ORODHA YA VITABU VYA FASIHI NA WAANDISHI WAKE 1

50
ORODHA YA VITABU VYA FASIHI NA WAANDISHI WAKE HADITHI FUPI S/N MWANDISHI JINA LA KITABU MCHAPISHAJI MWAKA DHAMIRA 1 Abdallah Khalfani Mfalme Ndevu Na Mmaskini Mkata Kuni Readit books 1995 Dhullma,uras im na tama 2 Abed, Mehta Anaona anasikia Methews books store and stationaries 2003 Mathara ya ukimwi 3 ABED,Mehta Mtego kabambe Methews Books store and stationary 2003 Elimu na mafunzo 4 AMIR Alli Jamaadar Hadithi zenye mafunzo Oxford university press 1973 Elimu mafunzo maadili 5 Arnott,K Ayo msichana wa kiafrika Oxford University press 1967 Upendo 6 Athuman Abbasi Kuku njiwa kicheche na hadithi nyingine Readits books 1996 Maadili 7 Backman,P.J Hekaya za mjini Ndanda Mission press 1974 Mawaidha mbalimbali ya kiroho

Transcript of ORODHA YA VITABU VYA FASIHI NA WAANDISHI WAKE 1

ORODHA YA VITABU VYA FASIHI NA WAANDISHI WAKE HADITHI FUPI

S/N MWANDISHI JINA LAKITABU MCHAPISHAJI MWAKA DHAMIRA

1

Abdallah Khalfani

Mfalme Ndevu Na Mmaskini Mkata Kuni

Readit books 1995 Dhullma,urasim na tama

2

Abed, Mehta Anaona anasikia

Methews books store and stationaries

2003 Mathara ya ukimwi

3

ABED,Mehta Mtego kabambe

Methews Books store and stationary

2003 Elimu na mafunzo

4

AMIR Alli Jamaadar

Hadithi zenye mafunzo

Oxford university press

1973 Elimu mafunzo maadili

5

Arnott,K Ayo msichana wa kiafrika

Oxford University press

1967 Upendo

6

Athuman Abbasi

Kuku njiwa kicheche na hadithi nyingine

Readits books

1996 Maadili

7 Backman,P.J Hekaya zamjini

Ndanda Mission press

1974 Mawaidha mbalimbali ya kiroho

nakimwili,Upendo na uvumilivu

8Baitu Richard

Mkia wa chura

LDS PABLISHER

2002 Umoja haki na upendo

9

Balisdya Ndyanayo

Ushindi wa majeruhi na hadithi nyingine

DUP 1994 Matatizo ktkmaisha

10

Banzi ALEX Tamaa mbele na hadithi na hadithi nyingine

NMP 1970 Uchumi wa utajiri,athari ya tama uchoyo na urafi

11

Bata,A.A. Chatu Ndanda mission press

1983 Ukinzani ktkmaelezi baina ya ukristo na uislam,Mpenzi kabla ya ndoa

12

Bwana Jems,H

Mganga pazi

Heko pablisher

1991 Ulaghai katika kupata mali

13Chiraghdin,C

Malapa wa mvita

OUP 1974 Ukombozi

14

Chmbila,M.D Neema jasiri

DUP 2005 Moyo wa kujituma,ujsiri na upendo

15

Chowo H,T Kisa cha kuku na mwewe

MPB enterprisis

2005 Usikivu

16

Chuma,A Fadhili msiri wa naugua

TPH 1980 Mila na jadi

17Chuma,A Gongo la

ummaStar Agencies LTD

1980 Harakati za ukombozi

18

Chuma,A,K Kunga za kiswahili

CHEWATA 1980 Mapenzi na ndoa,Tathmini ya elimu

19

Chwo,H.T Kipepeo amnusuru binadam

MBP enterpresis

2004 Huruma,Upendo na maadili

20

Dira,D,E Sultani liyegeukakorongo na hadithi nyingine

The Sheldon press

1952 Hekaya mbalimbali za binaadam ba ubinadamuwao,Na matatizo mengine yakupendeza na kustaajabisha

21

Diwai Ramadhani

Shinikizola fedha

Tanzania Book Club

1996 Mattizo ya urithi ktk familia

22

Djoreto,Amu Mwezi aliye mwoga

Heineman publication

1992 Maonyo kwa jamii

23Djoreto,Amu Mapacha

MatataniHeinemann Publication

1991 Upendo,umojana dhuluma.

24Ganzel,E Kitanzi Utamaduni

Publication1984 Upelelezi

25

Getanguthi,E,N

Aliyebebachatu na hadithi nyingine

OUP 1987 Miila,miiko,uaminifu na juhudi

26

Habibu Mbaruku

Koroingona kobe

MBP ENTER PRISISE

Umuhimu wa umoja na kutenda mema

27

Haji,g.Haji Nahodha Chui

Oxford university press

2004 Ujasiri

28

Juma Shabani Alli

Kisa cha binadamu na Wanyama

Rafiki Publishers Ltd

2005 Upendo,Huruma na juhudi.

29

KAMERA,W,D na wenzake

Hadithi za wiraqwi wa Tanzania

EALB 1978 Mila na tamaduni za makabira ya Tanzania

30

Kamera,W.D Na wenzake

Si watu? OUP 1989 Ukweli,Upendo na ushirikiano

31

Kamera.W.D na wenzake

Elimu kwangano

Maarifa cooperation DSM

1982 Visa na hekaya kuhusu tamaduni ya kiafrika na faida za ngano hizo kwa kizazi cha leo

32Kamoro yuda Usininyon

geLong man 1970 Unyonyaji

33

Kana,joachim

Masimulizi ya sebuleni

TMP book department

1970 Mafunzo na kazi

34

Karago T Kisa cha nyuki na Tembo

TPH 1979 Unafki na uchonganishi

35

Karago,T Kisa cha mzee wa kizaramo na mototowa wenzie

TPH 1979 Tibia njema na msingi wamaisha

36

Karago,T Ugomvi wapanzi furaha kwa kuguru

TPH 1979 Tahadhari ktk maisha

37

Karago,T, Hadithi zenye hekima namaadili

TPH 1979 MAADILI MEMA

38

Katama bairu

Sokoni kariako

Tamtam book club

1996 Matatizo ya mjini kwa wageni

39Kezilahabi,E

Kijana yule

DUP 1991 Umuhimu wa elimu

40

Kimaro,Jerome

Safari yaMAMA

Tema Ppblisher LTD

2000 Malezim kwa watoto na upendo

41

Kitalambula,F,H

Lawalawa na hadithi nyingine

Premier publishers

1976 Utamaduni mafunzo na malezi

42

Mahimbili,Renatusi

Jumanne moja kando ya mto

Heinemann drum publishers

1996 Uharibifu wamazingira,Umasikini na elimu

43

Mahimbili.Renatus

Bibi mwenye macho mekundu

Ruvu publishers

2005 Uchawi na ushirikina

44

Mchana.A,E Marafiki wawili

Mtulre educational publisher

2002 Uaminifu umoja na ukweli

45

Mkufya,W,E Mbuzi waliokosasubira

Mangrove publisher

2003 Utii na tama

46

Mkufya,W,E Tumbili na Mkia Wake

2003 Tamaa na ushirikiano

47

Mkufya,W,E Mtawa wa binti wa mfalme

Ruvu publishers

1999 Kutunza mazingira

48Mkufya.W,E Androbo

na sambaMture publishers

1998 Kulipa fadhila

49 Mlingwa,F,E Haki Longman 1972 Dhulima

itatawaladunia

tumaini na ukweli

50Mlingwa.F,E Kuwa

uyaoneTanzania Litho LTD

1971 Elimu maonyona maadili

51

Mng’anda,B,S

Shukrani za samba

READIT BOOKS 1992 Kutodhani utu na kutoashukrani

52Mnyaka Onge Nani kama Heko

publishers2003 Kjitegemea

na kujituma

53Mohamoud Rahman

Malki mroho

Ruvu publishers

2004 Uchoyo urafina maadili

54Msewa,O Kifo cha

ugeniniTPH 1974 Haraka za

ukombozi

55Msokile,M Cha

mnyongeTUKI 1974 Dhulma na

unyonyaji

56

Msokile,M Nyota TUKI 1974 Athari ya uhuru usiokuwa na mipaka

57Msokile,M KIUMBE TUKI 19741 Athari za

kutoa mamba

58Msokile.M Ukungu TUKI 1974 Msimamo wa

maisha

59

Mwaipyana Albert

Simu ya mwanamwali

Methews Bookstore and stationary

2003 Umuhimu wa mawasiliano na maadili mema

60

Mwanga Mngedia.A

Mti uliozungumza

Ruvu publishers

1996 Malezi maadili na upendo

61

Rashid .M,K.Longido

Wawindajiwatatu

UOP 2004 Uchoyo Dhulma na tama

62Rashid ALLI,M

Sungura na Mbweha

OUP 2004 Ujasiri na ujanja

63

Rashid Alli,M

Safari yaHamadi

UOP 2004 Utukutu kwa watoto na elimu kwa watoto

64Safari,A Kabwela DUP 1978 Sasa na

uchumi

65

Sealay.Patricia

Mjuzi aliyemzunguka

Heinmann publishers

1995 Maadili mem,a na heshima

66

Seka,B.R Kipeuo nakipeo

Kapsel educational publishers LTD

2002 Kujifunza hesabu

67

Selengwa,L,S

Yowe la majuto

Ndanda jmission press

1981 Uaminifu ktkmapenzi na ndoa pamoja na tama ktk maisha

68

Semkiwa.D Mazungumzo ya babuzetu

OUP 1974 Mila na destuli za makabila ya Tanzania

69Shaabani,K Siri ya

bahatiBSA LTD 1995 Ndota za

wanaadam

70

Shija Paschal

Njiwa na kinda mkaidi

TBH 1994 Adhali ya ukaidi kutosikia yawakuu

71

Siedle,A,S Paulo na kalumanzila

T,M.O.book department (Tabora)

1980 Mafunzo ya dini ya kikristo

72

Singija,D Kukopa harusi kulipa matanga

Ndanda mission press

1975 Matatizo yanayo ikabili jamii kama vile umasikini,uhaminifun ktkkukopa na kulipa.

73 Tawakal,Alhaji

Hadithi zenye hekime na

TPH 1979 Madili mema na malezi

maadili

74Thonya,Z,N Mashairi

ni mtegoBSA LTD 1978 Maisha yenye

msukosuko

75

Yahaya.S.S Pepeta Kenya Litho LTD

1971 Ujasili uzalendo na maisha ya mwafrika

76

RwechunguraG

Masimulizi ya Wahenga

Print park Tanzani Ltd

1972 Umoja mafunzo na maadili.

76

Rawah F S Zimwi la mrima

Diamond DistributorsServices

1951 Uvamizi wa wakoloni Afrika na harakati za ukombozi wa Kisiasa

77Omalo L. O Kisa cha

HarusiLongman 1968 Vita

78

Omari C A Shariff

Isa Bin Tajiri naHadithi nyingine

High Way Press Nairobi

1949 Hekaya mbalimbali za maisha yaumwinyi barani Afrika hasa pwni ya Afrika mashariki

79

Richard Deus M

Mbegu ya Ajabu

Mwnza Business Association

1997 Umoja na uadilifu

80

Ruhumbika G Uwike usiwike kutakucha.

Eastern Africa Publication

1978 Ukombozi dhidi ya dhuluma

81

Ruhumbika G Wali wa ndevu na hadithi nyingine

Parapanda 1982 Ujenzi wa jamii mpya.

82 Riwa R L Hadithi The Eagle 1951 Mila na

za rafikisaba

Press Nairobi

Desturi za Makabila ya Tanganyika

83

Omari C A Shariff

Hassan ElBasir

The Eagle Press Nairobi

1951 Mawaidha juuya upendo naAmanikatika maisha ya binadamu

84

Omari C.K Hadithi zbibi

Print Park Tanzania Ltd

1970 Wosia kwa jamii kutokakwa wazee

85

Ogejo S. C Mwindaji hodari

HEB 1974 . Mbinu za uwindaji na ujasiri

86

Nuru S. N Ndoa ya mzimuni

EALB 1974 Mapenzi ya dhati, uovu pamoja na dhuluma

87

Ngole S. Y Fasihi Simulizi ya Kitanzania

TUKI 1977 Mkusanyo wa hadithi zenye mawaidha ya kimalezi kwavijana chipukizi.

88

Ng’ombo N Hekaheka za Ulanguzi

Ndanda mission Press

1982 Matatizo yaliyolikumba Azimio la Arusha.

89

Nyalusia G.P

Kisa cha mwanamke mjane

Ndanda mission Press

1984 Jitihada mbalimbali za ukombozi wa wanawake

90Nyabongo A Upepo wa

mwangazaEALB 1974 Upendo na

maadili

91

Ngalime JANI

Umoja ni nguvu

Mangrove Publishers

2005 Ushirikiano na umoja katika jamii

92 Mohamed Kcheko Shungwaya 1978 Wawaidha

M.S cha ushindi

mema na malezi kwa vijana.

93

Mdoe. C Kilemba cha Ukoka.

Grand arts Promotions

1984 Athari za uwongo na Unafiki katika mapenzi.

94

Mkwindu T.S Nimekugundua

Ndanda mission Press

1972 Madhara ya ujamaa Afrika.

95

Mbawala A 1992 Mapenzi na Majonzi katika Maisha.

96

Mbwali L. A Kisa mke Ndanda mission Press

1984 Madhara ya kupenda na kuendekeza ngono,utengano na Maradhi.

97

Mandao M Musa Central Tanganyika Press

1968 Ukarimu na Upendo

98

Mbena I,S Ujamaa utafaulu

Black Star Agency

1978 Vijiji vya ujamaa na uongozi mbaya

99

Muamba B .M Visa vya Maadili

Ndanda mission Press

1984 Nukuu za ngano za makabila mf,wayao na Kimakua.

100Mdoe Fred J Hila za

kobeCoulor PrintLtd

1969 Mafunzo kwa jamii

101

Mwonge E.G.C

Wosia wa baba

EALB 1962 Maadili ya wazee kwa vijana

102 Makunja G. Tha za Ndanda 1981 Unyonyaji na

C Mjini Interprises Ltd Tanzania

unyanyasaji

103

Mnyapala Bernard

Cheo dhamana

EAPH 1976 Utumishi mzuri wa jamii kwa kuthamini cheo.

104

Mayego P.B Watembelea Mbuga

MPB Interprises

2003 Utunzaji wa mazingira maadili na udadisi

105

Mohamed , Amina A

Paka asiyependa Maziwa

OUP 2004 Utukutu na Elimu kwa watoto.

106

Mbiro (na wernzake)

Hila za bwana simba

Ndanda Interprises Ltd Tanzania

1998 Uchoyo, Urafi na Wivu.

107

Mng’anda B.S

Shukuraniza Simba

Readit Books 1992 Kutothamini utu na kutoashukurani.

108

Nahodha Fikirini

Oxford University Press

1971 Ujasiri na ushujaa.

109.

Lema Elieshi

Mwendo E and D Ltd 1998 Athari za UKIMWI

110.

Safari yaProspa

E and D Ltd 1995 Werevu, ushujaa na Ujasiri

USHAIRI

1

Abeid Amir.K

Sheria zakutunga mashairi nadiwani ya Amir

EALB 1954 Mawaidha mema na maadiri ktkmaisha

2

Akilimali.K.H.A(Snowwhite)

Diwani yaAkilimali

EALB 1966 Mawaidha mema na maadili mbalimbali kama vile wema na upendo

3

Alen .J.W.T

Utenzi wamwanakupona

HEB 1972 Maadili mema na wosia juu ya wanawakewa Pwani naAfrika Mashariki

4

Alen.J.W.T Ushindi wa ngamia

HEB 1972 Mila na desturi mbalimbali za kitanzania na Ngano nyingine

5

Amir Mwinyi.M

Tungo zetu

TPH 1977 Mawaidha naburudani bora ktk maisha

6

Bashir Aboud(M.H)

Utenzi wamikidadi na Mayasa

HEB 1972 Habari za maisha kuhusa mashujaa wawili Mikidadi naMayasa

7

Chacha.N.Chacha

Ushairi wa AbdilatifAbdallah,Sauti ya utetezi

DUP 1992 Ukombozi wakisiasa

8

Chum Haji Utenzi wavita vya uhud

EALB 1962 Vita vya waislam na Mayahudi waMakkah

9

Coronationprinters Mbombasa

Utenzi wamaisha yanabii Mohammedi

Coronation printers Mombasa

1962 Historia yamtume Mohammad (SAW)

10

Cory.Hans Sikilizeni mashairi

Lake printing works LTD Mwanza

1961 Upendo,Amani na ushirikiano

11

Faqihi Mgeni

Utenzi warasi -lghuli

TPH 1979 Mgongano kati ya mila na destuli za kiislam na za kale huko Saud-arabia

12 Frenk Wiliam

Diwani yangu

KLB 1979 Mawaidha mbalimbali ya kijamii kama vile siasa safi,adabu,

heshima na upendo

13

Hajji.G,Hajji

Kimbunga TUKI 1995 Siasa, uchumi rushwa na Utamaduni

14

Harries.L Utenzi wamkunumbi

EALB 1967 Mawaidha juu ya maonyo mbalimbali

15

Honero.L.N(NAwenzake)

Matunda ya Azimio

TUKI 1980 Uongozi,Usawa na uchumi na ustawi wa jamii

16

International language committee

Mashairi mamboleo 1

The Sheldonpress

1946 Mawaidha juu ya maisha hasawakati wa ukoloni

17

Jamaldin,A.

Utenzi wavita vya majimaji supplement vol.27

IKR 1957 Historiya ya matokeo ya vita vyamajimaji

18

Kahigi.K.K Maisha yakisasa

TPH 1984 Sisa mapenzi na ndoa

19

Kandoro,S,A

Mashairi ya Saadani

Mwananchi publicationLTD

1972 ELIMU SIASANA UCHUMI

20

Kandoro,S,A

Liwazo laujamaa

TPH 1978 Mapigno dhid ya unyonyaji,na mawaidha juu ya siasa ujamaa na kujitegemea

21

Karama,S Utenzi wenye fahari

Macmilan press

1986 Lugha,mafunzo na maadili mema

22

Kezilahabi.E.

Kichomi Heinman Nairobi

1974 Mgogoro wa ushairi,mvutano kati ya ukale nausasa pamoja na ujenzi wa jamii mpya.

23

Kezilahabi.E.

Karibu ndani

DUP 1988 Mgogoro kati ya ukale na usasa,Falsafa ya maisha

24

Khatibu, MS

Fungate la uhuru

Education service center

1988 Uongozi Mbaya

25Khatibu.M.S

Utenzi waukombozi

DUP 1975 Mapenduzi na ukombozi

26

Khatibu.M.S

Pambazuko EAPH 1982 Ujenzi wa jamii mpya na uongozi mbaya

27

Kija.P.M Wimbo wa kandambili

Ndanda mission preaa

1987 Mawaidha yaimani ya kikristo

28

Knepert.J Utenzi wafumo liongo

East AFRICAN KUSWAHILI COMMITEE

1931 Kukua kwa miji ya Africa Mashariki, tama, Usalitna Ushujaa wa Fumo Liongo

29 Lambert.A. Diwani ya EALB 1971 Mapenzi na

E Libert ndoa

30

Lesso.Z.H Utenzi wazinduko la ujama

EALB 1972 Historia fupi ya watanzania kabla ya uhuru,baadaya uhuru,harakati za kujenga ujama

31

Lody,A,A Tafkira Writers book mashine

1986 Huba na siasa

32

Maimbi.E.M Utenzi waccm

TPH 1981 Mazungumzo juu ya kuundwa kwaCCm na harakati zamuamko wa kisiasa Tanzania

33

Masamba.D.P.B

Diwani yaMasamba

NELSON PUBLISHERS(CANADA)

1976 Mawaidha juu ya malezi na tamaduni zakiafrika

34

Mayoka.J.A Utenzi wavita vya uhuru wa Msumbiji

EAP 1978 Harakati z ukombozi Msumbiji

35

Mayoka.J.A mizizi Diwani yaMayoka

TPH 1984 Mawaidha juu ya maadili mema na sanaa ya ushairi w kimapokeo

36 Mbega.Hass Upisho EALB 1974 Mawaidha

ani.Mwalimu

wa malenga

mbalimbali juu ya maisha ya mwanadamu,wema, dhamana na uaminifu katika maisha.

37

Mchimbi.B.R

Wachawi wa Afrika

TANZANIA LIBRARY SERVICE DSM

1979 Mila potofuza kitanzania na ukomboziwa watanzania

38

Mdundo.M.O Utenzi waJWTZ

TPH 1987 Historia,Mapambano na shughuli zajeshi la Wananchi

39

Mhina.G.A Utenzi w kumbukumbu za azimio laArusha

BLACK STAR AGENCY

1979 Mambo yaliyofanyika wakati wa azimio la Arusha

40

Mloka Charles

Diwani yaMloka

BENEDICTINEPUBLICATION

1977 Maadili mema na maoni

41

Mnyampala.M.

Diwani yamnyapala

EALB 1965 Ukoloni mamboleo naumoja

42

Mnyampala.M.

Waadhi waushairi

EALB 1965 Maadili mema na umoja katika jamii

43 Mnyampala.M.

Ngonjera za ukuta 1 na 11

OUP 1970 Harakati mbalimbali za

kulitangazaazimio la Arusha

44

Mnyampala.M.

Sera mbalimbali za kulitangaza azimiola arusha

OUP 1971 Sera mbalimbali za kulitangazaazimio la Arusha.

45

Mnyampala.M.

Fasiri johari yamaisha

TANGANYIKA RIPUBLICATION

1964 Mawaidha juu ya historia yaushairi na utakiwavyo uwe

46

Mochiwa,Z Mvumilivuhula mbivu

DUP 1988 Jinsi subira na uvumilivu wa wnanchi unavyorudisha nyuma maendeleo yao

47

Muhamed..Salehe

Utenzi waego lenyeitifaki

EALB 1974 Mawaidha yakidini n waosia badaya kifo

48

Muhamed.A.A

Ujenzi w misha ya nabii adamu na Hawa

EAST AFRICAN SWAHILI COMETEE

1971 Kisa cha maisha ya Adam na Hawpamoja na chanzo ch dhambi kwa wanaad

49 Muhamed.A.A na UKKI.M.J

Utenzi wasungura ,turuke daraja tatu kwa

OUP 1996 Umoja na mshikamano. Katika hrakati yeyote ya

kujifunzalugha yetu

kujikomboa.

50

Muhanika,H.

Utenzi wavita vya Kagera naanguko laIdd Amin

DUP 1981 Ukombozi wawatanzania na matatizoya vita vyaKagera

51

Mulokozi.M,M

Malenga wa bara

DUP 1995 Falsafa na maana ya maisha,kifo,mapenzi naujenzi wa jamii mpya

52

Mulokozi.M.M

Utenzi wanyakiiru Kibi

ECOL PUBLICATIONLTD

1997 Mila na desturi za Watanzania

53

Mulokozi.M.MKahigi.K.K

Kungo za mashairi na Diwaniyetu

TPH 1979 Siasa,ndoa na falsafa katika Maisha.

54Mvungi.T. Chungu

tamuTPH 1985 Ujenzi wa

jamii mpya

55

Mvungi.T. Mashairi ya cheka cheka

EPD LIMITED 1995 Ujenzi wa jamii mpya

56

Mvungi.T. Raha karaha

CONTINENTALPUBLISHER

1982 Utetezi wa haki za wanyonge

57

Mvungi.T. Dawa mirefu

KIUTA 1977 Mardhi na magonjwa yasiyo tibika.

58

Mwalimu.A.Rashidi

Utenzi waKunguru

E AND D LTD 2005 Athari za uigaji mambo kutoka nje

59 Mwaruka,R Utenzi waJamuhuri

EAPH 1968 Historia yaTanganyika

ya Tanganyika

toka enzi za mwarabu

60

Nassiri. A Malenga wa mvita

SHUNGWAYA PUBamuLISHERS LTD

1977 Maisha ya amani madili na mafunzo

61

Noor.I Utenzi(Utenzi wa kiama)

HEINMAN BOOKS NAIROBI

1972 Mawaidha mbalimbali ya siku ya hukumu.

62

Nuru.S.M Malangomwa kiswahili

EALB 1975 Kukua kwa Kiswahili na tamaduniza waswahili

63

Nyamume.K.A

Diwani yaustadhi nyamaume

SHUNGWAYA PUBLISHERS LTD

1976 Maadili mema katikamaisha

64

Nyerere.J.K

Utenzi wamatendo ya mtume

NMP 1996 Maadili na matumaini katika maisha

65

Nyerere.J.K

Utenzi wainjili

NMP 1996 Mawaidha mbalimbali juu ya imani ya dini ya kikristo kuhusu miujiza ya Yesu kristo

66

Okot,P.Bitek

Wimbo wa Lawino

TPH 1975 Utamaduni wa kiafrikana dawa za jadi.

67 Omary.C.K Usawa wa binaadamu

EASTERN AFRICAN PUBLISHERS

1976 Falsafa juuya maana yausawa wa

LTD binaadamu,faida zake,pamojana athari za kukosekna kwake.

68

Ridhiwani.P

Kisa cha utenzi tawafuri nabii

TUKI 1992 Siasa na mapinduzi

69

Robert.S Pambo la lugha

EASTERN AFRICAN PUBLISHERS LTD

1947 Maadili katika maisha na sanaa za lugha

70

Robert.S Koja la lugha

NELSON 1945 Maadili katika maiha ,maonyo n malumbano

71Robert.S Mwaafrika

aimbaNELSON 1946 Uzalendo na

malumbano

72Robert.S Almasi za

AfrikaNELSON 1946 Malumbano

na maadili

73

Robert.S Ashiki kitabu hiki

NELSON 1946

74

Robert.S Masomo yenye adili

NELSON 1967 Maadili na maonyo

75

Robert.S Diwani yashaabani Robert

NELSON 1968 Maadili na maonyo

76

Robert.S Kielelezocha fasili

NELSON 1968 Maadili,maonyo na maana ya mapenzi

77 Robert.S Mapenzi EVANS 1970 Maadili

bora BROTHERS LTD

78Robert.S Sanaa ya

ushairiNELSON 1972 Uzuri wa

ushairi

79

Robert.S Utu bora EASTERN AFRICAN PUBLISHERS LTD

1971 Umuhimu wa kilimo kamauti wa mgongo n uchumi wa Tanzania

80

Robert.S Insah na Mashiri.

NELSON 1967 Mawaidha namaadili mema

81

Robert.S Utenzi wavita vya uhuru

OUP-NAIROBI 1967 Ukombozi wakisiasa

82

Robert.S Siku ya watenzi wote

EVANS BROTHERS

1992 Sanaa,Wasanii,umoja namshikmano.

83Salehe.A.A Changamka A.K.KHANA

PRESS LTD1988 Demokrasia

84

Sayyid,A.A.N

Al-Inkishaf

UOP-NAIROBI 1972 Kukua na kuanguka kwa miji yaPwani ya Afrika ya mashairiki na falsafa ya maisha.

85

Sayyid,A.A.N

Utenzi waAbdulrahman sufiani

EALB 1961 Historia yaAbdulrahmanSufiyani.

86

Sayyid.A.A.N

Utenzi wakadhi Qassim Bin Jaafar

TUKI 1972 Fitina na maadili;

87 Sengo.T.S. Maisha y EAST 1979 Mawaidha

Y mwezi wa ramadhani

AFRICAN PUBLICATION

juu ya diniya kiislam katika mwezi wa ramadhni.

88

Shirika lauchapishaji wa lughaza kigeni

Ukuta mkuu wa kasri ya mfalme

SHIRIKA LA UCHAPISHAJIWA LUGHA ZAKIGENI (BEIGING)

1990 Marudi na mawaidha mema.

89

Simganga.F Teuzi za nafsi

TUKI 1971 Ukombozi wawanaonyonywa,Dini,maadili mema ppamoja n uzalendo.

90

Somba.S Uwanja wamashairi

LONGMAN 1996 Sheria na kanuni za uaandishi wa mashairi.Umoja na Mshikamano

91

Stika.R.K Lugha ya mamba

FORFATTARES-BOKMASKIN(UPPSALA)

1985 Mapenzi nz ndoa.

92

Sudi.A.A (Andanenga)

Diwani yaustadhi

BENEDICTINEPUBLISHERS

1993 Siasa, elimu,uzalendo na uchumi.

93

Sudi.A.A (Andanenga)

Bahari yaelimu ya ushairi

BENEDICTINEPUBLISHERS

2002 Upana wa fani ya ushairi na umoja.

94

Takiluki Malenga wapya

KITUO CHA EWW,MBWENI DSM

1997 Maswala ya uchumi, kilimo,Ukombozi.

95

Zakwany.A.S

Diwani yajinamizi

EALB 1970 Maadili mema siasa na kilimo.

96 A,Abdallah Mashairi ya miaka kumi ya azimio laarusha

UKUTA 1977 Umuhimu wa qzimio l Arusha

97 E,KIZILAHABI

Kichomi HEANMAN EDUCATION BOOK(EA)LTD

1974 Maisha,siasa na uchumipamoja na nyanja nyingine

98 Shaaban Robart

Malenga wa bara

EALB NAROBI 1979 Ujenzi wa jamii mpya

99 Zakariya Mochiwa

Uvumilivuhula mbivu

D,SALAAM UNIVERSITY PRESS

1981 UVUMILIVU UNAMWISHO

Salim S.KIBAO

Utenzi wauhuru wa kenya

Oxford university press

1972 UMUHIMU WA KUPIGANIA UHURU

TAMTHILIYA

S/N MWANDISHI JINA LAKITABU MCHAPISHAJI MWAKA DHAMIRA

1

Boukheit Amina

Maalim TPH 1980 Mikinzano ndani ya Dini na Maisha ya kila siku

2Shungwaya publishers

1977 Ujenzi wa Jamii mpya.

3Boukheit Amina

Zabibu Chungu

IUP 1985 Mila na Desturi

4

Chacha C N Mke mwenza

Heinemann Publishers

1982 Matatizo ya mitaara na Wivu katika Jamii

5

Chimera R M Mnara wawaka moto

NUP Nairobi 1998 Uhalifu,uovuna fitina.

6

Chogo Angelina

Wala mbivu

EALB 1974 Ukombozi wa Kiutamaduni na suala la Elimu

7Fawah F Zimwi la

MrimaDiamond Publication

1991 Dhuluma na uonevu

8

Ganzel E Ndoto ya mwendawazimu.

EALB 1972 Umasikini

9Hussein E Kinjekiti

leOUP 1969 Ukombozi wa

Kisiasa

10Hussein E Mila na

desturiOUP 1971 Mila na

desturi

11Hussein E Mashetani OUP 1976 Mapinduzi ya

Kifikra

12Hussein E Arusi OUP 1980 Mila na

desturi

13

Hussein E Wakati Ukuta

OUP 1970 Mgogoro katiya ukale na usasa

14

Hussein E Kwenye Ukingo waThim

OUP 1998 Ukombozi wa Kiutamaduni,Ndoa na Malezi

15

Hussein E Alikiona HEB 1972 Athari za fitin na uongo katikajamii

16

Hussein E Jogoo Kijijini na Ngao ya Jadi

OUP 1976 Harakati za ukombozi

17

Hyslop G Afadhali Mchawi

EALB Nairobi 1957 Mila na Tamaduni za Kiafrika suala la Mapenzi na ndoa

18

Jilala H Giza Angaza initiative Cooperation Ltd

2004 UKIMWI

19Kaduma G Z Dhamana

MabatiniTPH 1980

20 KAHIGI K.K Mwanzo wa TPH 1975 Matabaka

[na wenzke] Tufani

21

Kangula, L Kung’ala

Heko KuanzishaChama

OUP 1977 Uhuru wa watu na uchaguzi wa viongozi

22

Kezilahabi E

Kaptula la Marx

DUP 1996 Utawala wa Kiitikadi hasa wa mafunzo ya Usoshalisti na Ubepari.

23

Kiimbila J,Saadan Kandoro

Ubeberu Utashindwa na Mashairi ya PSaadan

TUKI 1971 Harakati za ukombozi dhidi y Ubeberu

24

Kithaka wa Mberia

Kifo Kisimani

Marimba Publication

2001 Usaliti na Harakati za Ukombozi.

25

Kulia H NakupendaLakini

OUP 1957 Malezi,Mapenzi na ndoa katika Jamii.

26

Lihamba Amandina

Hawala yaFedha

TPH Matabaka ,Urasimu katikaOfisi za Serikali

27

Lihamba Amandina

Mkutano wa pili wa Ndege

DUP 1992 Unyonyaji ,Ujinga na Unyanyasaji

28Luganda Majira ya

UkameEALB 1976 Imani za

Jadi

29

Malima V M Uchafu Ndanda Mission Press

1983 Vita uharifuna harakati za Ukombozi

30 Mariam S M Mpaka lini?

Angaza initiative Co.Ltd

2004 Madhara ya Rushwa,UKIMWI na

Udanganyifu.

31

Mazrui ALLY Kilio chaHaki

Longman 1981 Mapambano dhidi ya Udhalimu

32

Mbogo E Tone la mwisho

DUPEducational service centre Ltd

1981 Harakati za Ukombozi, Usaliti na Udhalimu

33

Mbogo E Ngoma ya Ngwanamalundi

TPH 1988 Unyonyaji Dhuluma na Ushirikina

34

Mbogo E Giza limeingia

DUP 1980 Unyonyaji Mbaya na Hali ngumu ya maisha mjini

35

Mbogo E Morani OUP 1993 Hujuma na Ubadhirifu,Haki na Moyo wa Uzlendo

36

Mbonde J B Bwana Mkubwa

TranssafricaPublishers

1974 Jitihada za wazalendo kupiga vita Ukoloni mkongwe,Mambo leo na aina zote zaUnyonyaji

37

Medical aidFoundation

Kilio chetu

TPH 1992 Malezi kwa Vijana hsusani wazazi kuvunja ukimya juu ya swala la Mapenzi.

38 Mghanga A Kilio chaJesca

Angaza initiative Co. Ltd

2004 UKIMWI,Unyanyasaji wa Kijinsia na

Mila potofu.

39

Mhanika H Njia panda

DUP 1981 Uchawi itikadi na Uganga wa Jadi

40Mnyampala M Kila

siyesikiaDUP 1997 Ubaguzi

41

Mochiwa Z S Hubaki TUKI 1977 Mimba ne ya ndoa na athari zake

42

Mohamed S A Kivuli kinaishi

OUP 1990 Ujenzi wa jamii mpya Kujitoa Mhanga , Uchawi na Ushirikina

43

Mohamed S A Kitumbua kimeingiamchanga

OUP 2000 Migogoro itokanayo namatabaka Uongozi mbaya na Athari zake katika Jamii.

44

Mohamed S A Amezidi EAPH Nairobi 1995 Mawaidha na Marudi mbalimbali

45

Mtande P K Masimulizi ya kazikatika kijiji chetu.

Litho Arusha 1970 Umuhimu wa kazi,bidii,kujituma.Ukombozi wa Kiuchumi

46

Muba M M Hukoo Darisalama

TPH 1980 Umuhimu wa kazi

47 Muhando p Lina Ubani

DUP 1984 Uzembe kazini na Athari za vita vya

Kagera

48

Muhando p Hatia EAPH 1972 Nafasi za Mwanamke na Ujenzi wa Jamii mpya

49

Muhando p Heshima yangu

EAPH Migogoro ya Kijamii hasakatika swalala Mapenzi

50

Muhando p Pambo Swala Publications

1975 Harakati za Ukombozi hsusani ukoloni mkongwe pamoja na mila na desturi za Kitanzania matatizo yanayowakabili wasomi.

51

Muhando p Tambueni Haki zetu

TPH 1975 Harakati za Ukombozi hsusani ukoloni mkongwe pamoja na mila na desturi za Kitanzania.

52

Muhando p Nguo za mama

DUP 1982 Migogoro baina ya wanawake na harakati za ukombozi wa wanawake.

53 Muhando p Taraka siMke wangu

DUP 1977 Matatizo katika maisha na

kuvunjika kwa Ndoa.

54

Muhando p Lihamba na Balisidya NM

Harakati za Ukombozi

TPH 1980 Ukombozi

55

Mulokozi M M

Mkwawa naUhehe

DUP 1988 Ushujaa na Ujasiri wa Mkwawa.

56

Mushi,S S [Msafiri]

Mfalme Edipode

OUP 1971 Tofauti katiya uwezo wa Kiungu na wakibinadamu

57

Mwiru M S Mpaka lini?

Angaza Initiative Co.Ltd

2004 Athari za Ajira za Watoto

58Ndimara Tegamwage.

Duka la Kaya

Tausi Publishers

1985 Uhujumu uchumi

59Ngakimecha Ngahyoma

Kijiji chetu.

TPH 1985 Uongozi Mbaya

60Ngakimecha Ngahyoma

HUKA TPH 1973 Mila na Desturi

61

Ngli Mwanyengela

Mwana taabu n Michezo mingine.

EALB 1974 Umuhimu wa Uvumilivu katika Ndoa

62

Ngozi I Ushuhuda wa Mifupa.

Inter-Press Tanzania Ltd

1990 Mmomonyokowamaadili na Athari za UKIMWI katika Jamii

63Ngozi I Mahozi ya

MwanamkeTPH 1977 Ukombozi wa

kijinsia.

64

Ngugi G Nimelogwanisiwe naMpenzi

EAPH 1958 Ukombozi wa kiutamaduni Hsusani maswala ya Ndoa.

65 Ngugi wa Mtawa HEB 1970 Ukombozi na

Thiong’o mweusi Mapenzi

66

Ngugi wa Thiong’o na[wanawake]

NitaolewaNikipenda

HEB 1982 Mila na desturi,Matabaka Ndoa naMahusiano

67

Nyambura Mpesha

Kapotei na Lulu

OUP 1985 Umuhimu wa kuwaheshimu wazazi

68

Nyrere J K [msfiri]

Julias Kaizari

DUP-DSM 1969 Mauaji, Mapenzi na habari za Maisha Kifalme.

69

Nyrere J K [msfiri]

Mabepari wa Venis

DUP-DSM 1969 Dhuluma ya Mabepari na Haki

70

Olagoke DO Hakimu mwadilifu

Evn BrothersLtd

1973 Nafasi ya mwanamke katika Jamiina mapambanoyao dhidi yaRushwa

71

Paukwa Theater Group

Chuano DUP 1995 Migogoro katika Jamii.

72

Paukwa Theater Group

Ayoubu Documentation and Publication

1984 Udhalilishaji na Hali yaunyonge katika Jamii

73

Paukwa Theater Group

Ayubu Kampala Document Centre

1984 Haki.

74

Rukambelya V

Msomi ILOS 1990 Matatizo wayapatayo wasoomi.

75 Sehoza M Mwaa katika Minyororo

University missionary for Central Africa.

1921 Fitna na adha za kukaa Jela.

Zanzibar

76

Seme W Njozi za Usiku

Longman –DSM 1973 Ukombozi nchini TANZANIA

77

Semzaba E Ngoswe Penzi kitovu cha uzembe

DUP 1988 Hasara za Ulevi na Kutowajibika,Mapenzi na umuhimu wa Elimu.

78

Semzaba E Tende Hogo

TPH 1984 Utumwa na Athari zake katika Jamii.

79

Semzaba E Sofia wa Gongolamboto

Benedictine Publishers

1984 Ukombozi wa kijinsia na Mapenzi,Umuhimu wa elimuna Imani z kishirikina.

80Sengo T S Y Mtumwa TUKI 1978 Athari zq

utumwa.

81

Sengo T S Y Utani kwavitendo

DUP 1973 Ukombozi wa Kifikra na Mawaidha

82

Senkoro F E Adila Benedictine Publishers

2002 Mapenzi,rushwa,ukatili na wizi.

83

Sheraly N [nawenzke]

Wakti ni huu

TPH-DSM 1973 Faida ya Elimu ya watu wazima na Kisomo chenye Manufaa.

84 Topan Farouk

MFALME JUHA

OUP 1971 Tamaa mbele Mauti nyuma,Adabu na Heshima Tabia

njema,Tamaa na choyo na Mauti.

85

Topan Farouk

AliyeonjaPepo

TPH 1977 Matabaka na nafasi ya Dini katika Jamii.

86

Ubehoma K M Rushwa Nchini.

TUKI 1978 Dhuluma ,wizi na Ukombozi.

87

Ugula P Ufunguo wenye hazina.

Evan-DSM 1969 Maono na Maadili katika Maisha.

88

Wamitila K W

Wingu la kupita.

Spectrum media Ltd

1999 Uongozi mbaya,Dhuluma na Ushirikina.

RIWAYA

S/N MWANDISHI JINA LA KITABU

MCHAPISHAJI MWAKA DHAMIRA

1

A Bedinko Mwasi H.E.B Nairobi

1972 Mgogoro Katiya Ukale na Usasa

2

A. M kateti Kiwiliwili kilichopotea

Ndanda Mission Press

1994 Ulevi, Uvivu, Mapenzi, Unyumba Na Mauwaji ya Kinyama (Maadili Katika Jamii)

3

A. R. Mhozi Pendo la Kifo

T.P.H, DSM 1980 Ukosefu wa uaminifu na mapenzi katika ndoa

4Abdallah L.Ajjm

Habari zaWakirindi

5

Abdallah M.S

Mzimu wa Watu wa Kale

E.A.L Nairobi

1958 Athari ya dhuruma na upelelezi

6

Abdallah M.S

Kisiwa cha Giningi

Evans Brother Nairobi

1958 Uongozi Mbaya na ushikina

7

Abdallah M.S

Dunia Kuna Watu

E. A. P .H. Nairobi

1973 Maadili na maono kwa binadamu

8Abdallah M.S

Siri ya Sifuri

E. A. P .H. Nairobi

1974 Upelelezi

9 Abdallah M.S

Mwana wa Yungi Hulewa

E. A. P .H. Nairobi

1976 Mila na tamaduni mbalimbali

za kitanzania

10Abdallah M.S

Kosa la Bwana Msa

Africana Publishers

1984 Upelelezi

11

Abdul Baka Salome T. P.H Dsm 1972 Nafasi ya mwanamke katika jamii

12 Ahando V Utaniua O. U P 1973 Hekima

13

Akwisomba B Jero si Kitu

T.P.H, DSM 1972 Ujenzi wa jamii na maendeleo

14

Alli HassanNjama

Nazikumbuka Ndoto

Jomokenyata Foundation Nairobi

2004 Umuhimu wa elimu katikajamii

15

Amina H.N Chuki ya Ndoa

Benedictin Publication

1981 Unyanyasaji dhidi ya wanawake

16

Bairu. K. Atama

Sokoni Kariakoo

Tam tam BookPublication

2004 Matatizo ya mjini kwa wageni

17

Banzi Alex Titi la Mkwe

T.P.H, DSM 1972 Mapenzi, imani za ushirikina na uchawi ( falsafa yamaisha ya mwafrika)

Barisidya N.M

Shida Foundation Nairobi

1975 Ujenzi wa jamii mpya

18Buyu, John Mtu Geni longman 1971 Ujenzi wa

jamii mpya

19

Chachage C.L

Kivuli BCI- Publishers

1981 Ugumu wa Maisha na Mapenzi

20Chachage C.L

Sudi ya Yohana

DUP- DSM 1981 Ujenzi wa jamii mpya

21

Chachage C.L

Almas za Bandia

DUP- DSM 1991 Unyonyaji dhidi ya nchi changa

22

Charle M.L Adha ya Kimwi

TMP Book Department

2001 Matatizo yatokanayo na ukimwi

23Chiduo, M Mikononi

mwa MauiEAP 1978 Maisha na

Mwisho wake

24

Chime M. w. Gongo la Umma

Black Star Agencies, DSM

1980 Hrakati za ukombozi za wandima dhidi ya wamboya

25

Chiume,M.K Mbutolwe Mwana wa Umma

Longman 1973 Ujenzi wa Jamii Mpya

26

Chuma,K. Fadhiri msili wnaugua

TPH- DSM 1971 Mvutano baina ya mila za kiislam tamaduni zingine

27Eddie, Ganzel

Faili Maalum

Tamasha Publishers

1978 Upelelezi

28Eddie, Ganzel

Kitanzi Utamaduni Publishers

1984 Kisasi

29Eddie, Ganzel

Kijasho Chembamba

Tamasha Publishers

1980 Ulinzi na Uhalifu

30

Farsy, M. S Kurwa na Doto

EAPH 1978 Mila na Destri za Wakazi wa Zanzibar

31

Hambwe, J Maisha Kitendawili

Jomo Kenyatta Foundation

2000 Ugumu wa Maisha. Anasa na Umuhimu wa kazi katika Maisha

32

Hammie, Rajabu

Roho Mkpnpni

Busara Publication

1984 Upelelezi

33 Hunga,E Cha EALB 1974 Mapenzi

moyoni Mwako Kisetiri

Katika Ndoa

34

Isaya, P Nyumabni kwa Mchawi

NMP 1961 Imani za jadi na Athari za Utamaduni

35J. Kitsao Bibi

ArusiOUP 1980 Mila na

Desturi

36

Joachim, Gatahwa

Mdundiko wa Maisha

Benedictine Publication

1990 Migongano Katika Maisha

37John, M. S Kivumbi

UwanjaniTras Afica 1978 Mapenzi

38Kageuka, Frolika

Mbio za Jasusi

Upendo Publishers

1992 Ujasusi na Upelelezi

39

Kapombe, Y.N

Usiku wa Mbalamwezi

TPH- DSM 1979 Harakati za Ukombozi

40

Kasam, K. M Mpango International PublishersAgencies Ltd

1982 Harakati za Ukombozi

41Katalambula, F. H

Simu ya Kifo

EALB 1965 Upelelezi

42Katalambula. F. H

Pili Pilipili

EAP 1977 Tama na Mapenzi

43Katalambula. F. H

Buriani TPH- DSM 1972 Masaibu ya Maisha

44

Kayamba, Martine

Tulivyoona na Tulivyofanyiwa na Uingereza

EALB- Nairobi

1934 Uonevu na Unyanyasaji wa Kitaifa na Kitabaka

45

Kezilahabi,E.

Rosa Mistia

EALB 1971 Mgongano wa Mila na Athari za Malezi

46Kezilahabi,E.

Kichwa Maji

EAPH 1974 Falsafa ya Maisha

47

Kezilahabi,E.

Dunia Uwanja waFujo

EAP- Arsha 1975 Falsafa ya Maisha

48Kezilahabi,E.

Gamba la Nyoka

EAP 1979 Falsafa ya Maisha

49

Kezilahabi,E.

Nagona Education Publication Centre

1987 Falsafa na Ukweli kuhusu Maisha

50Kezilahabi,E.

Mzingile DUP 1996 Falsafa na Maisha

51

Kiango, S.D Jeraha laMoyo

HEB 1974 Mapenzi na Maadili katika Jami

52

Kibao, S. A Matatu yaThamani

Heinemann Education Books

1975 Dhuruma, Ufukara na Utajiri

53

Kiimbila, J. K.

Ubeberu Utashindwa

TUKI-DSM 1971 Harakati ya Ukombozi katika Nchi ya Msubiji

54

Kiimbila, J. K.

Lila na Fila

OUP 1967 Umuhimu wa umoja katikaJamii

55

Kimwaga, H.A.

Je ni Kisasi?

Associated Graphics Arts Publication

1982 Dhamana ya Mapenzi na Ndoa

56Kirumbi, S.P

Nataka Iwe Siri

TUKI-DSM 1974 Ukoloni

57

Kitereza, Anicet

Bwana Myombokere na BibiBibi Bugonoka

TPH- DSM 1980 Mila na Desturi, Mpaenzi na Unyumba

58

Komanya, Anthony

Tabu TPH 1992 Matatizo katika maisha

59 Komba, S. M Pete TUKI-DSM 1978 Dini na

Mapenzi

60

Komba, S. M Mchakamchaka wa Maisha

Peramiho Printing Press

1978 Harakati za Maisha na Umoja

61

Korieth, P.M

Hadith yaVita vya Majimaji

EAPH 1971 Ukombozi

62

Korieth. P.M

Kibuli bila ya Msalaba

EAPH 1971 Ukombozi na Imani ya dini

63Lema, E Mwendo Diamond

Publishers1980 Malezi

64

Lihamba, Amandina

Wimbo wa Sokomoko

TPH 1990 Malezi ya vijana na Uwajibikaji

65

Liwenga, G Nyota ya Huzuni

TPH 1981 Mapenzi, unyanyasaji na Uwajibikaji

66

Liyoka, H. M

Dunia Imeharibika

Longman 1970 Uozo Duniani

67

Masoza,C.N Zaka la damu

Dar-es-salaam PrintPark

1972 Mapenduzi yakweli Zanzibar

68

Mathius Mynapala

Mlina asali na wenzake wawili

EALB 1961 Maadili

69

Mathius mnyapala

Kisa cha bahati nandugu zake

Ndanda mission press

1967 Maadili

70

Mben,I,C Ujamaa siuwezi

BSA 1975 Umuhimu wa ujamaa na umoja katikajamii

71 Mbogo.E Watoto wamama

HEKO PABLISHER

2002 Umasikini elimu nafasi

ntilie ya mwanamke ktk jamii

72

Mbotela JAMES

UHURU WA WATUMWA

Sheldon press London

1934 Ukombozi na wema wa waingereza kwa watumwa

73Mbwela,H,M Donda

nduguTPH-DSM 1973 Matatizo ya

maisha

74

Mbwelwa,H,M Mtu aliyefufuka

TPH-DSM 1972 Ushirikina

75Mdoe,C Kilemba

cha ukokaKiuta-DSM 1984 Kejeri na

dhihaka

76Mfwangavo,D,S

Zainabu ghorofani

Ndanda mission

1971 Bidii katikakaz

77Mhina,G Mtu ni

utuTPH-DSM 1971 Unanyasaji

na maadili

78

Mkabarah,J Maisha yasalum Abdallah

Tuki DSM 1975 Historiya yamaisha ya salum Abdalah

79Mkangi K,G Mafuta HEB 1984 Maovu na

matabaka

80Mkangi K,G Ukiwa TPH-DSM 1975 Rushwa na

mapenzi

81Mkangi,K,G Ukiwa TPH-DSM 1975 Rushwa na

mapenzi

82

Mkufya,W,E Zirael nazirani

Hekima publishers DSM

1999 Mgogoro wa dini

83Mkufya,W.E Ua la

furahaTPH 2004 Starehe na

mapenzi

84

Mloka,C Mjini taabu

Benedictine pablication

1985 Matabaka,Rushwa na unyanyasaji

85

Mlokozi, M.M

Moto wa Mianzi

ECOL- Publication

1996 Madhara yaVitaBaraniAfrica

86 Mlokozi, M. Ngoma ya TPH- DSM 1991 Uongozi,

M Mianzi Mapenzi, siasa na Ndoa

87

Mlokozi, M.M

Barua za Shaaban Robert

TUKI-DSM 2000 Maonyo na Maadili

88Mlokozi, M.M

Ngome ya Mianzi

89

Mohamed, S.Mohamed

Nyota ya Rehema

UOP 1978 Uongozi Mbaya, Uwazina Ukweli

90

Mohamed, S.Mohamed

Kicheko cha Ushindi

Shungwaya Publishers Ltd

1978 Matabaka na Utamaduni

91

Mohamed, S.Mohamed

Kiu EAPH- Nairobi

1972 Mirathi, Mapenzi na Unyumba

92

Mohamed, S.Mohamed

Utengano Longman- Nairobi

1980 Mvutano baina ya Nguvu za Kiasili na Jamii

93

Mohamed, S.Mohamed

Dunia MtiMkavu

Longman-Nairobi

1980 Mvutano baina ya Nguvu za Kiasili na Jamii

94Mohamed, S.Mohamed

Kina cha Maisha

Longman 1984 Falsafa ya Maisha

95

Mohamed, S.Mohamed

Kiza katika Nuru

OUP- Nairobi 1988 Mapambano yaMila na Itikadi za Kijamii

96

Mohamed, S.Mohamed

Tata za Asumini

Longman 1990 Ukiukwaji waHaki za Binadamu, Fikra na Hisia

97 Mohamed, S. Babu J.K 2001 Utawala wa

Mohamed Alipofufuka

Foundation Kilimwengu na Athari zaMaendeleo

98Mohamed, S.Mohamed

Asali Chungu

Shungwaya Publishers

1978 Mapenzi

99

Mohammed,M,S

Mchomo wakisu

EAP 1970 Kiu ya maisha na kero ktk jamii

100

Mohammed,M.S

Kulwa na Doto

EAPH 1960 Thamani ya utamaduni ktk jamii mila na desturi

101

Mommed.M.S Mbojo simba mtoto

EALB 1977 Upelelezi wasimba mla watu

102Msewa.O Kifo cha

ugeniniTPH 1977 Mauaji

103

Msokile, M. Usiku utapokeisha

Popular publication Ltd

1990 Maisha na mzunguko wake,Dhulma athari yake

104Msokile, M. Nitakuja

kwa siriDUP 1981 Mapenzi

105Msokile, M. Dhani ya

ukubwaDUP 1979 Mapambano

yakitabaka

106

Msokile, M. Dhihaka ya mume

Meza pablication

1992 Unjanjasaji Dhidi Ya Wanawake

107

Mtendamema,G.W

Utotole LOGMAN 1974 Imani za uchawi na kutunza tunuza maisha

108

Mtobwa, B. R.

Tutarudi na roho zetu

Heko purblishers DSM

1987 Upelelezi nadhuluma

109Mtobwa, B. R.

Dimbwi ladamu

APT 1984 Mauaji na uharifu

110

Mtobwa, B. R.

Harakati za Joram njuma ya pazia

Heko publishers

2004 Mauaji na upelelezi

111Mtobwa, B. R.

Pesa zakozinanuka

2005 Unafiki na ukatili

112

Mtobwa, B. R.

Dar es salaam usiku (Malaika,Shetani)

2004 Uvumilivu

113

Mung’ong’o,C

Mirathi ya hatari

Education publishers and distribution

1977 Ushirikiano mila na desturi

114

Mung’ong’o,C

Njozi iliyopotea

TPH 1980 Usawa wa binadam dhulma na unjanjasaji

115

Musiba, A. E

Njama Pupular publication Ltd

1989 Uharifu na upelelezi

116Musiba, A. E.

Zawadi yaushindi

1987 Ukombozi na mapenzi

117

Musiba, A. E.

Hofu Popular publication Lltd

1997 Ukombozi na upelelezi

118

Musiba, A. E.

Kikosi cha kisasa

Popular publication Ltd

1989 Uharifu na upelelezi

119

Mvungi, M lwidiko TPH-DSM 1976 Uwajibikaji Haki na mapenzi

120Mvungi, T Hana

hatia1975 Maadili na

Haki

121

Mwakyembe,H Pepo ya mabwege

DUP 1974 Uchumi na nafasi ya mwanamke ktkjamii

122Mwanga, Z. Kiu ya

HakiDUP 199 Haki ukweli

na ukombozi

123

Mwanga, Z. Hiba ya Wivu

OUP 1974 Fina na athari za wivu ktk maisha

124

Singija D. Pendo la kifo

TPH 1972 Kutoaminiana,imani za uchawi na ushirikina

125

Senkoro ,F,E

Adila Benedictine publication

2002 UJENZI WA JAMII MPYA MAADILI MAPENZI NA ELIMU

126

Senkoro ,F,E

Mzalendo Shinywaya publisher Nairobi

1977 Harakati na mbinu za ukombozi

127

Semela Fedelis

Maisha yanuksi

Longman 1976 Pupa ya mafanikio kwa vijana na ugumu wa maisha

128

Shija SF BALAA LA USHANGINGI

Ndanda misision press

1992 Ansa za mapenzi

129Omolo L.O UHARIFU

HAULIPILONGMAN 1971 MAUAJI

130

Omolo L.O MTAKA YOTE KWA PUPA HUKOSA YOTE

LONGMAN 1973 TAMAA YA MALI NA ATHARI ZAKE

131Omolo L.O MUELEVU

HAJINYOIHEKIMA PUBLISHERS

1971 ULEVI MWINGIHAUFAI

132 RUHUMBIKA,G Milad bubu ya wazalendo

TPH 1992 HUJUMA NA UONGOZI WENYE

URASIMU

133

ROBERT.S Kusadikika

Nelson NAIROBI

1951 ELIMU NA UONGOZI MBAYA

134

ROBERT.S Adili na nduguze

Macmillan 1952 UADILIFU WIVU NA TAMAA

135

ROBERT.S Maisha yangu na baada miaka hamsini

Nelson NAIROBI

1966 MAISHA NA MAPENZI

136

ROBERT.S Siku ya watenzi wote

NELSON NAIROBI

1968 UKOMBOZI

137

ROBERT.S Utu bora mkulima

NELSON NAIROBI

1968 UMUHIMU WA KILIMO

138

ROBERT.S Wasifu wasiti bint9Saad

NELSON NAIROBI

1965 MALEZI UVUMILIVU UJASILI NA ELIMU

139

ROBERT.S Maisha mapya

HIDARA YA UCHAPAJI RADUGA MASCOW

1987 MAWAIDHA NA MAONYO MBALIMBALI

140

ROBERT.S Kufikirika

MKUKI NA NYOTA PUBLISHERS DSM

1991 HABARI YA ,MAISHA YA KIBWENYENYE NA KIFALME,JUHUDI ZA UKOMBOZI

141

RUTAYISIGWA,J,

NGUMI UKUTANI

LONGMAN 1979 MAPENZI,MALEZI NA FAIDA ZA UVUMILIVUNA SUBIRA KTK MAISHA

142

RASHID,H. ROHO MKONONI

BUSARA PUBLICATION

1984 UONGOZI MBAYA,UJASIRI NA UWAJIBIKAJI

143

SAYARI ,A.J HARUSI DUP 1993 UKALE NA USASA MAPENZI NA NDOA

144SAID. S UKOMBOZI EAST AFRICAN

PUBLICATION1979 MAPAMBANO

145SEHZA M MWAKA KTK

MINYORORO1921 DHULMA NA

UONGOZI

146SEME,W NJOZI ZA

USIKULONGMAN 1973 UKASUKU

147SALEHE S DIRA OUP 1976 HAKI NA

USAWA

148

SHAFII ADAM,S

KULI TPH 1979 UNYONYAJI N DHULMA YA UKOLONI TANZANIA

149

MHIMBALI RENATUS

VISA VYA YATIMA CHIBIBI

HEKO PUBLISHERS

2003 HEKIMA.UJASIRI.NA VIPAJIVYA WATOTO VILIVYOFICHIKA

150

MNYAKA ONGE KIMBIA” HELENA KIMBIA

HEKO PUBLISHERS

2005 MATATIZO YA VITA VYO WENYEWE KWA WENYEWE AFRIKA YA KATI

151

MUSHI,J,S BAADA YA DHIKI FARAJA

TPH UDSM 1969 HARAKATI ZA KUONMDOA MATABAKA UKOMBOZI

152MUSHI,J,S TUHUMA ZA

UCHAWIBPNP 1986 IMANI POTOFU

153NGOMOI.J NDOTO YA

NDALIATPH 1976 UJENZI WA

JAMII MPYA

154

NKWELA ,F MAZISHI YA BABA ANARADHI

EALB 1967 MILA NA DESTURI

155NURU,M.S NDOA YA

MZIMUEALB 1974 USHIRIKINA

156157

NG’AMBO.A.H CHUKI YA NDOA

BENEDICTINE PUBLIUCATION

1981 UGANDAMIZAJINA MAPENZI

158

NDIMBALE,CHARLES

FIMBO YA ULIMWENGU

HED 1974 MATATIZO KTKJAMII NA UJASIRI

159NYASURU GODFREY

LANA YA PANDU

ELB 1974 MAADILI

160

NCHIMBI BR MAPENZI YA DAWA

TPH 1974 MAPENZI YA KWELI NA YADAWA

161

NSHIKU,T FIMBO YA MNYONGE

TPH 1978 MIVUTANO YA KITABAKA BAINA YA MATABAKA YA WATAWALIWA NA WATAWALA

161

162

SHAFI ADAM SHAFI

KASRI YA MWINYI FUNDI

TPH 1`978 Unyonyaji naMapinduzi

163

SHAFI ADM,S.

VUTAN’KUVUTE

MKUKI NA NYOTA PUBLISHERS

1999 Ukombozi wa Kisiasa Kiutamaduni na Dhana potofu.

164

ERICK,J.SHIGONGO

RAIS ANAMPENDAMKE WANGU

GLOBA PUBLISHRES AND GENERAL ENTERPRESES LTD

2003 Mapenzi na Kisasi

165 ERICK,J.SHIGONGO

SILI ILIYOTESAMOYO WNGU

GLOBA PUBLISHRES AND GENERAL

2003 Usaliti katika Mapenzi,Uhal

ENTERPRESES LTD

ifu,Ukatili na Upelelezi

166

SEMZABA,E FUNGE BUGEBUGE

DUP 1999 Athari za Umri ktika Maisha

167

SIMBAMWENE,J,M

KWA SABABU YAKO

LONGMAN 1972 Ubadhilifu wa Mali za Umma

168SIMBAMWENE,J,M

KIVUMBI UWANJANI

TRANS AFRICA 1978 Mapenzi

169SIMBAMWENE,J,M

RISASI YAMWISHO

JOMMOSI 1981 Upelelezi

170

SIMBAMWENE,J,M

KWELI UNANIPENDA?

TRANS AFRICA 1978 Mapenzi n Ndoa

171

SIMBAMWENE,J,M

KWA SABABU YAPESA

LONGMAN 1972 Tamaa ya Pesa,Uhalifuna Ujambazi

172

SIMBAMWENE,J,M

MAPENZI YA PESA

NMP 1976 Mapenzi ya Fedha Hayafai

173

SOMBA.J,N KUISHI KWINGI NIKUONA MENGI

EAPH 1973 Utii Maadilimema Hekima na Malezi bora

174

SOMBA.J,N ALIPAND UPEPO AKAVUNA TUFANI

Kiuta Ltd 1969 Usaliti katika maisha

175

SANGIJA ,D BADO MMOJA

NDANDA MISSION PRESS

1975 UPELEZI DHULMA NA MAUAJI

176

THONYA,L.M ULIMWENGUWA NDOTO

BSA 1978 HISTORIYA YA,MAISHA YA MWANADAMU ULIMWENGUNI

177 TUNGANEA,W.X

…ZA UMMA TAMU LAKINI

TANZANI BOOKSELLERS COMPANY LTD

1984 HUJUMA DHIDIYA RASILIMALI

ZA UMMA ZIFANYWAZO NA VIONGOZI

WHITELEY,W MAISHA YAHEMED BINMOHAMMED EL MUJEBIYAANI(GIPPUTIPP)

EALB 1975 MAISHA Y TIPP TIPP NABIASHARA YA UTUMWA NA PEMBE ZA NDOVU TANZANIA-CONGO