JUMA - Teachers updates

23
DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke 1 MAAZIMIO YA KAZI KIDATO CHA PILI MUHULA WA KWANZA MWAKA 2020 JUMA KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA NYENZO MAONI 1 1 Kusikiliza na kuzungumza. Matamshi bora. Silabi tatanishi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: Kusahihisha makosa ya kitamshi yanayohusu silabi. Maelezo. Kutamka. Imla. Maswali na majibu. Kiswahili Fasaha - II Mwongozo wa Mwalimu. Kitabu cha Mwanafunzi. KCM Uk 1-2 MWM Uk 1-2 2 Kusikiliza, kuzungumza pamoja na kuandika. Utungaji – Orodha ya mambo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: Kueleza ordha ya mambo. Kueleza umuhimu wa ordha. Ketengeneza orodha ya mambo. Majadiliano. Maelezo. Makundi. Tajriba. KCM 2-4 MWM Uk 2-3 Michoro- kichwa cha binadamu, ala za kutamkia. 3 Kusoma na kwandika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: Kusoma kwa sauti na kimya. Kujibu maswali. Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiati mpya. Usomaji wa taarifa. Tajriba. Maelezo. Maswali na majibu. Utafiti wa msamiati. KCM Uk 4-5 MWM UK 3-7 Kamusi. 4 Sarufi na matumizi ya lugha. Nomono. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: Kuelezea nomino ni nini. Kutaja na kueleza aina za nomino. Kutumia nimino katika sentensi. Ufafanuzi. Maelezo. Maswali na majibu. Mazoezi. KCM Uk 6-7 MWM UK 7-8 5 Kusikiliza na kuzungumza. Makosa ya kimantiki. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: Kusikiliza na kuchanganua taarifa. Kutambua na kurekebisha makosa ya kimantiki katika taarifa. Ufahamu wa kusikiliza. Ugunduzi. Mifano. Vichekesho. Kazi mradi. KCM Uk 8 MWM UK 8-10

Transcript of JUMA - Teachers updates

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

1

MAAZIMIO YA KAZI KIDATO CHA PILI MUHULA WA KWANZA MWAKA 2020

JUMA

KIPIN

DI

MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA NJIA ZAKUFUNDISHIA NYENZO MAONI

1 1 Kusikiliza nakuzungumza.

Matamshi bora.Silabi tatanishi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusahihisha makosa ya kitamshi yanayohususilabi.

Maelezo.Kutamka.Imla.Maswali na majibu.

KiswahiliFasaha - IIMwongozowa Mwalimu.Kitabu chaMwanafunzi.KCM Uk 1-2MWM Uk 1-2

2 Kusikiliza,kuzungumzapamoja nakuandika.

Utungaji – Orodhaya mambo.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza ordha ya mambo.Kueleza umuhimu wa ordha.Ketengeneza orodha ya mambo.

Majadiliano.Maelezo.Makundi.Tajriba.

KCM 2-4MWMUk 2-3Michoro-kichwa chabinadamu, alaza kutamkia.

3 Kusoma nakwandika.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Tajriba.Maelezo.Maswali na majibu.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 4-5MWMUK 3-7

Kamusi.

4 Sarufi namatumizi yalugha.

Nomono. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kuelezea nomino ni nini.Kutaja na kueleza aina za nomino.Kutumia nimino katika sentensi.

Ufafanuzi.Maelezo.Maswali na majibu.Mazoezi.

KCMUk 6-7

MWMUK 7-8

5 Kusikiliza nakuzungumza.

Makosa yakimantiki.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusikiliza na kuchanganua taarifa.Kutambua na kurekebisha makosa ya kimantikikatika taarifa.

Ufahamu wakusikiliza.Ugunduzi.Mifano.Vichekesho.Kazi mradi.

KCMUk 8

MWMUK 8-10

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

2

2 1-2 Kusikiliza nakuzungumza.Fasihi yetu.

Ukusanyaji nauhifadhi wa fasihisimulizi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza njia zinazoweza kutumika kukusanyakazi za fasihi simulizi.Kufafanua njia zinazoweza kuhifadhi kazi zafasihi simulizi.Kueleza udhaifu ulioko katika njia za kuhifadhifasihi simulizi.

Masimulizi.Maelezo.Maswali na majibu.Ufahamu wakusikiliza.

KCMUk 8-9

MWMUK 10-12

3 Kuandika. Insha ya mdokezo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza sifa za insha ya mdokezo.

Ufafanuzi.Mifano.Utungaji.

KCMUk 10

MWMUK 12

4 Kuandika. Utungaji.Maagizo namaelekezo.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza sifa za insha ya mdokezo.

Ufafanuzi.Maelezo.Mifano.Utungaji.

KCMUk 11

MWMUK 12-14

5 Kusikiliza nakuzungumza.

Mazungumzohoelini.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza sifa za mazungumzo hotelini.

Kusoma.Kujibu naswali.Kuigiza.Kazi mradi.

KCMUk 11-12MWMUK 14-15Mifano yamenyu.

3 1 Kusoma nakuandika.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Tajriba.Maelezo.Maswali na majibu.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 13MWMUK 15-16

Kamusi.Picha.Mikusanyikoya resipe.

2-3 Sarufi. Vitenzi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya vitenzi.Kutoa mifano ya aina za vitenzi.Kutumia vitenzi kutungia sentensi.

Mifano.Maelezo.Ufafanuzi.Mazoezi.

KCMUk 14-16

MWMUK 16-17

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

3

3 4 Ufasaha wa lugha. Uakifishaji. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza aina na umuhimu wa viwakifishi.Kutumia viwakifishi kwa ufasaha katikasentensi na vifungu.

Utafiti.Mifano.Ufafanuzi.Mazoezi.

KCMUk 16-17

MWMUK 17-18

Kamusi.

5 Kusikiliza nakudadisi.Fasihi yetu.

Masimulizi yahadithi- fasihisimulizi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana na matumizi ya hekaya.Kueleza mafunzo kutoka hekaya iliyosomwa.

Masimulizi.Kusoma.Maswali na majibu.Maigizo yauwasilishaji.

KCMUk 17-18MWMUK. 18Vibonzo,maleba.

4 1 Kuandika.Utunzi.

Uandishi wakiuamilifu.Resipe.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutoa tafsili ya neno resipe.Kutaja sababu za kutengeneza resipe.Kueleza mtindo wa kuandika resipe.Kutumia msamiati wa mapishi ipasavyo.

Kueleza mifano.Maelezo.Tajriba.Kuandika na kuelezamsamiati.

KCMUk 19-20

MWMUK. 18-19

2 Kusikiliza,kuandika nakuzungumza.

Matamshi bora.Sauti tatanishi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kubainisha sauti za Kiswahili.Kueleza sababu za sauti tatanishi.Kurekebisha utata unaotoka na sauti tatanishi.

Utamkaji.Usomaji.Ufaraguzi.Makundi.Majadiliano.Maswali na majibu.

KCMUk 21

MWMUK. 19-21

3 Kusikiliza nakuzungumza.

Mahojoano bainaya daktari namgonjwa.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza mahojiano ni nini.Kueleza sifa za mahojiano.Kueleza yaliyomo katika mahojiano.

Mahojiano.Majadiliano.Kazi za makundi.Mifano.

KCMUk 22-23

MWMUK 21-23

4-5 Kusoma kwaufahamu namapana.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Tajriba.Maelezo.Maswali na majibu.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 23-25MWMUK 23-26Michoro,vibonzo,mabango.

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

4

5 1 Sarufi. Vivimishi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya vivumishi.Kubainisha aina za vivumishi.Kutumia vivumishi katika sentensi.

Ufafanuzi.Mifano.Maswali na majibu.Mazoezi.Marudio.

KCMUk 25-9

MWMUK.26-8

5 2 Kusikiliza nakuzungumza –ufasaha wa lugha.

Lugha hospitalini. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza sifa na madhumuni ya lughainayotumika hospitalini.

Mifano na maelezo.Maswali na majibu.Utendaji.

KCMUk 29-30

MWMUK. 28-9

3-4 Kusoma kwa kina.Fasihi yetu.

Mashairi yaarudhi –Mashairi yangonjera.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza sifa na muundo wa ngonjera.Kukariri ngonjera ifavyo.Kujibu maswali kutoka ngonjera.

Ufafanuzi.Majadiliano.Kukariri.Kuigiza.

KCMUk 30-1

MWMUK. 29-30

5 Kuandika. Insha yamazungumzo.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza sifa za muundo wa insha yamazungumzo.Kuandika insha ya mazungumzo.

Ufafanuzi.Majadiliano.Mjadala.Kuandika.

KCMUk 31-32

MWMUK. 30-31

6 1 Kuandika. Uandishi wakawaida.Imla.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa ufasaha.Kuandika taarifa kwa usahihi.Kueleza maana ya maneno yanayokaribianakimaana.

Maelezo.Maswali na majibu.Imla / mashindano.

KCMUk 33

MWMUK. 31-32

2 Kusikiliza nakuzungumza-

Mazungumzobaina ya mwalimuna mzazi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kuendesha mazungumzo kwa mtiririko mzuriKutumia msamiati ipasavyo.

Mifano na maelezo.Maswali na majibu.Mashindano.

KCMUk 23-25MWMUK.22-23

3 Kusoma nakuandika.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Uvumbuzi.Maelezo.Maswali na majibu.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 35-6MWMUK 33-4

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

5

4 Sarufi. Vivumishi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutaja aina na matumizi ya vivumishi.

Maswali na mifano;Majadiliano.

KCMUk 37-41MWMUK 34-36

5 Kusoma.Ufasaha wa lugha.

Matumizi yakamusi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza makusidio ya kutumia kamusi.Kutafuta mambo katika kamusi kwa kasi.

Maelezo.Kutamka.Imla.Marudio /kurekebisha makosa.

KCMUk 42

MWMUK. 36-7

7 1MTIHANI WA MAJARIBIO

7 2 Kisikiliza nakudadisi.

Maudhui. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya maudhui na jinsi ya kupatamaudhui katika kazi za fasili.

Maelezo.Majadiliano.Uchunguzi.

KCMUk 42-3MWMUK. 37-38

3 Kuandika.Utunzi.

Ratiba- siku yawazazi shuleni.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutaja sifa za ratiba.Kuandika ratiba kwa ufasaha.

Tajriba.Mifano.Kuandika.Kulinganisha.

KCMUk 43-4

MWMUK. 38-9

4 Kusoma nakudadisi.

Misemo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya misemo.Kutumia misemo katika sentensi.

Maelezo.Mifano.Ufafanuzi.Kuandika.

KCMUk 45

MWMUK 39-40

5 Kusikiliza nakuzunungumza.

Huduma yadharura.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya huduma ya huduma yadharura.Kushauri wakati wa kutolewa huduma zadharura mbalimbali.

Masimulizi.Tajriba.Maigizo.Ufahamu wakusikiliza.Utatuzi wa mambo.

KCMUk 45-6

MWMUK 39-40

8 1 Sarufi namatumizi yalugha.

Viwakilishi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya viwakilishi.Kubainisha aina za viwakilishi.Kutunga sentensi kwa kutumia aina mbalimbaliza viwakilishi.

Vielezo.Mifano.Maswali na majibu.Utungaji wa senensi.Mazoezi.Marudio.

KCMUk 49-53

MWMUK 42-44

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

6

2 Sarufi. Usemi halisi nausemi wa taarifa.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kupambanua usemi wa taarifa na halisi.Kugeuza sentensi kutoka hali moja halinyingine.

Mifano.Ufaraguzi.Mazoezi.Marudio.

KCMUk 53-54

MWMUK 44-5

3-4 Kusikiliza nakudadisi.Fasihi yetu.

Tamathali zausemi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kuonyesha wasanii wanavyotumia lugha katikafasihi.Kutoa mifano ya baadhi ya tamathali za usemi.

Maelezo.Mifano.Kutunga sentensi.Utafiti.

KCMUk 54-5

MWMUK 45-6

5 Kuandika.Utunzi.

Insha ya maelezo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza mambo ya kuzingatia katika kutoamaelezo.Kutoa ripoti ya jambo fulani kwa usahihi.

Uigizaji.Uchunguzi.Ufahamu wakusikiliza.Kuandika.

KCMUk 55-6

MWMUK 46

9 1,2 Kusikiliza nakudadisi.

Istiari. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kufafanua neno istiari.Kutoa na kueleza maana ya istiari mbalimbali.Kutumia istiari katika sentensi.

Maelezo.Uvumbuzi.Maswali na majibu.Majadiliano..Mazoezi.

KCMUk 57

MWMUK. 47-8

3,4 Kusikiliza nakudadisi.Fasihi yetu.

Mafumbo. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza dhana ya mafumbo na umuhimu wake.Kufumba na kufumbua mafumbo.

Ufafanuzi.Maelezo.Masali na majibu.Mashindano.Kujaza mirabaImla.

KCMUk 57-8

MWMUK. 48-51

5 Kusoma nakuandika.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Uvumbuzi.Maelezo.Maswali na majibu.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 58-60

MWMUK 51-2

10 1 Sarufi. Vielezi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya vielezi.Kutunga sentensi sahihi kwa kutumia vielezi.

Maelezo.Mifano.Maswali na majibu.Mazoezi.

KCMUk 60-2

MWMUK 52-3

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

7

2 Sarufi.Ufasaha wa lugha.

Ukubwa na odogowa nomino.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kufafanua hali ya ukubwa, udogo na wastaani.Kueleza mabadiliko ya kisarufi katika halitofauti.Kutumia nomino za hali tofauti katika sentensi.

Mifano.Maelezo.Mazoezi.

KCMUk 62-4

MWMUK 53-4

3,4 Kusikiliza nakudadisi.

Wahusika. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya wahusika.Kutaja na kueleza aina ya wahusika.Kueleza sifa za wahusika kwa ujumla.

Tajriba.Majadiliano.Maswali na majibu.Ufafanuzi.

KCMUk 64-5

MWMUK 54-5

5 Kuandika.Utunzi.

Utungaji wakiuamilifu.Barua ya mwaliko.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza mtindo wa barua ya mwaliko.Kwandika barua ya mwaliko.

Ufafanuzi.Kusoma barua zamwaliko.Kuandika.

KCMUk 65-6

MWMUK 55

11 1 Kusikikiza nakudadisi.

Methali. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kufafanua maana na matumizi ya methali.Kutumia methali katika mazungumzo namaandishi.Kueleza mafunzo ya methali.

Maelezo.Mifano.Utoaji visa.Kazi mradi.

KCMUk 67-8

MWMUK 55-7

2-3 Kusikiliza nakuzungumza.

Kamusi yamethali.

Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza sifa za kamusi ya methali.Kutumia kamusi ya methali.

Maelezo.Kutumia kamusi.Utafiti.

Kamusi yamethali.

4 Kusoma kwaufahamu.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Uvumbuzi.Maelezo.Maswali na majibu.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 70-2

MWMUK 58-9

5 Sarufi. Viunganishi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya neon kiunganishi.Kutoa mifano ya viunganishi.Kutumia viunganishi katika sentensi navifungu.

Mifano.Maswali na majibu.Mazoezi.Marudio.

KCMUk 72

MWMUK 59-60

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

8

12-13 MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KWANZA

MAAZIMIO YA KAZI KIDATO CHA PILI MUHULA WA PILI MWAKA 2020

JUMA

KIPIN

DI

MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA NJIA ZAKUFUNDISHA NYENZO MAONI

1 1-2 Kuandika.Ufasaha wa lugha.

Uandishi wakawaida.Muhtasari.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza umuhimu wa muhtasari.Kutaja hatua za kufupisha.Kufupisha sentensi na vifungu.

Majaribio.Utatuzi wa mambo.Maswali na majibu.

KCMUk 73-7

MWMUK 60-1

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

9

3 Kusikiliza nakudadisi.

Fasihi simulizi.Mighani.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kufafanua neno mighani.Kuandika mifano ya mighani.

Mifano.Masimulizi.Kuigiza.

KCMUk 74-7

MWMUK 61-2

4-5 Kuandika.Utunzi.

Insha yamethali.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza muundo wa insha ya methali.Kuandika insha ya methali.

Maelezo.Ufafanuzi.Visa.Masimulizi.Kuandika.

KCMUk 77-8

MWMUK 62-3

2 1 Kusikiliza,kusoma nakuandika.

Matamshi bora.Vitate.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutamka maneno kwa usahihi.Kuandika sentensi akionyesha maana yamaneno.

Uchunguzi.Majaribio.Mchezo wa lugha.Imla.

KCMUk 79

MWMUk 63-4

2 Kusikiliza nakuzungumza.

Hotuba yakisiasa.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutaja sifa za hotuba ya kisiasa.Kueleza hoja kuu teule.

Tajriba.Ufafanuzi.Mifano.Kazi mradi.

KCMUk 79-82

MWMUk 64-5

2 3 Kusoma nakuandika.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Uvumbuzi.Maelezo.Maswali na majibu.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 82-4

MWMUK 65-6

4 Sarufi. Vihisishi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya vihisihi.Kubainisha aina za vihisishi.Kutumia vihisishi katika sentensi.

Ufaraguzi wa hisia.Kuigiza.Mifano katika sentensi.Maelezo.

KCMUk 84

MWMUK. 66-7

Maleba.

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

10

5 Sarufi.Ufasaha w lugha.

Kukanusha. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kukanusha sentensi katika nyakatimbalimbali.

Mifano.Uvumbuzi.Mazoezi.

KCMUk 84-7

MWMUK. 67-9

3 1-2 Kusoma kwa kina. Ushairi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya utenzi.Kudondoa ujumbe muhimu.Kuandika maneno kwa lugha ya nathari.Kueleza maana ya maneno na vifungu.

Mifano.Maelezo.Kazi mradi.

KCMUk 88-90

MWMUk 69-71

3 Kuandika.Utunzi.

Hotuba yakisiasa.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutaja sifa za hotuba ya kisiasa.Kueleza hoja kuu teule.

Tajriba.Ufafanuzi.Mifano.Kazi mradi.

KCMUk 90

MWMUk 71

4 Kusikiliza nakuzungumza.

Vitawe. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya maneno yenye maana zaidiya moja.Kutumia vitawe katika sentensi.

Maelezo.Kutunga sentensi.Ufafanusi.Imla.Mazoezi.

KCMUk 91

MWMUK. 72-3

5 Kusikiliza nakuzungumza.

Kusoma vitabuvya maktaba.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma vitabu vya maktaba na kudondoa joja.

Kusoma.Kuandika.

Vitabu vyamaktaba.

4 1 Kusoma nakuandika.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali kwa usahihi.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Maswali na majibu.Maelezo na urekebishajiwa makosa.Utafiti wa msamiati.Mdahalo.

KCMUk 92-3

MWMUk 74-5

Kamusi.

2 Sarufi. Vihusishi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya vihusishi.Kutaja mifano ya vihusishi.Kutumia vihusishi katika sentensi.

Maelezo.Tajriba.Mifano.Mazoezi.

KCMUk 93-4MWMUK. 75-6

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

11

3 Kuandika.Ufasaha wa lugha.

Matangazo yavifo.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kuelezea manufaa na sifa za matangazo ya vifo.Kuandika matangazo ya vifo kwa urefu naufupi.

Ufaraguzi.Maelezo.Mifano.

KCMUk 94-5MWMUK. 76-7Magazeti.Mifano yamatangazo.

4-5 Kusikiliza nakudadisi.

Kisasili. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma na kufurahia kisasili.Kufafanua sifa za visasili.

Masimulizi.Maswali na majibu.Utafiti / tajriba.

KCMUk 95-7

MWMUK. 77-9

5 1 Kuandika (Utunzi) Utungaji wakiuamilifu.Barua ya risalaya pongezi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza sifa za barua ya risala.Kuandika barua ya risala ya pongezi.

Maelezo.Kuandika.

KCMUk 97-8

MWMUK. 79

2 Kusikiliza nakudadisi.

Chemsha bongo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutega na kutegua vitendawili.

Mashindano.Uigizaji.Kazi mradi.

KCMUk 99MWMUK. 79-80

3 Kusikiliza,kuzungumza nakuandika.

Jua na sayari. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kuchora mfumo wa jua na sayari mbalimbali.Kueleza sifa za sayari mbalimbali.Kusoma kwa upana.

Uvumbuzi.Maelezo.Ufafanuzi.Mifano.

KCMUk 99-100

MWMUK. 80-81

5 4 Kusoma. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali kwa usahihi.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Maswali na majibu.Maelezo na urekebishajiwa makosa.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 100-2MWMUk 81-2

Kamusi.

5 Sarufi namatumizi yalugha.

Mofimu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya mofimu.Kubainisha mofimu za Kiswahili.Kufafanua dhima ya mofimu.

Maelezo.Mifano.Ufafanuzi.Utatuzi wa mambo.

KCMUk 102-3

MWMUK. 83

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

12

6 1 Sarufi.Ufasaha wa lugha.

Uakifishaji. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kuakifisha sentensi na vifungo.

Maswali na majibu.Mifano.Mazoezi.

KCMUk 104-5

MWMUK. 83-4

2 Kusoma kwa kina. Mashairi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma shairi na kujibu maswali kwa usahihi.

Kukariri.Maelezo.Kujibu maswali.

KCMUk 106-8

MWMUK. 84-5

3 Kuandika (Utunzi) Utungaji wakisanii- hadithifupi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kuandika hadithi fupi.

Maelezo.Utafiti.Kuandika.

KCMUk 108

MWMUK. 85-6

4 Kusikiliza nakudadisi.

Vitendawili. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kufafanua maana ya vitendawili.Kuandika vitendawili na majibu yanayofaa.

Mashindano.Mjadala.Kutega na kutegua.

KCMUk 109

MWMUK. 86-7

5 Kusikiliza nakuzungumza.

Mjadala. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kubuni hoja za kuaminika kwa mantiki.Kuzingatia kanuni za mjadala.

Utafiti.Mjadala.Majaribio.

KCMUk 109-112

MWMUk 87

Kamusi.

7 1 Sarufi namatumizi yalugha.

Nyakati naukanushaji.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutunga sentensi kwa kutumia viambishi vyanyakati.Kukanusha sentensi katika sentensimbalimbali.

Kutoa mifano.Ufaraguzi.Vielelezo.

KCMUk 72-73

MWMUk 62-63

2 Kusikiliza nakudadisi.

Maigizo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza maana ya maigizo.Kutaja sifa na aina ya maigizo.Kuigiza mchezo mfupi.

Uchunguzi.Kuigiza.Kutoa mifano.

KCMUk 76-77

MWMUK.65-66

Kamusi.

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

13

3 Kuandika(Utunzi)

Uandishi wakiuamilifu –kujaza fomu.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kujaza fomu kwa hati nadhifu na tahajiasahihi.

Mifano.Maelezo.Tajriba.Imla.

KCMUk 78

MWMUK. 65-66

4 Kusililiza nakuzungumza.

Majina yamakundi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutaja majina ya makundi.Kutunga sentensi kwa kutumia majina yamakundi.

Maelezo.Mifano.Vikundi.Imla.

KCMUk 79MWMUk. 66-67

Kamusi.

5MTIHANI WA MAJARIBIO

8 1 Kusoma nakuandika.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali kwa usahihi.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Maswali na majibu.Maelezo na urekebishajiwa makosa.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 80-81

MWMUk 67-68

2 Sarufi namatumizi yalugha.

Viambishi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza matumizi ya viambishi.

Maelezo.Mifano.

KCMUk 114-5MWMUK -89

3 Kusikiliza nakuzungumza.(Ufasaha walugha)

Lugha yamchezoni.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kupambarua sura za rugha yamchezoni.kusimulia habari za michezo.

Masimulizi.Maelezo.Maigizo.Mifano.

KCMUk 115-7

MWMUK 89-90

4-5 Kusikiliza nakudadisi.

Fasihi simulizi.Vitendawili.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutega na kutegua vitendawili.kufafanua sifaza vitendawili.

Kutega na kutegua.Mashindano.

KCMUk 117-9

MWMUK 90-91

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

14

9 1 Kuandika.(Utunzi)

Insha yamjadala.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutaja mambo ya kuzingatia na kuandikainsha ya mjadala.Kuandika mjadala kufuatia kanuni za uandishi.

Mjadala.Kazi ya vikundi.Kuandika.

KCMUk 120MWMUK 91

Redio.

2 Kusikiliza nakuzungumza nakuandika.

Vitanza ndimi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza dhana ya vitanza ndimi.Kutamka na kufafanua vitanza ndimi..

Kutamka.Maelezo.Mashindano.

KCMUk 121

MWMUK. 91-3

3 Kusoma nakuandika.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa sauti na kimya.Kujibu maswali kwa usahihi.Kubainisha ujumbe wa taarifa na msamiatimpya.

Usomaji wa taarifa.Maswali na majibu.Maelezo na urekebishajiwa makosa.Utafiti wa msamiati.

KCMUk 123-4

MWMUk 93-4

Kamusi.

4-5 Kusoma nakusikiliza.

Vitabu vyamaktaba.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma vitabu vya maktaba na kudondoa joja.

Kusoma.Kuandika.

Vitabu vyamaktaba.

10 1 Sarufi. Umoja na wingiwa vivumishivya pekee.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutumia vivumishi vya pekee ili kupataupatanisho wa kisarufi.Kubadilisha sentensi kutoka umoja hadi wingi.

Uchunguzi.Vielelezo.Mifano.Ufahamu wa kusikiliza.Kazi mradi.

KCMUk 124

MWMUK. 95-6

2-3 Kusoma kwa kina.Ufasaha wa lugha.

Lugha yaushairi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutaja na kueleza sifa za lugha ya kishairi.Kutumia sifa za lugha kulikariri shairi.

Ufafanuzi.Maelezo ya istihali.Kukariri shairi.Uchambuzi.

KCMUk 124-6

MWMUK. 96-7

4-5 Kusoma kwa kina.Fasihi yetu.

Nyimbo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza sifa za nyimbo.Kuhakiki nyimbo.

Ufahamu wa kusikiliza.Mifano.Ugunduzi.Uimbaji.Uchambuzi.

KCMUk 126-8

MWMUK. 97-102

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

15

11 1 Kusoma nakuandika.

Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kusoma kwa ufasaha.Kujibu maswali ya ufahamu.Kuhakiki matumizi ya lugha na ujumbe.

Kusoma.Uhakiki.Tajriba.Maswali na majibu.Ufafanuzi.

KCMUk 131-2

MWMUK. 106-8

Kamusi.

2-3 Kuandika.Utunzi.

Utungaji wakisanii.Mashairimepesi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza hatua za kutunga shairi.Kuandika beti za mashairi kwa lugha nathari.Kuandika mashairi mepesi.

Maelezo.Ugunduzi.Mifano.Kuandika.

KCMUk 128

MWMUK. 102-4

4 Sarufi. Umoja na wingiwa viambishivya sifa.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kutumia viambishi vya sifa katika sentensikatika hali ya umoja na wingi.

Maelezo.Maswali na majibu.Mazoezi.

KCMUk 132-4

MWMUK. 108-9

5 Kusikiliza nakuzungumza.Ufasaha wa lugha

Lugha katikamatatu.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:Kueleza tofauti ya matumizi ya lugha katikabiashara ya matatu na kwingineko.Kueleza na kufafanua sifa za lugha katikabiashara hii.

Uhakiki.Majadiliano.Maswali na majibu.Ufahamu wa. Kusikiliza.Kuigiza.Ufafanuzi.Mifano.

KCMUk 134-5

MWMUk. 109-112

Vibonzo.Vielelezo.Mandhari.

12-13 MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA PILI

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

16

MAAZIMIO YA KAZI KIDATO CHA PILI MUHULA WA TATU MWAKA 2020

JUMA

KIPIN

DI

MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA NJIA ZAKUFUNDISHA NYENZO MAONI

1 1 Kusoma kwa kina.Fasihi yetu.

Mchezo wa kuigizaI.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kufafanua kiini cha mchezo.Kuwataja na kuwaelezea wahusika.Kueleza ujumbe wa mchezo.Kufafanua maana ya maneno navifungu.

Drama.Uhakiki.Majadiliano.Maswali na majibu.

KCMUk 135-8

MWMUk 112-4

Maleba, vituhalisi, picha,michoro.

2 Kuandika.Utunzi.

Utungaji wa kisanii.Mchezo mfupi wakuigiza.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kuandika mchezo mfupi wa kuigiza.Kuigiza mchezo.

ufaraguzi.Maigizo.Ugunduzi.Kuandika.

KCMUk 138

MWMUk 115-6

3 Kusikiliza nakuzungumza.

Vitambulisho. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kuelezea umuhimu wa vitambulisho.Kutaja aina mbalimbali zavitambulisho.

Maelezo.Mifano.Ufahamu wakusikiliza.

KCMUk 139

MWMUk 115-16

4 Kusoma na kundika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kusoma kwa ufasaha.Kueleza maana za maneno na vifungu.Kujibu maswali.

Ufafanuzi.Kusoma.Maswali na majibu.Tajriba.

KCMUk 140-3MWMUk 117-8

Kamusi.

5 Kusikiliza nakuzungumza.

Mazungumzo katikakituo cha polisi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kuendesha mazungumzo baina ya raiana polisi.Kutumia simu kwa maongezi.

Uigaji.Mazungumzo.Maswali na majibu.

KCMUk 139-40

MWMUk 116-7

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

17

2 1 Sarufi. Umoja na wingi waviambishi awali vyavitenzi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kuelezea na kufafanua viambishiawali.Kutunga sentensi kutumia viambishiawali vya vitenzi.

Ufafanuzi.Maswali na majibu.Mazoezi.

KCMUk 143-5

MWMUK. 118-9

2-3 Kusoma kwa kina.Fasihi yetu.

Mchezo wa kuigizaII.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kufafanua kiini cha mchezo.Kuwataja na kuwaelezea wahusika.Kueleza ujumbe wa mchezo.Kufafanua maana ya maneno navifungu.

Drama.Uhakiki.Majadiliano.Maswali na majibu.

KCMUk 147-9

MWMUk 120-1

Maleba, vituhalisi, picha,michoro.

4 Kuandika.Ufasaha wa lugha.

Uandishi wakawaida.Muhtasari.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kuwakilisha mambo kwa jedwali,kipimapembe au orodha.Kutoa maelezo kwa njia ya mjazo.Kufasiri mambo yaliyofupishwa.

Maelezo.Mifano.Uchunguzi.Kazi mradi.

MWMUk 119

5 Kuandika.Utunzi.

Utungaji wakiuamilifu.Shajara.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza maana ya shajara.Kueleza umuhimu wa shajara.Kueleza namna ya kuweka shajara.

Utatuzi wa mambo.Mifano.Maelezo.Ufaraguzi.

KCMUk 149-50

MWMUK. 121

3 1 Kusikiliza nakuzungumza.

Nahau. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza maana ya neno nahau.Kutoa mifno ya nahau.Kutumia nahau katika sentensi.

Mifano.Maelezo.Ufarguzi.

KCMUk 151

MWMUk 121-2

2 Kuandika.Utunzi.

Utungaji wakiuamilifu.Tahadhari.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza umuhimu wa tahadhari.Kueleza namna shairi linatumiwakutoa tahadhari.Kuorodhesha miano ya tahahari.Kufafanua maneno ya tahadhari.

Uvumbuzi.Majadiliano.Maelezo.Kuandika.

KCMUk 151-3

MWMUk. 122-3

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

18

3 3-4 Sarufi. Kauli ya vitenzi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kutaja na kubainisha kaulimbalimbali.Kutoa mifano ya kauli mbalimbali.Kutungs sentensi kwa kutumia kaulimbalimbali.

Uchunguzi.Majaribio.Mifano.Utafiti.

KCMUk 117

MWMUk. 93-94

Kamusi.

5 Kusoma na kundika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kusoma kwa ufasaha.Kueleza maana za maneno na vifungu.Kujibu maswali.

Ufafanuzi.Kusoma.Maswali na majibu.Tajriba.Mazoezi.

KCMUk 156-8

MWMUk 124-6

Kamusi.

4 1-2 Kuandika.Ufasaha wa lugha.

Uandishi wakawaida kiuamilifu.Taarifa ya habari.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza sifa au umuhimu wa taarifaya habari.Kuandika taarifa ya habari.

Maelezo.Utafiti.Maagizo.Kuandika.

KCMU k 159

MWMUk 127-8

3-4 Kusoma kwa kina.Fasihi yetu.

Riwaya. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kusoma dondoo.Kutaja wahusika na ijumbe.Kujibu maswali.

Majibu na maswlai,Uchunduzi, usomaji,Uchemuzi. Mjandlu.

KCMUk 160-2

MWMUk 128-9

5 Kuandika.Utunzi.

Insha ya maelezo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza maana ya insha yamaelezo.

Michezo ya lugha.Kuandika.Mifano.Melezo.

KCMUk 162

MWMUk 128-9

5 1 Kusikiliza nakuzungumza.

Kutuma salamuredioni namagazetini.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza mahitaji ya kutuma yakutuma salamiu dedioni namagazetini.

Maelezo.Maigizo.Ufaragui.

KCMUk 163-4MWMUk 130-1

Redio, magaxetri

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

19

5 2 Kusikiliza nakuzungumza.

Mazungumzo katikakituo cha posta.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kufafanua shughuli zinazotokea posta.Kueleza matumizi ya lugha katikakituo cha posta.Kueleza maendeleo mapya katikateknolojia ya mawasiliano.

Maigizo.Maelezo.Ufafanuzi.Ugunduzi.

KCMUk 165-6

MWMUk. 131-3

3,4 Kusoma na kundika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kusoma kwa ufasaha.Kueleza maana za maneno na vifungu.Kujibu maswali.

Ufafanuzi.Kusoma.Maswali na majibu.Tajriba.Mazoezi.

KCMUk 166-8MWMUk 133-5

Kamusi.

5 Sarufi. Kauli ya vitenzi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kunyambua vitenzi katika kaulizinazozingatiwa.Kutunga sentensi kwa kutumia vitenzikatika kauli tofauti.

Melezo na ufafanuzi.Maswali na majibu.Mazoezi.

KCMUk 168-170

MWMUk 135-7

6 1 Kusikiliza nakudadisi.

Tanakali za sauti. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza maana ya tanakali za sauti.Kueleza umuhimu wa tanakali zasauti.Kutumia tanakali za sauti katikasentensi.

Ufafanuzi.Mifano.Maelezo.

KCMUk 177

MWMUk. 140-1

2 Kusoma kwa kina.Fasihi yetu.

Riwaya. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kujibu maswali kutokana na kifungu.Kudondoa maneno yaliyotumiwakifasihi.Kutaja baadhi ya mbinu za kifasihizilizotumiwa.Kueleza maana ya msamiati.

Kusoma kifungu.Maelezo na ufafanuzi.Uchambuzi.

KCMUk 173-5

MWMUk 138-140

Kitabu chariwaya k.v.Nyota yaRehema.

3 Kusikiliza nakuzungumza.

Mahojiano. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza sifa za mahijiano.Kuendeleza mahojiano.

Mahojiano.Majadiliano.Makundi.Drama.Mifano.

KCMUk 173-5

MWMUk 138-140

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

20

6 4-5 Kusoma na kundika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kusoma kwa ufasaha.Kueleza maana za maneno na vifungu.Kujibu maswali.

Ufafanuzi.Kusoma.Maswali na majibu.Tajriba.Mazoezi.

KCMUk 166-8MWMUk 133-5

Kamusi.

7 1 Sarufi. Vinyume. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kufafanua muundo wa vinyume.Kutumia vinyume katika sentensi.

Utafiti.Mifano.Kuandika.Kazi mradi.

KCMUk 182-3

MWMUk. 144

2 Sarufi.Ufasaha wa lugha.

Uundaji wamaneno.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kutohoa na kuunda maneno.Kuunda maneno kutokana na manenomengine.

Maelezo.Ufafanuzi.Mifano.Mashindano.Mazoezi.

KCMUk 183-5

MWMUk. 144-6

3-4 Kusoma kwa kina. Hadihi fupi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza sifa za wahusika.Kujadili mbinu zinazojitokeza.

Kusoma.Kuhakiki taarifa.Majadiliano.

Kitabu chadadithi.

5 Kuandika.Utunzi.

Barua rasmi. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza muundo wa barua rasmi.Kuandika barua rasmi kwa usahihi.

Ufafanuzi.Majadiliano.Kuandika.

KCMUk 187-8MWMUk. 148-9Barua rasmi.

8 1 Kusikiliza nakuzungumza.

Visawe. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kutoa mifano ya visawe.Kutumia visawe kutungia sentensi.

Kazi ya makundi.Ufafanuzi.Imla.

KCMUk 189

MWMUk. 149

2 Kusikiliza nakuzungumza.

Drama.Jukwaa la kisiasa.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kuzungumzia hoja fulani za kisiasa.

Kuigiza.Vikundi.Maswali na majibu.Kusoma vifungu.

KCMUk 189

MWMUk. 150-3

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

21

8 3 Kusoma na kundika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kusoma kwa ufasaha.Kueleza maana za maneno na vifungu.Kujibu maswali.

Ufafanuzi.Kusoma.Maswali na majibu.Tajriba.Mazoezi.

KCMUk 190-3MWMUk 153-4

Kamusi.

4-5 Sarufi. Sentensi ambatano. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza maana ya sentensi za ainanyingi k.v. virai, vishazi, kundi nominona kundi tenzi.Kuunda na kubainisha sentensi.

Uchunguzi.Uvumbuzi.Mifano.Mazoezi.

KCMUk 194-7

MWMUk. 154-5

9 1-2 Kuandika.Ufasaha wa lugha.

Uandishi wakawaida.Muhtasari.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kufafanua maana ya muhtasari.Kueleza matumizi ya muhtasari.

Michezo ya lugha.Mashindano.Mifano.Imla.Kazi mradi.

KCMUk 197-200

MWMUk. 155-6

3-4 Kusikiliza nakuzungumza.

Uandishi wakawaida.Ufupisho.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kufupisha sentensi na vifungu.

Michezo ya lugha.Mashindano.Mifano.Imla.Kazi mradi.

KCMUk 197-200

MWMUk. 155-6

5 Kusikiliza nakudadisi.Fasihi yetu.

Maigizo. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza na kufafanua vipengelemuhimu vya maigizo.Kueleza madhumuni ya maigizo.

Maigizo.Uchunguzi.Kazi ya makundi.Ufaraguzi.

KCM200-1

MWMUK. 156-7

10 1 Kuandika.Utunzi.

Utungaji wa kisanii.Mchezo wa kuigiza.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kuandika mchezo wa kuigiza.Kuigiza mchezo.

Maigizo.Uchunguzi.Mifano.Ufaraguzi.

KCM 201-2

MWMUK. 157

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

22

2 Kusikiliza nakudadisi.

Kufungu.Utu ni unyama.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza shani katika visa au dondoofulani.Kutoa visa vingine vya kustaajabisha.

Masimulizi.Ufafanuzi.Uchambuzi.Maswali na majibu.Maelezo.

KCM 203

MWMUK.157-9

10 3 Kusikiliza nakuzungumza.

Makala katikamagazeti / majarida.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza sifa za magazeti / majarida.Kueleza umuhimu wa gazeti katikajamii.

Maelezo na ufafanuzi.Mjadala.Utafiti na uchunguzi.Maswali na majibu.

KCM203-5

MWM 159-160

4-5 Kusoma na kundika. Ufahamu. Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kusoma kwa ufasaha.Kueleza maana za maneno na vifungu.Kujibu maswali.

Ufafanuzi.Kusoma.Maswali na majibu.Tajriba.Mazoezi.

KCMUk 205-7MWMUk 160-2

Kamusi.

11 1 Sarufi. Upambanuzi wasenristbi ambatano.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kupambabua sentensi.

Maelezo.Utafiti.Mahojiano.Ukusanyanji.Ufahamu wakusikiliza.Kutafsiri picha.

KCMUk 207-8

MWMUK. 162-4

2 Kusikilza nakuzungumza.

Taharirimagazetini.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza maana ya tahariri ya gazeti.Kufafanua umuhimunwa tahariri yagazeti.

Ufafanuzi.Mjadala.Mifano.Tajriba.

KCMUk 209-10

MWMUk 164-6

DOWNLOADED FROM: www.teachersupdates.co.ke

23

3 Sarufi na matumiziya lugha.

Viambishivimikilishi.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kubainisha maana ya vivumishivimikilishi.Kuorodhesha vivumishi vimikilishi.Kutumia vivumishi vimikilishi katikasentensi.

Maelezo.Tajriba.Mifano.Maswali na majibu.Mazoezi.

KCM20

MWM 159-160

11 4 Kusikiliza nakudadisi.

Ushairi.Mashairi huru.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kufafanua sifa za shairi.Kueleza binu za kisaniizinazopatikana katika shairi huru.Kudondoa hoja zinazoshughulikiwa namshairi.

Maelezo.Ufafanuzi.Uchunguzi.Mifano.Kukariri.

KCMUk 211-2

MWMUk. 166-7

5 Kuandika.Utunzi.

Utungaji wakiuamilifu.Insha ya dayolojia.

Kufika mwisho wa somo, mwanafunziaweze:Kueleza mtindo wa insha ya dayolojia.Kuandika insha ya dayolojia.

Maelezo.Ufafanuzi.Utendaji.Kuandika.

KCMUk 212

MWMUk 167-8

12-13 MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA