafi? Ndiyo wanazidi kusimanawa hivyo katika Aya ya 78.

Ill 11

JUZU\J S AN NISAA (4)

kuwa Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni Shahidi wa kutosha. (Hapahitajiwi shahidi mwengine).

8o. Mwenye kuintii Mtume amemtii Mwenyezi Mungu (kwani anayoyaamrisha Mtume yametoka kwa Mungu). Na anayekengeuka (anajidhuru mwenyewe). Hatukukupeleka wewe kuwa mlinzi juu yao; (wakipotea ulaumiwe wewe. La. Hatukufanya hivyo).

81. Na wanasema: "Tunatii;" Lakini wanapotoka kwako kundi moja miongoni mwao hushauriana usiku kinyume cha yale wanayoyasema (hapo mbele yako). Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayoshauriana. Basi waachilie mbali, na mtcgemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mlinzi wa kutosha.

8z. Hawaizingatii nini, hii Qurani? Na kama ingelitoka kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu hila shaka wangaJUtuta ndani yake khitilafu nyingi.

83. Na linapowafdtia jambo lo lote Ia amani au la khofu hulitangaza. Na kama wangalilipeleka kwa Mtume na kwa wenye mamlaka kwao, wale wanaopeleleza ( wanaojua kupima mambo) miongoni mwao wangalijua (kuwa hilo ni jambo Ia kutangazwa au si la kutangazwa). Na kama isingalikuwa fadhila ya Mwenyezi Mungu juu ya (wengi katika) nyinyi na rehema yake, kwa yakini mngalimfuata Shetani isipokuwa wachache tu (waliopata fadhila hiyo).

I

81. Wanahadidiwa wanafiki kuwa Mungu anawaona na atawalipa.

WALMUHSANAT

h. Basi wanaiona hii Qurani mancno yake sawa sawa, hayapin1ana wala hawezi kiumbe kuleta hoja ya kuonyesha kuwa baadhi ya hayo yaliyosemwa humo ni uwon1o-sivyo. Hakiiatokea kitabu hicbo wala bakitatokea. Kupinaa kwa hoja na dalili khasa hakupatikani. Katika yaliyosemwa na Qurani ukadhihiri ukweli wake sasa ni: (J) Kuwa kiJa kitu kina Udume na Uke. Tazama Aya ya 36 ya Surat Yatirt; (z) Kuwa dunia hii ilikuwa imekamatana na mbinau (kipande cha jwa}, kama llivyo katika Aya ya 30 ya Suratul Artbiyaa; (3) Kuwa Uhli unategemea maji, kama ilivyo katika Aya ya JO ya Suratul Anbiyaa; (4) Kuwa watu walio masa(a mbalt kabisa wataw~za kusikilizana na wa masa(a mbali kabisa, kama ilivyo katika Aya ya 44 ya Suratul Aaraf; (.5) Kuwa watu wa rnasafa mbali sana waraweza kujuana, kama iliryo katika Aya ya 46 ya hii hii Suratul Aara/ na nyinginezo; (6) Kuwa watu wa masafa mbali mbali wataweza kupeana vitu na kupokeleana, kama ilivyo kat~ Aya ya ,o ya hii ya Suratul Aaraf; (7) Kuwa watu watafika mbioguni, kama ilivyo katika Aya ya 13 ya Suratul :Jaathiya.

Na menai kabisa mengineyu. Hapa lcatika Aya hii walioifanya kuwa ni ya 8 3 makadiyani wametaia habari ya Nasikh na Mansukh, kwa

kuonyesha kuwa tukikubalisha Naskh, maneno ya Mwenyezi Mungu yatakhitalifiana yapingane. WaJa sivyo. Hapatakuwa kukhitalifiana wala kupingana, bali itapatikana kuonekana wazi wazi hikima ya Mwenyezi Mun1u na uwongozi wake mzuri wa kuwavuta watu kidogo kidogo. Tumeyabainisha haya katika Aya ya 106 ya hiyo Suratul Baqarah.

8 3. Wanakatazwa hapa watu kutangaza mambo yaliyokhusu siasa ya dola. Wasiyaseme ila yale yaliyosemwa na hao wakubwa, kwani wao ndio wanaojua yapi yanafaa kusemwa na yapi haya(ai kusemwa.

Ill

JUZUU S AN NISAA (4)

84. Basi pigana katika njia ya Mwenyezi Mungu. Hukalifishwi ila nafsi yako. Na wahimize Waislamu. Huenda Mwenyezi Mungu akazuia mashambulio ya waliokufuru. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mkali wa kushambulia na Mkali wa kuadhibu.

8 s. Atakayeombea maombezi mema (atakayesaidia· mambo merna hata yakatokea) atapata sehemu katika hayo. Na atakayeombea maombezi mabaya atakuwa na sehemu katika mabaya hayo, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye ujuzi juu y~ kila kitu.

86. Na mnapoamkiwa kwa maamkio yo yote yale, basi itikieni kwa yaliyo bora kuliko hayo, au rejesheni yayo hayo. Hakika Mwenyezi Mungu anafanya hisabu ya kila kitu.

8 7. M wenyezi Mungu, hakuna anayestahiki kuabudiwa ila Yeye tu. Kwa yakini atakukusanyeni siku ya Kiyama. Hapana shaka ndani yake (Hakina shaka). Na nani mkweli zaidi katika maneno kuliko Mwenyezi Mungu?

8 8. Imekuwaje nyinyi kuwa makundi mawili katika khabari ya wanaftki, na bali Mwenyezi Mungu amewageuza kwa sababu ya yale (mabaya) waliyoyachuma? Je! Mnataka kumwona mwongofu ambaye Mwenyezi Mungu amemhukumu kuwa kapotea? Na aliyemhukumu Mwenyezi Mungu kuwa amekwisha potea hutampatia njia (ya kuambiwa mwongofu).

WALMUHSANAT

84. Mtume anaambiwa kuwa juu yake ni kuamrisha na kuhimiza tu; lakmi kukalifisha kwa ngu\'u si juu yake. Ataikalifisha kwa nguvu nafsi yake tu mwenyewe.

8 s. Wanaamrishwa watu kusaidia mambo ya kheri; kusaidia kwa vitendo na maneno-kuwa\'uta wenziwe, kama anavyoweza, wafanye na wasaidie" mambo ya kheri; na waaapata jaza kubwa kabisa wakifanya hi\'i, kwani kheri ndiyo inayotakiwa itapakae ulimwcngu mzima.

Na wanakatazwa kabi!.a kabisa kusaidia ya shari hata kwa msaada mdogo kabisa hata wa neno dogo tu hili kulitia katika kusaidia jambo baya, japo kwa kulipigia kofi kulishangilia na kumshangilia aliyefanya, boili hata kwa kufurahi moyoni kwako tu. Baya inataka ujiepushe nato kila namna.

Juu )'ako ni kuliondosha na kuwasaidia wan&llliondosha, siu kulisaidia au kuwasaidia wanaolifanya. Mwislamu ajiwc:kc: kuwa nafuu tu kwa viumbc: wnte wanaostahiki lt11:1Ufaishwa (kunafiishwa). Kama huwezi kunufaisha, basi iizuilie na kudhuru.

86. Uislamu unahimiza kweli kweli kuanza kuwafanyia viumbe wema na kuwalipa vizuri kabisa wakikufanyia huo wc:ma. Basi inasemwa hapa kuwa hata ukiamkiwa uiibu kwa vizuri zaidi kuliko alivyokuamkia. Akikwambia "Saba hal Khr,•r (Subal Kheri), mwambie kama hi\·i "Subalkheri Bwana au Bibi." Au "Shikamoo" "Shikamoo Bwana au M~rhaba mwanangu.'' Akikwambia "A.ualam Alaykum" mwambie "Waala.vkumus Salam u•a Rahmarul Lah." Akisema "Assalamu Ala_\'ku11 1L'a Rahmarul l.ah," mwambie "Waalaykumus Salam u•a Rahmawl J.ahi tt•a Barakaruh." Nakama hn·i. Fanya wcma na usipunguze kulipa wema kwa wema zaidi kuliko alioku fanyia.

, 88. Tumeona kuwa katika siku ya \'ita vya Uhudi kiasi cha watu 300 walikimbia kwa siri wakamwacha Mtume na watu 700 tu wakabiliane na jeshi Ia watu 3000. Wa1u wengi waliwaitakidi watu hao kuwa makafiri. Lakini wengine waliwaitakidi ni Wa1slamu kwa vile wana\'yojidai kusali na kufunga na mengineyo. Basi wanabainishiwa hapa dhahir shahir kuwa hao ni makafiri, si Waislamu. Kama wangeliku.wa Waislamu

123

JUZUU 5 AN NISAA (4)

89. Wanataka (makaftri wa Kiarabu) lau mngekufuru kama walivyokufuru wao ill muwe sawa sawa. Basi msiwafanye wao maraflki (wa kuwapa siri zenu) mpaka wahame kwa ajili ya dini ya Mwenyezi Mungu (waje wakae Madina pamoja na nyinyi). Na kama wakikengeuka basi wakamateni na waueni po pote mnapowapata (kama wanavyokufanyieni hivyo). Wala msifanye raflki katika wao wala msaidizi

9 o. Isipokuwa wale wanaopatana na watu ambao mna ahadi baina yenu na wao, au wajao kwenu, na vifua vyao vinaona dhiki kupigana nanyi au kupigana na watu wao. (Hao msiwapige). Na kama Mwenyezi Mungu angalipenda angezitia nguvu nyoyo zao juu yenu wakapigana nanyi. Na kama wakijitenga wasipigane nanyi na wak-akuleteeni amani, basi Mwenyezi Mungu hakukufanyieni njia juu yao.

9 1. Mtawakuta wengine wanaotaka kupata salama kwenu na kupata salama kwa watu wao; kila wakirudishwa katika fitina (na hao jamaa zao makaftri) huangushwa humo fitinani kifudifudi; (yaani huingia vyema katika fitina hiyo wakawataabisha Waislamu). Basi kama hawajitengi nanyi wala kukuleteeni amani wala kuzuia mikono yao, basi wakamateni na kuwaua po pote mnapowapata (kama wanavyokufanyieni). Na hao ndio ambao tumekupeni juu y~o hoja zilizo dhahiri (za kujuzu kupigana nao).

92. Na haiwi kwa Muislamu kumwua Muislamu (mwenziwe kusudi) ila kwa kukosea . Na mwenye kumuua Muislamu kwa kukosea basi ampe

wasingelimwacha Mrume na Waislamu wenziwao katika bali ile.

WALMUHSANAT

90. Katika vita vilivyokuwa vikitokea baina ya Mtume na Waarabu ilitokea kufanyiana suluhu na kuandikiana mikataba kuwa Mtume asipigane na kabila hiyo (wala asipigane na waitifaki wa kabila hiyo; japo hawana uitifaki na Mtume), wala kabila hiyo isipigane na Mrume wala wasipigane na waitifalti wa Mtume {japo kuwa si Waislamu).

Zilikuwa kabila nyingine waitifaki na Mtume wala hazikusilimu. Lakini hazimpigi Mtume w._ala Mrume hapigani nazo. Basi hizi Mrume ameambiwa asipigane nazo wala asipigane na waitifaki wao - japo waitifaki wao hao hawakufunga uitifaki na Mcume-Jakini hawampigi Mtume pia.

Na zilikuwa kabila nyingine hazikufanya uitifaki na Mtume-kwa kuogopa wasiwaudhi jamaa zao-wala hawampigi Mtume japo jamaa zao waraingia vitani kumpiga Mrume. Basi na hawa nao Mtume kaambiwa asipigane nao maadamu hawana ugomvi na Waislamu.

91. Hapa inaamrishwa wariwe adabu barabara hao wanafiki ill waonc ubaya wa ubaya wao huo, wapate kuuacha. Dawa ya moto ni moto.

92 . Dhambi za kuua ni shadidi kabisa-ni kukaa milele tu Moroni kama ilivyotajwa ·katika Aya ya 93. Basi hii Aya ya 92 inasema kuwa haimkiniki kwa Mwislamu kusikia haya na akathubutu kumwua Mwislamu mwenzake; (bali na hata asiyekuwa M wislamu kama alivyobainisha haya Mrume).

124

JUZUU S AN NISAA (4)

uungwana mtumwa (wake mmoja) aliye Muislamu; na .(pia) atoe diya (malipo) kuwapa warithi wake (huyo mtu aliyemwua). Isipokuwa waache wenyewe (hao warithi) kwa kufanya kuwa ni sadaka (yao). Na (aliyeuawa) akiwa ni jamaa wa maadui zenu, bali yeye ni Mwisilamu; basi ampe uungwana mtumwa aliye Mwislatnu (basi; hapana wa kupewa diya). Na kama (aliyeuawa) ni mmoja wa watu ambao kuna ahadi baina yenu na baina yao; basi warithi wake wapcwe malipo na pia apewe uungwana mtumwa aliye Mwislamu. Na asiyepata basi afunge miezi miwili inayofuatana. Ndiyo kitubio kitokacho kwa Mwenyezi' Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi

(na)Mwenye hikima. · 93· Na mwenye kumwua Mwislamu kwa

kukusudia, basi malipo yake ni J ahannam, humo atakaa milele; na Mwenyezi Mungu amemghadhibikia na amemlani na amemwandalia adhabu kubwa.

94. Enyi mlioamini! Mtakaposafrri katika njia ya Mwenyezi Mungu, basi msifanye jambo ila kwa ithibati, wala msimwambie yule anayekutoleeni salamu (ya kwamba): "Wewe s1 Mwislamu;

WALMUHSANAT

Lakini inamkini kwa kukosca kama vile (a) Anapiga kitu; silaha ilc ikampata mtu ikamwua (b) Au kampiga kwa kitu kisichoua. Lakini kikamwua. ·

Basi ikiwa hivi-na kamwua Mwislamu mwcnyc jamaa walio Waislamu-basi itampasa mambo mawili-moja bain., yakc na Mwcnyczi Mungu; na moja baina yakc na hao aliowaulia mtu wao. lililo baina yakc na Mwenyezi Mungu ni (a) Kumpa uungwana (uhuru) mmoja katika watumwa wake. Au atanunua mtumwa ampe uhuru.

Na lililo baina yake na wale waliouliwa mtu wao ni (a) Kuwapa ngamia 1 oo. Na katika nchi zisizotumia ngamia atoe thamani ya ngamia 100. Na kutoa huku kunaitwa Diya. Basi itampasa atoc diya hii.

lla wenycwe hao waliouliwa mtu wao wakisamehe. Na· ikiwa .Yule aliyemwua ni Mwislamu-lakini jamaa zake ni makafiri wanaopigana na Waislamu..-basi

itampasa ile haki ya Mungu tu; ya kumfanya mtumwa huru; haitampasa kutoa diya. Na akiwa huyo aliyemwua ni Mwislamu-na iamaa zake makafiri wasiopigana na Waislamu-basi )'atampasa

yote mawili (a) lie haki ya Mungu na (b) Haki ya wale mawarithi; ya kuwapa diya. Na ile haki ya Mungu ya kumpa mtuinwa uungwana ikimshinda-kwa kuwa hana (a) mtumwa wala hana (b)

pea za kununulia au (c) hapana watumwa-basi atafunga miezi miwili mfululizo; asiache hata siku moja. Akiacha hata siku moia zitaharibika zote zile za nyuma. Aianze kuifunga tena upya hiyo miczi miwili.

93· Hapa inatajwa ikabu kubwa kabisa inayomngoja mwenye kiiua, huko Akhcra. Nayo ni moto wa Jahannam wa daima milele. Ulamaa wcngine wanasema kuwa Mwcnye kuua kusudi haikub;diwi toba yake hata akitubia vipi.

Na kama ilivyokuwa haramu kumwua mwenzio ndio vile vile haramu kujiua. Roho yako si yako, ukasema 'NitaiiOa nitakapotaka.' Roho ni Yake Mwenyewe Mwenyezi Mungu; amckupa hadiya, na hakukupa idhini kuitumia unavyotaka kuitumia.

Na ulamaa wengine wanascma kuwa "Mtu aliyejiua hapana ruhusa kusalia wala kuombewa dua. Aoshwe, akafmiwe, atiwe kaburinif uvundo wake ufunikike. Na udhia wishe, basi.

Kwa namna yo yote ile ya kujiua si kuzuri, kukiwa kwa mara moja, kama kuiitia kitanzi, au kujiua kidogo kidoco. Huku kunasogclea katika kujiua kwa ghana, kama kulewa kwa maspiriti, kuvuta bangi na kama haya.

94· Hapa wanakatazwa Waislamu kumdhani wasiyemjua kuwa ni adui yao, wakamwua tu kama wao (hao maadu'i) wanavyowaua Waislamu. Wanaambiw11 wayakinishe kwanza barabara.

IlS

JUZUU S AN NISAA (4)

(mkamwua); mnataka mafao ya dunia hii, bali ya kuwa kwa Mwenyezi Mungu kuna ghanima nyingi kabisa. Bali hivi nsiivyo mlivyokuwa zamani, Mwenyezi Mungu akakufanyieni ihsani (mkajua Uislamu mkasilimu). Basi chungueni sawa sawa. Hakilfa Mwenyezi Mungu anazo khabari za yote mnayoyatenda.

95. Hawawi sawa Waislamu wanaokaa wasende vitani, isipokuwa wenye dharura. (Hawawi sawa) na wale wapiganao katika njia ya Mwenyezi Mungu kwa mali zao na kwa nafsi zao-. Mwenyezi Mungu amewafadhilish3 katika cheo wale wapiganao katika njia ya Mwenyezi Mungu l(.wa mali zao na kwa nafsi zao kuliko wakaao (wasende kupigana). lngawa Mwenyezi Mungti ame\vaahidi wote (kupata) wema, lakini Mwenyezi Mungu amewafadhilisha-wale wapiganao kuliko wakaao--kwa ujira mkuu

96. (Watapata) vyeo vikubwa vitokavyo kwake, n~ msamaha na rehema. Na. Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kurehemu.

97. Wale ambao Malaika wamewafisha, hali wamedhulumu nafsi zao, (kwa kutohajiri; Malaika) watawaambia: "Mlikuwa Ratika bali gani (katika jambo la dini yenu?)" Watasema: "Tulikuwa madhaifu katika ardhi hiyo (kwa hivyo hatukuweza kufanya ibada yetu." (Malaika) watasema: "Ardhi ya Mwenyezi Mungu haikuwa na wasaa na nyinyi, kuhamia humo?" Basi hao makazi yao ni Jahannam; nayo ni marejeo mabaya kabisa

98. Isipokuwa wale waliokuwa madhaifu kweli; katika wanaume na wanawake na watoto wasio na uweza wa hila yo yote wala hawawezi kuongoza njia (kwenda Madina)

99. Basi hao huenda Mwenyezi Mungu akawasamehe; Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kughufuia.

95 . Hapa wanahimizwa watu kupigania dini kwa mali yao na kwa naf<~l zao.

WALMUHSANAT

97.-99. Hapo zamani alipohama Mtume pamoja na Sahaba zake kw~nda Madina aJiJazimishwa kila aJiye MwisJamu asisalie katika mji wa ukafiri. Aache mali zake na watoto wake na kiJa chake ende huko Madina, kwani hapo katika mii wa kikafiri hataweza kufanya amali za dini yake. Uislamu wake utakuwa vipi-hauna amali! UisJamu ni Amali-si ltikadi tupu.

Basi ndio wanaJaumiwa hapa na kuambiwa kuwa watakufa vibaya, ila wal~ ambao walikuwa hawana njia yo yotc: ya kuweza kuhama kw~nda huko Madina.

Na hao pia wamo kha1arini kwani; Jabda wanaonekana kwa dhahiri tu kuwa hawaw~zi, na ikitazamwa kweli itaonekana kuwa wanawcza, Basi na wao wamo khatarini pia.

Wengine hao waliosalia Makka walitolcwa na makafiri kwenda ka1ika vita vya Badri kumpiga Mtume; wakenda, na nia yao wasimpige Mwislamu. Lakini haukukubaliwa k"wao huo kuwa udhuru.

126

' JUZUU S AN NISAA (4)

100. Na mwenye kuhama kwa ajili ya qini ya Mwenyezi Mungu, atapata mahali pengi ardhini humu pa kukimbilia, na (atapata) wasaa. Na anayetoka katika nyumba yake ill kuhama kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, kisha yakamflka mauti (njiani), basi umehakikika ujira wake juu ya Mwenyezi OMungu. Na Mwenyezi Mungu Ndiye Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kurehemu.

1 o 1 . Na mnaposafui katika ardhi, si vibaya kwenu kama mkifupisha Sala, iwapo mnaogopa ya kwamba wale waliokufuru watakutaabisheni. Bila shaka makafll'i ni maadui zenu dhahiri.

102. Na unapokuwa pamoja nao (Waislamu katika vita) ukawasalisha; basi kundi moja miongoni mwao wasimame pamoja nawe (wanasali), na washik~ silaha zao. Na watakapomaliza sijida zao

WAlMUHSANAT

1 oo. Wanahimizwa kuhama na kutiwa moyo kuwa huko wanakokwc:nda watafanikiwa .• Na wanabimizwa bata vizc:e na wagonjwa wabame. Na bata ikitokea bahati mbaya wakafa njiani-itahis'abika

kuwa walihama, wapatc tbawabu za kama bao wafiohama wakaia wakakaa Madina na Mtumc:, wakapigania dini. Na vile vile mtu akitoka kwenda kuhiji akafa wala bajamaliza amali za Hiia-au kabla bajaifanya bata moja­

aLabisabika mbcle ya Mwenyezi Mungu kuwa kabiji. Lakini na bapa atahijiwa. ro 1. llivyokuwa Waislamu wamc:himizwa kubajiri basi wamc:punguziwa baadhi ya sbida za niiani. Kama

kusali. Wanapata ruhusa (a) Kuzipunguza sala za rakaa nne nne wazisali kwa rakaa mbili mbili. Na wanapata ~ ruhusa (b) Kusali mara 3 badala ya mara So Sala ya Adhuhuri na Laasiri anawc:za mtu kuzisali wakati mmoja. Ima

wakati wa adhuburi au wakati wa laasiri. Wakati buo buo atasali rakaa mbili za Adhuhuri, kisba asali rakaa mbili za Laasiri.

Na Sala ya Ma&}laribi na ya Isba anaweza kuzisali wakati mmoiao Wakati buo buo atasali rakaa 3 za Magbaribi, k~ba asali rakaa mbili za Isba.

Sala ya Asubuhi tu ndiyo inayosabwa kwa wakati wake ulc ule wa daima. Hukumu ohii iliuolewa bapo Waislamu walipokuwa na kbofu katika safari zao, kuogopa makafirio Na baada ya

kuondoka khofu bizo imeachiwa vivyo hivyoo Mpaka lc:o--zama za aeroplane na vipando vyengine vya raha­hukumu inakwc:nda ilc: ilc: ya kupata rubusa (a) Kupunguza na (b) kuchanganya.

Na tazama makadiyani walivyopotoa maelc:zo ya Aya hii waliyoihisabu kuwa ni ya lOl. Walisc:ma manc:no haya: "Maneno haya hayasc:mi kuwa rakaa za Sala zipunguzwc: 0 ••• ". Na bali ya kuwa ndivyo inavyofasiriwa na wanavyuoni wotc iJa hao wawili watatu, na hao hapana yakini kuwa wamc:sc:ma hivyo, iJa wananasibishiwa kuwa wamcscma hivi. Utaona katika sahifa 119 ya juzuu ya s imeandikwa hivi: "An Taqsuruu BaaJhas Satati Bitansyfiha" (Kupunguzwa baad~i .va Sa/a kusaliwa ku!a nusu ya rakaa zakt yaani AJhuhuri, l.aasiri na /sha). Wao wanadai sivyo bivi. Na ndivyo ulimwc:ngu mzima wa Kiislamu unavyosc:ma. Na biyo kauli waliyoitia nauvu wao uaaona vitabu vyote vya tafsiri- kama Ruuhul Maany katika sahifa ri1 ya hii Juuzu _ya s­vinasema: "Waqaala Baadhuhum /nnal Qcsra Fit Ayati Mahnu11dun Ataa Qasril Ahwaat Mmal lymai Watakhfi/it Tasbyhi . . o Wanusiba ita Taau•uus waJh Dlrahhalt." (Wc:ngine wanasc:ma muradi wake kupunguza hali zake . . . na kwa kupunguza Subhana 0 • • Na Kauli hii inanasibishiwa Taawus na Adh Dhdhhak). Na wao wamc:onyesha kuwa hii ndio kauli barabarao

Na Mwc:nyc:zi Mungu alizidi kuwahizi waliposema: "Tafsiri hii imc:tolc:wa na Ibn Kaahir na kukubaliwa na Muiaahid na Adh D!;ehhak". Wanataka kusc:ma uwongo nao wajinga wa tarikhi. Wamc:andika kuwa Kauli hii kaitaja Ibni Kathir wakaikublai hao kina Mujahidi na Adh Dhahhak. 'Masikini! Wamc:hizika! Hawajui kuwa lbni Kathir alikuwa katika kame ya nanc: ~700), nakina Mujahid kwc:nyc: karnc: ya kwanza (Ioo)! Vipi watu waliokuwa katika karnc: ya kwanza (Ioo) watayaona manc:no ya mtu aliyekuwa katika kame: ya nanc: (?oo)? Hizaya daima illwafika kwa ajili ya uwongo wao. Akalikwakwara Kwakwa.

102. Sala ya Jamaa inahimizwa sana sana. Basi hata vitani buko ukifika wakaai wa sala wanaambiwa was;W jamu. Lakini hawasali wote wakati mmoja. Hupwiwa sc:hc:mu mbili. Sc:bemu moja hubaki imekabili maadui, na sehcmu moja ikawa inasali na lmamu. Na sala zote huko husaliwa rakaa mbili mbili iJa Magharibi.

127

JUZUU S AN NISAA (4)

basi nawende nyuma yenu (kwa kulinda); na lije kundi jingine ambalo halijasali, lisali pamoja riawe, nao washike hadhari yao na silaha zao (humo ndani ya Sala; maana) wale waliokufuru wanataka mghafilike na silaha zenu na vitu vyenu iii wakuvamieni mvamio wa mara moja. Wala si vibaya kwenu ikiwa mnaona udhia kwa sababu ya mvua au mnao ugonjwa, . kuondoa silaha ienu. Na mshike hadhari yenu. Hakika . Mwenyezi Mungu amewaandalia makafiri adhabu itakayowadhalilisha.

1 o 3. M wishapo kusali kuweni mnamkumbuka Mwenyezi Mungu (vile vile}-msimamapo na mkaapo na (mlalapo) ubavu. Na mtakapopata amani (mkawa katika salama, hapana vita), basi simamisheni Sala (kama dasturi). Kwa hakika Sala kwa W aislamu ni faradhi iliyowekewa nyakati makhsusi.

104. Wala msifanye uvivu kuwafuatia watu ( walio maadui). Kama mmepata maumivu basi wao pia wanapata maumivu kama mnavyoumia. Na nyinyi mnatumai kwa Mwenyezi Mungu wasiyoyatumai. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mjuzi na M wenye hikima.

1 o 5. Hakika tumekuteremshia Kitabu (hiki), bali ya kuwa kimeshikamana na haki ili upate kuhukumu baina ya watu kama alivyokufahamisha Mwenyezi

WAlMUHSANAT

Basi lmamu atasali rakaa moja na hawa anaosali nao. Watakaponyanyuka kusali rakaa ya pili, kila mtu atamaliza rakaa yake ile peke yake upesi upesi, akae asome Tahiyyatu atoe salamu . lmamu atasimama tu anaendelea tu kusoma-ikisha Sura hii anaanza hii. Mpaka wale waliotoa salamu wendc.. kule waliko wenzao wakabiliane wao na maadui sasa, na wale waliokuwa wamekabiliana na maadui wajc wamfuate lmamu.

lmamu akihisi kishafuatwa na wOle, atarukuu pamoja nao. Awe kawasalisha rakaa moja ile. lkimalizika, yeyc atakaa kusoma Tahiyyatu--awangojee hapo katika kitako cha Tahiyyatu, asitoe salamu. Na wale watanyanyuka kuimaliza ile rakaa yao moja iliyosalia. Wakifika katika Tahiyyatu watakaa kuisoma. lmamu akihisi kuwa wote wamekwishakaa wanamaliza Tahiyyatu atatoa salamu; na wao watoc.

Hii ni namna moja katika namna inavyosaliwa Sala ya Jamaa katika vita. Na wanaposali husali na Silaha zao kamili-wameiitatiza mishare, wamejifunga majambia, wamevaa kofia za

chuma, wamekamata mikuki au panga. (Na zama za sasa bunduki, bastola na vyenginevyo. Kila zama na Silaha zake na mambo yake). lla pakiwa na udhuru-kama hizo zilizotaiwa mwisho wa Aya hii-basi atapata ruhusa kupunauza hizo Silaha zake au kuziacha kabisa.

103. lnatakikana kwa Mwislamu kila wakati kuwa anamkumbuka Mwenyezi Mungu-si ndani ya Sala tu. Katika kila bali zake awe anamkumbuka Mwenyezi Mungu, na maamrisho yakc ili ayafanye na makatazo yake ili ajiepushe nayo.

I 04. Wanahimizwa Waislamu kuipigania dini hata wakipata taabu namna gani na maumivu yaliyoie, kwani wanalolipigania ni kubwa kabisa mno . Hapana kikubwa kinachopatikana bure. Mtaka cha mvunguni huinama, seuze vya mbinguni.

1 o6.-1 07. Anatakiwa Mtume - na sisi sate ndiyo kabisa - asiwe mwenyc kupendelea. Aone watu wotc

128

JUZUU S AN NISAA (4)

Mungu; wala usiwe mwenye kuwatetea wale wafanyao khiyana

106. Na mwombe Mwenyezi Mungu maghufira. Bila shaka Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kurehemu.

107. Wala usiwatetee wale wanaokhini nafsi zao. Hakika Mwenyezi Mungu hampendi aliye khaini mwenye dhambi

1 o 8. W anastahi watu lakini hawamstahi Mwenyezi Mungu; naye alikuwa yu pamoja nao; (nao hawima habari) pale waliposhauriana kwa zile kauli asizozipenda. Na Mwenyezi Mungu anayajua vyema yote wanayoyatenda.

109. Angalieni. Nyinyi mmewatetea katika maisha ya dunia (hapa ulimwenguni) Lakini ni nani atakayemjadili Mwenyezi Mungu siku ya Kiyama kwa ajili yao, au ni nani atakayekuwa mlinzi juu yao?

11 o. Na mwenye kutenda uovu (wa kuwachukiza wenziwe) au akajidhulumu nafsi yake (kwa kufanya kosa Ia kumdhuru mwenyewe tu); kisha akaomba maghufli'a kwa Mwenyezi Mungu, atamkuta Mwenyezi Mungu ni Mwenye kughufiria (na) Mwenye kurehemu. (Lakini naawatakc msamaha hao aliowakosa pia mpaka waridhike).

111. Na mwenye kufanya dhambi, basi T meifanyia nafsi yake (uovu). Na Mwenyezi Mungu ndiye Ajuaye (na) ndiye Mwenye hikima.

WALMUHSANAT

kwakc sawa sawa. Asi,·utike kwa uhodari wa kuscma wa baadhi ya wanaoshitakiana. Na awe na hadhari, na kutaka msamaha kila wakati isiwe kapata kuvutika bila ya mwenycwe kutambua.

1 o8. Watu utaona wanaiificha wanapofanya mambo yao ili watu wasiwaone. Lakini hawabali kuonekana na Mwcnyeli Mungu: naye ndiye atakayewalipa. Na kila wakati na katika kila bali Mwenyezi Mungu yu pamoja nao - anajua yote yanayopita katika nyoyo zao, na anayasikia rote wanayoyasema na. anayaona yote wanayoyatenda . Wa kuogopwa kweli kweli ni Mungu kwani ndiye anayeweza kufanya atakalo.

1 09. Hapa wanakatazwa watu kuwapigania watu wabaya. Waache ~alipwe kwa mabaya yao ili wapewe nyoyo kidogo wale wanaowafanyia mabaya hayo. Basi nawatahadhari mawakili kuwapigania watu · ambao wana yakini kuwa wao ndio madhalimu wenye kuonea walu - sio wcnye kuonewa. Nawatahadhari mawakili kuwasimamia watu hao; hata wakiwapa nini. Nawawasimamie wale wenye kuonewa; hapo walapata huo ujira walioahidiwa na watapata thawabu za Mwenyezi Mungu kwa kupigania haki. Mawakili wakishika njia hii watafuzu duniani na Akhcra.

1 1 o. Anawahimiza Mwenyezi Mungu maasi wareiee upesi kwake kwa (a) Kuacha hayo wanayofanya na (b) Kuazimia barabara kutofanya aena kanu na (c) Kujuta kwa yaliyopita na (d) Kuwarejcshea wenycwe haki zao hao aliowadhulumu au (e) Kuwataka radhi na msamaha. Wakifanya hivi papo hapo Mwcnyczi Mungu atawapokea Inshaallah.

1 11. Wanabainishiwa kuwa mwovu anajidhulumu mwcnyewe; asione tamu kuwa anadhulumu wenziwe; anaiidhulumu mwcnycwe hivyo kwani Mwenyezi Mungu atamlipa lU, ima Akhcra au papa hapa duniani.' 'Mla cha mwcnziwe na chake huliwa' na 'Mosha hoshwa' (Mwosha huoshwa).

129

JUZUU S AN NISAA (4)

1 12. Na mwenye kufanya khatia (ndogo) au dhambi (kub:wa), kisha akamsingizia (nayo) asiye na kosa, basi kwa yakihi amebeba dhulma . kubwa na dham bi zilizo dhahiri.

113. Na kama si kuwa ziko juu yako fadhila za Mwenyezi Mungu na rehema Zake, hila shaka kundi moja katika hao wangalikusudia kukupoteza. Na hao wasingezipoteza ila nafsi zao. Wala hawataweza kukudhuru cho chote. Na Mwenyezi Mungu amekuteremshia Kitabu na hikima na amekufundisha uliyokuwa huyajui. Na fadhila za Mwenyezi Mungu zilizo juu yako ni kubwa (kabisa).

114. Hakuna kheri katika mengi wanayoshauriana kwa siri. lsipokuwa (mashauri ya) wale wanaoamrisha kutoa sadaka au kufanya merna au kupatanisha baina ya watu. Na atakayefanya hivi kwa kutaka radhi ya Mwenyezi Mungu, basi tutampa ujira mkubwa.

11 S. Na atakayemwasi Mtume baada ya kumdhihirikia uwongofu na akafuata njia isiyokuwa ya W aislamu, tutamgeuza alikogeukia mwenyewe na tutamwingiza katika Jahannam; napo ni pahali pabaya kabisa .pa mtu kurudia.

116. Hakika Mwenyezi Mungu hasamehi (dhambi ya) kushirikishwa na kitu, (kukifanya ni mungu nacho ukakiabudu, ukakiomba ... ). Lakini yeye husainehe yasiyokuwa hayo kwa amtakaye. Na anayemshirikisha Mwenyczi Mungu, basi bila shaka ycye amekwishapotea upotofu (upotevu) ulio mbali (na haki).

WALMUHSANAT

112. Na kuna wa1u wanaofanya mambo wac.>; kisha akamsingizia mwenziwe, jukumu· la hayo likamwangukie yeye. Atakiona siku ya Kiama, au papa hapa duniani, kilichomtoa Kanga Manyoya.

11 3· Hapa Mwcnyczi Mungu anataja kuwa hakuna fadhila mtu aliyopewa na Mwenyezi Mungu- iliyo kubwa z.aidi-baada ya kuumbwa na kupcwa Uislamu-kuliko fadhila ya kupcwa llimu. Kila merna ya duniani na Akhera yanapatikana kwa llimu. Qurani yote na Hadithi za Mtumc zinahim1za kweli kweli kutafuta llimu-ya kutengcncza Akhcra na ya kutcngcncza dunia pia. Na hii Qurani na hizi Hadithi za Mtume zinahimiza hata kutoka NJE MBALJ kabisa kutafuta hiyo llimu. Baadhi ya hizi Aya za Qurani zilizohimiza haya n1 Aya ya 121 ya Suratul Tawba.

114. Hapa yanatajwa mazungumzo yaliyo mazuri watu kuzungumza. Ni mazungumzo ya kuamri!>ha merna na kukataza mabaya na kupatanisha; na yaliyo kama haya.

11 S. Aya bii ni kali kabisa vile vile kwa wale wanaoshikamana na mabidaa, wakaacha aliyokuja nayo Mtumc, hata wakiambiwa kuwa hayo yanakhalifu aliyokuja nayo Mtume; kama haya Matahalili, Maarubaini, Mahauli na Kuyajangca makaburi misikiti (likawa kaburi ndani ya msikiti) na kuyajcngea maziara na Kuyawashia taa na Kuyaomba, na kama haya. Na haya yote yamekatazwa kwa Hadithi za Mtume :.ahihi. Basi khiari zao. NawaziJigatie vizuri Aya hii na nyinginczo chungu nzima, kama Aya ya 46 ya Sururun Xuaa na Aya ya 36 ya Suratul Ahzab.

130

JU~UU S AN NISAA (4)

I 1 7. Hawaabudu baada ya kumwacha Mwenyezi Mungu ila waungu wanawake; wala hawamwabudu (hakika) ila Shetani asi (kwani ndiye anayewazainis_hia hayo).

I 18. (Ambaye) Mwenyezi Mungu amemlani. Naye (Shetani) alisema: (kumwambia Mwenyezi Mungu). "Kwa yakini nitashika sehemu maalumu katika waja wako ,

1 19. "Na nitawapoteza na nitawatumainisha na nitawaamrisha (ninavyotaka mimi). Basi watakata masikio .ya wanyama (wawafanye kuwa hao ni wanyama watukufu); na nitawaamuru (pia. Nao) watabadili dini (yako) Mwenyezi Mungu." (Basi Mwenyezi Mungu anasema). "Na mwenye kumfanya shetani kuwa ni mlinzi (mungu wake) badala ya Mwenyezi Mungu, basi yeye amekhasiri khasara iliyo dhahiri. "

1 20. (Shetani) anawaahidi (mambo ambayo hayatakuwa), na anawatumainisha (ambayo hawatayapata); kwani Shetani hawaahidi ila udanganyifu tu.

WALMUHSANAT

'j~'''"' 9 . .J,)-4

117. Waarabu walikuwa wakiwaabudu Malaika na wak1wanakidi kuwa ni watoto wanawake wa Mwenyezi Mungu. Na wao walikuwa wakiwaua watoto wao wamawake na wakiwadharau wanawake. Na huku wanaabudu miungu waliyoifanya kwa sura za wanawake. Ajabu kabisa. Wanawake wanawadharau na huku wanawafanya waungu wao kw1 sura za kike.

Na hao waliopotea wakaabudu Malaika :ru jua au moto au vyenginevyo, katika hakika khasa hawamwabudu ila Shetani (lblisi). Kwani Stletani ndiye anayewazainishia hay•'

1 18: lblisi alipokuwa anatolewa mbinguni kashalaanik;a, alimwambia Mwenyezi Mungu kuwa atawazainishia maasi \'iumbe Vyake. Mwenye1.i Mungu alimwambia kuwa hana nguvu ya kuweza kuwapoteza _kwa nguvu; wakitaka wasitake. Watakaomfuata watakuwa wanamfuata kwa kutaka wenyewc, sio kwa kuwa wameshindwa nguvu kabisa kabisa, hawawczi kushindai'la naye. Siyo Watamfuata kwa kuwa anaweza kuwalazimisha wakitaka wasitakc.

119. Yamrtaiwa baadhi ya mambo atakayowapotezea. l<uwatumainisha kuwa (a) Mwenyczi Mungu Ghafur ·Rahim; kuwa (b) Ukifanya kitu fulani au Ukisoma dua fulani u1afutiwa dhambi zako zotc, isisalic hata moja hata haki za watu; zotc zitaruka pia; kuwa (c) Mabwana fulani na mabwana fulani watawaombea kila wanaojinasibisha nao katika mambo yao waliyowawekea; kuwa \d) Mabwana na mabibi fulani watawatia Peponi kila wanaotokana na kizazi chao; kuwa (e) Mtume hataridhia kumwona hata mtu mmoja katika umma wake yuko Motoni; kuwa (f) Maadamu mtu ni Mwislamu basi hatagusa Moto wa Jahannamu. Na huambia Manasara kuwa maadamu mtu Mnasara basi ha1agusa Motu. Na huwaendea Mayahudi akawaambia vivi hivi. Na Mabaniani, Maparisi, Mabuda na wenginco wcnye dini fulani au madhehebu mbali mbali akawadanganya kuwa maadamu wao wanafuata tarika fulani au madhehebu fulani au dini fulani basi Pepu inawangoja tu; bila msukosuko wo wote.

Na haya na kama hayo, ndiyo aliyoyavunja Mwenyezi Mungu katika Aya ya 123 ya Suralln !I.'ISau na mahala pengine.

Thamani ya Pcpo ukinaka Thubutisha taa yake Rabuka Janati Naimu fit Janani Jumla ya watu hawaioni Sharia huscma: aso thawabu Shufaa ya Tumwal mahbubu

Dhiki moyo wako kutozunguka Mola akuja1.i maJaza mema jina na lnsi waitamani lla kwa ambao watcnda zema Shida na mashaka yatamsibu Huwa mbali naye na kumwegema.

131

JUZUU 5 AN NISAA (4)

I 21. Hao mahali pao ni Jahannamu wala hawatapata makimbilio ya kutoka humo.

I 22. Na wale watioamini na kufanya vitendo vizuri, tutawaingiza }tatika Mabustani yapitayo mito mbele yake, watakaa humo milele. Ndiyo ahadi ya Mwenyezi Mungu iliyo kweli. Na nani mkweli zaidi kwa usemi kuliko Mwenyezi Mungu?

I 23. (Kuingia Peponi) si kwa matamanio yenu, wala si kwa matamanio ya watu waliopewa Kitabu (kabla yenu. Lakini mambo ni haya): Atakayefanya ubaya atalipwa kwa (ubaya) huo wala hatapata mlinzi wala msaidizi kwa ajili yake mbele ya Mwenyezi Mungu. .

124. Na watakaofanya vitendo vizuri, wakiwa wanaume au wanawake, bali wao ni wenye kuamini, basi hao wataingia Peponi wala hawatadhulumiwa hata tundu ya kokwa ya tende.

1 i. s. N a nani aliye bora kwa dini kuliko yule ambaye ameuelekez33 uso wake kwa M wenyezi Mungu, naye ni mwema, na anafuata mila ya lbrahimu (kuwa Mwislamu kweli kweli) . Na Mwenyezi Muggu amemfanya Ibrahimu kuwa ni kipenzi chake.

126. Na ni vya Mwenyezi Mungu tu vyote vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini. Na Mwenyezi Mungu ndiye aliyevizunguka vitu vyote (kwa kuvijua nje yake na ndani yake).

127. Na wanakuuliza yanayowakhusu wanawake. Serna: "Mwenyezi Mungu anakwambieni khabari za hayo (sasa hivi). Na (pia yanakutajieni khabari hii) yale msomewayo katika Kitabu hiki juu ya wanawake mayatima ambao hamuwapi (mahari yao) waliyoandikiwa, na mnapenda kuwaoa . Na (yanakutajieni khabari hizi yale msomewayo katika Aya ya 2 na I 2 ya Sura hii) juu ya walio dhaifu katika watoto. Na (anakwambieni) ya kwamba jitahidini kuwasimamia mayatima kwa insafu. Na wema wo wote mnaofanya Mwenyezi Mungu anajua. (Na uhaya vile vile).

WALMUHSANAT

--

• 1 Z] . Wanakatazwa hapa watu kujidanganya roho zao, wakajinasibishia kupata wasiyoyastahtki ila kwa maramanio tu ya nafsi zao. "Wakiona vinae)ea (vinao)ea) vimeundwa," sio vimepatikana kwa matamanio . Kama kuscma "Mimi wa Madhehebu fulani au wa Tarika fulani au wa Ukoo fulani basi nitapata ... " Mizani ya kupata na kukosa imo katika Aya hii ya 124 na us na chungu ny1nginezo zilizo kama hizi zdizojaa ndani ya Qurani yote nzima. Basi kipimo ni hicho cha kujulia kupata na kukosa.

U7. Aya hii inahadidisha adhabu ya wenye kuwadhulumu wanawake, kama ilivyoshadidishwa adhabu ya wcnyc kuwadhulumu mayatima. Hao wotc takriban ni wanyonge, basi isiwe "Mn~onge Msonge".

132

JUZUU 5 AN NISAA (4)

128. Na kama mke akiona kwa mume wake kugombanagombana na kutenganatengana, basi si vibaya kwao wakitengeneza baina yao sulhu (njema wakastahmiliana vivyo hivyo hila kuachana); maana sulhu ni kitu bora. Na nafsi zimewekewa ubakhili mbele (ya macho yake). Na kama mkifanya merna (kuwafanyia wake zenu hao msiowapenda) na mkimcha Mwenyezi Mungu (msiwapunguzie haki zao, basi hila shaka Mwenyezi Mungu atakulipeni), kwani Mwenyezi Mungu anazo khabari za yote mnayoyatenda ..

1 29. Nanyi hamwezi kufanya uadilifu (kweli­kweli) baina ya wake, ijapokuwa mtataka kufanya hivyo. Kwa hivyo msielekee (upande mmpja) kabisa kabisa; msije kumwacha (huyo mwengine msiyempenda) kama aliyeangikwa (aliyetundikwa anasukumika huku na huku; hajijui kuwa ana mume au mjane) Na mkisuluhiana (sasa) na mkamcha Mungu, basi Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa msamaha (na) Mwingi wa rehema.

1 30. Na kama wakitengana (kwa kuachana) Mwenyezi Mungu atamkwasisha kila mmoja katika wao kwa wasaa wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa (mkubwa kabisa) (na) Mwenye hikima.

I 31. N a ni' vya M wenyezi M ungu tu vyote vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini. Na kwa yakini tuliwausia waliopewa Kitabu kabla yenu, na nyinyi (pia), kwamba mumche Mwenyezi Mungu. Na kama mkikataa basi (hamumdhuru Mwenyezi Mungu kitu, kwani) ni vya Mwenyezi Mungu tu

WALMUHSANAT

128. Mambo ya kuachana yanavunjwa nguvu sana katika Sharia ya Kiislarriu. Na watu wenginc mara huchokana wakaona taabu kutekclezcana haki zao za ndoa. lma Mke hamkamilishii Mume haki zakc au Mumc hamkamilishii Mkc haki zakc.

Basi ina taka yule ~siyckamilishiwa asipandc mori akaacha (akiwa mwanamume~ au aka taka kuachwa akiwa · mwanamkc. Kwani Subira yavuta Khcri.

Lakini nyoyo zina ubakhili. Kila mmoja hakubali kusamchc haki yake. Basi kila mtu apigane na moyo wake, akubali kusamehc baadhi ya haki zake-bali hata zote pia. Na Mwenyezi Mungu atampa thawabu kubwa.

Na wanawake ndiyo sana wasiokubali kuona wanaonewa. Basi ndiyo maana hapa akatajwa mke kuambiwa astahmili. Basi na mume ndiyo vivyo hivyo.

129. Tumcbainisha katika maelezo ya Aya ya 3 ya hii Surarin Nisaa kuwa ukewenza umevunjwa nguvu sana na Uislamu; ila ikiwa hapana budi ndio ufanywe. Kwani moyo ni mo,-o. Takriba muhali moyo kupenda vitu viwili sawa sawa na kuvifanyia insafu sawa sawa. Lazima utamili kumoja.

Basi hapa wanaambiwa hao waume wenye kuweka ukewenza kuwa wakimili upandc mmoja wajitahidi mwisho wa jitihada yao wasimili kabisa kabisa, hata akawa huyo mwengine hajijui kuwa mkc au si mkc. Anajiona katundikika kwa uzi; anasukumika huku na huku; hajijui kasimama wapi.

130. Na ikiwa hapana budi kabisa nawaachane kama Aya ya 130 inavyosema. Ukimwacha wewe hatakuwa kaachwa na Mungu; atampata aliye bora kuliko wewe.

J 31. Hapana jambo bora kabisa kuliko kumcha Mungu: (a) Kujiepusha na kila Alichokukataza, kwani ni

133

JUZUU S AN NISAA (4)

vyote vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini, na Mwenyezi Mungu ni Mkwasi na Mwenye kusifiwa.

131. Na vyote vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini ni vya Mwenyezi Mungu; na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa mlinzi (wa waja Wake. hawamhitajii mwingine).

133. Akitaka atakuondoeni. enyi watu, na awalete wengine; na Mwenyezi Mungu ni Muweza wa hayo.

1 34. Anayetaka malipo ya dunia ( naayatake kwa . Mwenyezi Mungu pia) kwani yako kwa Mwenyezi

Mungu malipo ya dunia na ya Akhera. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia (na) Mwenye kuona.

135. Enyi mliomini! Kuweni wenye kusimamisha uadilifu, mtowao ushahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu; ijapokuwa ni juu ya nafsi zenu, au (juu ya) wazazi (wenu) na jamaa (7.enu). Akiwa tajiri au masikini (wewe usitazame). Mwenyezi Mungu anawastahikia zaidi (kuliko wewe). Basi msifuate matamanio mkaacha kufanya uadilifu. Na kama mkipotoa (shahada) au mkajitenga (na kushuhudia, Mwenyezi Mungu atakuteseni); na Mwenyezi Mungu anazo khabari za yote m nayoyatenda.

136. Enyi mlioamini! Mwaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake na Kitabu alichokiteremsha juu ya Mtume wake, na Vitabu ali~yoviteremsha zamani. Na mwenye kumkanusha Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake na siku ya mwisho, basi bila shaka amepotea upotofu (upotevu) ulio mbali (na haki).

WALMUHS.o\NAT

salama yako mwenyewe duniani na Akhera; na (b) Kufanya kila unachokiwcza karika Alichokuamrisha, kwani ni nafuu yako duniani na Akhera. Uma zore zimeusiwa haya.

132. Mwenyezi Mungu anabainisha kila wakati kuwa hakuna mwenye amri mbele ya Mwenye1.i Mungu, Ia mbinguni wala ardhini. Na anatosha kuwalinda mwenyewe waja Wake wasifikwe na lo lnte. Lakini viumbe haw:asikii tu. Watatafuta Pepo wa Fulani awalinde au Mzimu au Kaburi au Pango na kama haya. Uko wapi Uislamu wao ·watu hao?

134· Tunahimizwa tutafute yote mawili-dunia 'na Akhe"ra. 1 H. Hapana cha kuleta raha kubwa na masikilizano duniani kama Jnsafu-Kutimiziana haki. Basi hapa

inabimizwa kweli kweli kusimamia haki vilivyo kweli kweli, japokuwa kusimamia huko kutawadhuru wako na kutakkudhuru wewe mwenyewe nafsi yako. lsaidie haki itande, itapakae kila upande.

136. Na hii ni moja katika Aya nyir.gi zinazowakataza Waislamu kuwaitakidi wanaojidaia Urume baada ya Nabii Muhammad. Hao ni makafiri, na wanaowaitakidi ni makafiri vile vile. Waislamu wote juu yao kufuala Qurani na Hadithi za Mtume. Na zote zimekwisha kusema kuwa ltikadi h1yo m ukafiri. Na kafiri ni wa Motoni milele. Juu yetu sisi katika kuwaiibu wapotezi hao wakituonyesha ya uwongo. wao-ruwaonyeshe Aya hizi za Qurani. Hatutaacha maneno ya Qurani kwa aiili ya mancno ya fulani kama kusema kwao:- "Sheikh Fulani kasema ... " Ni uwongo tu huo. Hakuwashindi watu hao kuwasingizia mashekhe, kuwa " Sheikh kasema hivi"; na bali ya kuwa ni uwongo kabisa; ni uzushi tu wanaowazulia. Qurani yote inasema ''Min Qablika "-waliopewa

134

JUZUU S AN NISAA (4)

131. Hakika wale walioamini, kisha wakakufuru, kisha wakaamini, kisha wakakufuru, tena wakazidi ukafiri, Mwenyezi Mungu hatawasamehe wala hatawaongoza njia (ya kheri).

138. Waambie wanafJki kwamba watapata adhabu inayoumiza

139· (Wanaflki) ambao huwafanya makafrri kuwa marafiki badala ya w·aislamu. Je! Wanataka wapate utukufu kwao? Basi utukufu wote ni wa Mwc:nyezi Mungu. (Hauko katika mkono wa mtu).

140. Naye amekwisha kuteremshieni katika Kitabu (hiki) ya kwamba mnaposikia Aya za Mwenyezi Mungu zinakataliwa na kufanyiwa stihzai, basi msikae pamoja nao, hata waingie katika mazungumzo mengine. CMtakapokaa) mtakuwa kama wao. Hakika Mwenyezi .Mungu atawakusanya wanafiki na makafrri wote pamoja katika Jahannamu

WALMUHSANAT

Utumc kabla y:1 Nabii Muhammad ndio Mitumc wa haki, sio wanac,jisingizia baada ya kuja Nabii Muhammad. 1 37. Wamempinga Mtumc dhahir shahir katika Aya waliyoifanya ya 138 wakascma: "Wako watu

wanaosema ya kuwa, kama mtu anaacha dini baada ya kuamini, basi kufuru yakc hii inamstah11ishia kupata adhabu ya kuuawa. Lakini Aya hii inavunja kabisa wazo Ia namna hii ... "

Wanajua kwa yakini kuwa kauli hiyo hawakuitoa watu, bali kaitoa Mwcnyewc Mtumc. Na Mainiamu wa Hadithi wotc wamcitaja Hadithi hiyo inayosema: "Man BadJa/a Dynahuu Faqtuluuhu" (Anaycbadilisha dini yakc ya Uislamu muuweni).

( J) Imam AI Bukhary amcitaja mahala 4: ( 1) katika Kitabu Maghaz.v, katika mlango wa 6o; (l) katika Kitabud Diyar, katika mlango wa 6; (3) katikn Kicabus Stitaabaril Murtaddyn, katika mlango wa l; (4) kati~a Kitabul Ahkam, katika mlango wa 11.

(l) Imam Muslim amcitaja mahala J: (I) katika Kitahul Qasaama katika Hadithi ya 25 na 26; (2) katika Kuahul Amaara, katika Hadithi ya 1 s.

( 3) Imam Abu Daud ameitaja mahala k.atika Kitabul Huduud, katika Hadithi ya 1. (4) Imam Auirmidhy nmeitaja mahala 3: ( 1) katika Kirahul Diyrrat katika mlango wa 6; (2) katika Kitahul

Huduud, katika nilango wa 25; (3) katika Kitahul Fican, katika mlango wa 1. (S) Imam An Nasaiy amcitaia mahala s: (I) katika ~ttabu TahrymiJ Dam. katika mlango was, 11 na 14; (2)

katika Kitabul Qasaama, katika mlango wa 6 na 1 s. (6) Imam Ibn Majah ameitaja mahala 2 katika Kitahul HuJuud katika mlango wa 1 na 2. (1) kimam Malik amcitaja mahala I katika K1tahu/ AqJht.va, katika Hadithi ya 1. (8) Imam Ahmad bin Hamhal ameitaia mahala 11: (I) katiko juzuu ya kwanza kalika sahifa: 217, 282 (mara

2), Jll, 382, 409, 430,444, na 464; (2) katika juzuu ya tano, katika sahifa 231; (3) katika juzuu ya sita, katika sahifa s8.

(9) Imam Abu Daudit Tayalisy ameitaia mahala 1 katika Hadithi ya 2689. N a wenginco. Basi hawazijui Hadithi hizi, nao wamcvitaia haadhi ya vitabu hivi mwanzo wa tafsiri yao?

Wanazijua Hadithi hizi lakini basi tu wanataka kuwapoteza Waislamu wa:.iyafuatc mancno ya Mwcnyezi Mungu wala ya Mtumc Wake.

Bali hata huyo mwenye Ruuhul A-Jaany - wanayemtaja mara kwa mara-kasema katika sahifa 154 ya Juzuu ya s ya hii tafsiri yakc kuwa huyo Murtaddi mara tatu za mwanzo huendewa akasc:mezwa, akatolewa mushkil wake. Ama mara ya 4 huuawa tu. Wameyaona humo haya, lakini bc~si; hamu ya kuwapotcza Waislamu imcwashika.

1 39· Unakaririwa ubaya wa wanafiki. 1 40. Kama ili\•yokatazwa kusema na kufanya, mabaya ndivyo ilivyoka1azwa kutazama hayo mabaya

yanapofanywa na kuyasikiza yanaponcnwa .

135

JUZUU S AN NISAA (4)

I 4 I . (Wanafiki) ambao wanakungojeni (mpate msiba): basi mkipata kushinda kunakotoka kwa Mwenyezi Mungu, husema (kukwambieni): "Je! Hatukuwa pamoja nanyi?" (Na kama makafrri wamepata sehemu (ya kushinda) husema: (kuwaambia makafiri), "Je, hatukukurubia kukushindeni (tulipokuwa katika jeshi Ia Waislamu), tukakuzuilieni na (kudhuriwa na hao) Waislamu?" Basi Mwenyezi Mungu atahukumu baina yenu siku ya Kiyama. Na Mwenyezi Mungu hatawajaalia makafiri njia ya kuwashinda W aislamu (kahisa kabisa mpaka waiondeshe dini yao. Hawatajaaliwa kupata hayo).

I 42. Wanafiki hutaka kumdanganya (hata) Mwenyezi Mungu. Naye atawaadhibu kwa sababu ya kudanganya . kwao ~huko). Na wanaposimama kusali husimama kwa uvivu, wanaonyesha watu (kuwa wanasali) wala hawamtaii· Mwenyezi Mungu ila kidogo

143. Wanayumbayumba baina ya huku (kwa Waislamu na huko kwa makafiri). Huku hawako wala huko hawako. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemhukumu kupotea, lhuwezi kumpatia njia (ya kuhisabika .kuwa mwongpfu).

I 44· ·Enyi mlioamini! ~Msiwafanye makafiri kuwa maraflki badala ya Waislamu. Mnataka awe nayo (Mtume wa) Mwenyezi Mungu hoja dhahiri juu yenu (ya kuwa nyinyi wabaya)? ·

14 5. Bila shaka wanafiki watakuwa katika tabaka ya chini kabisa katika moto. H utamkuta kwa ajili yao msaidizi (yo yotf!)

146. lsipokuwa wale waliotubu (baada ya unaflki wao) na wakajitengezea na wakamshika M wenyezj Mungu na wakaukhalisisha utii wao kwa M wenyezi Mungu, basi hao wakQ pamoja na Waislamu. Na Mwenyezi Mungu atawapa ujira mkuu (Thawabu kubwa) Waislamu.

WALMUHSANAT

lkitokea kabka majilisi ulioko kufanywa baya au kusimuliwa; kataza. Wakitosikia ondoka wende zako. Mwcnyezi Mungu aliwambia kalika Aya ya 69 ya Suratil An-am amri hii ya kuondoka yanaposcmwa mabaya. Wakawa wengine hawajafuata. Ndiyo anawakumbusha tena katika hii Aya ya 140 ya Suracin Nisaa. r 42. Wanafiki walikuwa wakijiria pamoia na Waislamu katika mambo yao yote ill wasipate kuiambulika~a

kuwa wao wanafaki. Lakini walikuwa hawayaonei raha; wanafanya kwa kuwa hawana budi tu. Wao wanachun1a manufu yao ya kidunia tu-yakiwa kwa makafiri au kwa Waislamu• bawako huku wala hawako huko.

144. Wanakatazwa Waislamu kuwafanya marafiki hao wanaflki. 145. lnatajwa kuwa adhabu yao italcuwa zaidi kuliko makafui kwani dhara yao kubwa zaidi. 146. Kwcnye Aya hii walioifanya kuwa ni ya 147 wameandika hivi: ''Ma'a hii ndiyo kama ile iliyotumiwa

JUZUU 6 AN NISAA (4)

1 4 7. M wenyezi Mungu hakuadhibuni kama mtashukuru na mtaamini. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye kupokea shukurani(na)ndiye Mwenye kujua. .

I 48. M wenyezi Mungu hapendi kutoa maneno ya kutangaza ubaya (wa watu) ila kwa yule mwenye kudhulumiwa; na Mwenyezi Mungu ndiye asikiaye

(na) ajuaye. . 149. Mkidhihirisha wema au mkiuficha au

mkiyasamehe maovu ( ndiyo ndivyo) kwani Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe (juu ya kuwa) Muweza.

I so. Hakika wale wanaomkanusha Mwenyezi Mungu na Mitume yake, na wanataka kutenga baina ya Mwenyezi Mungu na Mitume yake, kwa kusema: "W engine tunawaamini na wengine tunawakataa," na wanataka kushika njia iliyo kati kati ya haya (si ya Kiislamu khasa wala ya Kikafiri)

1 S 1. Hao ndio makafiri kweli. Na tumewaandalia makafiri adhabu idhalilishayo.

IS 2. Na waliomwamini Mwenyezi Mungu na Mitume yake wala wasimfarikishe yo yote katika wao (bali wamewaamini wote), hao atawapa ujira wao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe (na) Mwingi wa kurehemu.

kaiika Sura 4:70. 11 Haya tumekwisha kuyajibu katika Aya ya 1 ya AI Fatiha.

LAYUH18B

14 8. Ndiyo hi vi hapendi Mwenyezi Mungu watu kutaja maovu ya wengineo ita mwenye kudhulumiwa anapewa ruhusa kufikisha kwa hakilnu maovu aliyofanyiwa iii 11m1ozee haki yake. Lakini bure tu hivi kutangaza ubaya wa watu hapana ruhusa. Ni katika maasiya makubwa.

150. Madamu Mwenyezi Mungu amemkiri kuwa ni Mtume Wake na wewe ukakataa kumwamini, k:tma Mayahudi wanavyomkataa Nabii lsa, na Manasara-pamoja na Mayahudi-wanavyomkataa Nabii Muhammad; basi inakuwa ukafiri. Waislamu wanawakiri Mitume wa haki wote waliokuja kabla ya Nabii Muhammad.

Basi Waislainu wanawakubah Wajumbe hao wa Mwenyezi Mungu wote kama alivyobainisha Mwenyewe Mwenyezi Mungu katika Qurani. Na wanawakataa wale aUowakataa Mwenyezi Mungu kaaika Qurani kuwa hao si mitume wake. Nao ni wale wanaodai kuwa wamepewa Utume baaJa ya Nabii Muhammad.

Anayewaamini hao wanaojidai kuwa wamepata ut•Jme baada ya Nabii Muhammad-kama huyo Minai na Bmhai-basi hao wanaojidai hivyo ni makafiri na wenye kuwakiria kwa hay" ni makafiri nao pia.

Basi natutahadhari madanganyo ya Makadiyani (Mirzai) na wenziwao. Huo wao ni uwongo mtupu; na wanasingizia tu hivyo vitabu wanavyovilaia na hao ma!lhekhe wanaowadhukuru.

Karika Aya waliyoifanya ni ya r s 1 wametia maneno ya lbni Kathir iii kudhanisha wa1u kuwa fbni Kathir anamkubaUshia Utume anayedai kupewa Utume baada ya Nabii Muhammad. Na wanajua wao ....:. na kila Mwislamu - kuwa lbni Kathir, ni kama Waislamu wengine, wanakataza kuwakataa Milume wa haki waliokuwa KABLA ya Nabii Muhammad, kama Qurani yole inavyosema '' MINQABLIKA" (Waliopewa Utume kabla ya Nabii Muhammad). Na tumekwisha kuyataja haya katika Aya ya 4 ya Suratul Baqarah. fbni Kathir amekufa katika mwaka 700; miaka 6oo kabla hakuzuka mtu wao mdai Utume.

15 3· Mayahudi walimwambia Mtume kuwa hawatamwamini mpaka wamwone anapaa mbinguni mikono milupu na anarejea na Kitabu mkononi kilichoandikwa shahada ya Mwenyezi Mungu kuwa kweli Nabii Muhammad ni Mtume Wake.

137 12

JUZUU 6 AN NISAA (4)

1 S3· Watu waliopewa Kitabu (Mayahudi) wanakutaka uwateremshie Kitabu kutoka mbinguni. Na kwa hakika walimtaka Musa makubwa kuliko haya; wakasema: "Tuonyeshe Mungu wazi wazi." Ukawashika moto wa radi (uliowatoa roho zao) kwa sababu ya ukafll'i wao. (Kisha Mwenyezi Mungu akawapa uhai mara ya pili). Kisha wakamfanya ndama (kuwa mungu) baada ya kuwaflkia hoja (zote) zilizo wazi; lakini tukasamehe hayo na tukampa Musa hoja zilizo dhahiri (juu yao).

1 54. Na tukaunyanyua mlima· juu yao (hao Mayahudi) kwa .kufanya agano nao (Ia kufuata Taurat). Na tuliwaambia: "Liingieni Iango (Ia nchi ya Shamu) hali ya kuinama (kama mnarukuu)"; (wakapinga). Na (pia) tukawaambia: "Msiruke mipaka kwa (kuvunja taadhima ya) Jumaamosi." Na tukachukua kwao ahadi iliyo madhubuti (kwa mambo haya na mengineyo; wala wasitiinize).

ISS. Basi (tuliwaadhibu) kwa sababu ya kuvunja kwao abadi zao, na kuzikataa kwao hoja za Mwenyezi Mungu, na kuua kwao Manabii hila ya haki, na kwa kusema kwao (kumwambia Nabii

LAYUHIBB

Basi Mwenyeza Mungu ndiyo anasema kuwa si ajabu hao Mayahudi kuleta upinzani namna huo: Wao walimfanyia upinzani Nabii Musa wakamwambia kuwa hawatamwamini kuwa yeye ni Mtume mpaka awaonyeshe Mwenyezi Mungu, wamwone us9 na macho. Na walipokosa . hayc walimchukua ndama (mtoto wa na'ombe) wakamfanya ndiye mungu wakamwabudu.

154-156. Anaendelea Mwenyezi Mungu kutaia mabaya yao, mengine kama vile kuwa:-(a) Walikataa kufuata amri za Taurati: Mwenyezi Mungu akaling'oa jabali likasimama ·;uu ya vichwa vyao,

wakaambiwa kama hawatakubali kuchukua ahadi ya kuifuata hiyo Taurati litawasagasaga jabali hilo. (b) WaJipinga kuingia Iango Ia nchi ya Shamu kwa namna hiyo waliyoambiwa. Wakaingia wanavyotaka wao.

Shamu ni nchi Mwenyezi Mungu aliyowapa waingie wakae baada ya kutoka Misri. Wala wasiishuk"ru neema hii kwa kufuata alivyowambia Mwenyezi Mungu.

(c) Na baada ya kutua katika hiyo miji na vijiji vya Shamu waliambiwa waiadhimishe siku ya Jumaamosi kwa kuifanya ni siku 'ja ibada· tu, si siku ya kufanya kazi. Wakatiatia hila zao mpaka ikawa ni siku . ya kazi.

(d) Baadhi ya Mitume yao walipowafanyia ukali juu ya haya na mengineyo waliwaual (e) Na Nabii Muhammad alipowabainishia dalili zilizomo virabuni mwao zinazoonyesha dhahiri Utume wake

walijiria pam bani wakawa wanamwambia 'Nyoyo zcru zimefumbwa, hazifahatnu lo lote katika hayo unayoyasema.' (f) Na Nabii lsa alipowabainishia Utume wak~ na Miujiza ile iliyotokea karika kuzaliwa kwake walimkataa

kuwa Mtume na wakasema kuwa Bibi Maryamu kashika mimba yake kwa kuzini. Nao wanajua kuwa ~i uwonso, lakini basi tu wanajiria pambani.

(g) Wakafanya hila i1i wamuue huyu Nabii (sa. Lakini Mwenyezi Mungu aliipindua ile hila yao-akamaia kidogo mshabaha wa Nabii lsa yule mkubwa wa hila ya kuaaka kumwua Nabii lsa. Na kwa fazaa wakamwua huyo wenziwao na wakamsulubu; na Nabii Isa akarufaishwa na Mwenyezi Mungu.

Baadaye wale wakubwa walitambua haya yaliyotokea lakini walijitia pambani vile vile wakawa wanajigamba kuwa, "Tumemuua huyo Masihi, Mtume wa Mungu; (nini. kitakuwa)."

Na mabaya yao mengine yanafahamika dhahiri katika Aya hizi. 157. Wametia Ukafiri wao hapa katika hii Aya walioifanya kuwa ya tS8 wakalifasiri uwongo tamko Ia

"Warnaasalllbuuhu." Tafsiri yake kama ilivyo katika vitabu vya t3fsiri vyore, na ilivyo katika vitabu vya kufasiri maneno magumu ya Qurani kama hiyo AI Mufradat na ilivyo katika Makamusi ya lugha ya Kiarabu yaliyotungwa

JUZUU 6 AN NISAA (4)

Muhammad): "Nyoyo zetu zimefumbwa (haziwezi kuingia kitu ka tika hayo unayoyasema "); ( wala hazikufumbwa), bali Mwenyezi Mungu amezipiga muhuri kwa kufuru zao, ~wa hivyo hawaamini ila kidogo tu.

I s6. Na kwa sababu ya kufuru zao na kumsingizia kwao Maryamu uwongo mkubwa (kuwa kamzaa Nabii lsa kwa kuzini)

157. Na kwa (ajili ya) kusema kwao: "Sisi tumemuua Masihi Isa, mwana wa· Maryamu Mtume wa Mungu," hali hawakumwua wala hawakumsulubu, bali walibabaishiwa (mtu mwengine wakamdhani Nabii Isa). Na kwa hakika wale waliokh'italifiana katika (hakika) hiyo (ya kumwua N abii I sa) wamo katika shaka nalo (jambo hilo la kusema kauawa). Wao (kabisa) hawana yakini juu ya (jambo) hili (Ia kuwa kweli wamemwua Nabii Isa), isipokuwa wanafuata dhana tu. Na kwa yakini hawakumwua

I s8. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

I 59· Na hakuna yo yote katika watu waliopewa Kitabu (Mayahudi na Manasara) ila humwamini

LAYUHlBB

na Waislamu kama AI Qamus, na yaliyotungwa na wasiokuwa Waislamu kama AI M.unjid. Vilabu vyote hivyo vinafasiri Salaba = Kumtundika au kumgongomelea katika msalaba, akifa humo au kawahi kuteremshwa kabla

· ya kufa. Katika hiyo AI Mujradac imeandikwa hivi: "Assalhu = Taal_vqul /nsllni 11/qatli'' = (Kumtundika mtu kwa' ajili auawe). Akasema tena; "Shaddu Sulbih.v Alaa Khashab" = (Kuufunga mgongo wake katika ubao). Hakusema "Kumwua iuu ya msalaba"

Na wafasiri wote wamesema hivi. Na wao wasijali wasibali wakaandika uwongo huu: "Neno hili maana yake ni kuua kwa kupigilia au kufunga mtini." Kwa hivi wakafasiri "bali tiawakumwua wala hawakumfisha msalabani." Wamemkubalishia Nabii lsa kusulubiwa ila hakufa tu juu ya msalaba. Na hii ni kinyume ya ltikadi ya Waislamu. Waislamu wanasema- KAMA ALIVYOSEMA Mwenyezi Mungu hapa kuwa hawakumuua bali hata kumsulubu pia hawakuweza; hawakupatanafasi ya kumwua wala nafasi ya kumsulubu tu kisha akateremshwa; pia fursa hii hawakuipata, ilivyokuwa Mwenyezi Mungu Mwenyewe kamhifadhi Mtume Wake. Wao wanamkanusha Mungu wanamwambia: 11 Kasulubiwa-wewe Mungu huna habari! Wao wanayajua kuliko Mungu! Pana ukafiri zaidi kuliko huu wa kuiiona wao wanajua hakika kuliko Mwenyezi Mungu? Na tumeyascma haya katika Aya ya S4 ya Aali lmrant. Basi hana ruhusa lslamu kuirakidi hii itikadi ya kikafiri ya kuwa Nabii lsa alisulibiwa. Tu11iharibiwe dini yctu na Wakristo na hawa nao. Na wanajidai kutaja Kamusi Ia Lane na Akrab. Uwongo; hamna humo wascmayo wao. ·Kudanganya tu huko.

Na ile "Walaakm Shuhb1ha/ahum" (Wameshabihishiwa IDlU mwcngine), wameikoroga wakascma: "bali alifananishwa kwao (kama maiti)". Liko wapi hilo tamko la maiti hapo? Wanataka kupoteza tu.

1 sB. Mpinduo wao wa Aya hii walioifanya ya 1 S9 tumekwisha kuubainisha katika Aya ya s6 ya A ali lmrani. 1 S9- Katika Aya hii walioifanya ni ya 160 wamejidai kuandika "Kabla _va k1/o chak.·. yaani kabla ya kifo

chao (Wakristo na Mayahudi, alivyosimulia Ubayy (Jarir, Jalada 1·, uk. IJ). Si mradi wake kuscma kaMa .va k~fo chakr ni kabla ya kifo cha Nabii lsa ... " Wamefanya hivi kusudi kukimbia itikadt ya kuwa Nabii lsa atarejca, na hali ya kuwa ndivyo Mtume alivyosema, ikasihi kauli yakc hii katika Hac!ithi za AI Bukhary na nyinginezo. Na hivyo kumtaja Ubayy na lbni Jarir ni katika hayo madanganyo yao ili idhaniwe kuwa hiyo tu ndiyo taf.o;iri tliyo

139

JUZlJU 6 AN NISAA (4)

(N abii lsa kwa hakika yake) kabla ya kifo cha kila mmoja katika hao. (Lakini hakuna faida kumwamini huko wakati huo). Naye (Masihi) siku ya Kiyama atakuwa shahidi juu yao.

160. Basi kwa dhulma yao hao Mayahudi tuliwaharimishia vitu vizuri walivyohalalishiwa, na (vile vile) kwa sababu ya kuzuilia kwao watu wengi na njia ya M wenyezi Mungu 16 J. Na kwa (sababu ya) kula kwao riba, na bali

wamekatazwa wasille, na (kadhalika) ~wa kula kwao mali za watu kwa batili. Basi tumewaandalia makafll'i-nao ndio wao--adhabu iumizayo. •

162. Lakini wale w~liozama barabara katika ilimu miongoni mwao (hawa waliopewa Kitabu), na Waislamu; (ambao · wote hao) wanaamini yaliyoteremshwa kwako na yaliyoteremshwa kabla yako, na (wale) wanaodumisha Sala na wanaotoa Zaka na wanaomwamini Mwenyezi Mungu (wakafuata amri Zake wakajiepusha na makatazo Yake) na (wanaamini) siku ya mwisho (wakaitengenezea amali njema). Hao tutawapa malipo makubwa.

163. Tumekuletea wahyi kama tulivyowapelekea Nuhu na Manabii (wengine) baada yake. Na (kama) tulivyowapelekea Ibrahimu na Ismaili na Is-haqa na Yaaqubu na kizazi (chake). Na (kama tulivyowapelekea) Isa na Ayyubu na Yunusi na Haruni na Suleimani; na Daudi tukampa Zaburi.

164. Na (tuliwapeiekea wahyi) Mirume tuliokuhadithia (habarl zao) zamani ila Mitume ambao hatukukuhadithia (habari zao). Na Mwenyezi MuniU akamsemeza Musa.

LAYUHIBB

sahihi, na bali ya kuwa zote mbili hizo ni tafsiri sahihi. lkiwa hiyo wallyoltaja wao imeaeaemewa na huyo Sahaba Bwana Ubayy kama alivyobainisha Mufassir lbni )arir, basi huyo lbni )arir kabainisha papo hapo Masahaba waUosema hiyo tafsiri nyinaine-kama Bwana Abdalla bin Abbaa na Bwana Abu Hureyra-na Malmamu wen1ine waUoitaja hiyo tafsiri ya pili, kama Abu Malik, AI Hasanul Bisry, Qatada, lbni Zaid na Anabary, kama alivyoyabainisha haya mwenye Ruuhul Maany katika sabifa u ya Juzuu ya 6; na wengineo pia na wakawataja zaidi kuliko hawa. Na wanajua hawa lakini basi tu; shauku ya kuwapoteza Waislamu imewuhika.

162. Anataja hapa Mwenyezi Mun1u kuwa Mayahudi wazuri walisilimu. Nayo ndio kweli; walisilimu zama za Mtume, wakawa wanavyuoni wakubwa kabisa, na baadaye vile vile.

163. Yanatajwa baadhi ya majina ya Mitume. 164. lnaonyesha kuwa kuna cbunau ya Mitume ambao hayakutajwa majina yao katika Qurani. Basi zile

Hadithi zinazotaja idadi ya Mitwne wakubwa na wadoso si sabihi-dhaifu. 166. Mwenyezi Mungu anamtia nauvu Mtume wake na kumwambia kuwa yeye mwenyewe anamshuhudia

140

JUZUU 6 AN NISAA (4)

1 6 s. (Hao ni) Mitume waliotoa khabari nzuri (kwa watu wema), wakawaonya (wabaya), ili watu wasiwe na hoja juu ya M wenyezi Mungu baada ya (kuletwa hawa) Mitume. Na Mwenyezi Mungu ni M wenye nguvu na M wenye hikima.

I 66. Lakini Mwenyezi Mungu anayashuhudia aliyokuteremshia (kuwa ni haki). Ameyateremsha kwa ilimu yake. Na Malaika (pia) wanashuhudia. Na M wenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi.

I 67. Hakika wale waliokufuru na kuzuilia (watu) njia ya Mwenyezi Mungu bila shaka wamepotea upotofu (upotevu) ulio mbali (na haki).

1 68. Hakika wale waliokufuru na kudhulumu haitakuwa kwa Mwenyezi Mungu kuwasamehe wala kuwaongoza niia

I 69. Isipokuwa njia ya Jahannamu. Humo watakaa daima milele. Na hayo ni rahisi kwa Mwenyezi Mungu.

I 70. Enyi watu! Mtume amekuflkieni kwa haki kutoka kwa Mola wenu. Basi aminini; itakuwa bora kwenu. Na kama mtakataa basi ni vya Mwenyezi Mungu tu vyote vilivyomo mbinguni na ardhini. Na Mwenyezi Mungu ni Miuzi(na)Mwenye hikil:n.1.

171. Enyi watu wa Kitabu! Msipindukie mipaka katika dini yenu, wala msiseme juu ya Mwenyezi Mungu ila yaliyo kweli. Masihi Isa bin Maryamu ni Mrume wa Mwenyezi Mungu na (ni kiumbe aliyeumbwa kwa) tamko lake (tu Mwenyezi Mungu) alilompelekea Maryamu. Na ni roho iliyotoka Kwake (Mwenyezi Mungu kama roho nyengine). Basi mwaminini Mwenyezi Mungu na Mitume yake; wala· msiseme "walatu . . . , Jizuieni (na itikadi hiyo); itakuwa bora kwenu. Bila shaka Mwenyezi Mungu ni Mungu Mmoja tu. Ni mbali na utakatifu wake kuwa ana mwana. Ni vyake (vyote) vilivyomo m binguni na vilivyomo ardhini; na M wenyezi Mungu ni mlinzi wa kutosha.

171.. Masihi (Nabii Isa) hataona unyonge kuwa mja wa Mwenyezi Mungu, wala Malaika waliokurubishwa (na M wenyezi Mungu hawataona unyonge kuwa waja wa Mwenyezi Mungu). Na watakaouona unyonge uja wa Mungu na kutakabari, basi atawakusanya wote Kwake (awatie Motoni).

kuwa ni Mtume wake; basi kukanusha kwa hao wanaokanusha hakuna maana.

LAYUHIBB

17 I- 171. Wanafunuliwa macho Manasara na kuonyeshwa upotofu walio nao wa kumwitakidi Nabii lsa (a) Mungu au (b) Mtoto wa Mungu au (c) Mmoja katika waungu watatu.

141

JUZUU 6 AN NISAA (4)

17 3· Na ama wale walioamini na kufanya vitendo vizuri, basi atawapa ujira wao (sawa sawa), na kuwazidishia kwa fadhila Zake. Lakini wale walioona unyonge na kufanya kiburi, basi atawaadhibu kwa adhabu iumizayo, wala hawatapata rafll~i wala msaidizi (yo yote) . mbele ya Mwenyezi Mungu.

17 4· Enyi watu! lmekuflkieni dalili kutoka kwa Mola wenu, na tumekuteremshieni nuru iliyo dhahiri.

17 s. Ama wale waliomwamini Mwenyezi Mungu na kumshika (sawa sawa), basi hao atawaingiza katika rehema Zake na fadhila (Zake) na kuwaongoza kwake kwa njia iliyonyoka.

176. Wanakuuliza, sema: "Mwenyezi Mungu anakupeni hukumu juu ya mkiwa. Kama mtu amekufa, bali hana· mtoto, lakini anaye dada; basi atapata (huyo dada) nusu ya yale aliyoyaacha (maiti). Na yeye (mtu huyu) atamrithi (dada yake) ikiwa hana mwana. Na kama wao ni (madada) wawili, basi watapata t1iuiuthi mbili za yale aliyoyaacha. Na wakiwa ndugu wanaume na wanawake, basi (kila) mwanamume (mmoja) atapata sehemu iliyo sawa na ya wanawake wawili. Mwenyezi Mungu anakubainishieni ili msipotee; na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa kila kitu.

1 76. Mkiwa ni maiti asiyeacha mzee wala mtoto wala mjukuu ila kaacha ndugu.

LAYUHIBB

Na ndugu waliokusudiwa hapa ni ndugu wa kwa (a) baba mmoja mama mmoia au wa (b) kwa baba tu. Ndugu wa kwa mama umeaajwa urilhi wao katika Aya ya 1 2 ya Sura hii hii. ·

142