Dalili za Qiyama na Ubashiri wa Kudhihiri Imam Mahdi (a)

106

Transcript of Dalili za Qiyama na Ubashiri wa Kudhihiri Imam Mahdi (a)

Author(s):

Amiraly M. H. Datoo [3]

Kitabu hii ni Dalili za Qiyama na Ubashiri wa Kudhihiri Imam Mahdi (a)

Category:

Imam al-Mahdi – Imamu wa Kumi na Mbili [4]

Topic Tags:

Qiyama [5]Hadith [6]

Person Tags:

Imam al-Mahdi [7]Imam Ali [8]Imam Ja'far al-Sadiq [9]

Safina ya msafara wa mwisho wa mwanadamu inakaribia mwisho wake katika dimbwi la hatari ya imanipotofu ya kuamini dunia hii tu bila ya kujali Aakhera. Uroho huu umeongezeka katika udanganyifu wetuwa kisayansi kiasi kwamba mwanadamu anataka kuiendesha sayari ya Venus, Mwezi na Jua. Urohohuu umemfanya kiasi cha kuweza kusahau matatizo ya dunia yetu hii.

Mashabiki wa utamaduni wameudhalilisha ubinadamu kufikia tabaka la chini kabisa la aibu kiasi kwambahata kilio cha Baba Adam a.s. pia kitakuwa kimelowana kwa jasho la udhalilisho.

Kidhahiri, dunia hii imejaa mwangaza lakini kiza cha ujahiliya kinaenea mbali na kwa mapana. Kizazicha Shetani kimekwisha tayarisha mipango kamambe ya kulipiza kisasi chake cha kudharauliwa nakizazi cha Mtume Adam a.s. Hali mbaya na machafuko ya matendo ya aina yote ya madhambi ndivyovilivyosababisha kufungwa milango ya mwanadamu ya kuwa huru. Kivuli cha kiza kikubwa cha misibandiyo mambo yanayotia uchungu wa moyo juu ya ubinadamu.

“Lakini, mwale wa nuru moja tu wa matumaini katika janga hili la kutokuwa na matumaini ni ile nuru yanafsi yako (Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ) ambayo ipo inang'ara mbali na paziaisiyoonekana. Tunakuomba Ewe Imam Mahdi a.s. ! Udhihiri haraka iwezekanavyo na kwamba ufupishehayo masaa ya subira yetu kwa ajili yako ingawaje kamwe hatuwezi kupoteza subira zetu kwa ajili yako.”

“Tuombee, udhihirishe yale yaliyo batini na uifanye nuru yako ing'arishe ulimwengu mzima. Dhihirishamaneno ya Allah swt kuwa "Allah swt ataikamilisha nuru yake hata kama makafiri watachukia".Udhahiri wako ndio dalili ya kuja kwa Siku ya Qayama lakini kutokuwapo kwako pia ni yenye maumivukama Siku ya Mwisho. Wanaadamu tunaoathirika tunakuhitaji mno na mimi ninayo imani kamili ya kujakwako na mwelekeo mwema katika kudhihiri na njia moja ya kukukaribisha, kwa kunyenyekea ninakitoakitabu hiki "Qayamat-i-Sughra" mbele yako na natumaini kuwa utanikubalia mimi kama mtumwa wakona hakika hii itakuwa ndiyo uokovu wangu”.

Amiraly M. H. DatooBukoba, 4 Januari 1996

Qayamat -i- Sughra ni kitabu ambacho kinazungumzia mambo mengi hasa kuhusiana na ubashiri wakuja kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. , jambo ambalo linakubaliwa naWaislamu wa Madhehebu zote kwa pamoja kuanzia mwanzoni hadi siku hii ya leo. Waandishi waKishiah wamefanya kazi kubwa mno katika swala hili na vile vile juhudi za waandishi wa Kisunni piazinastahili pongezi kwani wao wamechangia kwa kiasi kikubwa katika kuthibitisha waziwazi kuja kwaImam Mahdi a.s. .

Hivyo hapa chini munaletewa marejeo ya maandiko kutoka vitabu vya Kisunni:

1. Jame' Sahih Muhammad ibn Ismail Bukhari Ahadith 132. Jame' Sahih Muslim ibn Hajjaj. Ahadith 113. Jame' Sahihain Hamidi Ahadith 24. Jama bain Sihah Sitta Zaid ibn Muawiya Abdari Ahadith 115 Fadhail-us-Sahaba Abdul Aziz Abkari Ahadith 76. Tafsir Tha'labi Ahadith 57. Gharib-ul-Hadith Ibn Qataiba Ahadith 68 Al-Firdous Ibn Shirwiyah Dailami Ahadith 49. Musnad-i-Fatimah Hafidh Abul Hasan Darqutni Ahadith 610 Musnad-i-Ali Hafidh Abul Hasan Darqutni Ahadith 311 Al-Mubtada KIssai Ahadith 312 Al-Masabih Husain ibn Masud Atra Ahadith 513 Al-Malahim Abul Hasan Manadiri Ahadith 3414 Kitab Hafidh Ibn Mutayyan Ahadith 315 Ar-Riaya-li-Ahlir Riwaya Muhammad Ismail Farghani Ahadith 316 Khabar-i-Soteh Hamidi Ahadith 217 Istiab Yusuf ibn Abdul Aziz Numairi Ahadith 2

Katika karne hizi kumi na tatu kumeweza kutokea watu wachache ambao wanakanusha kabisa swalahili la kuwapo kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na idadi yao ni ndogo mno.Hapana shaka kuwa kuna watu ambao wanadai kuwa Yazid bin Muawiya bin Abi Sufiyan kuwa khalifahalali. Kunaweza kuwapo sababu mbili tu za kukanusha kuwapo kwa Imam Mahdi a.s. Moja, iwapo wao

watakubali na kuthibitisha kuwapo kwa Imam Mahdi a.s. , basi kutakuwa na shauku kubwa ya kutakakujua shakhsiyah yake na nasaba yake, maisha na mienendo yake, n. k. hivyo mambo yote kama hayoyangalijitokeza mbele yao ambavyo wao wasingaliweza kufanya hila za kuzikubalia taarifa hizo.

Sababu ya pili ni kwamba kumewahi kutokezea watu waongo na ambao walijiita MahdiError: Referencesource not found, hivyo watu walikwisha choshwa na wazushi hao kiasi kwamba hawataki kumkubaliaMahdi a.s. wa kweli. Na hii ni mbinu ya kukwepa tu ambavyo hoja kama hizi hazikubaliki katika Islam.

Kwa hakika sisi hatuwajali wale wote wanaomkanusha MahdiError: Reference source not found a.s. kwahoja zao zisizo na misingi wala faida. Lau hoja zao zingalikuwa halisi na za kimsingi basikusingalikuwapo na Mahdi wazushi na wafuasi wao. Hapa sisi tunazingatia wale ambao wamejivikaUmahdi katika miili yao isiyo toharifu. Kumekuwapo na Mahdi katika Banu Abbas, Banu Fatima,n. k. vilevile mabara yote ya Indo-Pak na Afrika imeshirikiana katika kupatikana kwao. Lakini historiaimewakanyaga Mahdi wengi waongo na wazushi.

Tabia na desturi ya mwanadamu imekuwa daima ikivutiwa na mitindo na mambo mapya, vivyo hivyondivyo hao MahdiError: Reference source not found waongo ndivyo walivyoweza kufaidi na kuwavutiawatu. Imesemekana kuwa wale wotakaomkimbilia Mahdi kwa pupa bila ya kuwa na maarifa kamili, basiwamepotoka - Halakal Mustaji'un!

Kwa hakika zipo Ahadith nyingi mno zilizo sahihi na kutegemewa kuhusu Imam MahdiError: Referencesource not found a.s. na hivyo hakuna mwanya wowote ule wa kutokezea Mahdi waongo. Lakini haowazushi huwa watu wenye hila ambazo wao hujihusisha na ubashiri fulani na huweza kujitangaza kuwawao ni Mahdi. Kwa bahati mbaya, wale wote wenye elimu ndogo wamekuwa daima wakiwakubali Mahdikama hao na wakiwazunguka hadi kufa kwa Mahdi mzushi. Hivyo itakuwa ni vyema kwa kuchapishahabari kamili kuhusu Mahdi wa kweli ili mwanya wowote wa upotofu ufungwe kabisa. Faida ya pili yauchapishaji kama huo utasaidia kuwapambanua Mahdi wazushi bila hata ya kutokezea magomvi namafarakano.

Kwa mfano, kumekuwapo na kikundi kimoja ambacho kimedai kuwa Mtume Issa a.s. na ImamMahdiError: Reference source not found a.s. ni mtu mmoja tu. Katika swala hili, iwapo mtu atakuwaakijua kuhusu ubashiri wa kuja kwa Imam Mahdi a.s. na kwamba Mtume Issa a.s. atamsaidia na atasalinyuma yake, basi swala hili litajitatua lenyewe bila ya kuzusha ubishi wowote. Vile vile itakuwa vyemaiwapo tutajihusisha zaidi katika swala hili. Kuna hoja mbili katika wazo hili:

1. Masiha aliyeahidiwa hatakuwa Mahdi bali atakuwa akilingana naye

2. Ipo Hadith moja isemayo kuwa 'La Mahdi illa Masih' yaani hakutakuwapo na Mahdi illa ni Masihi.

Inawezekana kuthibitisha habari yoyote kama ni kweli kwa kutoa maelezo ya kimantiki. Popote palepanapozungumziwa ubashiri wa Mtume Issa a.s. katika Hadith, basi tujue waziwazi kuwa yeye atakuwaIssa bin Maryam na wala si mtu mwingine kama yeye. Na wala haipatikani Hadith kama hiyo katika

maandishi ya Mashia.

Hadith kama hizo zinapatikana katika maandishi ya Masunni ambapo Wanazuoni wao wamezipuuzia nakusema kuwa walioziripoti ni watu dhaifu. Kinyume na hivyo, zipo Hadith nyingi mno ambazo zinaelezeana kuthibitisha kuwa Mtume Issa a.s. atakuwa Mwisraili na MahdiError: Reference source not found a.s.atatokana na kizazi cha Mtume Muhammad s.a.w.w Hivyo imetuwia dhahiri kuwa Mahdi na Masihi niwatu wawili walio tofauti kabisa.

Hao MahdiError: Reference source not found waongo wameleta hasara kubwa miongoni mwa jamii zetuna hivyo halitakuwa jambo la ajabu iwapo Mahdi a.s. wa kweli atapata upinzani. Hivyo inatulazimu kuwana elimu kamili ya Mahdi a.s. wa kweli. Kwa hakika ulimwengu kwa hivi sasa umejaa matatizo namisiba, na hivyo kumjua mtetezi wetu moyoni mwetu ni jambo la kutufariji mno. Kitabu hiki ni kiungokimoja cha elimu juu ya Imam Mahdi a.s.

Maandiko ya Mashia yamejaa kwa Ahadith kuhusu Imam MahdiError: Reference source not found a.s.na kijitabu hiki sio cha kwanza kwa aina yake bali kina habari ambazo zitatuongoza kwa njia haki. Vilevile jambo la kututia moyo ni kwamba habari nyingi mno zimetolewa na Ahli Bayti a.s. ya Mtume s.a.w.wambapo haziwezi kuwa ni habari za uzushi. Wanazuoni wa Kisunni wamethibitisha usahihi wa Ahadithhizo na wamekana wale wote ambao wanajaribu kupotosha ukweli na usahihi wa Ahadith na riwayahizo.

Si kazi ngumu kukusanya Ahadith bali kazi iliyo ngumu kabisa ni ile ya kuthibitisha usahihi na ukweliwake hivyo ni vyema kuwadokezea mambo machache kuhusu hayo:

1. Maandiko mengi ya watu wa mji wa KufaError: Reference source not found yamepitia mabadilikokabla ya kutufikia sisi. Wao wamekuwa na utaratibu tofauti wa maandiko yao na katika kuleta mabadilikoya maandishi,kumeweza kutofautiana katika maana na maelezo. Mfano 'maberamu yatachomwamotoError: Reference source not found katika mitaa ya Kufa' au inapatikana hivi 'maberamuyatachanwa katika mitaa ya Kufa'. Mfano wa pili, ipo Hadith inayomzungumzia Auf-Salmi, ambayemakazi yake yanajulikana kama ni Tikrit na kwa mujibu wa maandiko ya Kufa inawezekana piakupatikana kuwa ni Kuit. Miji yote hiyo miwili ipo Saudi Arabia na ni vigumu kuamua uhakiki wake. Kwakuchukulia mojawapo ni lazima lakini uasili wa Maandiko ya Kufa yatapotea.

2. Katika riwaya na mapokezi, majina ya miji na mahala pengine yanatumika majina ya kale ambayokwa sasa hayatumiki tena. Hivyo ni vyema kupata majina yanayotumika kwa sasa sambamba na majinaya kale ili Hadih hizo zieleweke vyema.

3. Taarifa kamili ya kimsingi ya Hadith itolewe, nani aliyeiripoti, mbele ya nani iliripotiwa, mahala pakuripotiwa, n. k. , ili taarifa hizo ziweze kutambulisha vyema kuhusu Hadith hiyo.

4. Ahli Bayt a.s. ya Mtume Mtukufu s.a.w.w wamerekebisha kipindi katika nyanja mbalimbali za jamii,maadili, kiuchumi, n. k. Hivyo Ahadith zinazozungumzia mambo ya ubashiri hayatakuwa na mushkeli

kueleweka na kukubalika. Vile vile kuna mambo mengine manne pia, nayo ni:

a. Uhakiki,

b. Isiyo na uhakiki

c. Makhsusi,

d. Kawaida.

Ubashiri wowote ule ambao ni wenye uhakiki, basi hayo yatatokea tu katika hali yoyote ile. Na Mabashiriyale yasiyo na uhakiki yanaweza kutokea, inategemea. Mabashiri ya kawaida yanaweza kupatikana kilamahala. Na mabashiri makhsusi yamefungamanishwa na muda na mahala maalum. Ni matumaini kuwamafungu haya ya uchambuzi yatasaidia kutambua matatizo na mabishano yoyote yatakayotokea.

5. Ahadith za ubashiri hazihitaji tafsiri au maelezo. Ama hayo yamekwishatokea au yatatokea kama vileyalivyoelezwa. Kwa watu kujaribu kuchambua kwa kuongezea chumvi na pilipili kutaongezea kuleta halingumu ya kueleweka na kufahamika.

Ninayo furaha kuwaelezea kuwa kitabu hiki cha Qayamat-i-Sughra kimejaribu kutimiza mahitaji namasharti kama hayo. Ni jambo la kuvutia kuona kuwa Qayamt-i-Sughra kinazungumzia mabashiriambayo hayajatokea bado mfano uasi utakaoongozwa na Hasan Sayyed, Uchokozi wa SufianiError:Reference source not found, kuteketezwa kwa baadhi ya sehemu za Mashariki ya Kati ,n. k. mabashiriambayo bado Mahdi wazushi hawajaweza kuzibashiri.

Kwa kumalizia mazungumzo haya, ninawaomba wasomaji wote wakisome kitabu hiki kwa makini sanana wala si kwa kuupoteza muda tu bali waweze kuzingatia makusudio ya kuandika kitabu hiki.Imethibitika kwa mamlaka ya QuranError: Reference source not found Tukufu na vile vile Ahadith kuwani lazima kuwepo na kiongozi wa Kidini katika ulimwengu na kwamba mtu yeyote yule atakayekufa bilaya kumjua Imam wa zama zake basi atakufa kifo cha ujahili. Hivyo elimu na maarifa ya Imam ni swala laAakhera pia na ambapo ni faradhi kwa wanawake na wanaume wote kwa pamoja.

Mwishoni mwa kitabu hiki nimejaribu kuongezea makala juu ya uthibitisho wa kuwapo kwa ImamMahdiError: Reference source not found a.s. kwa mujibu wa Wanazuoni wa Ahli Sunna ili msomajiaweze kutambua umuhimu wa Imam Mahdi a.s. katika madhehebu mengine ya Islam.

Amiraly M. H. DatooBukoba, 5 Januari 1996

Kwa jina la Allah swt.

Watu walio hodari humu duniani wanakubali kuwa akili/busara ni mwongozo na mtoa ushauri wa

mwanadamu. Huwa inamwongoza kuelekea mema na kumzuia na mabaya. Ni busara hiyo ambayondiyo inayomtofautisha mtu na mnyama na kumfanya awe kiumbe bora kuliko wote.

Allah swt anawaamrisha watu watumie busara katika kutatua matatizo yao. Allah swt anatuambia katikaQurani Tukufu kuwa 'aya zake kwa ajili ya wale wanaofikiri. ' Maneno machache kiasi gani lakinihayakosi hekima ndani yake. Iwapo tutafuata mambo kama vipofu basi hatutakuwa na tofauti nawanyama na labda tutakuwa dhalili kuliko hao kwa sababu mtu kama huyo inavyoonekana hajijali.

Busara bila ya elimu pia ni bure kwa sababu elimu ni nuru ya busara. Lakini elimu ni kiasi kidogo sanakwa kulinganisha na ukubwa wa ulimwengu. Allah swt anatuambia kuwa hatukupewa isipokuwa elimukidogo tu, rejea 17:85. Hivyo ni ujahili mtupu iwapo sisi tutajigamba kwa elimu yetu kwa kutakakukanusha sharia za Allah swt ambapo jambo la msingi ni kutokuelewa kwetu vyema masuala hayo.

Hivyo ni dhahiri kuwa yale yote ambayo yameelezwa na kubashiriwa katia Kitabu cha asili na kudura nayale ambayo yamesemwa na Mtume Mtukufu s.a.w.w hayawezi kamwe kuwa uongo ati kwa sababu sisihatuelewi. Kila mmoja atakubaliana nasi iwapo tutasema kuwa kazi za kubuni na kufikiri hazina uhakikawowote mbele ya uchunguzi na matendo.

Kujitumbukiza katika mambo ya kubuni na uzushi ni tabia ya Shaitani kwani yeye alijitakabarisha kiasicha kumuasi Allah swt. Kufuata elimu kwa njia sahihi ni kule kufanya uchunguzi na utafiti juu yake kablaya kutekeleza. Mtume Muhammad s.a.w.w alisema kuwa "Mimi ni mji wa elimu na Ali ni mlangowake" na vile vile alisema kuwa "Mimi ni hazina ya elimu na Ali ni ufunguo wake". Kwa hivyotumepata ushahidi wa Mtume Mtukufu s.a.w.w kuwa kuna shakhsiya waliobarikiwa elimu kwa kudura zaAllah swt. Hivyo elimu yake Imam Ali a.s. haiwezi kupimika au kuelezeka.

Kwa hivyo ni faradhi kwetu sote kuamini na kusadiki yale yaliyoelezwa katika Qurani Tukufu na marejeoya Qurani katika Ahadith za Mtume Mtukufu s.a.w.w na Mrithi wake Imam Ali a.s. na Ahali yake a.s.Haitupasi sisi kamwe kuzikataa semi zao ambazo sisi hatuzielewi kikamilifu. Kutoamini na kutosadikihuku katika Islam kunamfanya mtu akufuru.

Na mojawapo ya maudhui hayo ni kuhusu QayamaError: Reference source not found - ambayo nimojawapo ya misingi ya Dini ya Islam. Hivyo kuna mabashiri mengi kabla ya kufikia Qayamah. Mamboyaliyobashiriwa yanapatikana katika QuranError: Reference source not found Tukufu na katika Ahadith.Katika mabashiri yote hayo kuna ubashiri mmoja muhimu kabisa wa kuja kwa Imam MahdiError:Reference source not found a.s. Na ubashiri huu upo unapatikana katika Aya za Qurani Tukufu,Ahadith, misemo ya Wanazuoni wakuu na Mafuqahaa. Hivyo litakuwa ni jambo la kuaibisha iwapoatatokezea mtu kupinga ubashiri huo ati kwa sababu ya ujahili wake. Jee huyo mtu ataweza kukabilianana Qurani, Ahadith na wanazuoni?

Waislamu wote kwa ujumla wanaamini kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s.ingawaje kuna tofauti kidogo. Mashiah wanaamini kuwa Imam Mahdi a.s. yu hai na yupo ghaibu(mafichoni) kama vile walivyo Mtume Issa a.s. , Ilyas, Khizr n. k. Kwa upande wa Masunni wao

wanaamini kuwa yeye bado hajazaliwa na atajidhihirisha atakapofikia umri wa miaka arobaini. Kwamukhtasari, Masunni wanaamini kuwa atakuwa ghaibu kwa kipindi cha miaka arobaini ambapowanazuoni wakubwa wanaungana na Mashiah katika masuala hayo.

Kukanusha kuwapo kwa MahdiError: Reference source not found ni uthibitisho wa kufr, kwasababu Mtume s.a.w.w amesema kuwa yeyote atakaye kataa kuwapo kwa Mahdi basi ni Kafiri.Jambo dogo kabisa linalo tuhakikishia kuwapo kwa Mahdi a.s. ni kule kutokezea kwa Mahdi-bandiaambao wapo wanapatikana katika historia. Kwa hivyo iwapo utataka nakala basi itatokana na nakalaasilia, kama hakuna nakala asilia basi huwezi kupata nakala yake. Vile vile kuna habari kamili katikavitabu vya kale kuhusu Imam Mahdi a.s. , nasaba yake n. k. hivyo inatuwia rahisi kwetu sisi kuwezakutofautisha baina ya Mahid wa kweli na wale bandia. .

Hao MahdiError: Reference source not found bandia wameweza daima kuwazuzua wale wotewaliokuwa majahili na wasio zijua sifa za Imam a.s. na ambao hawajui kuhusu ubashiri wa kuja kwaImam Mahdi a.s. Hivyo ni faradhi kwetu sote kufahamu na kujua elimu na maarifa ya Imam a.s. hasakatika kipindi hiki kilichojaa kwa uovu na dhuluma za kila aina za Shaitani. Watu wengi hawana mapenzina Dini, na hapa ndipo Shaitani anapopata nguvu na wafuasi wake katika mambo ya maasi. Dunia yetuinakaribia kuangamia kwani dalili za Qayama zipo mbele yetu hivyo kunakaribia kudhihiri kwa ImamMahdi a.s.

Nimejaribu kuzikusanya mabashiri yote ya kuja kwa Imam Mahdi a.s. ambayo bado hayajatokea katikakitabu hiki na kukipa jina la Qayamat-i-Sughra ambapo ni matumaini yangu kuwa wasomaji wotewatafaidika na kuifanya imani yetu kuwa madhubuti katika Dini na kujitayarisha kumpokea na kukutanana Imam Mahdi a.s. Mwokozi na mkombozi wetu sote !

Sababu ya kukipa jina hili la Qayamat-i-Sughra ni kwamba Imam MahdiError: Reference source notfound a.s. hatadhihiri hadi hapo dunia nzima ichafuke kwa maonevu na dhuluma kwa kiasi chakupindukia. Hivyo jina hili linamaanisha 'kipindi kitakachotangulia QayamaError: Reference sourcenot found'

Kitabu hiki kimezungumzia na kugusia mambo mengi mno zikiwemo itikadi za watu, dini zao, mila nadesturi, utamaduni, elimu,mawazo na fikara zao. Hivyo ninawaombeni nyote kunitumia maoni yenu kwakukubalia maandiko au kuyapinga au kuyafafanua zaidi ili yanisaidie katika kuendeleza kazi hii iwevyema zaidi hapo siku za mbeleni. Yote mutakayonitumia lazima ziwe na hoja na ufafanuzi mzuri kwanizitaweza kuingizwa katika chapa zitakazokuja.

Hatimaye ninatoa shukrani zangu za dhati kwa wote.

5 Januay 1996Amiraly M. H. DatooP. O. Box 838,Bukoba, Tanzania (E. Africa)

Nguzo ya tano katika Dini ya Islam ni kuamini katika QayamaError: Reference source not found. Naimani katika nguzo hii ni faradhi kwani ni siku moja maalum iliyokwisha pangwa, na swala la lini ni siri yaAllah swt na Waja wake makhsusi. Zipo mabashiri mengi yatakayotokezea kabla ya kuja kwaQayamaError: Reference source not found. .

Mtume Mtukufu s.a.w.w ameripotiwa kusema: "Zipo dalili kumi kutokezea kabla ya kuja kwaQayamaError: Reference source not found:

1. Uasi wa SufianiError: Reference source not found.

2. Kuja kwa DajjalError: Reference source not found

3. MotoError: Reference source not found na moshi

4. Dabbatul Ardh

5. Kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s.

6. Kuchomoza kwa jua kutoka Magharibi

7. Kuja kwa Mtume Issa a.s. kutokea mbinguni

8. Kuachinika kwa ardhi katika Mashariki

9. Kuachanika kwa ardhi katika Bara la Arabia

10. Moto Error: Reference source not foundundani mwa AdenError: Reference source not found ambayoitawakusanyisha watu katika ardhi tambarare. 1

1. Katika maneno ya Mtume Mtukufu s.a.w.w tumepatiwa ishara tu. Moto na moshi vinaweza kumaanisha mabomu ambayoyanapolipuka hutoa moto na moshi. Moto undani mwa Aden unaweza kusemwa kuwa moto katika matanki ya kuhifadhiamafuta ya petroli au visima vya mafuta vya Arabia. Tabaka za chini ya ardhi za Arabia yamejaa kwa mafuta.

Wale waliokuwa wakitoa ubashiri walikuwa wakiishi huko Bara la Arabia na walikuwa wakijua vyemakiwango fahamu za watu wenzao na hivyo tutaona kuwa ubashiri mwingi utazungumzia Mashariki yaKati. Popote pale walipokuwa wakiulizwa maswali, wao walikuwa wakizingatia elimu na fahamu yamwulizaji. Zipo jumla zingine zilizotumika kijumla kama 'ardhi' n. k. katika mabashiri.

Jambo lingine la kukumbuka ni kwamba kumetokea mabadiliko na hata kamili katika mazingira nakisiasa kuanzia wakati huo. Majina ya miji imebadilika na miji mingi kuangamizwa kabisa na ikatoweka.Na miji mipya kutokezea. Hivyo ni ombi kwa msomaji kujaribu kupitia vitabu vya jiografia vya mambo yakale ili aweze kupata ufafanuzi zaidi.

IIikuwa ni desturi ya Waarabu kujulikana kwa majina ya baba, familia au ukoo, hivyo ndivyo ilivyo tumika

muundo huo huo katika majina humu kitabuni.

Ubashiri wa kuja kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. umegawanywa nakuchambuliwa kama ifuatavyo:(1) Ubashiri wa kawaida,(2) Ubashiri maalum na(3) Ubashiri wa lazima.

(1). Ubashiri wa Kawaida.

Abdullah ibn Abbas (r. a. ) amesema kuwa baada ya kumaliza Hajj ya mwisho (mwaka wa 10 Hijriyyah),Mtume Mtukufu s.a.w.w alisimama mbele ya mlango wa Ka'aba Tukufu, akiwa ameshikilia komeo yamlango, huku akiwauliza ma-Sahaba wake: "Je, nikuambieni dalili za siku ya QayamaError:Reference source not found?" Salman Farsi (r. a. ) ambaye alikuwa karibu naye,alisema: "Ndiyo, EweMtume wa Allah swt. "

Mtume Mtukufu s.a.w.w akasema, "Hakika, miongoni mwa dalili za saa, ni kuwa:(1) watu watapuuza salaError: Reference source not found,

(2) watafuata matamanio yao wenyewe

(3) wataelekeza kujipendelea wao wenyewe,watawaheshimu matajiri

(4) na watauza Dini yao kwa manufaa ya kidunia

(5) wakati huo roho na moyo wa Muumin itayayuka (kwa huzuni) kama chumvi inavyoyayuka katikamaji,kwa sababu ataona mambo yaliyoharamishwa na hataweza kuyabadili. "

Salman akasema: "Haya yatatokea,ewe Mtume wa Allah swt?"Mtume Mtukufu s.a.w.w akasema: "Ndiyo,naapa kwa Aliyonayo roho yangu mkononi mwake. "

"Ewe Salman,:(6) wakati huo watawala watakuwa wadhalimu

(7) Mawaziri watakuwa waasi,

(8) na wadhamini (wale waliopewa amana kwa kuaminiwa) watafanya hiana

(9) hakika wakati huo maovu yatakuwa mema na mema yatakuwa maovu

(10) wale wafanyao hiana wataaminiwa na waaminifu watafikiriwa kuwa si waaminifu;

(11) na mwongo atasadikiwa,na msema kweli atahesabiwa mwongo

(12) Wakati huo kutakuwapo na utawala wa wanawakeError: Reference source not found

(13) Masuria watashauriwa

(14) na watoto watakaa juu ya mimbarError: Reference source not found

(15) udanganyifu utahesabiwa kuwa ni uerevu

(16) na Zaka itakuwa ni kama kutozwa faini;

(17) na mateka ya vita (yaani mali ya ummahError: Reference source not found) yatakuwa kama ni maliya mtu binafsi;

(18) na mtu atakuwa mjeuri kwa wazazi wake na atakuwa mwema kwa marafiki zake

(19) na wakati huo kutatokea na nyotaError: Reference source not found zenye mikia (comets). "

Salman akasema: "Haya yatatokea, ewe Mtume wa Allah swt?"

Mtume Mtukufu s.a.w.w akasema: "Ndiyo, naapa kwa Aliyonayo roho yangu mkononi mwake. "

"Ewe Salman!:(20) wakati huo mwanamke atakuwa mshiriki wa mumewe katika biashara,

(21) na mvuaError: Reference source not found itakuwa motoError: Reference source not found sana

(22) na watu wema watabaki katika huzuni;

(23) na masikini hawata heshimiwa;

(24) na wakati huo masoko yatakaribiana,

(25) Tena huyu atasema,"Mimi sikuuza chochote, na yule atasema, "Mimi sikupata faida yoyote. " Kwahivyo hutamkuta mtu yeyote asiyemlalamikia Allah swt.

"Ewe Salman!(26) tena itatokea iwapo watu watawazungumzia watawala wao, watawaua, na ikiwa watanyamazakimya, watanyang'anywa mali yao, watanyimwa heshima zao, watamwaga damuError: Reference sourcenot found yao na mioyo ya watu itajaa woga; kisha hutamwona mtu yeyote ila atakuwa mwoga, mwenyekhofu, ametishika na ameshstushwa”

"Ewe Salman!(27) Bila shaka wakati huo mambo fulani yataletwa kutoka Mashariki

(28) na mambo fulani yataletwa kutoka Magharibi,

(29) Basi ole kwa watu walio dhaifu (wa imani) katika UmmahError: Reference source not found wangukutokana na hayo; Ole ya Allah swt iwe kwa hayo. Wao hawatakuwa na huruma juu ya wadogo wao,wala hawatamsamehe yeyote aliyefanya kosa. Miili yao itakuwa ya wanadamu, lakini mioyo yao itakuwaya mashetani. "

"Ewe Salman!(30) Wakati huo wanaumeError: Reference source not found watawaashiki wanaume,

(31) na wanawakeError: Reference source not found watawaashiki wanawake;

(32) na watoto wa kiume watapambwa kama wanawake;

(33) na wanaume watajifanya kama wanawake

(34) na wanawake wataonekana kama wanaume;

(35) na wanawake watapanda mapando (farasi na ngamia)

(36) Hapo tena patakuwepo laana ya Allah swt juu ya wanawake wa UmmahError: Reference source notfound wangu. "

"Ewe Salman!(37) Bila shaka wakati huo MisikitiError: Reference source not found itapambwa (kwa dhahabu n. k. )kama inavyofanywa katika masinagogi na makanisa,

(38) na QuranError: Reference source not found zitapambwa (kwa nakshi na rangi za kupendeza n. k. )

(39) na minara ( ya misikiti) itakuwa mirefu; na safu za watu wanaosimama katika salaError: Referencesource not found zitazidi, lakini nyoyo zao zitachukiana na maneno yao yatatofautiana. "

"Ewe Salman!(40) Wakati huo wanaumeError: Reference source not found watatumia mapambo ya dhahabu; kishawatavaa hariri,n a watatumia ngozi za chui. "

"Ewe Salman!(41) Wakati huo ribaError: Reference source not found itakuwako,

(42) na watu watafanyia biashara kwa kusemana na rushwa

(43) na dini itawekwa chini, na dunia itanyanyuliwa juu. "

"Ewe Salman!(44) Wakati huo talaqaError: Reference source not found zitazidi

(45) na Sheria ya Allah swt haitasimamishwa. Lakini hayo hayatamdhuru Allah swt. "

"Ewe Salman!(46) Wakati huo watatokea wanawakeError: Reference source not found waimbaji,

(47) na ala za muziki

(48) na wabaya kabisa watawatawala UmmahError: Reference source not found wangu. "

"Ewe Salman!(49) Wakati huo matajiri katika UmmahError: Reference source not found wangu watakwenda Kuhiji kwamatembezi, na walio wastani kwa biashara,na masikini kwa kujionyesha.

(50) Hivyo basi wakati huo watakuwapo watu ambao watajifundisha QuranError: Reference source notfound si kwa ajili ya Allah swt na wataifanya QuranError: Reference source not found kama ala yamuziki.

(51) Na watakuwapo watu ambao watasoma dini si kwa ajili ya Allah swt

(52) na idadi ya wanaharamu itazidi

(53) watu wataiimba QuranError: Reference source not found,

(54) na watu watavamiana kwa uroho wa kidunia. "

"Ewe Salman!(55) Haya yatatokea wakati heshima zitakapoondoka, na madhambi yatatendwa

(56) na watu waovu watakuwa na uwezo juu ya watu wema,

(57) na uongo utaenea na mabishano (matusiError: Reference source not found) yatatokea

(58) na umasikini utaenea,

(59) na watu watajivuna kwa mavazi yao

(60) na itakuwepo mvuaError: Reference source not found wakati si wake

(61) na watu watacheza dama, kamari na Ala za muziki,

(62) na hawatapenda kuhimizana mema wala kukatazana maovu

(63) na kwa ajili hali itakavyokuwa hata itafikia wakati huo kuwa Muumin atakuwa na heshima ndogokuliko hata mjakazi

(64) na wanaosoma na wanaotumia wakati wao katika kumwabudu Allah swt watalaumiana.

(65) Hao ndio watu watakaoitwa wachafu na wanajisi katika Ufalme wa mbinguni. "

"Ewe Salman!(66) Wakati huo matajiri hawataogopa chochote isipokuwa mtu masikini; hadi kwamba masikiniwataendelea kuomba kati ya ijumaa mbili, na hawatamwona mtu yeyote wa kutia chochote mikononimwao. "

"Ewe Salman!(67) Wakati huo itazungumzwa Ruwaibidhah. "

Salman akauliza: "Ni nini Ruwaibidhah ? Ewe Mtume wa Allah swt, baba na mama yangu wawe fidiakwako. "

Mtukufu Mtume s.a.w.w akajibu:(68) "Watu fulani watazungumza kuhusu mambo ya watu ambayo hayakuwahi kuzungumzwa namna hiizamani.

(69) Tena baada ya muda mchache machafuko yatatokea duniani,na kila nchi itafikiri kuwa machafukoyapo katika nchi yao tu. "

(70) "Watabaki katika hali hiyo kwa muda ambao Allah swt atapenda wabaki;

(71) kisha ardhi itatapika vipande vya moyo wake dhahabu, fedha na madini mengineyo;

(Hapo Mtume s.a.w.w ) alinyosha kidole chake penye nguzo, na akasema: "Kama hizi (kwa ukubwa),lakini siku hiyo dhahabu wala fedha hazitamsaidia mtu yeyote. Na hii ndiyo maana ya maneno ya Allahswt 'Hakika dalili Zake zimekuja. '1

Zipo habari zingine zilizoelezwa katika vitabu vinginevyo kwa kupitia Jabir Ibn Abdullah Ansari, ambavyoninazitaja:

"Ewe Salman! Wakati huo:(1) Wazee watajitumbukiza katika mambo ya ushirikina na uchawi,

(2) ghiba ndiyo itakuwa mazungumzo yenye kupendeza,

(3) mali iliyopatikana kwa njia za haramu, itachukuliwa kama ndiyo neema,

(4) wazee hawatakuwa na mapenzi ya wadogo na vile vile wadogo hawatawajali wazee nakuwaheshimu

(5) Islam itabakia kwa jina tu kwani wafuasi wake hawatakuwa wakifuata maadili na maamrisho yake,

(6) Kimbunga kikubwa cha rangi nyekundu kitatokezea mbinguni na kutaanguka mawe kutoka mbinguni

(7) nyuso zitakuwa za kuchukiza

(8) kutakuwa na mitetemeko na kuporomoka kwa ardhi kila mara.

Hapo Sahaba walimwuliza Mtume s.a.w.w , "Ewe Mtume wa Allah swt, je lini yatakapotokea hayo yote?"(pamoja na nishani na dalili za hapo juu, baadhi zimeongezeka hapa chini)

Mtume s.a.w.w aliwajibu:(9) Watu watakuwa watumwa wa shahwa au matamanio yao

(10) watu watakuwa walevi wa kupindukia kwani matumizi ya uleviError: Reference source not foundutakithiri na utakuwa ukipatikana kwa udhahiri bila ya watu kuona aibu ya aina yoyote,

(11) Wanaume watakuwa wakiwatii wake zao,

(12) jirani atakuwa wakiwaudhi na kuwatesa majirani wenzake,

(13) Wakubwa hawatakuwa watu wenye huruma, mioyo yao itakuwa imejaa kwa maonevu,

(14) vijana hawatakuwa na heshima

(15) watu watajenga majumba imara na marefu mno,

(16) wafanyakazi watadhulumiwa hakiError: Reference source not found zao,

(17) ushahidi wa kiuongo utachukuliwa kuwa wa kawaida,

(18) ndugu atakuwa akimwonea wivu ndugu yake halisi

(19) watu watakaokuwa wakifanya biashara kwa ushirika, basi watakuwa daima wakifikiriana mbinu zakumdhulumu mwenzake,

(20) mambo ya zinaaError: Reference source not found yatakuwa kama kawaida kwani yatatendeka nakusikika pia.

(21) ile mioyo ya kutaka kusaidia watu wengine itakuwa imetoweka,

(22) Maasi na dhuluma itaongezeka kupita kiasi,

(23) matumbo ya watu itachukuliwa kuwa ndiyo miungu yao, kwani hawatajali kiwevyo, ilimradi wapatechochote kile,

(24) wanawakeError: Reference source not found watakuwa wakitawala akili za wanaumeError:Reference source not found na watakuwa wakiwaendesha wanaume vile watakavyo wao,

(25) kutatokea Maulamaa au wanazuoni waovu kabisa kwani watajionyesha kuwa ni wacha Mungu nawenye elimu, ambapo kwa hakika watakuwa waroho wa mali ya dunia tu. "

Hapo Mtume Mtukufu s.a.w.w aliwaonya: "Kumbukeni, wakati kama huo utakapokuja, basi Allah swtatatumbukiza watu katika balaaError: Reference source not found za aina nne:(1) kutawaliwa na watawala dhalimu(2) ukame na vitu vya matumizi ya kila siku kuwa bei ghali yaani kupanda kwa maisha,(3) dhuluma za watawala(4) kuabudu miungu. "

Sahaba waliposikia hayo walishtushwa na kuuliza: "Ewe Mtume wa Allah swt ! Je kweli kuwaMwislamu atakuwa akiabudu miungu na masanamu?"

Mtume s.a.w.w aliwajibu: "Naam! Kwao mapesa yatakuwa kama miungu kwani watakuwa wakiziabudukupindukia kiasi. "

Kwa hakika sisi tunayashuhudia haya yote yakitokea ambayo Mtume s.a.w.w amekwisha bashiri karibukarne kumi na nne zilizokwishapita. Imam Ali a.s. katika khutba yake ijulikanayo kama Al-Bayananaelezea ubashiri kwa undani zaidi. Wasomaji wenye kutaka kupata habari zaidi wanaweza kutazama(1) Yanabi-ul-Muwaddah (2) Basharat-ul-Islam, Sayyid Mustafa Ali-Sayyid Haider al-Kazami, chapaya BaghdadError: Reference source not found.

Ubashiri ya Imam Ja’far As-Sadiq A.S.

Mazungumzo yafuatayo yamefanywa na Imam Jaafer as-Sadiq a.s. ambamo ameripoti ubashiri wa sikuza mwisho wa dunia hii. Yametolewa kutoka Darul Islam, Bihar-ul-Anwar na Raudhat-ul-Kafi.Wanaoripoti habari hizo ni Allamah Naraqi na Sheikh Kulaini r. a. kutokea kwa Himran.

Imam a.s. alisema:(1) "Haki itakuwa imetokomezwa na watu walio katika hakiError: Reference source not foundhawatapatikana.(2) Dhulma na uonevu utaenea katika miji yote.(3) Kufuata QuranError: Reference source not found kimatendo itajulikana kama tabia ya kizamani.(4) Zitatolewa maana ya Aya za QuranError: Reference source not found kwa mujibu wa matakwa yawatu, hivyo mafhum ya Quran itakuwa imebadilishwa na kupotoshwa.(5) Wadhalimu watakuwa wakiwa kandamiza wale walio katika haki.(6) Uchokozi na uchochezi utatokea kutoka kila pande na pembe.(7) Matendo maovu na kukosa aibu vitaenea na kuzagaa kila mahala.(8) UlawitiError: Reference source not found utakuwa ni jambo la kawaida.(9) Muumin atakuwa akionekana kama mtu dhalili ilhali waovu watakuwa wakiheshimiwa(10) Vijana hawatakuwa wakiwaheshimu wakubwa wao(11) Huruma itakuwa imepotea kabisa.(12) Waovu watakuwa wakitukuzwa kwa udhalimu wao na hakutakuwapo na mtu yeyote wa kuwapinga.(13) Wanaume watafurahishwa mno kwa kuingiliana na wanaumeError: Reference source not found

wenzao.(14) Wanawake watawaoa wanawakeError: Reference source not found wenzao.(15) Mapesa yatatumika kwa ajili ya matumizi yale yaliyo haramishwa na Allah swt.(16) Starehe, anasa na zinaaError: Reference source not found zitashamiri.(17) ZinaaError: Reference source not found itajulikana kama maadili yaliyopitwa na muda.(18) Muumin atatengwa kwa sababu ya kufanya ibada za Allah swt.(19) Jirani mmoja atafurahi mno kwa kumuudhi na kumbughudhi jirani mwenzake.(20) Wazushi (kama Salman Rushdie wa Uingereza) watatukuzwa na kusifiwa katika kueneza fitina nayale wanayozusha.(21) Ushauri mzuri utakanwa.(22) Milango ya wema yatafungwa wakati milango ya maovu yatafunguliwa.(23) Al-KaabaError: Reference source not found haitatumika au haitafikika kwa sababu ya vikwazo naugumu utakaowekewa mahujaji.(24) Watu watalazimishwa kuacha kwenda MakkahError: Reference source not found kuhiji.(25) Watu hawatakuwa wakitimiza ahadi zao watakazokuwa wakizitoa.(26) Wanaume watakuwa wakitumia dawa za kuamsha tamaa za kiume kwa ajili kulawiti nawanawakeError: Reference source not found watakuwa wakitumia vyakula vya mafuta ili kujitayarishakwayo.(27) Baadhi ya wanaume watakuwa wakiishi kwa kujipatia mapesa kwa kuuza mikundu yao(28 ) na wanawake watakuwa wakijipatia mapesa kwa kufanyisha biashara uuke wao.(29) Wanawake wataunda vilabu vyao, mashirika na umoja wao.(30) Wanaume atajigeuza kama wanawake na watavutia na wanawake.(31) Wanaume watajirembesha kama wanawake.(32) Ulawiti utachukuliwa kama ndiyo ustaarabu na starehe ya kweli. Na Banu Abbas watalipia ulawiti.(33) Wanawake wataona fakhari kwa kuwa na waume nje ya mume mmoja wa ndoa na vivyo hivyowanaumeError: Reference source not found watakuwa hivyo hivyo.(34) Heshima itakuwa ikitolewa kwa utajiri wa mtu na wala si ucha Mungu.(35) ribaError: Reference source not found ndiyo itakayokuwa biashara ya kila siku.(36) Ushahidi wa uongo utakuwa ukisadikiwa mno.(37) Kile alichokiharamisha Allah swt kitachukuliwa ni halali na chochote kile alichokihalalisha Allah swtkitachukuliwa ni haramu.(38) Maamrisho ya Dini yatageuzwa kwa mujibu wa matakwa yao.(39) Wachokozi na waovu watatenda maovu kwa udhahiri bila ya khofu yoyote ile na Muuminhawataweza kuwazuia vyovyote vile.(40) Watawala watawapenda mno Makafiri kuliko Muumiin.(41) RushwaError: Reference source not found ndiyo itakuwa njia ya kujitimizia kazi kutoka maofIssawanaohusika.(42) Wanaume wata walawiti wake zao.(43) Watu watakuwa wakiuawa kwa visingizio vidogo vidogo na magomvi madogo madogo.

(44) Wanawake watawafanyia wanaume dhihaka, nao watashawishiwa kufanya uhusiano nawanawakeError: Reference source not found.(45) Wanaume wataishi kwa mapato ya wake zao zitakazopatikana kwa zinaaError: Reference sourcenot found.(46) Wanawake watakuwa wakiendesha hukumu majumbani huku wanaume wakiwatii wake zao kwasababu wanawake hao ndio watakuwa wenye mapato.(47) Wanawake watatumiwa katika kupatikana huduma mbalimbali.(48) Kula kiapo kwa jina la Allah swt litakuwa ni jambo lililowekwa ulimini.(49) PombeError: Reference source not found na kamari vitapatikana kila mahala na vitakuwavimezagaa.(50) wanawakeError: Reference source not found wa Kiislamu wataingiliana na Makafiri, ambapoWaislamu hawataweza kuwazuia na wala hawatakuwa na uwezo kama huo.(51) Maadui wetu watasaidiwa na watawala na marafiki zetu watadhalilishwa kiasi kwamba hata kiapochao hakitakubaliwa.(52) Udanganyifu na hila ndizo zitakuwa desturi miongoni mwa watu.(53) Usomaji na usikilizaji wa QuranError: Reference source not found utakuwa ni bughudha kwa watu.(54) Kusikiliza mambo fidhuli ndiyo itakuwa ikipendelewa na watu.(55) Jirani hatamstahi jirani mwenzake illa kwa khofu ya ulimi mkali na mchafu.(56) Sheria na kanuni za Allah swt hazitatambuliwa na waovu hawataadhibiwa kwa maamrisho hayo.(57) Ghiba na kulaghaiana ndivyo vitakuwa vitu vya kawaida.(58) Madhumuni ya Hajj na Jihad yatakuwa mbali na yale ya Kiislamu.(59) MisikitiError: Reference source not found itarembeshwa kwa dhahabu.(60) Watawala watawataka ushauri kwa nia ya Makafiri.(61) Litakuwa ni jambo la kawaida kuibia katika uzani na vipimo vya biashara.(62) Kumwaga damuError: Reference source not found ya watu wegine litakuwa ni jambo la kawaida.(63) Watu watajigamba kwa ndimi zao chafu zenye matusiError: Reference source not found mabaya ilikuwatishia watu wengine.

Imam a.s. aliendelea kusema:(64) "Watu watakuwa wakipuuzia salaError: Reference source not found na kutojali.(65) Watu hawatakuwa wakilipa zakaError: Reference source not found ingawaje watakuwa na utajirimkubwa.(66) Sanda za maiti zitakuwa zikiibiwa na kuuzwa tena(67) Mauaji yatakithiri mno kiasi kwamba hata wanyama pia wataanza kuuana wenyewe kwa wenyewe.(68) Watu watakuwa wakisali katika mavazi ya kiajabu.(69) Macho na mioyo itapoteza nuru zao za heshima na huruma.(70) Watu watakuwa wamejishughulisha na maswala ya kutafuta mali na mapesa tu.(71) Watu watasali kwa kuonyesha tu.(72) Watu watatafuta elimu ya Dini kwa ajili ya kujipatia mali ya dunia.

(73) Ushirika katika makundi yatakuwa ndiyo mambo ya maisha.(74) Wale watakaojipatia riziki kwa njia ya halali, watasifiwa kwa midomo tu.(75) Matendo maovu na machafu yataenea hata MakkahError: Reference source not found naMadinaError: Reference source not found.(76) Watu waliokufa watafanyiwa mizaha na vichekesho.(77) Mwaka hadi mwaka hali itakuwa ikiendelea kuharibika kuwa mbaya zaidi.(78) Matajiri wataigwa.(79) Masikini, mafukara watafanyiwa dhihaka na kufedheheshwa.(80) Matukio ya kudura kama yale ya mitetemeko, maporomoko n. k. yatakuwapo lakini watu watakuwahawaviogopi.(81) Matendo maovu yatakuwa yakitendwa kiwaziwazi.(82) Wazazi watatupa watoto wao na watoto watawatusi wazazi wao na daima watakuwa wakitaka malina utajiri wa wazazi wao.(83) Wanawake hawatawatii na kuwafuata waumeError: Reference source not found wao.(84) Siku itakayopita bila ya mtu kutenda madhambi, basi itachukuliwa ni siku yenye nuksi.(85) Watu wenye uwezo wataficha mali muhimu na kuviuza kwa bei ya ulanguzi.(86) Waombaji na walaghai watajumuika katika kucheza kamari na kulewa.(87) PombeError: Reference source not found itatumika kama ni kitu chenye kuponya yaani dawa.(88) Makafiri watatukuzwa juu ya watu wengine na Muumin watadhalilishwa na kupuuzwa.(89) Kutafanywa malipo kwa ajili ya kutoa Adhan na salaError: Reference source not found.(90) MisikitiError: Reference source not found itajaa kwa watu wasiokuwa na khofu ya Allah swt.(91) Watu wenye fahamu na akili kasoro ndio watakaokuwa wakiongoza salaError: Reference source notfound za jamaa' na watu kama hao kamwe hawatashutumiwa au kusutwa na badili yake wataheshimiwa."

(2) Ubashiri Maalum

Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema: "Kabla ya kuja kwa QayamaError: Reference source not found, vituvitatu vitakuwa vya kawaida(1) ugonjwa wa bawasiri,(2) vifoError: Reference source not found vya ghafla,(3) Saratani ya damuError: Reference source not found.

Vile vile Mtukufu Mtume s.a.w.w amesema: "Mojawapo ya sharti kwa kuja Siku ya QayamaError:Reference source not found ni motoError: Reference source not found utakaotanda Mashariki hadiMagharibi. "

Ameendelea kusema, "Idadi ya wanawakeError: Reference source not found itazidi idadi yawanaumeError: Reference source not found kwa uwiano wa wanawake hamsini kwa mwanammemmoja. "

Kuangamizwa Kwa Nchi Na Miji Mbalimbali

Mwanachuoni mkuu wa Kisunni Mohiuddin, ameandika katika Muhadherat-ul-Abrar na Muthammerat-ul-Akhyar, riwaya kutoka Ilyas, mtiririko hadi kumalizikia kwa Hudhaifah, kuwa Mtume Mtukufu s.a.w.walisema:1. "MisriError: Reference source not found haitaangamizwa hadi hapo BasraError: Reference source notfound imeteketezwa, Basra itateketezwa kwa sababu ya IraqError: Reference source not found na Misriitaangamizwa kwa sababu ya mto Nile.

2. MakkahError: Reference source not found itatekwa na Ethiopia.

3. MadinaError: Reference source not found itakumbwa na mafuriko.

4. YemenError: Reference source not found itateketezwa na ndui.

5. Eila itaangamizwa kabisa katika kutekwa.

6. Uajemi utatekwa na Saalik kutoka Dailam na Dailam atatimuliwa na Waarmenia na wao watatekwa naWaturukiError: Reference source not found.

7. Waturuki watakumbwa na kuangamizwa kwa radi.

8. Sind itatolewa na IndiaError: Reference source not found

9. na India itapinduliwa na Wachina.

10. Error: Reference source not foundChinaError: Reference source not found itaharibiwa na mchangaau nzigeError: Reference source not found.

11. Rafdha itaipoteza Ethiopia.

12. SufianiError: Reference source not found atawatilia vikwazo wale wanaokwenda kuzuru makaburi yaMtume Mtukufu s.a.w.w na Maimamu a.s.

13. Ramla itateketezwa nusu na

14. Iraq itakumbwa na ukame.

Mitume Sitini Bandia

Abdullah ibn Umar anaripoti kuwa Mtume Mtukufu s.a.w.w alisema: "QayamaError: Reference sourcenot found haitakuja hadi MahdiError: Reference source not found atakapodhihiri kutokana na kizazichangu; na yeye pia hatajitambulisha hadi hapo patakapotokea watu sitini watakaodai kuwa wao nimitume (bandia). "

Vita Pamoja Na Weupe Na Maangamizo

Imeripotiwa katika kitabu cha Aqdud Dur cha Auf Ibn Malik kuwa mimi nilimwijia Mtume s.a.w.w ambapoalipokuwa ameketi katia hema lenye rangi ya udongo. Kwa utaratibu alitawadha na kuniambia,"QayamaError: Reference source not found inasubiri ubashiri sita:(1)mvuaError: Reference source not found ya changarawe kutoka mbinguni (labda inaweza kumaanishakuporomoka kwa mabomuError: Reference source not found na matokeo yake). Hili ndilo la kwanza. "

Mimi nilimjibu: "Naam, Bwana wangu!"

Aliendelea Mtume Mtukufu s.a.w.w:(2) "Ushindi wa kuishinda JerusalemError: Reference source not found.(3) Mauaji kupindukia kiasi. Watu watakuwa wakiuawa kama ng'ombe na mbuzi.(4) Kuzidi kwa mali ambayo haitoshelezi kukamilisha matakwa ya mtu.(5) Yatatokea magomvi na hakuna hata nyumba moja itakayobakia salama bila ya kukumbwa namagomvi hayo.(6) Watu weupe watawageuka. Wao watakushambulieni katika mabatalioni themanini na kila batalionilitakuwa na askari kumi na mbili elfu.

Kuteketezwa kwa Baadhi ya Miji

Katika Manaqib ya Ibn Shahar Ashub imerekodiwa kutoka kwa Qatada ambaye ameripoti kutoka SaeedIbn Musayyab: "Imam Ali a.s. aliulizwa juu ya Aya ya QuranError: Reference source not found Tukufu:Na hakuna taifa lolote ila alipita humo Muonyaji.’ Hapo Imam Ali a.s. alitoa tafsiri ndefu mno na humoalitoa ubashiri wa kuangamizwa kwa baadhi ya miji.1. Samarqand, Jaj, Khwazim, Isfehan na KufaError: Reference source not found vitaharibiwa naWaturukiError: Reference source not found. (Hapa Waturuki wanamaanishwa WarusiError: Referencesource not found) .

2. Hamadan na Ray yataangamizwa na watu wa Kazvin.

3. Tabrusa, MadinaError: Reference source not found na sehemu ya Ghuba ya Uajemi yatakumbwa naukame na njaa.

4. MakkahError: Reference source not found itatekwa na Ethopia.

5. BasraError: Reference source not found na Balkh yatazama majini.

6. Sind itatwaliwa na India.

7. Error: Reference source not foundIndia na Tibet

8. Tibet na ChinaError: Reference source not found.

9. Majeshi yatatetemesha Badakshan, Saani Kirman na baadhi ya sehemu za SyriaError: Referencesource not found.

10. YemenError: Reference source not found itaangamizwa na watawala

11. Sijistan na baadhi ya sehemu za Syria zitaangamizwa kwa gesi

12. Saman itaangamizwa na magonjwa na nzigeError: Reference source not found wataiharibu Marv

13. Nyoka watua viumbe katika Hirat

14. Naishapur itateketezwa.

15. Azarbaijan itavamiwa na majeshi na radi kali zitapiga (labda kwa sababu ya mabomuError:Reference source not found)

16. Mto Nile utafurika

17. Bokhara itazama majini

18. Kutakuwapo na ukame na miji ya Salam na BaghdadError: Reference source not founditaangamizwa.

Ubashiri wa Ziada wa Imam Ali A. S.

Abu Abdullah Jafar ibn Muhammad anaripoti kutoka kwa Imam Husain a.s. ambaye alimwuliza babayake: "Tafadhali sana baba naomba utuambie ni lini Allah s.w.t. ataitakasa ardhi kutokana na watuwaovu?"

Imam Ali a.s. alimjibu: "Ardhi haitaweza kamwe kutakasika hadi hapo damuError: Reference source notfound ya wazushi itakapokuwa imekwisha mwagika kikamilifu. "Imam Ali a.s. akizungumzia tawala za Banu Umaya na Bani Abbas, alisema: "Kabla ya kuja kwa Qaimkutatokezea mtu mmoja Sayyid Hasani atakayejiweka huko Khorasan. Yeye ataiteka Kirman na Multan.Na hapo baadaye ataendelea mbele kuelekea BasraError: Reference source not found. Qaim kutokanana sisi, atajitokezea katika Jilan. Watu wa Astrabad na Kazvin watamtii. Baadaye kutatokezeakupandishwa kwa benderaError: Reference source not found za Uturuki. Hapo kutakuja kutokezea vitavikali mno. Hapo ndipo Basra itakapokuja kuangamizwa na makao makuu ya Waarabu itakuja kuwaMisriError: Reference source not found.Imam Ali a.s. aliendelea kusema hadithi moja iliyokuwa ndefu ya tukio, na alisema: “Mikuki itaimarishwana kusimamishwa na watu walio dhaifu na wastani watawaua watu walio wema.”

Vifo Vyeupe na Vyekundu

Kuhusu kifo cheupe na chekundu, Imam Ali a.s. alisema: “Kabla ya kudhihiri kwa al-Qaim a.s.kutatokezea kwa aina mbili za vifoError: Reference source not found - nyekundu na nyeupe. Kwanyekundu kunamaanisha damuError: Reference source not found yaani kumwagika kwa damu nyingimno kwa sababu za vita na mauaji ya aina mbalimbali. Na kifo cheupe kinamaanisha kuzuka kwamaafaError: Reference source not found ya magonjwa ambayo yatakuwa daima yakienea na kuzuka kilamahala.”Tanbihi: Kwa vifoError: Reference source not found vyekundu hapo juu tunaelewa kuwa kutakuwapo navita vya kutisha mno ambapo damuError: Reference source not found itakuwa ikimwagika kutoka kilapembe ya dunia. Tunasikia kila siku katika maredio na televisheni vile dunia yetu hii ilivyokumbwa namauaji kila pande. Na ama kuhusiana na kifo cheupe, tunasikia vile magonjwa mbalimbali ya saratani,ukimwi n. k. yanayoua watu kwa mamilioni.

Syria na Iraq

Imam Ali a.s. alisema: "Kutazuka vita katika SyriaError: Reference source not found na itashambuliwakwa mabomuError: Reference source not found. Katika matokeo yake takriban watu laki moja watakuwawameuawa. Allah swt atabariki Waumin na kuwaadhibu Makafiri. Ole wenu wakati huo!"Farasi wakiwa na mabendera ya rangi ya njano watatokezea Magharibi. Wao watafika Syria na hukokuna kijiji kimoja kiitwacho Harsa au Kharsa ambacho kitadidimia ardhini. Muwe tahadhari kwa hayo! Niubashiri kuwa kutakuwapo na uasi wa SufianiError: Reference source not found ambaye atatokezeakutoka mabonde makavu ya PalestinaError: Reference source not found (vitabu vya zamani vya jiografiavinaelezea kuwa Kharsa au Harsa ipo karibu na Damascus huko Syria).

Kuzingirwa kwa Mji wa Kufa

Asbagh ibn Nabata anaripotiwa kusema: "Sisi tulisikia tafsiri ya Aya ifuatayo ya QuranError: Referencesource not found Tukufu kutoka kwa Imam Ali a.s. Kisha tukakurudishieni nguvu zenu juu yao natukakuongezeeni mali na watoto na tukakufanyeni wenye kundi kubwa kuliko wao' (Sura Bani Israil,17:6) hapo Imam Ali a.s. alisema: Humo kuna baadhi ya mabashiri na dalili. Kwanza ni kule kuzingirwana kutekwa kwa mji wa Kufa.

Kutachimbwa mahandaki kuuzunguka mji kwa sababu ya khofu ya maadui. Kutachomwa au kuchanwamabendera katika mitaa ya mji wa KufaError: Reference source not found. Msikiti Mkuu wa Kufautabakia tupu kwa siku arobaini kwa sababu hakutakuwapo na mtu wa kuja kusali humo. Wakristowatakuwa na nguvu katika maeneo hayo. Kutapeperushwa kwa mabendera tatu kwa pamoja.Kutamwagika damuError: Reference source not found kwa wingi mno ambamo muuaji na aliyeuawawote wataingia motoni Jahannam. Mcha-Mungu pamoja na watu sabini watauawa katika kitongoji chaMsikiti wa Kufa. Huko MakkahError: Reference source not found, baina ya Rukn na Maqam atakujakuuawa mcha -Mungu mwingine. 2

Imam Ali A.S. Aelezea Ubashiri Kumi

1. Katika mitaa ya mji wa KufaError: Reference source not found, kutapeperushwa benderaError:Reference source not found nyingi mbalimbali

2. MisikitiError: Reference source not found haitatumika vile ipasavyo

3. Zitafungwa kila njia zielekeazo kwenda HijjaError: Reference source not found (kwa kila mbinu)

4. Kuzama kwa ardhi huko Khorasan

5. Watu watakuwa wakibadili makazi na maishio yao (watahamahama ovyo ) kwa sababu ya vita namachafuko kila mahala

6. Nyota zenye mikia zitakuwa zikionekana

7. Baadhi ya nyotaError: Reference source not found zitakutanika mahala pamoja

8. Kutatokea na umwagaji wa damuError: Reference source not found kwa wingi na kila upande

9. Mauaji na maangamizi yatatokea kwa kupindukia kiasi

10. Tawala za kikatili na kutisha zitawaghalibu watu kila mahala. Kuna mshangao kwa kila ubashiri nabaada ya kutokea kwao Al-Qaim wetu atadhihiri. "

Theluthi Mbili za Binadamu wa Dunia Wataangamizwa

Imerekodiwa katika Oqdatud-Durr kuwa Imam Ali a.s. amesema: “Al- MahdiError: Reference source notfound a.s. hatadhihiri hadi hapo theluthi moja ya watu wa dunia hii hawatauawa na theluthi ya pilihawatakufa kwa mauti. Kwa hivyo kutakuwa kumebakia theluthi moja tu walio hai!"

Iran

Imam Husain a.s. ameripotiwa akisema kuwa kutatokezea vita vya makundi mbalimbali katika IranError:Reference source not found na maelfu ya watu watauawa.

Kupatwa kwa Mwezi na Jua

"Kinyume na desturi ya kupatwa kwa mwezi na jua katika mwezi mmoja, kutatokezea kupatwa kwamwezi tarehe 5 ya mwezi na kutapatwa kwa jua mnamo tarehe 15 ya mwezi huo huo. Jambo kama hilohalijawahi kutokezea kamwe tangia Mtume Adam a. s " Hayo yameripotiwa yakisemwa na ImamMuhammad al-Baquir a.s.

Mitetemeko ya Ardhi

Imam Muhammad al-Baquir a.s. amesema: “al-Qaim a.s. hatadhihiri hadi:1. Dunia nzima kukumbwa na woga na khofu.

2. Kutakuwa na mitetemeko mingi na watu watakuwa wamejawa kwa woga

3. Kutatokea na kuzagaa kwa magonjwa yenye kuuwa kwa wingi

4. Kutazuka vita vikali mno miongoni mwa Waarabu

5. Kutazuka tabia ya watu kuzozana mno

6. Dini itakuwa dhaifu

7. Hali za jamii zitakuwa mbaya mno kiasi kwamba watu watakuwa wakiomba mauti kila usiku namchana.

Mahdi Wazushi

Imam Jaafer as-Sadiq a.s. amesema: "Kutatokea wazushi kumi na wawili watakaojiita MahdiError:Reference source not found, kabla ya kudhihiri al-Mahdi wa kweli. "

Siku ya Waarabu Katika Mji wa Kufa

Imam Jaafer Sadiq a.s. siku moja alipokuwa akimwambia kijana mmoja huko KufaError: Referencesource not found: "Katika mji wenu wa Kufa, karibu na Msikiti, watu wapatao elfu nne wa kabila laSaabun watauawa na Lango la Tembo katika Siku ya Waarabu.

(3). Ubashiri Wa Lazima

Mabashiri haya yatatokea kwa lazima kabla ya kudhihiri kwa Al Qaim a.s. Katika kitabu hikininawakusanyieni baadhi tu, hivyo msomaji mwenye shauku zaidi anaweza kutafuta katika vitabuvingine vya Kiarabu, Kiajemi n. k.

Uasi wa Sufiani

Mtu mwovu mwenye sura isiyopendeza na yenye kuchukiza, mwenye macho - paka na makengezakutoka kabila la Bani Umayya aitwaye Uthmaan bin Utba au Ushba ataongoza uasi karibu naPalestinaError: Reference source not found. Uasi wake utatokezea baada ya vita vikuu vya dunia. Jeshilake litakuwa katili mno na wenye kiu cha damuError: Reference source not found. Kiasi cha Wayahudielfu sabini watajiunga naye. Wanajeshi wake wote watakuwa wanaharamu. Udhihiri wa al-MahdiError:Reference source not found a.s. utakuwa katika miaka hiyo hiyo. SufianiError: Reference source not

found atatawala takriban Bara la Arabia zima kwa vitisho na maangamizo. MadinaError: Referencesource not found, SyriaError: Reference source not found na IraqError: Reference source not foundvitateketezwa. Baada ya hapo yeye atajitayarisha kwa ajili yaMakkahError: Reference source not found.Mahala pamoja panapoitwa Beda, katika jangwa la Madina, ardhi itapasuka na Sufiani pamoja na jeshilake zima litatumbukia humo na kuangamia.

Sauti Kutoka Mbinguni

Tarehe 23 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, usiku wa Alhamisi, kabla ya Alfajiri, kutasikika sauti mojakubwa mno. Itamfikia kila mtu popote pale alipo na ataielewa. Sauti hiyo nzuri kabisa itakuwa ni yaBwana JibrailError: Reference source not found a.s. ikitangaza ubashiri mwema wa kudhihiri kwa Al-MahdiError: Reference source not found a.s. Hapo baadaye katika saa za mchana kutasikika sautinyingine kama hiyo, nayo itakuwa ni sauti ya Ibilisi. Sauti ya kufanana itatosheleza kuwapotosha watu. 3

Kupatwa Kwingi Kwa Jua na Mwezi

Kwa mara ya kwanza yatatokea katika nchi za Mashariki, baadaye katika nchi za Magharibi na baadayekatika bara la Bara la Arabia

Katika baadhi ya riwaya kumeripotiwa kwa mitetemeko ya ardhi yatatokea katika taratibu hizo katikamwaka mmoja. Allah swt ndiye mwenye kujua zaidi!

Kuchomoza Jua Kutoka Magharibi

Baadhi ya wana-Hadith wanasema kuwa hiyo ndiyo dalili mojawapo ya Siku ya Qayama. Kwa kufanyiautafiti zaidi tumeweza kujua kuwa jua litabakia kati kati saa za asubuhi mbele ya macho ya wakazi wadunia na itabakia hivyo hadi wakati wa mchana na itaanza kupanda kama kwamba inaanza kuchomozakutokea Magharibi. Kwa hakika ubashiri huu ni mgumu kuusadiki. Katika mabadiliko hayo ya utaratibuwa jua kunaweza kuleta maafaError: Reference source not found na mabadiliko makubwa mno.Ingawaje mimi si bingwa katika mambo ya mahesabu, lakini ni kama wataalamu walivyosema. Lakini hiiitatokea kama ni ubashiri wa mwisho.

Dajjal

Ni neno la Kiarabu likimaanisha mhaini mkubwa na mleta balaaError: Reference source not foundkubwa mno. Hivyo wale wote walio wahaini na waleta balaa basi wajijue kuwa wao pia na ma-DajjalError: Reference source not found wa zama zetu hizi. Lakini Dajjal anayezungumziwa hapa ni yuleambaye anaitwa Sayyid na utambulisho wake ni Dajjal. Yeye atakuwa ni mchawi mkubwa. Hapomwanzoni atakapojitokeza atadai kuwa yeye ni mtume na baadaye atajiita kuwa yeye ni mungu. Yeyeatatokezea pale ambapo Mashariki ya Kati itakuwa imekwisha dhoofika kwa sababu ya ukameutakaodumu kwa miaka mitatu kwa mfululizo. Katika mwaka wa tatu kutakuwa hakuna dalili ya majanina hakutakuwapo na mvuaError: Reference source not found kabisa.

Hili jitu lenye jicho moja litakuwa na urefu wa mita ishirini. Jicho lake la kulia litakuwa halifanyi kazi nalitakuwa kama donge la nyama nyekundu. Jicho lake la kushoto litawaka kutokea paji la uso. Yeyeatakuwa akimwendesha punda mwekundu, mwenye manywele ambaye miguu yake itakuwa mieusikutokea mifupa ya juu hadi magoti na nyeupe kutokea magoti hadi makwata. Kutasikika sauti ya muzikikutokea nywele zake na za punda wake.

Watu wanyonge, wanawakeError: Reference source not found, Mabedui wa Kiarabu na Kiyahudiwatamtii na kumfuata. DajjalError: Reference source not found mwenyewe atakuwa Myahudi wa asili yaukoo wa Qutama na kwa kutokana na udugu wa Abu Yusuf. Kwa hakika watu watamkubalia kamamtume (ingawaje atakuwa ni mzushi) .

Kwa kupatiwa msaada wa wanajeshi sabini elfu wa Kiyahudi na wenye silaha na matayarisho yote, yeyeataeneza kila mahala hali ya dhuluma na uoga. Mioyo ya watu itajawa kwa khofu na hatari. Wakati huo,JerusalemuError: Reference source not found ndio itakapokuwa mahala pa usalama kwa sababu MtumeIssa a.s. atateremkia. Imam MahdiError: Reference source not found a.s. atafika hapo pia. Hapokutatokea vita vikali na Mtume Issa a.s. atamwua DajjalError: Reference source not found.WayahudiError: Reference source not found wataangamizwa. Ulaji wa nyama ya nguruwe utaachwa.Hakutakuwapo na alama za MsalabaError: Reference source not found. Na hapo kutakuwapo na Dinimoja tu duniani -- ISLAM.

Mapokezi yafuatayo yametolewa kutoka Kitabu cha Kamal-ud-Din ambamo Muhammad Ibn Ibrahimanarikodi kama Hadith sahihi iliyopokelewa na Ibn Sabra,anayesema:

"Wakati mmoja Imam Amir-al-Mominiin Ali ibn Abi Talib a.s. alituambia hivi:

Sifa zote ni za Allah swt na Salaam ziwe juu yake Mtume Mtukufu s.a.w.w , na baadaye aliendeleakusema: "Niulizeni kile mukitakacho. . . "

Saasaan ibn Suhan aliinuka na kuuliza "Ewe Mawla wetu! Naomba utuambie ni lini atakapotokezeaDajjalError: Reference source not found.

Imam Ali a. s alimwambia aketi na kumjibu. Saasan aliketi na Imam Ali a.s. alianza kuelezea:

"Allah swt amekusikiliza na anajua kile ukitakacho. Zitapita dalili moja baada ya nyingine. Jeniwaambieni ?"

Watu waliokuwapo walisema: "Naam tunaomba hivyo, Ewe Abul Hasan ! "

Imam Ali ibn Abi Talib a.s. alianza kuelezea: "Kumbukeni kuwa kabla ya kuja kwake,(1) watu watakuwa wakiiona Sala kama jambo hafifu kabisa.(2) Amana zitakuwa zikichukuliwa kiwizi(3) Kusema uongo ndio itakuwa ikichukuliwa kuwa sahihi(4) Waislamu wataanza kuchukua ribaError: Reference source not found

(5) Rushwa itakuwa ni jambo la kawaida(6) Majumba makubwa makubwa na ya fakhari yatakuwa yakijengwa(7) Dini itauzwa kwa matakwa ya dunia(8) Watu watawafanya waovu na hakiri kuwa watawala au viongozi wao 4(9) Wanaume watawataka wanawakeError: Reference source not found ushauri na uongozi(10) Hakutapatikana huruma kokote pale, dunia itakuwa imejaa kwa udhalimu(11) Utumwa utakuwa ni jambo la kawaida 5(12) Mauaji na umwagaji wa damuError: Reference source not found utachukuliwa kama jambo lakawaida na ubabe(13) Watu wenye elimu watakuwa wadhaifu na wadhalimu watakuwa wenye nguvu.(14). Watawala watakuwa watu waovu na Mawaziri wao watakuwa wadhalimu(15) Wasufi na wasomaji wa QuranError: Reference source not found watakuwa wapumbavu(16) Kutakuwa kukitolewa ushahidi wa kughushiwa(17) Quran Tukufu itakuwa ikirembeshwa kwa nyuzi za dhahabu(18) MisikitiError: Reference source not found itakuwa ikijengewa minara mirefu(19) Watu waovu watakuwa wakiheshimwa(20) Idadi ya watu itaongezeka lakini wakiikhtilafiana baina yao(21) Ahadi na mikataba itakuwa ikivunjwa kila hapa na pale(22) Wanawake watakuwa wakishirikiana pamoja na wanaumeError: Reference source not found waokwa uroho wa mali(23) Sauti za Wakomunisti na wapingamizi wa Dini zitakuwa zina nguvu sana.(24). Nao watakuwa wakisikilizwa na kila mtu(25). Viongozi wa Jumuiya watakuwa ndio watu waovu kabisa(26) Watu waendeshao biashara za Mabenki watakuwa wabadhirifu na wadhulumaji(27). Ala za muziki zitakuwa zikipatikana kila mahala na kupindukia idadi.(28). wanawake watakuwa wakipanda mafarasi na wakiendesha magari.(29). Kuiga, hali ya mtu mwingine itaonekana ni kama desturi ya kawaida yaani mwanamme atapendaawe kama mwanamke (ajifanye mwanamke)na mwanamke atapenda ajifanye kama mwanamme6.(30). Utatolewa ushahidi katika mambo ya mahakama ingawaje mtoa ushahidi mwenyewe atakuwahaelewi kitu chochote kuhusu kesi inayoendelea lakini atatoa ushahidi wa kiuongo katika kesi yoyote ileitakayokuwa ikiendelea(31). Mbwamwitu watakuwa wengi , katika makundi ya kondoo.(32) Unafiki utakuwa ndio mambo ya kujivunia .(33) Nyoyo za watu zitakuwa zikinuka kuliko hata maiti na mbaya kabisa kuliko kitu chochote kile(34) Na mahali pa kuishi pema kabisa wakati huo itakuwa ni Jerusalem. Utafika wakati huo mtuatatamani laiti angelikuwa mkazi wa Jerusalem.Asbagh ibn Nabata alisimama na kusema "Ewe Bwana, naomba utwambie DajjalError: Referencesource not found atakuwa ni mtu wa aina gani?"Imam Ali a.s. alimjibu "Yeye atakuwa ni Sayyed . Laana iwe kwa mtu atakaye mkubalia DajjalError:

Reference source not found na atakuwa mtu mwenye bahati yule ambaye atakuwa amemkana Dajjal.(35). Yeye atatokea karibu na Kijiji kinachojulikana kama Isbahan kutokea eneo la Judea, kutakuwa natoto la jicho katika jicho la kulia . Jicho lake la kushoto litakuwa juu ya paji lake la uso na litakuwaliking'ara kama nyotaError: Reference source not found ya alfajiri, na hapo kutakuwa kipande cha nyamakilichojaa kwa damuError: Reference source not found. Baina ya macho yake mawili kutakuwa na herufizilizoandikwa katika Kiarabu Kafir yeye atapita katika mabahari makubwa makubwa.(36). Jua litakuwa pamoja naye.(37). Wingu la moshi litakuwa mbele yake na mlima mweupe utakuwa nyuma yake.(38). Watu waliofikwa na majanga ya njaa watafikiria hiyo milima kama ni chakula,(39) Na punda wake mwekundu atakuwa akitembea mamaili na miguu yake itakuwa ikirefuka na kuwamifupi kufuatana na ardhi ilivyotambaa.(40) Maji yoyote atakayokuwa akiyapitia yeye DajjalError: Reference source not found yatakauka hadisiku ya QayamaError: Reference source not found,(41). baadaye atapiga sauti kwa nguvu kwamba kilakiumbe kitamsikia, atasema"Enyi marafiki! Mimi ndiye yule mliyekuwa mkinisubiri, mimi ndiyeniliyewaumba, na niliyewafanya nyie mkawa wazuri. Na mimi ndiye mpaji wenu mkubwa sana. "(42). Huyu mwehu wa jicho moja atakuwa mwongo mkubwa sana.(43) Ole wenu, wafuasi wake wengi watakuwa ni wanaharamu na wale waliozaliwa kwa zinaaError:Reference source not found,(44) wao watakuwa wakijivika vitambaa vya silki,(45) huyo DajjalError: Reference source not found atauawa mahala panapoitwa Aqba huko SyriaError:Reference source not found, atauawa siku ya Ijumaa mchana,(46) Mtume Issa a.s. atasali nyuma ya Imam MahdiError: Reference source not found a.s.(47) na baadaye jambo la ajabu kabisa litatokezea.

Yajuj na Majuj

Allah swt anasema katika Quran,Sura 18 : 92 - 99.

“Kisha akaifuata njia.Hata alipofika katikati ya milima miwili, alikuta nyuma yake watu ambao waliweza kwa shida kufahamuneno (wanaloambiwa).Wakasema: “Ewe Dhulqarnain! Hakika Yajuj na Majuj wanafanya uharibifu katika ardhi. Basi je, tukupeujira ili utie baina yetu na baina yao kizuizi?”Akasema: “Yale ambayo Mola wangu amenimakinishia ni bora (kuliko ujira wenu. Nitakufanyienibure);Lakini nIssaidieni kwa nguvu zenu. Nitaweka baina yenu na baina yao kizuizi chenye imara.”Nileteeni vipande vya chuma. ”Hata alipoijaza nafasi iliyo katikati ya milima miwili,alisema: “Pulizeni”mpaka alipokifanya (kile chuma) kuwa moto, alisema “Nileteeni shaba iliyoyayuka niimwage juu yake. ”Hivyo (Yajuj na Majuj) hawakuweza kuukwea wala hawakuweza kuutoboa.Akasema: “Hili ni rehema itokayo kwa Mola wangu. Na itakapofika ahadi ya Mola wangu ya kufikaQayamaError: Reference source not found),atauvunjavunja. Na ahadi ya Mola wangu ni kweli tu. ”

Yajuj na Majuj walikuwa ni viumbe vyenye miguu minne na wakifanana na wanaadamu kisura na waowalikuwa ni wafupi mno mbele ya watu wa zama hizo. Na watoto wao walikuwa wakizaliwa kama watotowa wanaadamu na walikuwa hawakui zaidi ya shubiri tano na sura zao zilikuwa aina moja na walikuwawazururaji. Kwa kuwa ngozi zao zilikuwa ngumu kama zile za ngamia, hivyo hawakuathirika kwa baridiwala joto. Walikuwa na makucha makubwa na meno makali na masikio yao yalikuwa marefu kiasikwamba walikuwa wakitandika moja na kujifunika kwa la pili. Walikuwa wakiingiliana kama wanyama nachakula chao kikubwa kilikuwa ni samaki kwa sababu kulikuwa kukinyesha mvua za samaki, na kamakulikuwa na kasoro ya samaki basi walikuwa wakishambulia miji na kuchafua na kuvuruga kila kitu kiasikwamba watu walipokuwa wakizisikia sauti zao, walikuwa wakikimbia na kuacha makazi yao kwasababu ilikuwa ni vigumu mno kuwakabili kwani walipokuwa wakiingia mijini basi miji yote ilikuwa ikijaawao tu. Idadi yao ilikuwa kubwa mno kiasi kwamba hakuna mtu mwingine ajuaye isipokuwa Allah swt.Wao walikuwa hawafi hadi wamezaa watoto zaidi ya elfu moja.

Katika vitabu tunapata habari zaidi kuwa Yajuj na Majuj ni makabila mawili yaliyokuwa makubwakutokana na kizazi cha Yafus, mwana wa Mtume Nuh a.s. Na katika Agano la Kale, Majuj anaelezwakuwa ni Chifu wa Mashech na Tunal. Kwa sasa Moscow ndio mto unaosimama mji huo, uitwao Moscow,mji mkuu wa Urusi; Tabul ni mto huko Urusi ambapo kuna mji Tobolsk.

Katika eneo la Ulaya ya Kusini na Urusi ya Kiasia, baina ya Wacarpathiani na Don, kulikaliwa katika enziza zamani na kabila katili kabisa ambao waliiteka Asia ya Magharibi kuanzia karne ya 7 Kabla ya Kristohadi mwanzoni mwa kipindi cha Kikristo, wakati mashambulizi yao yalipokwisha kwa sababu ya BwanaDhulqarnain alipoujenga huo ukuta.

Vile vile inasemekana kuwa neno Mongol ni mvurugano wa neno la Kichina Mongog au Manchog Iwapoutafiti huu utakuwa wa kweli, hivyo. Hivyo itamaanisha kuwa eneo la Yajuj na Majuj inaanzia Mto waMoscow hadi Turkistan ya Kichina na Mangolia.

Maelezo ya ‘kuta’ katika Quran Tukufu yanaonyesha kuwa lazima iwe imejengwa pale penye njia ilikuzuia makabila hayo ya wachochezi na wakatili kuwashambulia majirani wao waliokuwa mafundi stadikatika kazi za kufua vyuma na walikuwa matajiri.

Sheikh Abul-Kalam Azad, katika moja ya makala yake (katika Jannatul-Ma’arif) anaelezea kuwa kutahizo zimeendelea hadi Uturuki.

Ayatullah Agha Haji Mirza MahdiError: Reference source not found Puya Yazdi (katika hashia ya Tafsiriya Quran iliyofanywa na S. V. Mir Ahmad Ali) anawanakili wengine wakisema kuwa kuta hizo zipo bainaya milima ya Armenia na Azerbaijan.

Hata hivyo kuna tofauti ya maoni kuhusu utambulisho wa Dhulqarnain. Abdullah Yusuf Ali anadhanikuwa jina hilo linaelezea kuwa ni Alexandar Mkuu wa Misri.

Wengineo, kama Agha Puya, wanafikiri kuwa huyo anatambulishwa kama ni Mfalme wa Kiajemi

aliyekuwa akiitwa Darius.

Kwetu sisi hatumaanishi kuingia katika mazungumzo mengi kuhusu mjadala huu lakini inatubidi liwejambo lililowazi mbele yetu kuwa kwa mujibu wa Quran Tukufu, Dhulqarnain alikuwa ni mcha Munguhivyo kamwe haiwezekani kumtambulisha Dhulqarnain kama kafiri au mpagani.

Kwa mujibu wa Quran Tukufu, itakapokaribia Siku ya QayamaError: Reference source not found, kabilahizi zitafanikiwa kuvunja kuta, yaani zitaenea zaidi kuliko mipaka yao ya awali. Upanuzi huo unawezakuwa kimantiki; ambapo inaweza kumaanisha kuwa itikadi zao (ukomunisti na ukafiri) zinawezakuenezwa nje ya mipaka ya nchi zao. Au itakuwa aina ya kikoloni yaani kukalia maeneo ya mashariki yaUlaya, Asia ya Kusini na maeneo mengineyo. Au inaweza kumaanisha yote.

Imeandikwa katika Tafsir Majma-ul-Bayan kuwa baada ya kuteka maeneo ya ardhi watajararibu kuitekambingu. “Hivyo watatupa mishale yao kuelekea angani, na itawarejea zikiwa na alama kama za damu.Hivyo watasema: ‘Sisi tumekwishawateka wakazi wa dunia na tumewateka wakazi wa angani. ”

Ni dhahiri kuwa mishale inamaanisha maroketi na vyombo vya angani. Maneno itawarejea zikiwa naalama kama za damu inamaanisha kuwa vyombo vya angani vitafikia malengo yao na kurejea duniani.

Kwa mujibu wa Tafsiri hiyo, “wakati watakapokuwa na takabari kubwa kwa sababu ya ‘kushinda anga zajuu’, Allah swt atawaumba funza au minyoo ambayo itawaingia masikio yao, na kuwaua wote.Inamaanisha kuwa hatima yao itakuwa kwa kuangamizwa kwa maafa makhsusi, au kwa magonjwa yakuambukizwa yatakayotokana na vijidudu.

Dabbatul Ardh

Saasaan anaelezea zaidi: "Sisi tulimwuliza Imam Ali a.s. Je ni nini kitakachotokea baadaye?"Ali a.s. alijibu: “Karibu na mlima Saffa na Marwa, Dabbatul Ardh atakuja. Yeye atakuwa na pete yaMtume Suleiman na atakuwa na mkongojo wa Mtume Musa a.s. na yeye atakuwa akiiweka hiyo pete juuya vipaji vya makafiri na loh ! kutatokezea dalili za kuonyesha kuwa huyu mtu ni kafiri, na ukafiri wakeutaonekana usoni mwa mtu huyo aliyegusishwa pete ya Mtume Suleiman a.s. Dabbatul ardh piaatakuwa akiwaangalia waumini na ataweza kuwatambulisha kuwa wao ni waumini, yeye kwa amri yaAllah swt atakuwa akiangalia juu ya mbingu na ataweza kuona Mashariki na Magharibi papo hapo. Natukio hili litatokezea baada ya jua kuchomoza kutoka Magharibi hapo ndipo milango ya tawba itakuwaimefungwa, muda wa kufanya tawba utakuwa umekwisha. Matendo na amali havitasaidia chochote.Ninawaombeni msiniulize baadaye kitakachotokea kwa sababu nimempa ahadi Mtume s.a.w.w kuwasitaitoboa hii siri isipokuwa kwa yule atakayekuwa mrithi wangu. "Mpashaji habari wa tukio hili Taran ibn Sabra alimwuliza Saasan ibn Suhan "Je nini maana hili jamboaliloliezea Imam Ali a.s."Saasan alijibu: "Ewe ibn Sabra, Mtume Issa a.s. atasali nyuma ya Imam wa 12 (kumi na mbili ) katikakizazi cha Imam Ali a.s. na ni mtu wa kizazi cha tisa (9) katika kizazi cha Husein ibn Ali a.s. Huyo

atakuwa ni jua litakalo chomoza kutoka Magharibi, yeye ataitakasisha ardhi baina ya Rukn na Msikiti naataeneza uadilifu duniani kote. Baada ya hapo hakutakuwapo na dhuluma ya aina yoyote. "

Kudhihiri Kwa Mtume Issa A.S. Kutoka Mbinguni

Ni imani ya Waisilamu wote kuwa Mtume Issa a.s. alikuwa hakusulubiwa wala hakuuliwa balialichukuliwa na Allah swt katika mbingu za juu na yupo hai. Kwa wakati maalum uliowekwa na Allah swt,Mtume Issa a.s. atadhihiri duniani kutoka mbinguni hadi SyriaError: Reference source not found. Wakatihuo Imam MahdiError: Reference source not found a.s. atakuwa humu humu duniani na Mtume Issaataungana naye. Pamoja na Imam Mahdi a.s. wakati wa salaError: Reference source not found ImamMahdi a.s. atakuwa akiongoza sala na Mtume Issa a.s. atakuwa akisali sala nyuma yake. Wao wote kwapamoja watatangaza vita dhidi ya DajjalError: Reference source not found ambaye atauawa. Baada yahapo WayahudiError: Reference source not found wote na Wakristo wote watakuwa Waislamu .QuranError: Reference source not found Tukufu inatupa habari kwa urefu na mapana kuhusu MtumeIssa a.s. vile vile tunapata habari nyingi sana katika Hadithi tukufu. Vile vile kulitokezea na mtu ambayealidai kuwa Mtume Issa a.s. amekufa na yeye alikuwa ni masiha mtu huyo anajulikana kwa jina la MirzaGulam Ahmad KadianiError: Reference source not foundError: Reference source not found, mimisitapenda kuingilia maswala haya na kuyachambua kwani mambo haya yametobolewa khususani katikanchi ya Pakistani na serikali ya Pakistani imefichua siri za hawa watu na imetangaza kuwa wafuasi waKadiani si Waislamu na haya ndiyo yalikuwa maamuzi ya Mahakama yaliyosikiliza kesi zao. Iliyochukuanafasi muhimu katika mahakama ya Pakistani .

Kuzagaa kwa Moto na Moshi Duniani

Allah swt anasema katika Quran, Sura Ad -Dukhan 44:10-16Basi ingoje siku ambapo mbingu zitakapoleta moshi uliodhahiri.Utakaowafunika watu; Hii ni adhabu iumizayo.(Wao watasema) ‘Mola wetu! Tuondolee adhabu hii hakika (sasa) mumin. ’Nini faida ya kukumbuka kwao? Na alikwisha wajia Mtume abainishaye.Wakampa kisogo na wakasema: ‘Amefunzwa ni mwendawazimu.Kwa yakini Sisi tutaiondoa adhabu kidogo, nyinyi mtarudia (makosa yenu).(Na itakuja) siku ambapo tutawateka (wote) kwa mteko mkubwa; Kwa hakika sisi ni wenye kulipiza.

Kwa mujibu wa riwaya nyingi mno, Aya hizi zinabashiria moshi utakaokuwapo karibu na QayamaError:Reference source not found. Moshi huo utaingia katika masikio (na macho), na vichwa vya watuvitaonekana kama yamechomwa. Lakini haitawadhuru waumini; wao watahisi mwasho wa kawaida wakama baridi. Na dunia nzima itakuwa mfano wa nyumba iliyoshika moto na ambayo haina madirishawala sehemu za kutokezea moshi. Na sura hii itadumu kwa muda wa siku arobaini.

Dalili hii itakuwa ni ishara ya kuonywa; na kama inavyoonekana katika Aya wanaadamu watapewa mudawa kurejea katika imani na njia iliyo ya haki na wajirekebishe. Maneno ‘Kwa hakika Sisi tutaiondoa

adhabu kidogo’ inatudhihirishia kuwa moshi utaondolewa, lakini maneno yanayofuata nyinyi mutarudia(makosa yenu) inatuonyesha kuwa kuondolewa kwa adhabu hiyo tu, basi si watu wengi watakaotafakarijuu ya suala hilo. Labda wengi watatafuta visingizio vya kijiografia au zinginezo kwa ajili ya kutokezeakwa adhabu hiyo, na watasahau ahadi zao walizompa Allah swt kuwa Mola wetu !. . . hakika (sasa)muumin.

Kwa hakika si vigumu kukubaliana na mambo yaliyoeelezwa hapo juu:1. Umande na moshi unakuwapo hata leo hivyo Allah swt anao uwezo wa kuumba moshi utakaotandaduniani kote.2. Allah swt anaweza kuwaepusha mumin kutokana na athari mbaya kabisa za moshi huo. Kwani hataleo tunaona kuwa si watu wote wanaoathirika na maafa yanapozuka katika maeneo fulani.3. Na kuna idadi kubwa kabisa isiyohIssabika ya makafiri wanaotubu pale wanapopatwa na adhabu aumatatizo,na husahau kwa urahisi ahadi zao kwaAllah swt (za kuwa mumin) za kuomba, mara baada yakuondokea na matatizo yao.

Ubashiri huu umeelezwa katika vitabu vingi vya Hadith, kutakuwa na moshi mwingi sana katika angazetu kwa sababu hiyo kutakuwapo kwa motoError: Reference source not found kila mahali.

Inawezekana ubashiri huu unadalilisha utumiaji wa aina nyingi za magesi ambayo yanalipuka yenyehatari na motoError: Reference source not found ndio utakuwa sababu ya gesi hizi, majaribio ya nyukiliavile vile yanatoa gesi nyingi na miale ya radio active vile vile katika ubashiri mwingine imeelezwakutakuwapo na moto unaotokea ndani mwa ardhi ya AdenError: Reference source not found,nimeelezea maswala haya katika kurasa zilizopita.

Kuangamizwa kwa Baghdad

Kuna mabashiri mengi katika kuelezea kuteketezwa kwa baadhi ya miji khususan kuteketezwa kwa mjiwa BaghdadError: Reference source not found ndiyo imeelezwa kwa zaidi na wanazuoni wengiwanasema kuwa ubashiri huo ni wa kweli.Imam Jaafer Sadiq a.s. alitoa hotuba ndefu sana kuhusiana na swala hilo. Imam Ali a.s. pia ameelezeakwa undani zaidi katika hotuba zake na hapa ninawachambulia machache kutoka hotuba hiyo: “Enyiwatu kutabuniwa mji mpya utakaoitwa BaghdadError: Reference source not found (Labda alimaanishaBaghdad mpya) Mji huo utakithiri kwa madhambi na maasi kiasi kwamba adhabu za Allah swt zitakuwazikilengwa sana huko. Balaa za kila aina zisizojulikana, magonjwa yakuangamiza, ukame, mafuriko yamto Tigris na mvuaError: Reference source not found zisizo na mpangilio vile vile tufani za kila ainazitakuwa zikitokea kuuangamiza mji huo. Na kuangamizwa kwa mji huu kutatokea baada ya aina tatu zabenderaError: Reference source not found kuchomoza katika mji huo. Bendera ya kwanza itakuwa rangiNjano, ya pili aina ya bendera itakuwa kutoka pande za magharibi, na ya tatu itatokezea sehemu zakuizunguka, na labda hii ndiyo dalili ya vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Uasi Kuongozwa na Hasan Sayyid

Kijana huyu atakuwa mzuri na atakuwa ametokana na kizazi cha Imam Hasan a.s. na katika baadhi yaHadith anapewa jina la Hasan, atatokezea kutoka kijiji cha Dailam (karibu na Kazvin) yeye hatajitangaziauongozi wowote wa kidini bali atakuwa akiwaita watu baada ya kuona hali ya jamii na jumuia imeharibikana kuvurugika, atawaita watu waache maovu na wajirekebishe. Watu wa Taliqan watakuwa ndio watuwa kwanza kuutikia wito wake. Watu watamzunguka na watajiunga kwa wingi katika harakati zake,ujumbe wake utaenea katika sehemu zinazozunguka za karibuni na kufikia hadi Multan kupitia Kirmanna vile vile atafika BasraError: Reference source not found. Sehemu zote hizi zitakubaliana namazungumzo na mambo yake. Baaada ya hapo ataelekea KufaError: Reference source not found nahuko atapata habari kuwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. amedhihiri na Imam a.s.ameondoka kuelekea IraqError: Reference source not found kupitia MakkahError: Reference source notfound na MadinaError: Reference source not found.Wakazi wa KufaError: Reference source not found watakuwa wakiishi maisha yasiyo wafurahisha waowenyewe. Huyu Hasan Sayyed ataonana na Imam MahdiError: Reference source not found a.s. kutakakujua miujiza na uthibitisho wa uhalali wake wa kuwa Imam Mahdi a.s. baada ya kuthibitishiwa atakulakiapo kwa Imam Mahdi a.s. pamoja na jeshi lake la utiifu.Imam Jaafer Sadiq a.s. amesema: “Kwa jina la Allah swt, Hasan Sayyed atakuwa akimtambua vyemakabisa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. lakini ili kuwahakikishia watu nakuwathibitishia na kuwatolea shaka watu kuwa huyu ndiye Imam Mahdi a.s. atamuomba Imamamthibitishie kwa miujiza uhalali wake. Wanajeshi elfu nne wa Zaid kutoka YemenError: Referencesource not found watakaokuwa katika jeshi la Hasan Sayyed wataaasi. Hapo Imam Mahdi a.s.atamshauri Hasan Sayyed awatulize hao vijana wa kabila la Zaid wajisalimishe. Mazungumzo hayoyataendelea kwa muda wa siku tatu, lakini wanajeshi wa Zaid hawatakubali, hatimaye wote watauawa.

(4). Ubashiri Wa Siku Za Mbeleni

Kwa hakika mabashiri yafuatayo yanahitaji kuzingatiwa mno, hapa chini ninawaleteeni machache nanitawapa maelezo kidogo juu yake:

(1). Uasi wa Shuayb ibn SalehYeye atakuwa ni mtu mwema na ataanzisha uasi wake katika mji wa Samarqand. Mambo mengi yamuhimu yatatokea wakati wake. Hadithi nyingi zinaelezea kuwa ama yeye atakuwa ni kamanda katikajeshi la Hasan Sayyed au Imam MahdiError: Reference source not found a.s.

(2). Uasi wa AusHuyu atakuwa ni mtu mwema atakayewaita watu katika mawazo yake baada ya vita vikuu, huyu mtuatakuwa amesimamia mapinduzi kutoka Kuwait hadi Syria ambapo ndipo atakapouawa.

(3). Uasi wa Yamani

Kutatokezea kwa mtu asiyejulikana kutokea huko YemenError: Reference source not found ambapoataleta maangamizi na ataleta fitina na ugomvi wa hali ya juu sana.

(4). Maghrebi kuilinda MisriError: Reference source not foundKatika lugha ya Kiarabu Algeria,Tunisia,Morocco na Libya, zinaitwa Maghreb kutatokezea mtu katikanchi hizi yaani Maghreb ambaye atakuja MisriError: Reference source not found na atahukumu nchi hizozote ikiwemo SyriaError: Reference source not found.

(5). Kuuawa kwa Mohammad Hasan ZakiyyaImam Ja'afer as- Sadiq a.s. amesema: "Siku kumi na tano tokea kudhihiri kwa MahdiError: Referencesource not found a.s. mtu mtakatifu sana kwa jina la Muhammad ibn Hasan Zakiyya ambaye atakuwa nimmoja wa wafuasi wakubwa wa Imam Mahdi a.s. atauawa karibu na Al-Ka'aba baina ya Rukn naMaqam.

(6). Kutokezea kwa Ikhtilafu

Kutatokezea ikhtilafu kubwa sana miongoni mwa Bani Abbas.

(7). Mtu Maarufu sanaMtu maarufu sana mcha Mungu ajulikanaye kwa jina la nafsi Zakiyyah atauawa pamoja na Sayyid sabininyuma ya Msikiti wa KufaError: Reference source not found. Ukatili na mauaji haya ya kikatiliyatatendwa na jeshi la SufianiError: Reference source not found.

(8). Mji wa MakkahError: Reference source not foundMtu mmoja kutoka Bani Hashim, mcha Mungu kabisa atauawa katika mji wa MakkahError: Referencesource not found.

(9). Mahakama ya KufaError: Reference source not foundChumba cha Mahakama ya KufaError: Reference source not found kitaharibiwa pamoja na ukuta waMsikiti wa Kufa.

(10). Theluji ya kushangazaKutakuwepo na kuanguka kwa theluji ya kushangaza katika Roma kila kipande cha theluji kitakuwakama yai.

(11). Nyota ya kustaajabisha sanaKutachomoza kwa nyotaError: Reference source not found kutoka Mashariki, mwanga wake utakuwasawa na wa mwezi. Mkia wake utakuwa ukipotea pole pole na hatimaye kupotea. Nyota hizi zakuanguka zimekuwa zikitokea daima lakini hakuna hata moja ambayo imeweza kuwa na nuru kamamwezi.

(12). MotoError: Reference source not found katika anga za juu

Katika anga za juu baina ya anga na ardhi kutatokezea motoError: Reference source not foundutakaowaka siku tatu mfululizo au siku saba kwa hakika litakuwa jambo kubwa la kustaajabisha.

(13). Rangi nzito mbinguni.

Rangi nzito nyekundu iliyoiva itazagaa mbinguni.

(14). MotoError: Reference source not found Mashariki ya Kati.Kutakuwa na mioto ikiwaka kila mahala khususan Mashariki ya Kati. MotoError: Reference source notfound utakuwa wa kutisha sana kiasi kwamba watu wataanza kutubu madhambi yao.

(15). Waarabu watakuwa ni watu wasiokuwa na msimamo:Hakuna hata mmoja atakayeweza kumsaidia mwenzake kwa moyo kwani kila mmoja atakuwa akitendavile atakavyo kwa masilahi yake mwenyewe.

(16). Mfalme wa IranError: Reference source not found ataanguka:Yaani ufalme wa IranError: Reference source not found utakwisha na utawala wake utatokomea nautawala mpya utatokezea yaani katika mwaka 1978|79 ubashiri huu umetokezea kuwa kweli wakatiShah Muhammad Riza Pahlawi alipopinduliwa na umma wa Waislam chini ya uongozi shupavu wamarehemu Ayatullah Ruhullah Al-Musawi al- Khomeini (a. r.) utawala wa Shah ulidumu zaidi ya karnembili na nusu.

(17). Amir wa MisriError: Reference source not found atauawa:Atakuwa ni mtu mmoja mwenye mamlaka ya utawala na atakuwa ni mtu mashuhuri katika Misri. Error:Reference source not foundKatika Kiarabu hapa neno lililotumiwa ni Amir yaani hakukutumiwa jina laSultani au Malkia hivyo inatudhihirishia aina ya utawala utakaokuwepo wakati huo.

(18). Kuteketezwa kwa SyriaError: Reference source not found :Kutakuwa na benderaError: Reference source not found zilizoinuliwa kutokea MisriError: Referencesource not found zikielekea SyriaError: Reference source not found na kutatokezea bendera mojakutokezea Khorasan na bendera zote hizi tatu zitadai kumiliki Syria na wote hawa watapigania katikaardhi ya Syria. Vita ambavyo vitaangamiza na kuteketeza Syria.

(19). Majeshi kupitia mipaka ya Magharibi wataingia SyriaError: Reference source not found :Yaani inawezekana majeshi ya Wazungu na nchi za Magharibi zitaingia SyriaError: Reference sourcenot found kupitia Uturuki ili kuikalia Syria.

(20). Bendera rangi nyeusiBendera rangi nyeusi zitachomoza kutoka Khorasan (Labda linamaanisha jeshi la Hasan Sayyid).

(21). Kutajengwa njia za kupita chini ya ardhi kutokea mto wa Furati.Kipitio hicho kitapitia KufaError: Reference source not found na itauletea utajiri mji huo. Wakazi wake

watakuwa idadi kubwa na utashamiri (Ubashiri huu umeshatokea na kukamilika pia).

(22). Watu sitiniKutatokezea watu sitini, watu wenyewe watakuwa waovu na majangiri ambao watadai kuwa wao nimitume kwa hakika kutokana na wanavyovutia na wanavyojionyesha wataweza kuwavuta watu wengiupande wao (kiasi cha watu hamsini na nane wameishatokezea kudai utume hadi leo).

(23). Sayyid waongo kumi na wawili :Kutokana na kizazi cha Abu Talib watu kumi na wawili watadai kuwa wao ni Imam, kizazi cha Imam auwarithi wa Imam au wao ni MahdiError: Reference source not found (baadhi ya watu wameshatokezeana wameshapita na wengine bado watatokezea nao pia watapita ).

(24). Mtu atachomwa motoError: Reference source not foundMtu mwenye heshima sana kutoka Bani Abbas atachomwa motoError: Reference source not found haibaina ya Jehula na Khanqin (tunaweza kusema kuwa huyo mtu ni Abdus Salaam Arif ambaye aliunguamoto katika ajali ya ndege )

(25). Kujengwa daraja mpyaKujengwa daraja mpya katika mto wa Tigris katika upande wa Karkh, kutajengwa daraja hukoBaghdadError: Reference source not found (daraja kama hili lilijengwa miaka michache iliyopita labdakunaweza kujengwa daraja lingine jipya).

(26). Kuteketezwa kwa BaghdadError: Reference source not found:Watu wengi wa mji wa BaghdadError: Reference source not found watauawa kutokana na mitetemekomingi ya ardhi na kutatokezea maafaError: Reference source not found na tufani nyeusi wakati wamchana ambapo kutaleta matishio mbalimbali kwa wakazi wa Baghdad.

(27). BasraError: Reference source not found itazama.BasraError: Reference source not found itazama katika maji kufuatia tufani kubwa ya mawimbi ya majimakubwa (Wasomaji wanashauriwa kusoma Nahjul Balaqgha kwa utabiri huu ).

(28). Magonjwa sugu yataenea dunianiKutakuja kuangamizwa na magonjwa sugu yataenea duniani kote na itaua watu kwa idadi kubwa sana.

(29). Makundi makubwa mno ya nzigeError: Reference source not foundKutakuwa na makundi makubwa mno ya nzigeError: Reference source not found duniani kote, vita vyawenyewe kwa wenyewe huko IraqError: Reference source not found, kutakuwa na umwagaji wadamuError: Reference source not found kupindukia duniani kote na kutokezea vita vikali sana hukoIranError: Reference source not found baina ya makundi mawili kiasi cha watu elfu themanini watauawa(Au imekamilika mwaka 1978 |79) .

(30). Nyuso za wanadamu zitabadilika

Hali ya nyuso za wanadamu zitabadilika na zitageuka kuwa za nyani na nguruwe.

(31). Kutatokezea mkono karibu na juaKutatokezea mkono karibu na jua ambapo wakazi wa duniani wataona pamoja na kustaajabika (jambohili litatokezea muda mchache kabla ya kudhihiri kwa MahdiError: Reference source not found a.s. ).

(32). Kunyesha mvuaError: Reference source not found yenye fujoDuniani kote kutaanza kunyesha mvuaError: Reference source not found yenye fujo sana kuanziatarehe 16 Jamadi us-Thani hadi tarehe 10 Rajab.

Kila Mwislamu mwenye kuwa na imani kamili juu ya Allah swt anaamini kuwa mvua hainyeshi kwasababu ya misimu tu bali ni kwa sababu za amri na idhini za Allah swt.

Allah swt anatuambia katika Quran Tukufu kuhusu mvua:Sura 25, Furqan Aya 48Naye ndiye azitumaye pepo kuwa bashara njema kabla ya rehemayake ya mvua; na tunayateremsha kutoka mawinguni maji safi.

Sura 35,Fatir Aya 9:Allah ndiye aliyetuma hewa inayopeleka mawingu.

Sura 6,An-Am Aya 6:Sisi tumeifanya mbingu kuwa yenye kunyesha mvua iendeleayo.

Sura 15 Al-Hijr Aya 22:Sisi tumefanya mawingu na kunyesha mvua kutoka mbinguni.

Sura 29 Ankabut,Aya 63:Na ukiwauliza,’Ni nani ateremshaye maji na kuhuisha ardhi baada ya kufa kwake?’ Bila shaka watasema‘Allah’ .

Sura 50 Qaf Aya 9:Na tumeyateremsha kutoka mawinguni maji yaliyobarikiwa, na kwa hayo tukaotesha mabustani nanafaka zivunwazo.

Sura 8 Anfal, Aya 11:Na anakuteremshieni mani kutoka mawinguni ili kukutakasisheni.

Sura 40 Muminun, Aya 18:Na tumeteremsha kutoka mawinguni maji kwa kiasi.

Katika Aya hizo Tukufu za Quran kuwa upepo ndio unaosafirisha mawingu kuelekea mashariki,magharibi au kaskazini na kusini. Yaani inachukua kwa amri za Allah swt. Vile vile tumeona waziwazi

kuwa kunyesha kwa mvua na kiasi chake kinahusishwa na Allah swt.

Baada ya kusoma hizo Aya tukufu tumeona kuwa mvua imekuwa daima ni rehema na idhini ya Allah swtndipo inaponyesha juu ya ardhi.

Imeonekana kuwa katika baadhi ya nyakati neema na baraka hii inakuwa imezuiliwa. Na katika sura hiikuna riwaya nyingi kutoka kwa Mtume Mtukufu s.a.w.w na Maimamu a.s. zinazotuambia tusali sala zaIstisqaa.

Tunapata mapokezi kutoka vitabuni kuwa katika zama za Imam Ali a.s. na Maimamu a.s. wamekuwawakIssali sala za Istisqaa kwa ajili ya kuomba mvua,na mvua zilikuwa zikinyesha.

Mvua hii isiyo na mpangilio itanyesha kabla ya kudhihiri kwa Imam Mahdi Error: Reference source notfound a.s. na haijulikani kama itanyesha Mashariki ya Kati tu au mahala penginepo.

(33). Watu waliokufa watakuwa haiWatu waliokufa watakuwa hai (matukio haya yatatokea muda mchache kabla ya kudhihiri kwa ImamMahdi a.s. Baadhi ya vitabu vinataja majina ya watu wataofufuka kupata maisha mara ya pili).

(34). MisikitiError: Reference source not found itarembeshwaMisikitiError: Reference source not found itarembeshwa kwa mabati ya dhahabu vile vile QuranError:Reference source not found tukufu itarembeshwa kwa nyuzi za dhahabu.

(35). Sehemu tatu duniani zitadidimiaSehemu tatu duniani zitadidimia ardhini au zitamezwa na ardhi pamoja na wakazi wake,y a kwanzaitakuwa katika upande wa Magharibi baadaye katika Mashariki na hatimaye katika Bara la Arabia

(36). Dini ya Islam itakuwa dhaifu.Islamu itabakia kwa jina tu. Maamrisho ya dini yatapotea. Watu wataingiliana sana kiasi kwambaitakuwa vigumu sana kumwelewa Mwislamu na yule asiye Mwislamu yaani Waislamu watakuwawamepoteza hata ile sura yao ya Kiislamu.

(37). Kufr itakithiri katika Islam:Nchi za Kiislamu zitaiga mitindo na maisha ya nchi zile zisizo za Kiislam. Waislamu wataomba misaadakutoka wale wasio Waislamu. Nchi za Kiislamu watauana miongoni mwao, watagombana kwa kutakaurafiki wa nchi zile ambazo zinamkanushaAllah swt (nchi za Kiislamu zitagombana miongoni mwao kwakushawishiwa na nchi zile zisizo za Kiislamu )7

(38). Utawala wa Bani Hashim:Imam Ali a.s. amebashiri kuwa utawala wa Bani Hashim utakwisha duniani. Mtawala wa mwishoatakuwa kijana mmoja mdhaifu, asiye na ujuzi wala utaalamu wowote na vile vile atakuwa akifuataushauri wa watu wengi (katika dunia hii leo kuna utawala wa Bani Hashim nchi moja tu duniani kotenayo ni Jordan ).

(39). Miaka thelathini ya mwishoMiaka thelathini ya mwisho katika karne atakayodhihiri Imam MahdiError: Reference source not founda.s. kutakuwa na vitu vya ajabu ajabu na vya kustaajabisha mno.

Tanbihi Kuanzia mwaka 1370 A. H. inahitaji uchambuzi hadi siku ya leo, dunia imeona maajabu yamageuzi ya mapinduzi na mauaji ya kushtusha na mambo mengi ya ajabu ajabu yasiyoweza kusadikiwana watu kuwa binadamu anaweza kufanya mambo haya maovu kwa binadamu mwenzake.

(41). Kufika kwa WaturukiError: Reference source not foundKufika kwa WaturukiError: Reference source not found katika pembe la Bara la Arabia katika Hadithmaneno ya Turki na Jazira yametumika. Wataalam wa uchambuzi wa maswala haya wanasema: “NenoTuruki linamaanisha WarusiError: Reference source not found na Jazira ni Bara la Arabia, hivyo niubashiri mmoja muhimu sana wa kuzingatia kuwa Warusi wataingia Bara la Arabia yaani inawezekanawakaingia kwa mabavu (kwa nguvu) au wanaweza kuingia kwa upole kwa kutumia njia nyinginezo(tunaona Warusi wameingia katika Bara la Arabia ).

(42). WazunguError: Reference source not found kuingia katika PalestinaError: Reference source notfound:Watu wa Roma ni wazungu na Ramla ni PalestinaError: Reference source not found hivyo kutakuwa namvutano wa hali ya juu katika Bara la Arabia kwa sababu ya kugombania nguvu baina ya Waamerika,WazunguError: Reference source not found na WarusiError: Reference source not found.

(43). Mtu mwenye kuheshimiwaMtu mwenye kuheshimiwa mno kutoka Bani Abbas atatoswa majini katika mto Tigiris karibu na darajajipya huko BaghdadError: Reference source not found.

(44). Kijiji cha JabiyaKijiji cha Jabiya karibu na Damascus itadidimia ardhini.

(45). Ziwa SawaZiwa Sawa litajaa kwa maji kwa mara nyingine tena. Ziwa hili liko karibu na mji mtukufu wa Qumlilikauka pale Mtume s. a. w. w alipozaliwa. Wale wote wanaokwenda ziara ya Masuma -i-Qumwanashuhudia ubashiri huu.

(46). Wanawake na watotoWatoto na wanawake watakuwa watawala.

(47). Taratibu za tawala za nchiTaratibu za tawala za nchi zitakuwa zikipata sura mpya mpya za kutawala vile vile utawala wa kifalmeutatokomea.

(48). Kizingiti baina ya ardhi na mbingu

Kutaonekana kitu kama kizingiti baina ya ardhi na mbingu, kweli litakuwa ni jambo la kustaajabishakabisa hasa Mashariki ya Kati.

(49). Jumuiya ya wale wasio wauminiJumuiya ya wale wasio waumini wataenea Bara la Arabia na nchi nyingine za Kiarabu (ama wao niWarusiError: Reference source not found au WachinaError: Reference source not found kwani Warusiwameishajidhatiti katika nchi nyingi za Kiarabu).

(50). Kuwasili kwa WachinaError: Reference source not foundKuwasili kwa WachinaError: Reference source not found katika Bara la Arabia ni ubashiri mkubwa wavita vikubwa hali mbaya kabisa isiyoelezeka itatokea baada ya wao kuwasili huko.

(51). Michafuko ya kila ainaKutakuwa na michafuko ya aina mbalimbali kuanzia Azarbaijan na Armenia. Machafuko haya yataeneahadi mlima mwekundu. Matokeo haya na hatima yake yatakuwa mabaya kiasi kwamba watotowatakuwa kama wamezeeka na wazee watatamani mauti. Machafuko haya yatafika mpaka mji waKufaError: Reference source not found kupitia Wast na vita hatari kabisa vitatokea karibu na mji waNajaf. Kwa hakika maovu na matisho haya hayaelezeki. Vile vile vita vitatokezea karibu na Teheran.

(52). Kuzuia kizaziKutakuwa na mipango mbalimbali ya kuzuia kizazi na mbinu hizo zitashurutishwa kwa njia mbalimbali.

1. Habari hizi tazama Day of Judgement ,Sayyid Saeed Akhtar Rizvi,Bilal Muslim Mission of Tanzani,DSM,chapa yapili,1978,uk. 44. ,naye amenakili kutoka Bihar-ul- Anwar,j. III.2. Kwa msomaji atakayependa kufanya utafiti zaidi juu ya swala hili juu ya Ubashiri,anaweza kusoma Hotuba ya Imam Alia.s. Al-Makhzun katika kitabu kiitwacho Basharatul-Islam,chapa ya Baghdad.3. Leo duniani tunaona kuwa maendeleo ya sayansi yametudhihirishia kuwa kuna uwezekano wa kufikisha Sauti na suraduniani kote hasa kwa kupitia satellites. Sasa jee kuna ugumu gani kwake Allah swt kufanya kudra zake?4. Mambo kama haya ndivyo yanavyotokea katika kupiga kura za kidemokrasia!5. Kwa utumwa hapa kunamaanisha mbinu za kumfanya mtu asiweze kusema dhidi ya mambo ya mfadhili wake kama viletunavyoona na kusikia kuhusu masharti ya misaada itolewayo na nchi na watu wafadhili.6. Nimesikia katika Idhaa ya Kiswahili ya BBC mnamo tarehe 17 Novemba 1995 saa 6. 30 jioni kuwa Chuo Kikuu cha Al-Azhar University cha huko Misri kimetoa fatwa kuwa mwanamme anaweza kujigeuza k,uwa mwanamke na vile vilemwanamke anaweza kugeuzwa kuwa mwanamme kwa njia za operesheni ati kwa sababu ni maumbile yake ndivyoyalivyo.Vile vile nimesikia katika idhaa ya Kiingereza ya BBC hivi majuzi (wiki moja kabla ya Fatwa kutoka Al-Azhar) kuwakumefanywa uchunguzi na utafiti huko Amerika na kutolewa ripoti kuwa mtu khanisi na anayelawiti na kulawitiwa aachweawe hivyo na wala asilaumiwe na jamii kwa sababu ndivyo yalivyo maumbile yake.7. Tunajionea vile nchi za Kiarabu zinavyopingana na kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa ajili ya ushawishi wa nchi zaMagharibi. Utengano miongoni mwao unatokana na kulaghaiwa na nchi za Magharibi ambavyo ni vyema kwa maslahi yao.

Ingawaje mabashiri yote yaliyoelezwa katika kurasa zilizopita yametoka katika vitabu vingi vya Kiarabumabashiri yafuatayo yanatoka khususan kutoka kitabu kimoja kiitwacho al-malahim wal fitan. Bashiri hizi

zilikusanywa na bwana mmoja anayejulikana kwa jina la Ali ibn Musa ibn Jaafer ibn Muhammad ibnTaus Ali Hasan wal-Husaini. Kitabu hiki kilisambazwa kwa mara ya kwanza katika mwaka wa 604 A. H.Taasisi inayojulikana kwa jina la Manshuratul Atba'atul Haidariyyah huko mjini Najaf. Mabashiri hayayalikusanywa zaidi ya karne saba zilizopita:(1). Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema: "Jihadharini na benderaError: Reference source not found nyeusimwanzoni mwake ni mbaya katikati mwake kuna upotofu na mwishoni wake ni ukafiri (utawala huounagawanywa katika sehemu tatu kipindi cha kwanza, kipindi cha pili na kipindi cha mwisho ).(2). Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema: "Mjikusanye mnapoona benderaError: Reference source notfound nyeusi msiendeshe mikono yenu na mikuki yenu muisimamishe kutatokezea watu warefu najumuia isiyoaminika isiyotegemewa itatokezea, mioyo yao itakuwa migumu kama chuma wao watakuwamatajiri lakini watasita kutimiza wajibu wao, wao watawaita watu katika mambo mema lakini waowenyewe watakuwa wamepotoka majina yao yataanza katika majina ya urithi (ukoo) hoja zao na busarazao zitafanana na zile za wanawakeError: Reference source not found, kutaongezeka kutokezea kwaikhtilafu baina yao na hatimaye Allah swt atawabainishia ukweli.(3). Mtume Mtukufu s.a.w.w ameshauri: "Kimbieni kwa usalama wenu pale mtakapoona benderaError:Reference source not found za rangi nyekundu zikipepea huko MisriError: Reference source not found.Watakapofika SyriaError: Reference source not found, lazima muanze kutenda matendo. Kimbieni hatakama mtaweza kufika mbinguni kimbieni juu ya mawingu kama mtaweza ama sivyo mjaribu kujihifadhimahali popote duniani. Hadithi ya juu hiyo ilinakiliwa na Hasan.(4). Msimulizi anasema: "Nilimsikia Abdullah ibn Omar akisema akiwa katika Ka’abaError: Referencesource not found kutatokezea benderaError: Reference source not found nyeusi kutoka Mashariki nabendera za rangi ya njano kutokea upande wa Magharibi, watawala wa bendera zote hizo mbiliwatapambana vikali huko SyriaError: Reference source not found kwa hakika ni maafaError: Referencesource not found na maangamizo makubwa kabisa (kwa kuwa msemaji alikuwa akiongelea katika Kaabahivyo upande wake wa Mashariki ni Iran na upande wake wa Magharibi ni MisriError: Reference sourcenot found. ).(5). Hasan Basir ameripotiwa akisema "kutokea ndani mwa Teheran kutatokezea mtu mmoja atainuka,ataitwa jina la Shuayb ibn Saleh Tamimi, mtu huyo atakuwa rangi nyeupe, kifua kipana na ndevuzilizochakaa. Mtu huyo atakuwa akiwaongoza watu elfu nne wenye benderaError: Reference source notfound rangi nyeusi atakuwa na bendera ya Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ambavyoatakuwa hawezekani katika vita.(6). Muhammad Hanafi anaripotiwa kwa kusema mwanzoni benderaError: Reference source not foundnyeusi itakuwa ya Bani Abass na baadaye zitatokezea Khorasan. Kofia zao zitakuwa nyeusi na nguozitakuwa nyeupe au inaweza kumaanisha upande wa juu wa bendera unawezekana ukawa mweusi naupande wa chini ukawa mweupe, kiongozi wa kikundi hicho atakuwa Shuayb ibn Saleh Tamim. Waowatawashinda wenyeji wa Sufiani na watafika hadi mji wa Jerusalem na baada ya kufika Jerusalemwatamkabidhi Imam MahdiError: Reference source not found a.s. mamlaka yote na vile vilewatamsaidia. Kiasi cha watu mia tatu wa SyriaError: Reference source not found watamsaidia Shuaybibn Saleh Tamim ibn Saleh. Kitakuwa ni kipindi cha miezi sabini na miwili baina ya kuinuka kwa Shuayb

na kudhihiri kwa Imam Mahdi a.s.

(7). Makhul anaripoti kuwa Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema: "Mimi nimeona vyema kutumia jina Turkkuliko kutumia neno la WarusiError: Reference source not found. WaturukiError: Reference source notfound watakuja mara mbili mara ya kwanza watatokezea upande wa Azarbaijan na mara ya pili majeshiyao yatapitia mto wa Furati (Euphrate) baada ya hapo wataacha mashambulizi yao (Hapa waturukiwanaomaanishwa kutokea upande wa Azarbaijan sio watu wengine bali ni Warusi) .(8). Hodhaifa Yamani ameripoti kuwa Mtume s.a.w.w amesema: "Piganeni kabisa na WaturukiError:Reference source not found mtakapowaona wameingia Bara la Arabia Mpigane nao mpaka washindweama sivyo wataharibu heshima yenu. Msaada wa Allah swt uwe pamoja nanyi (Ubashiri huu unaelezeauingiliaji wa dola za Magharibi huko Bara la Arabia utakuja kutokomezwa ). "(9). Abu Hureira ameripoti kuwa Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema: "Kufufuliwa kwa ajili ya siku yaQayamaError: Reference source not found haitatokea hadi hapo kupite vita dhidi ya WaturukiError:Reference source not found. Waturuki hao watakuwa na nyuso nyekundu, macho madogo na pua zilizopana. Nyuso zao zitakuwa ngumu kama chuma kilichonyooshwa. "(10). Mtume s.a.w.w amesema: "WaturukiError: Reference source not found watasonga mbele harakaharaka wakielekea Tigris. Watakuwa na vyombo vya kusafiria vya rangi ya njano wakijipanga katikamistari kuelekea mto wa Tigris. "(11). Mtume s.a.w.w amesema: "Ninaona kuwa WaturukiError: Reference source not found wanasafirijuu ya mafarasi wenye masikio mafupi, mguu mmoja huku mguu mmoja upande wa pili na wanawafungamafarasi wao kandoni mwa mto. "(12). Utambulisho zaidi wa WaturukiError: Reference source not found, Mtume s.a.w.w amesema:“Wafuasi wangu itawabidi wapigane vita dhidi ya wale watu wanye nyuso pana, macho madogo nawenye miili migumu. Kutatokezea mashambulizi mara tatu. Safari ya kwanza watu wangu watakimbia ilikujinusurisha kwa mashambulizi, ya pili, baadhi ya watu wangu watauawa na wengine wataponeachupuchupu na katika mashambulizi ya tatu maadui watashinda. Na wao ni Waturuki. Kwa hakikamisafara yao itakuwa inawekwa nje na kuzunguka MisikitiError: Reference source not found yaWaislamu. Umma wangu utakuwa katika hali ya hatari. Wao watakuwa wakikimbia, wakichukua kilechochote wapatacho ili waweze kukimbia navyo. "(13). Imam Hasan a. s ameripoti kuwa Mtume s.a.w.w amesema: “Siku ya QayamaError: Referencesource not found haitafika kabla ya nyinyi kupambana na watu wafupi na wenye nyuso pana namashambulio ya pili pamoja na wale watu ambao viatu vyao vitakuwa vimetengenezwa na nywele. Walewatu wa kwanza watakuwa ni WaturukiError: Reference source not found na wale wa pili watakuwa niwa-Qurdi. "

(14). Kaab ameripoti kuwa Mtume s.a.w.w amesema: "WaturukiError: Reference source not foundwatakuja katika Bara la Arabia Mafarasi wao watakunywa maji ya mto Furati. Hapo Allah swtatawaambukiza ugonjwa mbaya nao watauawa. Hakuna hata mmoja miongoni mwao atakayebaki hai. "Katika hadithi nyingine imeelezwa kuwa WaturukiError: Reference source not found watakuja katikaupande wa kushoto wa Mto Tigris. Watakapofika IraqError: Reference source not found wao

watakumbana na kuanguka kwa theluji na magonjwa ya kuambu- kizwa hapo, wao watakufa kwa idadikubwa sana.(15). Kuingia WachinaError: Reference source not foundError: Reference source not found katika Barala Arabiia - Abdullah ibn Omar anaripoti kuwa Mtume s.a.w.w amesema: "Bani Qantura (Wachina)watawadhalilisha watu wa Khurasan na Sijistan. Wao wataendelea na msafara wao hadi watakapofikakatika mabustani huko PalestinaError: Reference source not found, hapo baadaye watawaonya watu waBasraError: Reference source not found waache ardhi zao waondoke. Hapo baadaye waowatajigawanya katika makundi matatu, kundi moja litaelekea Magharibi, kundi la pili litaendeleaSyriaError: Reference source not found na kundi la tatu litajihami dhidi ya maadui.(16). Habari za Bani Qantura: Abu Hureira anaripoti kuwa washambuliaji watakuwa na macho kama yamijusi. Nyuso zao zitakuwa na ngozi zilizo ngumu, wao watabainisha vita sehemu tatu: "Kwanza bainaya eneo la mto Furati na mto Tigris. Pili Kijiji cha Mazhar-e-Hamar, kijiji kaskazini mwa SyriaError:Reference source not found, tatu ufukoni mwa mto Tigris wao watadhibiti njia zote zipitiapo hapo na kilaatakayekuwa akipita atalazimishwa alipe Dinar mia moja. Na kiwango hicho cha kutoza watu hela zakuvuka zitakuwa zinaongezwa kila mara.(17). Mtume s.a.w.w amesema: "Katika kipindi hicho wenye mabendera makubwa watayachanamabendera madogo, hali hii ya kushambuliana itaendelea hadi hapo kutakapokuja kundi la watu wenyenyuso pana na macho madogo. Watu hao watakuwa ni Bani Qantura (WachinaError: Reference sourcenot found). Wao watapitia Kurdistan huko IraqError: Reference source not found na watawashindabaada ya kuwashambulia Wakurdi, baadaye watawakabili Waarabu na kutatokea vita vikali kabisaambavyo vitasababisha miji kubakia mitupu, watu wote watakuwa wamekimbia. Hapo baadayekutatokea mitetemeko na ardhi itapasuka na ardhi nyingi itadidimia watu watakimbia huku na kule bilakujua wanapokwenda. Eneo la kwanza la kuteketezwa litakuwa ni mji BaghdadError: Reference sourcenot found. Kutafuatia na kuvurugika na kuchafuliwa kwa MisriError: Reference source not found.Mutakapoanza kuona hizi bishara zikitokea huko SyriaError: Reference source not found basi muelewekuwa kuna kifo kila mahala. Hapo ndipo mtaona WazunguError: Reference source not found wanaanzambinu na hila zao, watakapofika Bara la Arabia kutazuka mapambano makubwa ya kuteketeza.

(18). Mtume s.a.w.w amesema: "Utawala wa Waarabu utakwisha”. Kauli hii aliitoa mara tatu kiasikwamba wanaoiripoti walimuuliza, Je ni nani atakayeumaliza utawala wa Waarabu?" Hapo Mtumes.a.w.w alijibu: "(Bani Qantura) jumuia ile ambayo nyuso zao ni pana wana pua tambarare na wanamacho madogo. Wao wataingia Bara la Arabia kwa sababu vita vikali vitakuwa vimeanza kutokezea. "Hapo WaturukiError: Reference source not found wataleta masharti ya usuluhishi kwamba Waarabuwawarudishie wale wote wasio Waarabu. Waarabu watawaambia wale wasio Waarabu marafiki zaowajiunge na Waturuki. Hapo marafiki wa Waarabu watawaambia Waarabu, Ole wenu! Kwenu nyinyikuupa mgongo Uislamu (kwa kuvunja umoja na jumuia yao).Hapo baadaye marafiki wa Waarabu watapigana peke yao na watawashinda na kuwateketeza maaduizao. Waarabu watakapoona marafiki zao wamenufaika kwa vita wataanza kuomba hisa humo. Hapomarafiki wa Waarabu watasema: "Kwa hakiError: Reference source not found ya Allah swt!

Hatutawapeni chochote kwa sababu nyinyi mmevunja uhusiano wetu. "

Je Waturuki Ni Akina Nani?

Ni udanganyifu kuelewa kuwa wale watu wanaoishi katika nchi ya Uturuki ya leo ndio wanaitwaWaturukiError: Reference source not found. Kwa mujibu wa mwanahistoria Farishta, asili ya Waturukiwanaanzia kwa Mtume Nuh a.s. ambaye alikuwa na mtoto Yafis na huyo alikuwa na mtoto akiitwa Turki.Popote pale kizazi hicho kilipofika waliitwa Waturuki. Mtoto mwingine wa Yafis alikuwa akiitwa Chin.Ardhi kubwa sana iliitwa kwa jina lake ambayo leo ndiyo ChinaError: Reference source not found. Hivyokatika utafiti huu inatudhihirishia wazi wazi kabisa kuwa Waturuki na WachinaError: Reference sourcenot found ni watu wawili waliotofauti.Katika jangwa la Gobi kuliishi makabila mawili tofauti, kabila moja lilikuwa likiitwa Mongoli na linginelilikuwa likiitwa Turuki mababu zao walikuwa sawa. Hao Wamongoli walikuwa wakijulikana kama Yun.Na mababu zao walifika hadi katika ya Urusi. Wao walikuwa wakijulikana kwa majina tofauti tofauti kamaYuji, Quishen n. k. WachinaError: Reference source not found waliendelea kuwaita Yuji. Kabila zilianzakujulikana kama WaturukiError: Reference source not found katika karne ya sita kizazi kimojawapokiliishi Azarbaijan katika karne ya tano. Kwa mujibu wa baadhi ya wana historia wao walichukua sehemumuhimu iliyokuwa karibu na Marv hapo baadaye kabila hilo lilitawanyika mbele na kuchukua ardhiambayo leo inajulikana kama Uturuki. Popote pale walipokwenda wao wanajulikana kama Waturuki nakwa sababu hiyo katika ramani utaona kuna sehemu nyingi zinazoitwa Turkistan ya ChinaError:Reference source not found,Turkastan ya Urusi, n. k. Watu waliokuwa wakiishi katika Turkistani yaChina walikuwa na macho rangi ya buluu, nywele nyekundu na warefu. Maumbile haya hayalingani namaumbile na wa-China wa siku hizi.WaturukiError: Reference source not found ambao waliiteketeza IranError: Reference source not found,IraqError: Reference source not found n. k. walikuwa ni wa-Mongolia. WachinaError: Reference sourcenot found wa siku hizi hawafanani na Waturuki na hivyo wao ndio wanajulikana kama Bani Qantura kwamujibu wa Hadithi. Hivyo Waturuki ambao wanazungumziwa katika Hadithi tukufu za Mtume s.a.w.w niWarusiError: Reference source not found na Bani Qantura ni Wa-ChinaError: Reference source notfound na Bani Asfar ni WazunguError: Reference source not found.Tofauti hizi lazima tuzizingatie vizuri na tuzitilie maanani kabisa vivyo hivyo itabidi kuzingatia mipaka yakijiografia ya ChinaError: Reference source not found ya siku hizi haioani na ile ya zama za Mtumes.a.w.wKauli ya Imam Muhammad Baqir a.s. ambayo imetolewa kutoka Majlis-i-Thannia ya Sayyid Muhsin AlAmin Al Husein, Al Amir wa Beiruti.

Imam Ali a.s. amesema: "Kutatokea mfarakano mkubwa sana baada ya kufika kwa WarusiError:Reference source not found katika Bara la Arabia na WazunguError: Reference source not found kufikakatika PalestinaError: Reference source not found na mifarakano hiyo itasababisha kuangamia nakuteketea kwa SyriaError: Reference source not found ambayo itatokea baada ya mapigano baina yawapinzani wa benderaError: Reference source not found tatu (Bendera tatu inamaanisha kutakuwa na

makundi matatu yanayopingana) bendera hizo zitakuwa ni za: (1). Sayyid Hasan, (2). Bani Omaiyya, na(3). Bani Qais.

Mabango ya Sayyid Hasan yatatokezea IranError: Reference source not found, benderaError: Referencesource not found ya Bani Omaiyya itatokezea SyriaError: Reference source not found na bendera yaBani Qais itatokezea MisriError: Reference source not found.

Imam a.s. aliendelea kutoa usia: "Lazima mtulie, msijitie kwenye harakati, mikono yenu na miguu yenupale mtakapoona dalili hizi, lakini nyinyi hamtawaona (watu wa zama hizo). Dalili hizi ni:(1) Kuwasili kwa WaturukiError: Reference source not found katika Bara la Arabia,(2) Kuwasili kwa WazunguError: Reference source not found katika PalestinaError: Reference sourcenot found,(3) Waturuki, WarusiError: Reference source not found, watakaribishwa vizuri kabisa pale watakapofikaBara la Arabia.Hivyo hivyo Wazungu watakaribishwa vyema kabisa na WayahudiError: Reference source not foundpale watakapoingia PalestinaError: Reference source not found.

Mawaidha Ya Mtume S.A.W.W Kuhusu Kujihami

Ibn Masud anaripoti kuwa Mtume s.a.w.w amesema: "Mjikumbatie pale mtakaposikia sauti tokambinguni katika mwezi wa Ramadhani, kwa sababu kutakuwa na misukosuko mingi katika mwezi waShaban. Vita vya wenyewe kwa wenyewe na umwagaji wa damuError: Reference source not foundkupindukia kiasi vitaanza katika mwezi wa Dhilqaad, mauaji na uporaji na kila aina ya wizi vitaanzakatika mwezi wa dhil-hijjah. Mwezi wa Muharram ni mwezi wa pekee kwa aina yake (kwa huzuni yaMuharramu ndiyo imepita mipaka yake isiyoweza kuelezwa).

Hapo baadaye Mtume s.a.w.w alisema mara tatu: "Loh, loh, loh,! Idadi kubwa kabisa ya watu watauawawakati huo. "

Mwenye kuripoti alimwuliza Mtume s.a.w.w wakati huo: "Ewe bwana wetu ! Je hiyo sauti ya kutisha tokambinguni itakuwaje na itatokea lini?"

Mtume s.a.w.w alimjibu: "Sauti hiyo ya kutisha na kushtusha itatokea katika mwezi wa Ramadhanikatikati ya siku. Muwe tahadhari kwani sauti hii itamwamsha yeyote atakayekuwa amelala na yeyoteyule atakayekuwa amesimama ataketi. Baada ya kumaliza salaError: Reference source not found yaIjumaa muingie majumbani mwenu mfunge milango yenu yote na kuziba matundu yote yatakayokuwemondani mwa nyumba zenu. Zibeni masikio yenu kwa uangalifu na mzizuie pumzi zenu. Mwangukieni Molawenu mtakapohisi sauti hiyo na muombe Subhanal Quddus, Rabunal Quddus. "Mtu yeyote atakayefanyahivyo ataokoka na mshirikina ataangamizwa. "

Muda huo tarehe, mwezi na siku tunavijua katika Hadith kwa mujibu wa Hijaz lakini sisi huku kwetu

tuangalie tofauti ya muda ili tujue kwetu hapa itatokea muda gani, vile vile katika baadhi ya HadithMaimamu a.s. wameripotiwa kusema tarehe 23 mwezi wa Ramadhan. Jambo hili linafanya swala hililiwe wazi zaidi.

Jambo lingine la kuzingatia hapa ni kwamba: Usia huu tumepewa kama tahadhari. Labda inawezekanatunatanabahishwa na mashambulizi ya ndege na kutupwa kwa mabomuError: Reference source notfound kunaweza katika zama hizo kukazuka vita vikali, ndege zitaanza kutupa rIssasi ovyo na mabomuambavyo vitaangamiza watu hivyo watu wanashauriwa kuingia majumbani kujifungia ndani nawamwombe Allah swt awaepushe na balaaError: Reference source not found ipite.

Kuonekana Mkono Na Uso Mwezini

Imerekodiwa katika Majlis -i- Thannia kuwa Moman anaripoti kutoka kwa Imam Jaafer Sadiq a.s.ambaye anasema: “Kabla ya kutokezea sauti kubwa ya mlipuko wa anga kutaonekana dalili tatu katikambingu. Mwenye kuripoti alimwuliza: "Je ni dalili gani hizo "Imam alimjibu: “Uso wa mwanadamuutaonekana ukinga’a na mkono utaonekana katika mbingu(labda inamaanisha mwanadamu atafikamwezini na katika stesheni zinginezo huko juu).

Kutokezea kwa SufianiError: Reference source not found:Kuinuka na Kuanguka Kwake.

(1) Hudhaifa Yamani ameripotiwa akisema: “Wa-SufianiError: Reference source not found wataingiaMisriError: Reference source not found na kuiteka nchi hiyo kwa miezi minne. Atakuwa na utawala wamauaji na wenye vitisho sana wanawakeError: Reference source not found watalia kwa kupotezaheshima zao, jamaa zao na hadhi zao. Watu watakuwa wakiomba wafe ili wapone na dhulumawatakazokuwa wakifanyiwa".

Katika Hadith nyingine zinaripotiwa kuwa baada ya SufianiError: Reference source not found kuitekaMisriError: Reference source not found,SufianiError: Reference source not found atatuma jeshi lakekwenda MadinaError: Reference source not found hawa wanajeshi watakuwa waovu kabisa nakupambana na Muslim ibn Akbar baadaye wataelekea MakkahError: Reference source not found.Watakapofika Beda wote watakufa kwa kupasuka ardhi na wote watatumbukia katika ardhi na kumezwa.

(2) Imam Muhammad Baqir a.s. amesema: “Uasi wa SufianiError: Reference source not found nakudhihiri kwa MahdiError: Reference source not found a.s. vitatokea katika mwaka mmoja.

Katika habari nyingineyo imeripotiwa kuwa SufianiError: Reference source not found, Yamani naKhurasani wote watatu watatokezea katika mwaka huo mmoja.

Imam Jaafer Sadiq a.s. amesema: "SufianiError: Reference source not foundError: Reference sourcenot found atatokezea katika mwezi wa Rajab na atamiliki Damascus, YemenError: Reference source not

found, Jordan, PalestinaError: Reference source not found na Qansain.

Imam Zainul Abedin a.s. amebashiri kabla ya kudhihiri kwa MahdiError: Reference source not found a.s.atatokezea mtu kutoka Kuwait aitwaye Auf Aslami. Huyo atauawa katika Msikiti huko SyriaError:Reference source not found, baada ya hapo Shuayb ibn Saleh atatokezea katika Samarkand naSufianiError: Reference source not found atatokezea huko PalestinaError: Reference source not found.

Moto

(1) Imam Muhammad Baqir a.s. amesema: "Utakapoona motoError: Reference source not foundmwekundu njano ukiwaka siku tatu au siku saba mfululizo huko Mashariki basi ujue ndio wakati wakudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. 1 umefika

(2) MotoError: Reference source not found mkubwa sana utatokezea huko Bara la Arabia .

Imam Jaafer Sadiq a.s. vile vile amebashiri kutokezea kwa motoError: Reference source not foundkatika Mashariki.

Mtume Issa a.s.

(1) Imerekodiwa na Imam a.s. kuwa Mtume Issa a.s. atateremka Baitul Muqaddas wakati wa salaError:Reference source not found ya alfajiri ambapo watu watakuwa wanajitayarisha kusali. Imam MahdiError:Reference source not found a.s. atamkaribisha na kumwambia, karibu, njoo utuongoze katika sala,Mtume Issa a.s. atamchukua Imam mbele na yeye mwenyewe atasali nyuma ya Imam a.s.

(2) DajjalError: Reference source not found atakuwa na wanajeshi elfu sabini, Mtume Issa a.s.atakapowaona tu miili yao itakufa ganzi, hali yao ya kupigana vita na Mtume Issa a.s. na ImamMahdiError: Reference source not found a.s. itayeyuka kama vile chumvi inavyoyeyuka katika maji.Mtume Issa a.s. atawateketeza Mayahudi wote na ataivunja misalaba na kuwaua nguruwe.

Hivyo kurudi kwa Mtume Issa a.s. humu duniani kunamaanisha ndiyo mwisho wa dini ya Judea na diniya Kikristo kwa sababu atakanusha kusulubiwa na kuwapo sharia katika Tawrati inayoharamisha ulajiwa nguruwe. Hivyo tunaweza kuelewa vyema zaidi sababu ya Allah swt kumweka hai Mtume Issa a.s.hadi kudhihiri kwa Imam Mahdi a.s. kwa sababu mtu yeyote anapotaka kukabiliana (kuhusu mazushi)vyema na watu hivyo inambidi yeye mwenye akabiliane nao ndipo litakapokuwa jambo la msingi.

Nyota Yenye Mkia

Jabir Jaufi anaripoti kutoka Imam Jaafer Sadiq a.s. kuwa: "Wakati khalifa wa Bani Abbas alipozuruKhorasan, nyotaError: Reference source not found yenye mkia ilitokezea ambayo ilikuwa ikiitwa Al-Qarb-Zushshifa. Nyota hii ya mkia ilionekana kabla ya kuangamia kwa ukoo wa Mtume Nuh a.s. na

wote walizama katika tufani ya maji vile vile nyota hii ilitokezea mbele ya Mtume Ibrahim a.s. nahatimaye yeye akatupwa katika motoError: Reference source not found. Nyota hii ilionekana tena kablaya kuangamizwa kwa FiraunError: Reference source not found katika zama za Mtume Musa a.s. Nyotahii ilionekana tena wakati Yahya ibn Zakaria (John Babtisti alipouawa). Hivyo mwombeni Allah swtawaokoeni wakati mnapoona hii nyotaError: Reference source not found yenye mkia mbinguni.Kuonekana kwake kutafuatia kwa kupatwa kwa mwezi na kupatwa kwa jua. Baada ya kuonekana kwanyota yenye mkia kutachomoza benderaError: Reference source not found nyeusi na nyeupe amabendera ya rangi ya buluu na nyeupe huko MisriError: Reference source not found, na huu ndio mwanzowa machafuko na majanga na machafuko ya kila aina kutokezea. Nyota hii itaonekana katika mwezi waSafar (mwezi wa pili katika Kalenda ya Kiislamu).

Vile vile imerekodiwa kuonekana kwa nyotaError: Reference source not found yenye mikia miwili hukombinguni na hii ni ishara katika kipindi kifupi kabla ya kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference sourcenot found a.s. nyota hiyo itaonekana iking'ara kama mwezi.

Dalili Ziatakazoendelea kwa Miezi Sita

Mtume Mtukufu s.a.w.w. amesema: "Kutaonekana mstari wima wa mwanga baina ya ardhi na mbingukatika mwezi wa Ramadhani. Shawwal utakuwa ni mwezi wa machafuko. Kutakuwa na machafuko namagomvi kila mahali katika mwezi wa Dhil-Qaad. Misafara ya wale waendao kuhiji itashambuliwa nakuporwa, na barabara ziendazo kuhiji zitawekewa vipingamizi. Haya yote yatatokea katika mwezi waDhil-hijja wakati mambo ya kutisha mno ya mwezi wa Muharram hayawezi kuelezeka.

Habari Zaidi Kuhusu Syria

(1). Abdullah ibn Umar ameripoti kuwa Mtume s.a.w.w amesema: "Mwisho wa dunia utaanza palekutakapoanza kushtushwa kwa vichwa. Na wakati haya yataanza kutokea, basi ndio mwanzo wamaangamizo ya mwanadamu". Alipoulizwa Mtume Mtukufu s.a.w.w juu ya umuhimu wake, alijibu ndiyomaangamizo ya SyriaError: Reference source not found. Maangamizo na mateketezo hayo yataanziaSyria.

(2). Katika kitabu cha Al-Malahim wal Fitan imeandikwa kuwa upotofu utazuka na kutawanyika katikaSyriaError: Reference source not found kama vile mchezo wa watoto. Na wala hakuna nyumba yoyoteitakayosalimika. Hayo yataendelea mpaka kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not founda.s.

Majanga

Utafika wakati wanaumeError: Reference source not found wataanza kuwauza wakeError: Referencesource not found zao ili mradi wapate chakula kidogo. Vile vile utafika wakati ambapo baba atamwuza

binti wake mzuri kwa hoja hiyo hiyo.

Muda wa Utawala wa Imam Mahdi A.S.

Imeripotiwa kuwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. atatokana, atakuwa ndiye Khalifawa mwisho wa Bani Hashim. Yeye atatawala kwa muda wa miaka arobaini. Yeye ataikomboa Roma naKostantinopoli.

Hadith kama hiyo imeripotiwa na Muhammad Hanafi akiongezea kuwa JerusalemError: Referencesource not found itajengwa upya wakati wa utawala wake. Mtume Issa a.s. atatokezea baada yakukombolewa kwa Roma na Kostantinopoli.

Kuishinda India

Imam MahdiError: Reference source not found a.s. atapeleka batalioni ya jeshi lake moja kutokaJerusalemError: Reference source not found kwenda IndiaError: Reference source not found. Jeshi hilolitaishinda India na kuchukua mali ya thamani iliyokuwa imezikwa hadi JerusalemError: Referencesource not found. Mji huo mtukufu wa JerusalemError: Reference source not found utarembeshwa.Jeshi hilo litakuwa na kituo chake hapo IndiaError: Reference source not found hadi kushindwa kwaDajjalError: Reference source not found.

Maafa Yatakayowafikia Waislamu

(1). Imerekodiwa kuwa Abdulla ibn Umar amesema: “Umma wa Mtume Muhammad s.a.w.wwatakabiliana na maafaError: Reference source not found matano, mawili kati ya hayo yamekwishakupita na matatu yatatokezea:- (a). matatizo katika Urusi (b). Matatizo yatakayoletwa na WazunguError:Reference source not found (c) matatizo yatakayoletwa na DajjalError: Reference source not found.Baada ya hapo hakutakuwa na matatizo yoyote lakini matatizo haya matatu yatakuwa makali na mabayakabisa kiasi kwamba watu watahama kutoka nafasi moja kwenda nafasi ya pili kama wanyama na watuwatauawa kama ng'ombe na mbuzi wanavyouawa kwa idadi kubwa kabisa.

(2). Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema: “Umma wangu utafanya maovu yote kama vile mauaji hayoyalivyokuwa yakifanywa na umma wa Mitume iliyotangulia.

(3). Amesema Mtume Mtukufu s.a.w.w kabla ya kudhihiri kwa MahdiError: Reference source not founda.s. makafiri watadhibiti mito mitano mashuhuri duniani. (1). Saihun,(2). Jaihun (3). Tigiris, (4). Furati,(5). Mto Nile

(4). Imam Ali a.s. amebashiri kudidimia na kuanguka kwa utawala wa Bani Hashim kabla ya kuja kwaImam MahdiError: Reference source not found a.s.

(5). Imam Ali a. s amesema: “Zipo dalili kumi za kuja kabla ya kudhihiri kwa Imam MahdiError:Reference source not found a.s.1. Kuchomwa motoError: Reference source not found kwa benderaError: Reference source not foundkatika mitaa ya Kufa

2. Error: Reference source not foundMisikitiError: Reference source not found itakuwa haitumiki

3. Njia ziendazo HijjaError: Reference source not found zitafungwa

4. baadhi ya sehemu zitadidimia ardhini

5. Kutatokezea mitetemeko mikali sana katika ardhi katika baadhi ya sehemu.

6. Watu watatoka majumbani mwao katika hali ya mivurugano

7. kutaonekana nyotaError: Reference source not found yenye mkia wa ajabu kabisa.

8. kutaonekana vitu vya ajabu mbinguni

9. kutakuwa na mauaji ya umwagaji damuError: Reference source not found

10. Unyang'anyi na wizi vitakuwa ni vitu vya kawaida. "

Muda Wa Binadamu Juu Ya Ardhi

Abdullah ibn Umar ameripotiwa akisema: “Mwanadamu ataishi juu ya ardhi hii miaka mia moja sabinibaada ya kuchomoza jua kutoka Magharibi.

Kushirikishwa Kwa Wanawake

Imerekodiwa katika Raudhatul - Kafi kuwa mwanamke atapanda mimbarError: Reference source notfound na kuwahutubia watu. Kutakuwa na wanawakeError: Reference source not found watawala namagavana na wabunge. Wanawake watashirikiana bega kwa bega pamoja na waume zao katika kazizao. Wao watawapanda farasi na kuendesha magari n.k. Wanawake wataanzisha taasisi zao na vilabuvyao. Wanawake wataanza kutengeneza nywele zao ambazo zitakuwa sawa sawa na nundu za ngamia.Mambo yote haya yatatokea katika zama za mwisho wa dunia.

Mzozo Wa Kuandama Kwa Mwezi

Watu watakuwa wameikhtilafiana mno juu ya swala la kuandama kwa mwezi . Wao hawatakuwawakifunga siku ya kwanza ya Ramadhani wakati ambapo siku ya Iddi watakuwa katika hali ya saum.Hadithi hii imetolewa katika Biharul Anwaar. 2

Ala Za Muziki

Ala za muziki zitapatikana huko MakkahError: Reference source not found na MadinaError: Referencesource not found.

Watu Matajiri

Watu matajiri watakwenda HijjaError: Reference source not found kwa matembezi na watu wa daraja lakati watakwenda kwa ajili ya biashara na masikini watakwenda kujionyesha kuwa wao pia wanakwendaHijja kuwa nao wanao uwezo. (Biharul Anwaar ).

Ghuba Ya Aqaba

Katika kitabu cha Ilzaam-un-Nasib imeandikwa kuwa ardhi ya Aqaba itageuka kuwa nyekundu kwasababu ya damuError: Reference source not found ambayo itamwagika kwa sababu ya vita vikalivitakavyokuwa vikiendelea hapo.

Kuhusu Oman

Msemo huu ufuatao wa Imam Ali a. s umetolewa kutoka hutuba iitwayo Bayyinah amesema:"ninawasikitikia watu wa OmanError: Reference source not found kwani wao watazingirwa pande zote,waume wao watauawa na wake zao watachukuliwa mateka. "

Kuhusu Teheran

Imam Jaafer Sadiq a.s. amesema: “Watu wa Ray (Teheran) watauawa katika mamilioni wakati huokitovu cha elimu ya dini kitakuwa ni Qum na haya yatatokea kipindi kifupi kabla ya kudhihiri ImamMahdiError: Reference source not found a.s.

Mafuriko, Nyoka na Nzige

Imeandikwa katika kitabu cha Nur-ul-Anwaar kwamba makundi makubwa makubwa ya nzigeError:Reference source not found ni dalili mojawapo ya kudhihiri kwa Imam. (imetokezea hivyo katika mwakawa 1254 A. H. katika Bara la Arabia; 1268 A.H. katika IranError: Reference source not found na nchi zaSudan na Somalia tumesikia kuwa mambo haya yakitokea ). Vile vile miongoni mwa dalili za kudhihirikwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ni mafuriko, nyoka katika maji. Mambo haya niya kawaida siku hizi kusikia kuhusu mafuriko.

Dalili za Ajabu na Kushangaza Mno

Mtume Mtukufu s.a.w.w alimwambia Jabir "Maisha yako yatakuwa mema na wewe utainuliwa siku yaQayamaError: Reference source not found ukiwa umeongoka. Lakini ole wa wakati ule, wakati ambapoUkristo utakuwa na nguvu duniani na wakati ambapo ng'ombe dume watakapoanza kuongea. Zama hizovitu vya ajabu vitaanza kutokezea. Kutakuwa na motoError: Reference source not found kila mahala(vita). Bendera ya utawala wa Othman utakuwa katika Bonde Jeusi. BasraError: Reference source notfound itakumbwa na misukosuko. Baadhi ya watu watawakalia watu wengine na kuwanyanyasa. Majeshiyatatembea kati ya Taliqan, Shuyb ibn Saleh Tamim atakubaliwa. Katika Khuzistan, watu watakula viapovya kumtii Sayyid Musawi. Bendera ya Wa-Qurdi shupavu itabuniwa. (Hadith hii ni ndefu mno isipokuwatumechagua yale yaliyokuwa yakihusiana na somo letu. )

Ubashiri Wa Baada Ya Vita Vya Naharwan

Baada ya Imam Ali a.s. kutokea vita vya Naharwan, alisema: "Ni jambo la kustaajabisha mno, kwamatukio yatakayotokea baina ya Jamadiul Aakhir na mwezi wa Rajab. Hakutakuwa na maelewanoyoyote popote pale. Mapanga yatavuma na sauti baada ya sauti itasikika. "

Hadith Mufadhdhal

Mufadhadhl ibn Omar alimuuliza Imam Jaafer Sadiq a.s. : “Ewe mola wangu, Zuura ni sehemu ipi?"

Imam a.s. alimjibu: “Hiyo ni BaghdadError: Reference source not found ambayo itakuwa ni kitovu chaadhabu na maangamizo ya Allah swt. Ole! sehemu hiyo kutachomoza kwa benderaError: Referencesource not found za rangi ya njano na hapo bendera za kutoka nchi mbalimbali zitakusanyika. Adhabuza Allah swt zitateremshwa nchini humo. Matukio yasiyojulikana au yasiyopangwa au yasiyosikika auyasiyoonwa kabla ya hapo yatatokea huko Baghdad. Kutakuwa na hujuma za mapanga na hujuma hizozitaongezeka mno. Mji huo utaongezeka kwa idadi ya watu na vile vile utakuwa ukiteketezwa, hali hiyoitakuwa ikitokezea kila mara lakini kufikia kipindi cha mwisho, kutakuwa na matendo maovu mengi sanakiasi cha kuwa mustahiki wa adhabu za Allah swt. Michafuko itakuwa imekithiri hadi hapo Hasan mtukutoka Kazwin na Dailam atapokuja pamoja na jeshi lake juu ya mafarasi weupe. Mkuu wa kikosi chakeatakuwa mtu wa Tamin ajulikanae kwa jina la Shuayb ibn Saleh. Wao watamkabili mkandamizaji nakutuliza motoError: Reference source not found wa michafuko. Baada ya hapo wataondoka kuelekea mjiwa KufaError: Reference source not found.

Wakati Maalum

Imeandikwa katika kitabu cha Kamalud-din kuwa Husein ibn Khalid alimwuliza Imam Ridha a.s. "EweMola wangu ! Je wakati maalum ni lini. "

Imam alimjibu: "Wakati maalum ni wakati ule wa kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source notfound a.s.” Khalid aliuliza: "Je huyo Mahdi katika ahadi zenu ni nani?"

Imam alimjibu: “Yeye atakuwa ni wa nne katika kizazi changu, Allah swt ataondoa dhuluma naukandamizaji duniani kote kwa kupitia huyu MahdiError: Reference source not found a.s. Kwa kuwakipindi chake cha kuwa mafichoni (ghaibat) utakuwa ni muda mrefu hivyo watu wataingiwa shaka nawasi wasi na watu watakuwa na shaka iwapo amezaliwa au bado hajazaliwa.

Kabla ya kuja kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. kutasikika sauti kubwa dunianikote kutoka mbinguni. Habari hiyo itawajulisha watu kuwa mwokozi wetu ameishafika karibu na Al-KaabaError: Reference source not found. Kudhihiri kwake kutaleta nuru duniani kote. Jina la baba yakeni Hasan. Yeye atakuwa ni Qaim -bil- Haq na Al-Muntadhar.

Mwenye kuripoti anauliza: "Je kwa nini majina yake yawe hayo?"

Imam alimjibu: “Watu wengi wenye kuamini katika Uimam labda watakuwa wameishageuka makafiri.Yeye ni yule anayengojewa, kwa sababu ya muda mrefu wa yeye kubakia mafichoni, katika kipindi hichowatu wengi wataanza kubishana na wataleta mzaha kwa swala zima hili, ni wachache tu walio wauminiwatakaosubiri tukio hili la Imam MahdiError: Reference source not found a.s. kwa wale watakaofanyaharaka (kwa sababu watatokezea wengi ni waongo). Basi hao watakuwa wamepotea na wale Waislamuhalisi wataokoka.

Madondoo Ya Kudhihiri Imam : Kitab Al- Irshad

Kutoka dalili na mabashiri ya kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. hapakuna madondoo machache ambayo yamechambuliwa1. Uasi wa SufianiError: Reference source not found,

2. kuuawa kwa Hasan

3. Ikhitilafu baina ya Bani Abbas kwa matakwa ya dunia

4. Kupatwa kwa jua katika mwezi wa Ramadhani, ikifuatiwa na kupatwa kwa mwezi mwishoni mwamwezi huo wa Ramadhani

5. Beda (mahala baina ya MakkahError: Reference source not found na MadinaError: Reference sourcenot found) itadidimia ardhini,

6. Ardhi katika upande wa Mashariki na upande wa Magharibi zitadidimia

7. Jua wakati wa asubuhi litaonekana liko papo hapo bila kutembea hadi wakati wa mchana na baadayelitachomoza kutoka Magharibi.

8. Mcha Mungu atauawa nyuma ya msikiti wa KufaError: Reference source not found pamoja na watusabini wengine

9. Mtu mwema kutoka ukoo wa Bani Hashim atachinjwa baina ya Rukn na Makam huko MakkahError:Reference source not foundError: Reference source not found.

10. Kuta za Msikiti wa Kufa zitaporomoka

11. Bendera nyeusi zitatokezea huko Khorasan

12. Mtu kutoka YemenError: Reference source not found ataongoza uasi.

13. Mtu atakayetokea nchi za Maghreb ataonekana huko MisriError: Reference source not found naambapo atapata mamlaka makubwa

14. WarusiError: Reference source not found watafika Bara la Arabia

15. WazunguError: Reference source not found watafika PalestinaError: Reference source not found.

16. Upande wa Mashariki kutaonekana kwa nyotaError: Reference source not found yenye mkia.Mwanga wake utaonekana kama ule wa mwezi na ncha zake zote zitakuwa moja (zitaungana).

17. Kutaonekana uwekundu mkubwa sana mbinguni.

18. Kutazuka motoError: Reference source not found mkubwa sana katika Mashariki ya kati ambayoitadumu kwa muda wa siku tatu hadi saba.

19. Wale wasio Waarabu watawafukuza Waarabu kutoka ardhi zao

20. Utawala wa kifalme utakwisha nchini Iran

21. Wamisri watamuua kiongozi wao

22. Bendera tatu zitakusanyika Syria

23. Kutazuka mizozo mikubwa na Syria itateketezwa

24. Bendera za Waarabu na Bani Qais zitatoka Misri

25. Bendera ya Banu Kinda itapepea Khorasan

26. Jeshi kubwa sana litapita Hira

27. mabango meusi yatafika kutokezea Mashariki

28. Maji ya mito ya Furat yatafurika katika mitaa ya Kufa

29. Kutatokezea watu sitini watakaodai kuwa wao ni Mitume.

30. Sayyid kumi na wawili watadai kuwa wao ni Imamu Mahdi

31. Mtu mwenye heshima kubwa kutoka Bani Abbas atachomwa moto hai karibu na Khankin

32. Kutajengwa na daraja katika BaghdadError: Reference source not found katika sehemu za Kharah

33. Kutakuwa na tufani ya upepo mkali katika Baghdad wakati wa asubuhi na kutafuatiwa na kupasukakwa ardhi ambamo baadhi ya sehemu itadidimia ardhini

34. Mauti, vifoError: Reference source not found na maangamizo yatakithiri huko IraqError: Referencesource not found kiasi kwamba watu watakuwa kama wamewehuka

35. vikundi vitapigana mno huko Iran

36. Sura za jumuia zitachafuliwa

37. Watumwa wataanza kutawala nchi za Mabwana wao

38. Sura kama ya binadamu itaonekana karibu na jua

39. Makaburi yatafumuliwa na

40. waliokufa watapewa uhai

41. Kutakuwa na mvuaError: Reference source not found itakayonyesha kwa mfululizo wa siku ishirinina nne ambayo itahuisha ardhi iliyokuwa imekufa.

Kwa hakika wakati huo ndio utakuwa wakati wa kudhihiri kwa Imam Mahdi a.s.

Miongoni mwa dalili na bashara za hapo juu kuna mengineyo yenye masharti. Allah swt tu anaelewakitakachotokea na lini.

Mafafanuzi ya Dalili na Bashara kwa Mukhtasari

Vitabu vingi vimeandikwa juu ya bashara na dalili za kipindi kabla ya kudhihiri kwa Imam MahdiError:Reference source not found a.s. kwa hakika swala hili lipo kwa mapana sana kiasi kwamba ni vigumumno kukusanya kwenye kitabu kama hiki. Hata hivyo kumefanywa juhudi kubwa sana ya kuwezakukusanya mabashiri haya kwa kiasi ilivyowezekana. Tumejaribu kuona kuwa mengi yametokezea namengi bado yatatokezea. Wakati unakwenda ukiiva kwa ajili ya matukio mengine kutokezea, namengine yapo yanatokezea lakini habari bado hatujazipata. Hapa chini tumejaribu kutoa baadhi yamaelezo yetu ambayo hatuwezi kujidai kuwa sisi ni mabingwa wa mambo haya, anayejua zaidi ni Allahswt peke yake.

Inaonekana kuwa sura ya Islam itabadilika sana siku za mbeleni. Mashauriano yataonekana ni mamboya upweke. Kutatokea mabadiliko katika maisha ya jamii na ya kijumuia na ya kiutamaduni,tamaduni zabinadamu zitachafuliwa mno. Hukumu za Allah swt zitapuuzwa na hazitatekelezwa. Watuwatawakimbilia wale wasio mtii Allah swt, hivyo dunia nzima itajawa kwa vitisho na ukandamizwaji. Hakina usawa utakuwa umetokomezwa kabisa. Maasi na madhambi yatakuwa yamekithiri kila mahala.

Kwa yote yaliyoandikwa hapo juu inamaanisha waziwazi kuwa ulimwengu umejiandaa kwa ajili yaadhabu na ghadhabu za Allah swt na wa hakika kama tutatenda kinyume na maamrisho ya Allah swtbasi hivyo tukae tayari kwa ajili ya adhabu zake.

Mwanzoni mwake kutatokezea kwa michafuko huko Mashariki ya Kati ambayo yataenea dunia nzimahapo baadaye. Kutatokezea maajabu mbinguni na kuonekana kwa nyotaError: Reference source notfound yenye mkia inayong'aa huko mbinguni.

WarusiError: Reference source not found wataanza kuingilia kati mambo ya Mashariki ya Kati.WazunguError: Reference source not found watajiingiza huko PalestinaError: Reference source notfound na kuleta uchafuzi. Na hivyo kutaanza kwa vita ambavyo vitaenea duniani kote. Labdaitawezekana silaha za kinyukilia zikatumika huko na zikasababisha mitetemeko ya ardhi, kudidimia kwaardhi na kuteketezwa kwa watu. Baadhi ya sehemu zitateketezwa kabisa. Nchi za Kiisilamu zitaathirikasana kwa hayo. Vita hivyo vya huku na huko mwisho vitakuja kuwa vya dunia nzima. MisriError:Reference source not found itachafuliwa kabisa kabisa. BaghdadError: Reference source not found naBasraError: Reference source not found vitateketezwa kabisa, miale ya mioto itatokezea Bara la Arabia.Kutalipuka motoError: Reference source not found mkali sana katika sehemu za machimbo ya mafutahuko Aden.

Katika vita hivi vya dunia, kutatumiwa silaha mbaya kabisa zenye kuleta maangamizo na maafamakubwa kabisa. Anga zetu zitakuwa zimejaa kwa gesi ya sumu kali. Kujiingiza kwa WachinaError:Reference source not found katika vita hivi kunamaanisha hali kuchafuka kabisa. Takriban theluthi mojaya dunia nzima watauawa katika vita hivi.

Baada ya kumalizika kwa vita hivi itafuatia hali ya kuangamiza kabisa. Kutatokezea magonjwa yakuambukizwa, kutatokezea balaaError: Reference source not found za kila aina ambazo zitaharibumaisha ya watu na watu watakufa wengi mno. Ukame utawamaliza watu wengi sana kiasi cha theluthimoja ya wakazi wa dunia nzima wataweza kuponea chupuchupu maafaError: Reference source notfound haya.

Mwanadamu ameishafika mwezini, Imam Jaafer Sadiq a.s. amesema kuwa uso wa mwanadamuutaonekana mwezini na mkono wake utaonekana mbinguni yaani mwanadamu ataweza kuzishindaanga za juu. Binadamu pamoja na kuwa na maendeleo haya ya kisayansi lakini kwa kutokuwa naumoja, upendo na undugu wataimaliza dunia. Utumiaji wa silaha za kisasa na za hatari kabisazitabadilisha hali ya hewa ya ulimwenguni na taratibu za jua zitaathirika sana, hasa dunia yetu hii. Kwa

hali hii ama jua litaonekana limebaki pale pale ama dunia yetu hii itaacha kuzunguka kuanzia asubuhihadi mchana. Kwa hivyo kutatokezea kupatwa kwa jua na mwezi kwa mwezi mmoja jambo ambalokihesabati haiyumkiniki kwa sasa.

Usiku wa Alhamisi tarehe 23 mwezi wa Ramadhani kutasikika mshtuko mkubwa sana angani na hiindiyo dalili halisi ya kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. Kwa wakati huoMashariki ya Kati itakuwa imekumbwa na majanga mengi hasa ya njaa na vile vile SufianiError:Reference source not found atakuwa ametokezea. Wakazi wa Algeria na Morocco watasonga mbelekuelekea MisriError: Reference source not found huku wakiwa wamebeba mabendera ya rangi njano.Mtu mmoja kutokea kizazi cha Imam Hasan a.s. atatokezea kutoka Taliqan. Kamanda mkuu wa jeshilake atakuwa Shuayb ibn Saleh Tamim. Jeshi lao watakuwa wamepanda farasi weupe na hukuwamebeba benderaError: Reference source not found zenye rangi nyeusi na nyeupe. Hao makamandawawili watajaribu kurekebisha na kunyoosha taratibu za dunia ambazo zitakuwa zimevurugika nakupotoshwa kabisa. Katika vita vyao vitukufu hivi wao watapitia Kirman na Multan, kupitia njia zamwambao watafika BasraError: Reference source not found na hapo baadaye watasonga mbele hadiKufaError: Reference source not found.

Kutasikika sauti toka mbinguni kuwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. amedhihiri. Sikuhiyo hiyo mchana kutasikika na sauti potofu ya uongo kama vile ilivyosikika hapo awali. Watu wengiwatapotoshwa kwa sauti hii ya pili, lakini watu wapatao 313 wataweza kumfikia Imam a.s. Kwa vyovyotevile na watakutana naye huko Al-KaabaError: Reference source not found, haya yatatokea alfajiri.

Jeshi la SufianiError: Reference source not found likielekea KaabaError: Reference source not foundlitateketea katika kudidimia kwa ardhi huko Beda. Watu wawili ndio wataponea chupuchupu katikagharika hii. Hapo Imam MahdiError: Reference source not found a.s. pamoja na watu wake wataelekeahuko SyriaError: Reference source not found na wataweza kumwangamiza Error: Reference source notfoundSufiani . Hadi wakati huo Mtume Issa a.s. atakuwa ameteremka duniani na ataungana na ImamMahdi a.s. na wote kwa pamoja katika vita vya SufianError: Reference source not foundi watawezakumuua huyo Sufiani. Error: Reference source not found

Imam MahdiError: Reference source not found a.s. hapo baadaye ataelekea KufaError: Referencesource not found. Huko Sayyid Hasan atampokea na kumpa heshima zote. Kiasi cha wanajeshi elfu nnewa Zaid wa jeshi la Hasan wataasi na watakataa kutii amri hiyo na hatimaye watauawa nao. Hapokutakuwa na kikao cha hali ya juu katika Msikiti wa Kufa.

Baada ya hapo Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ataelekea JerusalemError:Reference source not found na ataufanya mji huo uwe makao yake makuu. Kutokea hapo atawatumawajumbe na mabalozi duniani kote. Ulimwengu mzima utamkubalia na kumtii na kutakuwa na dini mojaduniani kote -ISLAM. DajjalError: Reference source not found atatokezea na ataleta maharibifu naataleta kila aina ya balaaError: Reference source not found duniani lakini naye atafyekwa katika kipindihicho.

Utawala wa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. utakuwapo kwa muda wa miaka sabinina dunia yetu itakuwa ni mahala pa salama, amani na wema. Dunia hii itaendelea kuwapo kwa kipindikirefu lakini kutatokea mabadiliko katika mwenendo wake. Maimamu Watukufu a.s. wote watakuja tenahumu duniani. Baada ya muda mrefu kabisa ndio kutafika kipindi cha Qayamat Kubra. Ahadi ya Allahswt itatekelezwa wakati huo. Hali halisi na vitisho vya QayamaError: Reference source not found siku yamwisho ya dunia imeelezwa vyema katika QuranError: Reference source not found Tukufu.

Katika vitabu vinginevyo vimeandika kuwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. atatawaladunia kwa muda wa miaka saba vile vile imeongezwa kuwa miaka kumi yetu ya hivi sasa itatokea kuwamwaka mmoja wakati huo wa Imam Mahdi a.s. (hivyo ni sawa na miaka sabini).

Ndugu Wa Mirza Na Maajabu Yao

Mtume s.a.w.w na Ahl-i-Bait a.s. wamesema kuwa tukio la Imam MahdiError: Reference source notfound a.s. halitatokea hadi hapo watokee watu sitini watakaodai kuwa wao ni Mitume. Msemo wa watuwatukufu hawa haiwezi kuwa uongo,maneno waliyozungumza hawa viongozi wetu Watukufu haiwezikamwe kuwa uongo na hivyo inamaanisha kuwa kutaendelea kutokezea kwa mitume wazushi. Hivyotujue idadi ya mitume wazushi wameshatokezea na bado wanaendelea kutokezea na hatima yao ipokaribuni.

Madai ya hawa wazushi haitadumu kwa muda mrefu na itapasuka kama mabaluni kwa sababu watu wazamani walikuwa na mapenzi sana na dini zao. Lakini siku hizi, watu wameiga mitindo na tabia za nchiza Magharibi hivyo wamekuwa na imani hafifu kabisa za dini zao, na zisizokuwa na msimamo kwasababu kila mpiga firimbi yake anapata wafuasi wake wasiojua mbele wala nyuma. Hivyo katika halikama hii ya imani kuwa dhaifu na kutokua elimu ya dini sawa sawa itasababisha kutokezea mitumekama hawa na miongoni mwa watu walioweza kufaidi hali hii ni Mirza wawili. Mzushi mmoja alikuwa nimtu kutoka IranError: Reference source not found. Dini aliyoianzisha yeye inaitwa dini ya Bahai. Error:Reference source not foundNa mzushi mwingine alikuwa ni Mhindi. Wafuasi wake wanajulikana kwa jinala KadianiError: Reference source not foundError: Reference source not found au Ahmadia.

Watu hao wawili walikuwa hodari sana katika mbinu zao. Madai yao ya ajabu imewapatia sifa nzurimiongoni mwa watu. Mirza Ali Muhammad Bab alijitangaza kwanza kuwa yeye ni Imam na baadayealidai kuwa yeye ni Mtume. Na baada ya kuona mbinu zake za upotofu zimeshika mizizi vizuri naameweza kuwahadaa watu kwa wingi alijitangaza kuwa yeye ni Mungu na alikitiyarisha kitabukinachoitwa Al-bayan.

Huyu mzushi wa IndiaError: Reference source not found alijitangaza kuwa yeye ni MahdiError:Reference source not found na baada ya kuendelea mbele alijiita yeye ni Mariamu (mama yake MtumeIssa a.s. ), akabadilika akawa Yesu -Masiha aliyeahidiwa. Watu hawa walikuwa ni waandishi wazushina madai yao yanaonekana wazi katika vitabu vyao. Wazushi hawa katika kuwapoteza watu na kuwazuzua watu wameweza kupata wafuasi wengi mno na hata leo wapo wanaowafuata. Haishangazi kila

mwenye kuonyesha maonyesho kuvutia watu. Hata kama watu watajua katika maonyesho hayo hakunaukweli wowote lakini wanakusanyika kuona. Watu hawajali kuwa wao wanapoteza muda wao, fedhazao, na hata mali zao hivyo watazamaji wanachoona kuwa wao wamestarehe inawatosha. Kikundi kamahicho kinapata misukumo na misaada ya serikali pia, na vile vile wanasiasa pia huwasaidia.

Kinachotushangaza sisi hapa ni mawazo yao na utafiti wao. Iwapo mtu atafanya utafiti wa undani zaidikuhusu watu hawa utaona watu hawa wametafsiri QuranError: Reference source not found na Hadithkwa mujibu wa matakwa yao. Na ajabu ni kwamba wafuasi wao ndio watu wanaotafsiri mapotofuhayo,mara nyingine madai na maelezo yao yame-shangaza mno kiasi kwamba yanastahili kicheko chafarasi.

Hapa chini ninawadondoshea kidogo juu ya maelezo yao: Ubashiri wa DajjalError: Reference source notfound ni mashuhuri na uliosahihi kabisa kiasi kwamba huyu mzushi wa Kihindi hakuweza kujikwepanayo. Amejaribu kutifua bongo lake na ameleta maelezo yafuatayo kuhusu Hadith tukufu ya Mtumes.a.w.w. Yeye amebainisha kuwa ubashiri wa DajjalError: Reference source not found umetimizwa kwakutokezea kwake yaani huyu Mirza wa KadianiError: Reference source not found alipokuja, ubashiri waDajjalError: Reference source not found umetimizwa tayari.

Watu hawakusita kumwuliza: “Je vipi" Naye alijibu: “Ni reli ya gari moshi. Kwa sababu gari moshi linajicho moja lenye mwanga mkubwa sana katikati ya uso wake mbele na ni taa kubwa sana. Kwa hakikavitabu vyao vimejaa vitu hivi na matabiri ya ajabu ajabu.

Kwa hakika hao wazushi wamesaidia sana kuonekana uhakika wa Hadith za Mtume s.a.w.w. Sifawalizojaribu kujibandika yamekwisha kubashiriwa na Maimamu Watukufu a.s. na wameelezea waziwazidalili na sifa kuhusu Imam MahdiError: Reference source not found a.s. hivyo kubadilisha uzushi wowoteule unaotokezea. Watu walishikwa na bung'aa kwa sababu ya wao kukosa elimu kwa mujibu wa madaiwaliyokuwa wameyafanya, hivyo sababu kubwa ya kukitayarisha kitabu hiki na kufanya uchunguzi wahali ya juu katika swala hili ni kazi moja kubwa ya kuwatanabahisha watu na kuwaelewesha watu nakuwaelimisha watu kuhusu kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na mambomengine yote yaliyoandikwa humu dhidi ya hawa wazushi watakaotokea.

Kuna Waislamu wengine wanaocharuka kiasi kwamba wanapinga imani ya Imam MahdiError: Referencesource not found a.s. Wao wanatoka nje ya Uislamu kwa kukataa imani ya Imam Mahdi a.s. kwa sababuvitabu na maandiko ya Masunni na Mashia yanaandika wazi wazi kuhusu kudhihiri kwa Imam Mahdi a.s.(kuhusu imani ya wanazuoni wa Ahli Sunna tafadhali soma sehemu ya pili ya kitabu hiki). KumwaminiMtume s.a.w.w kuwa anasema yote yaliyokweli na hakiError: Reference source not found ni amri yaMwislamu kukubali hivyo,na chochote atakachosema Mtume s.a.w.w kuhusu Imam MahdiError:Reference source not found a.s. ni kweli na inambidi kila Mwislamu aamini.

Allah swt anatuambia katika QuranError: Reference source not found tukufu"wanataka kuzima nuru ya Allah swt (ya Uislamu). Kwa vinywa vyao,na Allah swt atakamilisha nuru yake

ijapokuwa makafiri watachukiwa. (61: 9 ).

Wakati Wa Kudhihiri

Misemo ya Mtume s.a.w.w na Imam a.s. inatudhihirishia wazi kuwa mtu yeyote atakayejaribu kutuambiakuwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. atadhihiri wakati fulani basi huyo mtu nimwongo na mzushi.

Watu Watakaomfikia Imam A.S. Baada ya Kudhihiri

Imerikodiwa katika Ghayatul-Maram kwamba Abu Jaafer Muhammad ibn Jarar Tairi amechukuaudondozi huu kutoka Safina Fatima na hapo imetolewa kutoka misemo ya Abdullah Hasan Muhammadibn Harun ambaye ni katika mfululizo wa wapokezi mpaka kufikia Abu Basir, mfuasi mashuhuri wa ImamJaafer Sadiq a. s .

Abu Basir siku moja alimwuliza Imam Jaafer Sadiq a.s. "Niwe fidia yako ewe bwana wangu ! Je Imam Alia.s. alikuwa akijua majina ya wafuasi wa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ?"

Imam Jaafer Sadiq a.s. alimjibu: "Kwa kiapo cha Allah swt, yeye alijua vyema majina yao pamoja namajina ya wazazi wao, na majina ya familia zao, ukoo wao na pale wanapoishi. Vile vile alijua hali nadesturi ya kila mtu . Chochote alichojua Imam Ali a.s. ndicho alichojua Imam Hasan a.s. baada ya ImamHasan, Imam Husein, alipata elimu yote. Baada yake Imam Ali ibn Husein na baada yake Muhammadibn Ali, na mimi ninajua kila kitu kuhusu hao. "

Abu Basir aliuliza: “Ewe bwana wangu! Je ipo katika maandishi?" Imam alimjibu: “Naam imeandikwakatika kitabu cha moyo wetu na kamwe haichafuliki."

Abuu Basir alimwomba sana Imam a.s. amwambie majina hayo kwa hivyo Ijumaa iliyofuatia, Imam a.s.alimtajia majina kwa kumwambia: “Hawa watu watamfikia Imam a.s. mara baada ya kutokea sauti hukombinguni, nao watakusanyika huko MakkahError: Reference source not found. Watu hawa ni wachaMungu, shupavu na hodari kabisa. "

Abu Basir alikuwa ni mfuasi mkubwa wa Imam Jaafer Sadiq a.s. katika kitabu hiki nitajaribu kuwatafutiamajina ya makazi tu na katika baadhi ya hutuba majina yanapatikana lakini majina ya miji, kote ni sawakabisa. Wasomaji watakaokuwa na shauku ya kusoma zaidi wanaweza kusoma vitabu vingi mojawaponi (1). Bashar tul Islam na (2) Ghayatul Maram.

Hapa chini najaribu kuwaletea orodha ya miji na idadi ya watu watakaoonana na Imam MahdiError:Reference source not found a.s. huko MakkahError: Reference source not found mara tu baada yakutokezea sauti mbinguni:

Na. Jina la mji Idadi Na. Jina la Mji Idadi

Please review the html and text for this table. Ithas errors1 Isfahan 1 Sanaa2 Ahwaz 2 Saniani3 Astakhal 2 Tazimat4 Antapia 2 Tus5 Aswan 1 Taliqan6 Ela 2 Tabaristan7 Armenia 2 Tabaliya8 Alexandria 2 Tripoli9 Bagh 1 Akbir10 Basra 3 Aden11 Bahrain 5 Palestina12 Beirut 2 Farghand13 Babsanj 4 Qandhar14 Baalik 1 Qaryat15 Bada 1 67. 1816 Balorak /Balora 1 68. 417 Balkh 1 69. 218 Tirmiz 1 70. 219 Tarafa 2 71. 120 Tarmaza 1 72. 121 Allepo 4 73. 122 Haran 2 74. 123 Hairuzan 3 75. 324 Haiwan 1 76. 125 Harr 1 77. 1426 Halwan 2 78. 327 Hilla 2 79. 2228 Emessa 1 80. 429 Qalat 1 81. 230 Khatt 1 82. 231 Khaibar 1 83. 1232 Damascus 3 84. 133 Dailum 4 85. 134 Dajeel (Danil) 1 86. 835 Ray (Teheran) 7 87. 136 Ruqqa 3 88. 137 Raba 1 89. 838 Randa 1 90. 839 Rabat 1 91. 140 Sijistan 3 92. 341 Salima 5 93. 142 Sanjar 4 94. 1

43 Sindh (Pakistan) 3 95. 144 Sama Sata 1 96. 145 Sarandip 4 97. 146 Samar Qand 3 98. 1247 Samarra 2 99. 448 Samawa 1 100 149 Sarbih 1 101 1450 Salaat 1 102 751 SyriaError: Reference source not found 2 103 1152 Shiraz 1

Tanbihi:Antakiy:Hawa watu wawili watakuwa wakitokea sehemu mbali na hapo. Mmoja atakuwa ni bwana na mwingineatakuwa ni mfanyakazi wake. Wao watakuwa wakisafiri kupitia Antakiy wakati hiyo sauti itakaposikika.

Sarandip (Sri Lanka):Hawa watu watakuwa ni wafanyabiashara wa asili ya IranError: Reference source not found ambaowatakuwa wanazuru Ceylon kwa ajili ya biashara.

Qiryat:Hii ni ama jina la mahala ambalo linaelezea kijiji baina ya Mash-had na Qand-har.

QaliiqaHii ni Kurdistan,mahala baina ya IranError: Reference source not found na IraqError: Reference sourcenot found. Vile vile inawezekana kuwa ni sehemu nyingineyo.

Muliyan:Jina hili linapatikana katika riwaya moja. Mahala kwingine linapatikana kama ni Multan. Allamah HuseinAmir ameandika Multan katika kitabu chake Darul Majalis-us-Sina. Multan inavyo- onekana ndio jinasahihi la kutumika.

Harb ila SardiniaHawa ni Waislamu ambao wamekimbia kutoka nchi yao ya asili. Wakati wa kudhihiri kwa ImamMahdiError: Reference source not found a.s. wao watakuwa katika Sardania.

Harb Minal Balkh:Watu hawa watakuwa wamekimbia kutoka Balkh kwa sababu ya hofu ya wanaumeError: Referencesource not found wa ukoo wao. Wao wataitwa na Imam MahdiError: Reference source not found a.s.mara pale watakapofika sehemu fulani jina ambalo linapatikana katika Khutba.

Wakimbizi Waislamu Waroma:Hawa watu watakuwa ni watu wa sehemu nyingine lakini watakuwa wakiishi huko Roma (Ulaya) kamawakimbizi wa kisiasa.

Watu Wengine Watakaonan na Imam a.s.Katika baadhi ya Hadith, inapatikana kuwa Abdal sita wataungana na Imam a.s. Baadhi ya majina yaMawali (watu wa kikundi cha Maulai pia yamepatikana ) penginepo imeelezwa kuwa kiasi chawanawakeError: Reference source not found hamsini kutoka MakkahError: Reference source not foundwataungana na Imam a.s. kwa hakika idadi hii ndiyo sahihi ya watu watakaokutana na Imam hukoMakkah. Baadaye jeshi la Imam a.s. litaongezeka hadi watu elfu kumi. Kiasi cha majina mawili yaWahindi pia yanapatikana mmoja ni kutoka IndiaError: Reference source not found ya kusini namwingine ni kutoka India ya Kaskazini.

Majina kwa ujumla yanayopatikana katika vitabu mbali mbali yanazidi kiasi cha elfu moja. Katika kitabuhiki kidogo haitawezekana kuendelea kwa zaidi kwa sababu ya udogo wa kitabu hiki. Maimam wetuWatukufu a.s. wametupatia kila habari hata udogo wa kiasi gani wa kila somo au kila hoja. Ni kwasababu ya ujahili wetu na kutosoma kwetu ndiyo sisi tunabakia kuwa majahil na watu wanaopotoshwana matukio madogo madogo. Inshallah ijapo Allah swt atatujaalia tahfiqi mbeleni nitajaribu kuendelezamaudhui haya katika kitabu kinginecho, Inshallah.

Imam Ali A.S. Afafanua Kuhusu Watu 313

Wale Watakaoungana na Imam Mahdi A.S. Usiku Mmoja

Habari ifuatayo imepatikana katika kitabu cha Ghayatul Maram. Imam Ali ibn Abi Talib a.s. amesema:"Kutokezea kwa Sufiani Error: Reference source not foundataanza kuwamaliza watu wote wenye majinaya Muhammad, Ali, Fatima, Hasan, Husein, Jaafer, Musa, Zainab, Mariam, Sakina, Khadija, Rukia, n. k.Baada ya hapo atawatuma maaskari na majasusi wake kwenda katika miji mbali mbali na sehemutofauti tofauti kutekeleza kama hayo mauaji ya kikatili. Na hii hakuna sababu nyingine isipokuwa uaduiwake dhidi ya Ahlul Bait ya Mtume Mtukufu s.a.w.w Baada ya hapo yeye atakuja KufaError: Referencesource not found na ataanza kuua binadamu kama wanyama. Nakutoka hapo atakwenda Madina, naataanza kuua maulamaa na wazee kwa muda wa siku saba. Kutatayarishwa miti kwa ajili ya kunyongeawatu, na watu wengi wa MadinaError: Reference source not found watanyongwa na kuangamia hapo.

Mambo mengi yatatokea na SufianiError: Reference source not found ataghalibiwa na hofu ya maisha,kwa hivyo atakimbilia SyriaError: Reference source not found ambapo kule hatapata upinzani wowote.Na huko hatatulia ataanza tena ukatili wake na vitisho vya kila aina. Yeye atathibiti hata kupasuamatumbo ya wanawakeError: Reference source not found wenye mimba na kuyatoa matumbo nje. Nahakuna hata mmoja atakayethubutu kusema neno la kumpinga.

Uovu na ukandamizaji wake utazidi kiasi kwamba hata Malaika huko mbinguni watakuwa hawana raha.Na Allah swt atakuwa amekasirishwa mno na matendo yake maovu kama haya na atamwadhibu, nahapo ndipo atakapokuja kudhihiri Imam MahdiError: Reference source not found a.s.

Malaika JibrailError: Reference source not found atateremka Baitul Muqaddas na atasema: “Ukweli

umefika na Uongo umetoweka. "Uongo huwa ndiyo wenye kutoweka. (Sura Bani Israil, 17: 81)."Sikilizeni enyi watu wa ardhi ! Mahdi Error: Reference source not foundameteremka MakkahError:Reference source not found. Mtiini yeye na mumsaidie. ”

Wakati Imam a.s. alipofika hapa baadhi ya Maulamaa walisimama na kumwuliza: “Ewe Maula wetu,tunaomba utuelezee MahdiError: Reference source not found, tunahamu kubwa sana ya kumjua yeye.”Imam Ali a.s. alijibu: "Atakuwa na uso wenye nuru na utakaokuwa unang’aa kama mwezi. Yeye atadaihakiError: Reference source not found kutoka kwa makafiri. Jina lake litakuwa jina la Mtume s.a.w.wJina la baba yake litakuwa ni Hasan ibn Ali. Yeye ni kutokana na watoto wa Fatima a.s. na kizazi chaHusein a.s. Kwa hakika sisi ndio elimu halisi. Sisi ndio watu wa Allah swt, Sisi ndio kianzio cha matendona sisi ndio pazia baada ya pazia ya Allah swt, na sisi ni watu tulioongozwa na Allah swt na bora waviumbe vyote.”

Kutokezea kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. watu idadi sawa na idadi ya watu waBadr watakuwa karibu na Imam a.s. Wafuasi wake watakuwa na idadi sawa na idadi ya Mtume Taalut.Wao watakuwa ni idadi ya 313. Wao watakuwa na mioyo migumu kama chuma na hawatajali hata kamamilima itawazuia njia yao. Allah swt ameshakwisha kujaribu mioyo yao katika umoja, sauti zao zinasikikausiku wa giza wakimkumbuka Allah swt. Wao wanafunga mchana na wanasali usiku kucha. Nyoyo zaozimejaa mapenzi yetu na wako imara juu ya amri zetu. Mimi ninajua majina yao pamoja na majina yawazazi wao.

Kikundi cha watu kilisimama na kuuliza: “Ewe nduguye Mtume s.a.w.w ! Tafadhali sana tunaomba kujuamajina yao na sehemu watakazotoka, nyoyo zetu zinakuwa na shauku ya kusikiliza maneno yako. "

Imam Ali a.s. aliwajibu: “Sikilizeni, mtu wa kwanza atakuwa akitokea BasraError: Reference source notfound, na mtu wa mwisho atatokea Abdal .

Ifuatayo ni orodha kufuatana na mpangilio wa herufi za kiarabu

No Jina la mji au kabila Majina ya watu1 Assir Miqdad na Harun2 Armenia Ahmed na Husein3 Isfahan Yunus4 Iskandariya Hasan na Sayyid5 Afranj (Ulaya) Ali na Muhammad6 Basra Feali na Maharib7 Bur’a Yusuf, Dawud Abdullah8 Balkh Asdaqa9 Bilsat Warith10 Bahrain Amir, Jaafer, Nasir, Bukair11 Ballis Muhammad12 Baitul Muqaddas Bashir, Dawud, Imran

13 Baduu (MisriError: Referencesource not found) Ujlan, Darraj

14 Baduu - Aqil Subna, Thabit, Irban15 Baduu - No’man Omar16 Baduu - Shaban Nahrash17 Baduu - Quba Jabir18 Baduu - Kilab Qatar19 Algeria Maruz na Nuh20 Jiddah Ibrahim21 Jabal Kaam Abdullah , Obaidullah22 Dasra Ahmed na Hilal23 Dujail Muhammad24 Dina Shuayb25 Duuq Abdul Ghafur26 Hajar Musa na Abbas27 Hamdan Khaliq, Marik, Naufil, Harqil, Ibrahim28 Hirash Nahrush29 Hijr Abdul Quddus30 Wasat Aqil31 Zubaida Hasan, Mahamud, Fahad.

32 Zura (BaghdadError: Referencesource not found) Abdull Muttalib, Ahmed , Abdullah

33 Zahid Husein

34 Hijjar Homair, Nasir, Malik, Abdul Qayyum, Ali, Jahan, Yaglam, Taher,Thualab, na Kasir

35 Abysinia Ibrahim, Issa, Muhammad, Imran, Ahmed, Salam, Halla,Muhammad, na Ali.

36 Taef (Yaman) Hilal.37 Tuuka Wasail na Fadhil38 Teheran (Ray) Majma39 Tabriya Filaj40 Taif - Ali Sabir, na Zakariyya

41 Taliqan

Saleh, Jaafer, Muhammad, Yahya, Hud, Dawud, Jamil, Fadhil,Issa, Jabir, Khalid, Alwan, Abdullah ,Ayub, Salaib, Hamza,Abdul Aziz, Luqman, Saad, Fizzah, Mohjir, Abdun, AbdulRahman, Saleh na Ali

42 Yamama Tahir, Aqil (Yemen), Khabir, Hush, Malik, Kaab

43 Kushan Abdullah, Obaidullah, Ahmed, Shaban, Amir, Hammad, Fahad,Josh, Kulthum, Jabir, Muhammad.

44 Kinda Ibrahim45 Kirman Abdullah, Muhammad46 Kufa Muhammad, Hud, Ghiyas Obaba (Karbala) Hasan na Husein

47 Karkh (BaghdadError: Referencesource not found) Qasim

48 Lawiha Kausar

49 Maajama Muhammad, Umar, Malik (Maada), Suwaid, Ahmad,Muhammad, Hasan, Yaqub, Abdullah.

50 Mansuriya Abdul-Rahman na Abdullah51 Makkah Ibrahim, Muhammad, Abdullah

52 Madina Ali, Jaafer, Hamza, Abbas, Tahir, Hasan, Husein, Qasim,Ibrahim, Muhammad.

53 Maragha Asdaqa

54 Mosul Harun, Fahd55 Nishapur Ali na Muhajir56 Nasibain Ahmad, Ali (Najaf) Jaafer, na Mohamad57 Najd Marwan, Saad58 Sind Abdul Rahman59 Sudawa Ahmed, Yahya na Falah60 Samarqand Ali, Majid, Omar, Yunus, Muammar61 Samarrah Moradi na Amir62 Sailan Nuh, Hasan na Jaafer63 Sanjar Zibyan na Ali64 Sarkhas Hasaf na Nafia65 Salmas Harun66 Samadha Zohaib, Shuayb na Saadan67 Afar Ghaffar na Ahmad68 Abuuqin Abdus-Salaam, Faras, Kulaib69 Oman Muhammad70 Saleh Dawud, Hawail, Kausar, Yunus.71 Aden Aun na Musa

72 MakkahError: Reference sourcenot found Mukarram

73 Asqalan Muhammad, Yusuf, Umar, Fahd, na Harun.74 Anbarah Omair.75 Arfa Faikh.

76 Abedan Hamza, Shaiban, Amir, Hammad, Fahd, Hanjrash, Kulthum,Jabir, Muhamad

77 Sanaa Husein, Jobair, Hamza, na Yahya78 Sar Nusair79 Saula Muhassar.80 Saad Ali na Saleh81 Saraf Khalifa82 Qandhar Ibrahim na Ahmed83 Qarina Malik.84 Qarquf Shuayb, Bashir

85 Qazwin Harun, Abdullah, Jaafar, Saleh, Omar, Lais, Ali, Muhammd,Shalakh, Hasan

86 Qum Yaaqub.87 Qadsiyyah Hafidh .88 Raqantat Fir’aun, Ahmed, Abdus-Samad,Yunus na Tahir89 Qadim Bahrut na Talut .90 Rabat Jaafer.91 Shiraz Abdul Wahab.92 Sherwan Abdullah, Saleh, Jaafar na Ibrahim93 Shaqa Harun na Miqdad.94 Shush Shaiban na Abdul-Wahab.95 As Shahim Jaafer.96 Khurasan Nakba na Shuut.97 Khat Ambriz na Mark.98 Saghaira Malik na Yahya.99 Al-Faidh Alam na Suhail.

Hapa ninajaribu kuwapatieni maelezo juu ya habari za miji au makabila yaliyotajwa hapo juu kwanimajina mengi yamebadilika na kuingia katika mipaka mingine.

No Jina la Mji Maelezo1. Armenia Ni sehemu kubwa sana

2. Iskandariyya Kwa sasa imegawanyika katika Jamhuri ya Kiislam ya IranError: Reference sourcenot found na Uturuki.

3 Afranj Haijulikani kama ipo huko Ulaya au Ufaransa

4 Abna’ Ipo mipakani mwa IraqError: Reference source not found na SyriaError: Referencesource not found, sikuhizi hujulikana kama Rutbah.

5 Al Natakiyyah Ni mji mojawapo huko Syria6 Adal Ni jina la zamani la Bahrain7 Aus Ni jina maarufu la kabila la Kiarabu

8 Balis Ni jina la mji mmojawapo huko SyriaError: Reference source not found, kwa sasalinajulikana kama Maskinah.

9 Bur’a Kitongoji huko Taif.10 Balkh Mji maarufu huko Afghanistan.11 Balsat Kijitongoji kimojawapo huko Askandariyyah.12 Balqa’ Mji huko Jordan.13 Muhjam Mji huko YemenError: Reference source not found.

14 Nasibain Ni jina la mji katika nchi za IraqError: Reference source not found na SyriaError:Reference source not found.

15 Nuba Ni jina la sehemu huko Sudan na MisriError: Reference source not found.16 Najar Ni jina la kitongoji huko Bahrain, YemenError: Reference source not found na Najd.

17 Hamdan Ni mji katika Jamhuri ya Kiislam ya IranError: Reference source not found naYemenError: Reference source not found. Pia ni jina la kabila moja.

18 Sunain Ni jina la mji wa Jabal Amil.

19 Dast Jina la mji huko IraqError: Reference source not found,YemenError: Referencesource not found,SyriaError: Reference source not found na Afghanistan.

20 Yamamah Jina la mji huko Arabia, siku hizi linajulikana kama Aridh.21 Abdal Ma-Awliya’ wa Allah swt.

22 Baidha’ Mji katika IranError: Reference source not found, Algeria, Libya YemenError:Reference source not found ya Kusini.

23 Tamim Kabila la Kiarabu.24 Tistar Jina la mji wa Khuzistan. Jina la asili ni Shustar25 Tughayyin Dola ya Georgia.26 Thaqib Kitongoji huko Yamamah27 Kohi Alkam Katika Antakiyyah, inasemwa kuwa ni mlima.28 Ju’arah Ni mji huko IraqError: Reference source not found karibu na mji wa Najaf-i-Ashraf.29 Habsha’ Katika Pembe ya Afrika, nchi hiyo kwa sasa inajulikana kama Ethiopia.30 Jamiir Jina la kabila huko YemenError: Reference source not found.31 Khullat Sehemu moja kubwa sana huko Arabia.32 Khunj Mji huko IranError: Reference source not found Kaskazini.33 Dhihab Mji karibu na Khorasan (Mash-had ya siku hizi).34 Ramlah Mji mashuhuri huko PalestinaError: Reference source not found.35 Wahat Mji wa nyongeza huko Arabia.

36 Zura’ Jina la mahala ilipo BaghdadError: Reference source not found ya siku hizi. Zamaniilikuwa ikijulikana hivyo.

37 Zaid Mji huko SyriaError: Reference source not found.

38 Yasjar Mji ulipo huko Urusi.39 Sarkhas Mji karibu na Mash-had.40 Suhan Mji karibu na Takrit huko IraqError: Reference source not found.

41 Sanjad Mji huko IraqError: Reference source not found na SyriaError: Reference source notfound.

42 Sindh Huko Pakistan.43 Susan Mji katika Maghreb na IranError: Reference source not found.44 Siraf Mji katika IranError: Reference source not found.45 Ceylon Kisiwa katika Bahari Hindi ( Indian Ocean).46 Shizar Mji huko SyriaError: Reference source not found.47 Dhaif Mji katika Najd.48 Taliqan Mji katika IranError: Reference source not found huko Qazwin na Afghanistan49 Tabriyah Ipo huko PalestinaError: Reference source not found.50 Arafa’ Makazi huko MakkahError: Reference source not found.51 Asqalan Mji katika Afghanistan na PalestinaError: Reference source not found.52 Askar Mukarram Mji huko Jamhuri ya Kiislam ya IranError: Reference source not found.

53 Aqar Mji katika PalestinaError: Reference source not found na jina la vitongoji vinne hukoIraqError: Reference source not found.

54 Aska Mji huko PalestinaError: Reference source not found.55 Umarah Mji katika IraqError: Reference source not found.56 Anizah Jina la kabila na mji huko Najd.57 Fistat mji huko MisriError: Reference source not found.58 Qashan Mji huko IranError: Reference source not found.59 Qadsiyyah Mji huko IraqError: Reference source not found.60 Qazrun Mji huko Jamhuri ya Kiislamu ya Iran61 Kabash Mji huko IraqError: Reference source not found.62 Karkh Kitongoji cha BaghdadError: Reference source not found.

63 Kard katika IranError: Reference source not found na jina la kabila huko Iran na Iraq MjiError: Reference source not found

64 Kurah Mji huko Lebanon.65 Muragha Mji huko IranError: Reference source not found.66 Marw Mji katika IranError: Reference source not found na Urusi67 Mu’azah Mji katika YemenError: Reference source not found.

Watu watatu ni katika wafanyakazi wa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. nao niAbdullah, Hanif na Akbar. Na katika watumwa wa Mtume s.a.w.w ni Sabbah, Sobaih, Maimun na Hud.

Wafuatao ni wafalme: Nasih na Abdullah.

Watakuwepo watu sita majina yao ambayo yatakuwa ni Abdullah. Hawa watu wote watakusanyikapamoja na Imam MahdiError: Reference source not found a.s. kuanzia alfajiri mpaka magharibi. 3

Majina Ya Wafuasi Wa Imam Mahdi A.S. Kwa Mujibu Wa ImamJaafer Sadiq A. S .

Imam Jaafer Sadiq a.s. alimwambia Abu Basir hawa watu ndio watakaokuwa wafuasi wa Imam

MahdiError: Reference source not found a.s. wao watamfikia MakkahError: Reference source not found.Wao watakuwa watu wenye nyoyo safi, wacha Mungu, waaminifu na moyo wa kujitolea.

Hapa ifuatayo ni orodha ya majina yao pamoja na majina ya baba zao na nchi zao za asili. Habari zaozinaweza kupatikana katika kitabu cha Ghayatul Maram na Basharatu Islam.Na. Jina la mji Jina la mtu

1. Ahwaz Hamad ibn Jamhur, Issa ibn Tamam, Jaafer ibn Saed2. Istakhar Al-Muwakkil ibn Ubaidullah, na Hisham ibn Fadhail.3. Antakiyyah Musa ibn Auf, Suleyman ibn Hara pamoja na mtumwa wake wa Kiroma.4. Eila Yahya ibn Budaail, Hawasha ibn Al-Fadhl.5. Bagha Saleh ibn Harun, Sarhil al Saadi6. Balis Ibn Safar, Ahmed ibn Muslim, Ali ibn Maad.7. Basra Abdul Rahman ibn Atef, Ahmed Malih, Hammad ibn Jaber.

8. Bab Sakh Zabir ibn Umar (atakuwa mashuhuri kama Aslah), Talha ibn Talha, Hasan ibnHasan, Imran ibn Umar ibn Hashim.

9. Ba’al bak Anzal ibn Imran10. Buda \Bala Ibn Aueda.11. Ba’almurak Ausaf ibn Saed,Ahmed ibn Hamid12 Bab-ulAbwab Jaafar ibn Abdul Rahman.13. Balkh Error: Reference source not foundNaradas ibn Muhammad.

14. BaruraZaid ibn Abdul Rahman, Abbas ibn Fadhl,Suhaiq ibn Salaman al-Khayyat,Ali ibnKhalid, Salam ibn Salim,Mahbub ibn Abdul Rahman,Hadir ibn Rustam, Harb ibnSaleh,Ammar ibn Muammir.

15. Tawi Laqit ibn Farat

16. Jurjan Ahmed ibn Harqil, Zarara ibn Jaafer,Al Husain ibn Ali, Hamid ibn Nafe’, Muhammadibn Khalid, Alan ibn Hamid, Ibrahim ibn Ishaq,Ali ibn Alqama, Salman ibn Kurduya.

17. Alleppo Yunus ibn Yusuf, Hamidullah Qais,Wasim ibn Mudrik,Saleh ibn Maimun,MahdiError:Reference source not found ibn Hind.

18. Haran Zakariyyah al-Saadi.19. Hawazan Kurd ibn Hanif, Asim ibn Khalil al Khayyat, Zaid ibn Durain.20. Hulwan Ma’un ibn Kathir, Ibrahim ibn Muhammad.

21. China Error: Reference source not foundShahid ibn Chin Hua, Bokair ibn Abdullah ibnAbdul Wahid.

22. Qalat Wahab ibn Harnid.23. Khaybar Suleyman ibn Dawud.24. Damascus Nuh ibn Jurair, Shuayb ibn Musa, Rahjar ibn Abdullah Al-Farawi.25. Dumyat Ali ibn Zaida

26. Teheran Israil ibn Qahtan, Ali ibn Jaafar, Uthman ibn Ali, Muskan ibn Jabal, Kurd ibnShaiban, Hamadan ibn Kurd, Suleyman ibn Dailami.

27. Rabi’a Aziz ibn Asim, Malih ibn Sa’ad28. Ruqqa Ahmed ibn Salman, Naufil ibn Umar, Ash-ash ibn Malik29. Ruba Kamil ibn Ozair.30. Rabza Hammad ibn Muhammad31. Sijistan Al Khalil ibn Nasr, Turki ibn Shaiba, Ibrahim ibn Ali.32. Salima Alqama ibn Ibrahim.33. Sanjar Abdullah ibn Zuraik, Shaham ibn Qatar, Hibatullah Arbaq, Hinbal ibn Kamil34. Sindh Shabal ibn Abbas ibn Muhammad, Nasar ibn Mansur.35. Samsat Musa ibn Zarqan

36. Sarandip Jaafer ibn Zakariyya, Daniyal ibn Dawud

37. SunderHud ibn Tarkhan, Saed ibn Ali, Sha ibn Barzakh, (mpanda farasi hatakaye onekanajuu ya farasi wake) Mundhir ibn Zaid, Hur ibn Sabah, Yusuf ibn Hurma na Ibrahim(mchinjaji huko Subkan).

38. Sana’ Fayyaz ibn Zurad, Maisara ibn Mundhir.

39. Saliqan Ahmed ibn Umar al-Khayyat Ali ibn Abdus Samad (mfanya biashara), Khalid ibnSaid.

40. Zinad Bandar ibn Ahmed Subka (msafiri).41. Taif Abdullah ibn Said.

42. TusShahur ibn Himran, Musa ibn MahdiError: Reference source not found, Suleymanibn Taliq ibnul Wad (ambaye amezikwa karibu na Kaburi la Imam Ridha a.s. ), Aliibn us Sindi Sairafi.

43. Taliqan

Ibn Radhial Jubelli, Abdullah ibn Umar, Ibrahim ibn Umar, Suhail ibn Muhammad,Muhammad ibn Jamhur, Jamil ibn Amir, Khalid na Kasir ( wafanyakazi wa Juraid),Abdullah ibn Farat, Fazarah ibn Bahram, Maadh ibn Salam, Khulaid al-Tammar,Hamid ibn Ibrahim Jamiut-ul-Quraa, Aziz ibn Afsar, Hamza ibn Abbas, Kain ibnJalbad al Zaia, Alqama ibn Mudrak, Maharwan ibn Khalil, Zahur (mwana wamfanyakazi wa Ibn Ibrahim), Jamhur ibnul Husain, Ryash ibn Sa’ad.

44. Tabariyya Hushad ibn Kardum, Bahram ibn Ali, Al-Abbas ibn Hadsam, Abdullah ibn Yahya.45. At Tai Al-Hubab ibn Sa’ad, Saleh ibn Taufur46. Akbira Zaid ibn Huba.47. Ghariyat Sahuya ibn Hamza, Ali ibn Kulthum48. Palestina Suwaid ibn Yahya49. Filzim Ar Rihya ibn Umar, Saib ibn Abdullah

50. QumGhassan ibn Muhammad, Ali ibn Ahmed, Naim ibn Ya’qub, Imran ibn Khalid, Subailibn Ali, Abdul Adhim ibn Abdullah, Maska ibn Muslim, Hus ibn Ahmed, Yalil ibnMalik, Musa ibn Imran, Abbas ibn Zafar, Al Harith ibn Bashir, Marwan ibn Ulaba ibnJuzhuz (atakuwa mtu anayejulikana sana), Safar ibn Ishaq, Kamil ibn Hisham.

51. Qissat Nasar ibn Hawash, Ali ibn Musa, Ibrahim ibn Siffin, Yahya ibn Naim.52. Qarya Al Haditha.53. Qairwan Ali ibn Musa, Atira ibn Qartaba54. Qas Muhammad ibn Muhammad, Ali ibn Hamuya.55. Qumas Rabab ibn Jalda, Jalil ibn Sayyid56. Qandail Umar ibn Rarda57. Korea Hanuz ibn Hazwan

58. Kufa

Error: Reference source not foundRabia ibn Ali, Tamim ibn Ilyas, Asar ibn Issa,Matraf ibn Umar, Harun ibn Saleh, Waqa ibn Sa’ad, Muhammad ibn Dawwaha, Huribn Abdullah, Aurtul Aam, Khalid ibn Abdul Quddus, Ibrahim ibn Masud Ibn Saad,Ahmed ibn Rayhan, Gharas al Aawani.

59. Karbala60. Madina Hamza ibn Tahir, Sharjil ibn Jamil61. Marwaid Jaafar, Insha, Ad-Daqaia, Joz (mfanyakazi wa Husaid).

62. MarwNabdar ibn Khalil Attar, Muhammad ibn Umar Saidani, Gharib ibn Ubaidullah(mfanyakazi wa Qahtaba), Saad (Mroma), Saleh ibn Dajal. Maad ibn Hani, Kros alAzadi, Udhem ibn Jabir, Tashif ibn Ali, Faran ibn Zaid, Javir ibn Ali, Husbah ibnJurair.

63. Musal Suleyman ibn Sabih64. Qalik Kurdwin ibn Jabir.

65. MadainError: Reference source not foundMuhammad na Ahmed ibn Mandhar (watu wawiliwema ni ndugu), Maimun ibn Harath, Maad ibn Ali, Al Hasan ibn Said, Zuhair ibnTaba, Nasar ibn Mansur.

66. Mulbar Haidar ibn Ibrahim.

67. Maw-ud Majma ibn Jamhur, Shahid na Shaabbar ibn Bandar, Dawud ibn Jurair, Khalid ibnIssa, Zaid ibn Saleh, Musa ibn Adrud ibn Kurd.

68. NishapurSaman ibn Khazir, Abu Lubaba ibn Mudrik, Ibrahim ibn Yusuf, Malik ibn Harb, Zarduibn Sokan,Yahya ibn Khalid, Maadh ibn Jibrail, Ahmed ibn Umar, Issa ibn Musa as-Sawaq, Yazid ibn Daulat, Muhammad ibn Hammad, Jaafar ibn Tufan, Alan Mahuba,Abu Maryam, Umar ibn Umair, Yalil ibn Wahab.

69. Nasibain Dawud ibn Mahbur, Hamid Sahib al Bawari

70. Naqalbas Muhammad ibn Zaid, Hani al Ataridi, Jawad ibn Badr, Salim ibn Wahsad, Fadhl ibnUmair.

71. Lukanuba Abdullah ibn Muhammad72. Nil Shakir ibn Ubda73. Wadi-ulQura Al Hur ibn Razzaq

74. HiratSaid ibn Uthman, Akbar ibn Abdullah (Atakuwa akijulikana kama Ghulam Kindi)Saban al Qassab, Harun ibn Imran, Saleh ibn Jurair, Almark ibn Muammar, UbaidulAli ibn Ibrahim, Nazal ibn Hazam, Saleh ibn Haithami, Adam ibn Ali, Khalid al-Qawas.

75. Hamdan Harun ibn Imran, Taifur ibn Muhammad, Aban ibn Muhammad, Itab ibn Malik.

76. As-habi Kahaf

(Watu saba) Kamsalina na wenzake, mfanyabiashara kutoka Antaqiyya, Musa ibnAuf, Suleyman ibn Hamd na mfanyakazi wake wa Kiroma, watu kumi na moja,Mohib ibn Abbas, Faafar ibn Jalal, Zarar ibn Sai, Hamid al Quddus, Malik ibnKhulaid, Bukair ibn Hur, Habib ibn Hannan, Jabir ibn SufianiError: Reference sourcenot found.

77. Badhi ya watu kutoka Shiraz na waasi Sardania, Sanjar, Abdus Samad Qabaili nabaadhi ya Nasibi. Wote kwa pamoja watakuwa ni watu mia tatu na kumi na tatu.

Tanbihi: Majina ya miji hiyo yote ni katika Kiarabu cha asilia na kwa mujibu wa Jiografia ya wakati huo.Na kwa hivi sasa miji mipya imechomoza na mipaka ya miji na nchi imebadilika yaani ni tofauti namipaka ya miji na nchi ilivyokuwa kati ya zama za Mtume s.a.w.w na Maimam a.s. Ili kutosheka na kiuhiki cha utafiti, itambidi msomaji ajaribu kuchunguza majina ya kale katika vitabu na habari za kale, hiyoni kazi ya msomaji. (hata hivyo nimejaribu kutafuta majina hayo na kuyaelezea katika footnotes za hapoawali).

Kuonana Na Imam Katika Kipindi Cha Ghaibat

Sisi tumewahi kuona katika nyakati za mvuaError: Reference source not found kuwa jua huwa linakuwalimejificha nyuma ya mawingu ambavyo macho yetu hayawezi kuona na jambo hili halituthibitishii kuwajua halipo, jua lipo lakini limejificha, lakini inatuthibitishia faida yake kama kawaida. Kama jua baada yakujificha halitatimiza wajibu wake, basi utaratibu wake wote wa kiulimwengu utaharibika na kutatokeamaafaError: Reference source not found makubwa sana. Kwa hivyo akili yetu inatuambia kuwa jua lipona linafanyakazi yake inavyolipasa.

Vivyo hivyo kwa amri ya Allah swt mwokozi wetu Imam MahdiError: Reference source not found a.s.naye pia yupo haonekani machoni mwetu kwa kudura za Allah swt, na hivyo kutokuwapo kwa Imammbele ya macho yetu ambayo yana pazia hakumaanishi kuwa Imam hayupo ulimwenguni yeye yupo naanawafaidisha wanadamu wote kwa pamoja.

Kunaweza kutolewa hoja nyingi sana kuthibitisha kuwapo kwa Imam a.s., lakini kitabu hiki kidogo sanahakiniruhusu kuzungumzia kwa undani zaidi hoja hizi, hata hivyo kwa mujibu wa riwaya, vitabu nahadithi tumeweza kuona Imam a.s. yupo, kwani katika sehemu ya pili ya kitabu hiki kuna surainazungumzia uthibitisho wa kuwapo kwa Imam Mahdi a.s. kwa mujibu wa Wanazuoni wa AhliSunnah kwa hiyo msomaji akisoma sura hiyo ataelewa zaidi kuwa Imam Mahdi a.s. yupo.

Nina imani kamili kuwa Imam a.s. yupo hapa isipokuwa sisi hatuna uwezo hatujakamilika kumwonayeye. Hivyo inatubidi sisi tujirekebishe na tuwe wacha Mungu zaidi na tuwe watu safi nyoyo zetu ziwesafi ili kutaka kumwona Imam MahdiError: Reference source not found a.s.

Na hapo baadaye tujidhatiti vyema katika kufuata muongozo uliotolewa na Imam a.s. katika njia ya Allahswt. Inshallah, tutafanikiwa lazima kuonana na Imam wetu huyu wa zama hizi. Inawezekana kuwa sisitusielewe kuwa sisi tumeonana na nani, na hapo baadaye tukaja kuhisi kuwa si mtu mwinginetuliyeonana naye ila Imam Mahdi a.s. Na wanazuoni wameandika habari nyingi sana kuhusu kuonanana Imam Mahdi a.s. vitabu katika lugha nyingi vinapatikana kuzungumzia kuonana na Imam Mahdi a.s.

Hapa chini kuna miongozo ifuatayo michache iliyotolewa na Maimam a.s. ili kujitakasisha hatimayetuweze kuonana na Imam MahdiError: Reference source not found a.s.:

1. Inambidi mtu apitishe usiku 40 za alhamisi katika Msikiti wa KufaError: Reference source not foundbila ya kutokea pengo katikati au apitishe usiku 40 za Jumatano katika Masjidi Sahar bila ya kukosa.Anatakiwa awe makini katika Ibada na kusoma dua na awe na nia halisi na safi ya kuonana na ImamMahdiError: Reference source not found a.s.

2. Mtu asome Dua a-i ahad kila alfajiri. Kwa uhakika mtu ataonana na Imam MahdiError: Referencesource not found a.s. katika uhai wake iwapo nafasi itaturuhusu tutaweza kuichapa dua hii hapomwishoni hata hivyo dua hii inapatika katika Mafatihul Jinan.

3. Mtu yeyote atakayekuwa anafanya Aamal za Ashura kila siku basi lazima ataonana na ImamMahdiError: Reference source not found a.s. kabla ya kifo chake.

Vile vile kuna Aamal na dua nyingi katika vitabu vingi sana. Vile vile vitabu vingi sana vinatoa miongozonamna ya kufanya ili mtu aweze kukutana na Imam MahdiError: Reference source not found a.s.

Mukhtasari Wa Dalili

1. BaghdadError: Reference source not found itateketezwa kabisa.

2. BasraError: Reference source not found itazama.

3. Waarabu watatawaliwa na mfalme wa ukoo mmoja tu kwa nguvu.

4. Msikiti wa Borasa (baina ya Baghdad na Kazmain) utadhoofika.

5. Kutakuwa na nchi nyingi za Kiislamu na kutakuwa na soko la kawaida

6. Qum itakuwa ni kitovu cha mafunzo ya Kiislamu, kitakuwa ni kituo kipya kuliko kile cha Najaf(IraqError: Reference source not found). Na hapo ndipo kutakuwa kukitolewa ahkamu za dini.

7. Kutakuwapo na reli kupitia katika nchi za Kiislamu.

8. Azarbaijan itakumbwa na vita

9. Wanawake watakosa heshima kabisa.

10. Duniani kote kutaenea sheria za kidemokrasia.

11. Kutakithiri kizazi cha wanaharamu.

12. Kutakithiri riba na rushwa

13. Kuzaliwa kwa wanawake waovu katika familia nzuri.

14. Watu wenye hali ya chini wataweza kujenga majumba makubwa.

15. Watu wema na waaminifu watakuwa wakiomba mauti ili waepukane na maudhi wanayoyapata.

16. Watoto na majahili watapanda juu ya Mimbar, na watajulikana kama khatib.

17. Wanazuoni watajiingiza katika mambo ya dunia.

18. Madhumuni ya kutafuta Elimu itakuwa ni kutaka kutafuta pesa.

19. Badala ya kusalimiana matusi ndiyo yatakayo kuwa yakitumika watu watakapokuwa wakikutana.

20. Watu watatoka katika dini zao kwa sababu ya ulafi wa vitu.

21. Dini ya Kiislamu itakuwa dhaifu

22. Mambo ya kuingiliana yatakuwa yakifanyika kidhahiri kama vile wafanyavyo wanyama.

23. Wanawake watasuka nywele zao kama nundu za ngamia.

24. Kupatwa kwa mwezi na jua na mitetemeko vitatokea Mashariki na Magharibi na baadaye katika Barala Arabia

25. Kutakuwa na ongezeko katika kuzaliwa watoto wa kike.

26. UlawitiError: Reference source not found na pombeError: Reference source not found vitakuwa nivitu vya kawaida.

27. Mitetemeko ya kila mara itaongezeka

28. Wanawake watakuwa na taasisi zao.

29. Wanawake watafanya kazi pamoja na wanaumme katika kutafuta maisha yao.

30. Usafiri utakuwa wa haraka sana.

31. Kutakuwa na muongezeko wa ajali za njiani.

32. Mavazi yatakuwa mafupi

33. Mwanamme na Mwanamke watajaribu kuonana sawa kijinsia

34. Kutakuwa na ndoa za kuoa jinsia yake yaani mwanamme atamuoa mwanamme mwenzake namwanamke atamuoa mwanamke mwenzake (na mambo haya hasa yanatokea katika nchi za Ulaya).

35. Wakazi wa KufaError: Reference source not found na Najaf watakuwa wamekaribiana sana

36. Wakazi wa MakkahError: Reference source not found na MadinaError: Reference source not foundwataongezeka.

37. Hijab itakuwa imepotea (hijab, baibui)

38. Maji yataanza kujaa katika ziwa Sawa.

39. Kutakuwapo na nyotaError: Reference source not found yenye mkia karibu na Capricorn

40. Watu wengi sana watakufa kwa sababu ya kuenea kwa vita

41. MisikitiError: Reference source not found na QuranError: Reference source not found itarembeshwakwa dhahabu

42. Kutatokea na motoError: Reference source not found mkubwa sana katika mashariki na utaendeleakuwaka kwa siku saba. Na moto huo utatia khofu kubwa sana kwa mioyo ya watu

43. Kutakusanyika benderaError: Reference source not found tofauti tofauti huko Kufa na kusababishamifarakano mikubwa.

44. Utawala wa Kifalme utakwisha huko IranError: Reference source not found

45. Kutatokea na mivurugo katika nchi za Kiaarabu. Kila nyumba ya mwarabu na nchi zote za Kiislamuzitahusishwa humo.

46. Kukosa Imani kutaenea kote.

47. Waislamu wataiga tamaduni na mila za maadui zao.

48. Vifo vya ajali vitaongezeka.

49. Ala za muziki zitaenea kiasi kwamba hakutakuwa na mtu hata mmoja atakayesalimika kwa sautizao.

50. Watu wataanza kukataa kuwapo kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s.

51. Kutaonekana sura katika jua, na sauti zao zitasikika duniani kote

52. Mwanadamu atafika mwezini.

53. SufianiError: Reference source not found atatokezea na kueneza utawala wake wa vitisho.

54. Sayyed Hassan atatokezea huko Iran. Na yeye atafika Multan kwa kupitia Kirman huku akitekasehemu zote. Yeye atamfikia Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na kujisalimisha mbeleyake.

55. Kutatokezea wazushi wa mtume sitini.

56. Mtume Issa a.s. atateremka kutoka mbinguni.

57. maafaError: Reference source not found, magonjwa ya kuambukiza na ukame utaenea kote.

58. Nafsi ibn Zakia atauawa katika al- Khaaba (mtu mcha Mungu atauawa katika al-KaabaError:Reference source not found)

59. Jua litachomoza kutoka Magharibi kwa siku moja.

60. WarusiError: Reference source not found wataingia Bara la Arabia na watu weupe wataingia Bara laPalestina. Nao baadaye watapambana.

61. WachinaError: Reference source not found wataingia Bara la Arabia na kusababisha maangamio namaafaError: Reference source not found ambayo yatakuwa ni mambo ya kawaida.

62. Baadhi ya miji itateketezwa kwa sababu ya maafa na misukosuko.

63. Sauti ya kutisha itasikika kutoka mbinguni

64. Kutokezea kwa DajjalError: Reference source not found

65. Moto na moshi itakuwa kawaida duniani.

66. Mvua zitatokezea pasipo na misimu yake

67. Kuongezeka kwa joto katika anga za juu.

68. Kulipuka kwa motoError: Reference source not found mkubwa katika AdenError: Reference sourcenot found

69. Baadhi ya makundi ya wanaume yatakuwa yamegeuka maumbo.

70. Kutatokea na mabadiliko ya ajabu katika sayari ya Capricorn

71. Mkuu wa Dola ya MisriError: Reference source not found atauawa.

72. Kutakuwapo na mvua ya mfululizo kwa muda wa siku ishirini na nne

73. . Dunia nzima itakuwa imejaa michafuko, maafa na maangamizo n. k.

Hali Ya Wairaqi Na Vikwazo Vya Hija.

Amesema Imam Jaafer Sadiq a.s. :-“Ripoti ifuatayo yenye kuaminika imetolewa kutoka Majalis Tusi. Humo Sudir Sairafi anaripotiwa kwakusema: “Mimi nilikuwapo mbele ya Imam Jaafer Sadiq a.s., kulikuwapo na kikundi cha Wakufi. NaImam a.s. aliwaambia watu kutoka KufaError: Reference source not found. “Timizeni amri za Hijja kablahamjakosa fursa hiyo, timizeni wajibu wenu wa HijjaError: Reference source not found kabla Barjaniyahajawazuia, fanyeni hivyo kabla ya kubomolewa kwa MisikitiError: Reference source not found baina yaNaharwan na Naklistan. Fanyeni HijjaError: Reference source not found kabla mti huko Zurahaujang’olewa ambapo Mariamu alipata Mitende iliyoiva. Baada ya hapo nyinyi hamtaweza kutimizaHijja kwa sababu ya kukosa uwezo wenu. ”

Haya yatatokea baada ya mazao yenu kuharibika na kuenea kwa hali mbaya kabisa kote. Dunia nzimaitaathirika kimapato. Watawala watakuwa waovu. Nyinyi nyote mtaathirika na kwa hali ngumu yamaisha, magonjwa hatari na vile vile uchokozi wa watawala. Kila aina ya misukosuko ya dunia nzimaitawakumba nyinyi. Enyi watu wa IraqError: Reference source not found ninawasikitikia mno palebenderaError: Reference source not found kutoka Khurasan zitakapokuja kwenu. Teheran itasikitika kwasababu ya kuingiliwa na WarusiError: Reference source not found na IraqError: Reference source notfound itapata misukosuko kwa sababu watu wa Teheran na maafaError: Reference source not foundmengi yatakuja kutoka Shatt.

Sudair aliuliza: “Ewe bwana wangu nini hiyo Shatt. ”

Imam a.s. alimjibu: “Hayo ni jumuia. Masikio yao yatakuwa mafupi na watakuwa kama vyuma.Watakuwa na macho na ndevu zilizo tofauti, maneno yao ni ya kisheitani namwomba Allah swtaniepushe na michafuko yao. Hapo ndipo Allah swt ataisaidia Din hii na kuwapatia ushindi kwa kupitiaImam MahdiError: Reference source not found a.s. ”

Tanbihi: Kila neno la Hadith hii lina nukta ya kuzingatia.

1. Ulimwengu wa Kiarabu umejaa kwa machafuko na matatizo. Hususan imezungumziwa IraqError:Reference source not found na IranError: Reference source not found. Swala hili na mengineyoyamethibitisha kuwa WarusiError: Reference source not found watapitia Khurasan na kuiteketezaTeheran. Na baadaye wataiangamiza IraqError: Reference source not found.

2. Watawala wa siku hizi ni kwa wingi ni waovu.

3. Dunia nzima ipo inaathirika kiuchumi.

4. Aina fulani ya jumuia itapita Shatt -Ghuba ya Uajemi inaonyesha kuwa WachinaError: Referencesource not found wataingia IraqError: Reference source not found kwa kupitia Ghuba ya Uajemi. Riwayazinginezo zimeelezea swala hili pia.

5. Vikwazo juu ya HijjaError: Reference source not found ni jambo la kustaajabisha mno. Kuna Utofautiwa maelezo kuhusu Barjania baadhi ya watu wanasema kuwa hiyo ni Uingereza, na kwa mujibu wawengineo, mambo mengine, hata hivyo kwa ujumla wote wanakubaliana kuwa njia zielekeazo Makkakwa ajili ya HijjaError: Reference source not found zitakuwa na vikwazo.

Soteh Mnajimu wa Kiarabu na Maneno Yake

Imeandikwa katika Bihar-ul-Anwaar kuwa Kaab ibnul Hars anasema: “Mfalme Shaazan alikuwaametingwa katika maswala fulani, hivyo alimwita mnujumi mashuhuri aliyeitwa Soteh. ”

Kuwasili kwa Soteh, Mfalme alitaka kwanza amjaribu na hivyo aliificha Dinar chini ya mguu wake nakumwita mnujumi huyo karibu yake na kumuuliza: “Niambie nimeficha nini?”

Soteh alimjibu kwa ufasaha alisema: “Ninaapa kwa Ka’abaError: Reference source not found na Haramna ninaapa kwa Hajar Aswad na ninaapa kwa usiku unaokuwa giza na ninaapa kwa kupambazuka naninaapa kwa kila kilicho madhubuti na kila kilicho kimya, kuwa wewe unataka kujaribuelimu yangu nakwa hivyo umeficha Dinar chini ya mguu wako. ”

Kwa hayo Mfalme alifurahishwa sana. Naye alisema: “Ewe Soteh,je hiielimu uliipataje?”

Soteh alimjibu: “Mimi nina ndugu yangu anayeishi pamoja nami, kila wakati. yeye ananipaelimu hii namimi ninaifanyaelimu hii ijulikane kwa wote. ”

Mfalme aliuliza: “Niambie kile kitakachotokea mbeleni. ”

Soteh alimjibu: “Sikia ewe Mfalme utafika wakati ambao watu wema watatokomea humu duniani,wachokozi na waovu watatawala kwa wingi. Kutakuwapo na uzushi wa neno la Mungu, jambo litakalozagaa kila mahali. Kukosa aibu heshima na huruma kutakuwa ni jambo la kawaida. Heshima watapatiwa

watu ambao ni matajiri tu. Watu waovu watakuwa na nguvu kiasi kwamba watabadilisha mambo katikadini kwa mujibu wa matakwa yao na hivyo kufanya dini kukosa nafasi katika mioyo ya watu.

Yote haya yatatokea wakati ambao kutatokezea nyotaError: Reference source not found moja ya kiajabuhuko angani, nyotaError: Reference source not found hiyo itakuwa na mkia. Watu wa nchi za Magharibiwatakuwa wamezuzuliwa nayo, mvua zitakwisha na kutaongezeka mno kwa bei za vitu. Vinyoziwataingia MisriError: Reference source not found wakipanda mipando ya rangi ya njano. Kutatokezeamtu kutoka kizazi cha Sakhar. Kutokezea kwake kutabadilisha benderaError: Reference source notfound nyeusi kuwa nyekundu. Yeye atahalalisha vilivyo haramishwa na kuvunja heshima na hadhi yamwanamke kiasi kwamba hakutakuwa na heshima yeyote, huyu ndiye mtu atakayeteketeza KufaError:Reference source not found, Wanawake warembo watabakwa kikatili kiasi kwamba hata migongo yaoitavunjika na watakuwa wakitupwa barabarani. Waume zao watauawa.

Katika hali kama hiyo - atatokezea Imam MahdiError: Reference source not found a.s. kutoka kizazi chaMtume s.a.w.w . Itatokezea hivyo wakati atakapouawa mtu mmoja huko MadinaError: Reference sourcenot found na ndugu yake atakapouawa katika hifadhi za Makka. Vitu vilivyofichika vitakuwa dhahiri.Watu weupe (WazunguError: Reference source not found) watakuwa ni wenye nguvu sana na kutakuwana mauaji na uporaji kila mahali. Kupatwa kwa mwezi na jua itakuwa ikitokea kila mara. Hapo ndipo vitavya kila aina vitazuka kutatokezea na mtawala huko Yemeni na rangi zake zitakuwa nyeupe kamapamba. Jina lake litakuwa ama ni Hassan au Hussein. Na kutokezea kwake ndipo kutakapotokomezamichafuko. Hapo ndipo Imam MahdiError: Reference source not found a.s. atakuwa dhahiri. Yeyeataleta amani na raha duniani kote. (Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ) Kiza chaUlimwengu kitatokomezea kwa kuja nuru yake. Haki na ukweli itajidhihirisha yenyewe. Kugawiwa kwamali kutakuwa kukifanyika kwa haki na uadilifu. Panga zitakuwa zimeisha pumuzishwa kutakuwa naamani na ukimya kila mahali. Watu wataanza kupata haki zao na ule moyo wa ukalimu utaanzakutokezea katika mioyo ya watu. Bwana huyu mkuu Imam MahdiError: Reference source not found a.s.ataijaza dunia kwa amani, uadilifu na upendo.

Mnujumi wa Kiirani aitwaye Jamasp.

Kutokezea kwa Mfalme mkuu.

Imerekodiwa katika kitabu cha huyo bwana Jamasp kuwa Mfalme Ghustashp wakati mmoja alimuulizahuyo Jamasp: “Je lini kutakuwa na uokovu wa wanyama na wanadamu na dalili zake ni nini?” BwanaJamasp alijibu: “Iwe bayana kwa Mfalme na mawaziri wake kuwa maisha ya mbele yatakuwa maovukabisa na yenye kutisha. WarusiError: Reference source not found kama mbweha wataivamia IranError:Reference source not found kwa idadi kubwa sana. Watu wema watakuwa dhaifu. Viumbe vingi vyaAllah swt vitauawa.

“Maisha hayatakuwa ya raha na yenye kuchosha. Uonevu na ukandamizwaji uliokithiri utazagaa duniani

kote, kutazuka na vita vikali sana katika kingo za mto Furat na Tigris baina ya WajerumaniError:Reference source not found,WarusiError: Reference source not found, na WazunguError: Referencesource not found (WaingerezaError: Reference source not found). Hapo ndipo Mfalme wa diniatakapotokezea na kutuliza ulimwengu mzima. Na baada ya kudhihiri kwake Allah swt atakuwaakizikubalia sala na dua za wanadamu.

“Ewe Mfalme, utafika wakati ambapo maovu na kila aina ya ubaya utakuwa umezagaa duniani kote.Wanaume watatafuta njia ya kujiridhisha kwa kuingiliana na wanaume wenzao na wanawakewatajiridhisha kwa kuingiliana na wanawake wenzao, maafaError: Reference source not found ya ajaliyataongezeka katika wakati huo kutatokezea kwa mtu mtakatifu kabisa. Msaada wake na maongoziyake ndiyo yatakayoondoa uchafu na upotofu kutoka IranError: Reference source not found. Dini yaukweli itaenea kote. Wale watakao kataa na kukanusha kufuatia dini hiyo basi watateketezwa kwamitetemeko ya ardhi. Kutakuwa na mitiririko ya damu kutoka mbinguni na kutakuwapo na ukame dunianikote. Baada ya hapo ndipo Allah swt atakapoineemesha dunia na kuirehemu” Elimu kamili anayo Allahswt, na yeye tu ndiye aliye na elimu ya kile tusichokiona au kukifikiria.

Jamasp ametabiri kuwa kutatokezea mtu mwenye jicho moja huko Bara la Arabia, kwanza yeyeatajitangaza kama mtume na baadaye atajitangaza kuwa yeye ni Mungu yeye ataua watu wengi sana.Jitu hili linatambuliwa kama DajjalError: Reference source not found katika riwaya za Kiislamu.

1. moto huo utatokana na mlipuko wa bomu la kinyuklia au kitu kama hicho inadhaniwa kuwa bomu la Atomiki litatumikakwa mara ya kwanza huko Mashariki).2. (hali hii ni ya kawaida huku kwetu siku hizi, Waislamu wa Msikiti mmoja wanasali Sala ya Iddi na Waislamu wa Msikitimwingine wamo katika saum, hakuna uelewano wala uhakika wa mambo yanavyoendelea).3. Ufafanuzi zaidi juu ya Sahaba na Ansaar wa Imam Mahdi a.s.Inawezekana kwa watu wenye nia khalisi wakajiona kuwa wao hawapo katika orodha ya wale Sahaba (wafuasi) wa ImamMahdi a.s. hivyo wakavunjika moyo. Lakini ufafanuzi halisi ni kwamba iwapo sisi hatutakuwapo miongoni mwa orodha yaSahaba lakini lazima tutakuwapo miongoni mwa Ansaar. Tofauti iliyopo baina ya makundi mawili hayo ni kwamba: Sahabahwalioorodheshwa ni watu 313 tu na ambao wamekwisha kutaarufishwa na Imam Ali a.s.

Ansaar Hao ni wafuasi mukhlisi wenye adabu njema ambao watakusanyika huko Makkah pamoja na Imam Mahdi a.s. nawatashirikiana bega kwa bega pamoja na Imam a.s. dhidi ya maadui wa Islam. Idadi yao haina mwisho kwa sababukutakuwapo na Ansaar kiasi cha elfu kumi huko Makkah na vile vile kama nilivyokwisha elezea hapo nyuma kuwa Sayyidkutokea Iraq atakuja pamoja na wanajeshi elfu kumi na mbili. Kwa kifupi hakuna idadi maalum kwa sababu sisi tunasomakatika Duaa tulizofundishwa na Maimamu a.s. Katika Duaa hizo zinasema tumwombe Allah swt atujaalie miongoni mwaWafuasi na Ansaar wa Imam Mahdi a.s. Hivyo wanaoomba ni mamilioni ya watu duniani kote.

Katika sehemu hii ya pili ninajaribu kuwaleteeni makala haya juu ya Uthibitisho wa kuwapo kwa ImamMahdiError: Reference source not found a.s. kwa mujibu wa Wanazuoni wa Ahli Sunna1 kwasababu yatasaidia kutoa utata juu ya swala hili la kuwapo kwake kwani wengi wanazua kuwa mamboyote juu ya Imam a.s. yapo yamezuliwa na Mashiah.

Hadithi

Hadith ya Kwanza

Hadith hii ifuatayo inatuonyesha dhahiri kuwa kuna haja ya kuwapo kwa Imam wa zama na kumtii yeyeni faradhi kwetu sisi,kama vile wanavyoinakili Maimamu wa Kishiah na vile vile Wanazuoni wa AhliSunna pia wananakili vivyo hivyo katika vitabu vyao. Hadithi mashuhuri ya Mtume s.a.w.winayopokelewa na madhehbu yote ni kama ifuatavyo:

"yeyote yule atakayekufa bila ya kumtambua na kumjua Imam wa zama zake basi mtu huyoatakufa mauti ya ujahili(yaani atakufa kifo cha ukafiri). "

Uzito wa Hadith hii itaeleweka vyema na umuhimu wake pia utakapoelewa kuwa mwana wa khalifa wapili Abdullah bin Omar alipopata habari kuwa Abdul Malik amekuwa khalifa na hizo habari zilipomfikiaakiwa Madina wakati wa usiku,basi aliondoka wakati huo huo na kumwendea mdhalimu huyo Hajjajnyumbani mwake. Hajjaj alimwuliza sababu ya kufika kwake wakati huo wa usiku na hapo alimwambiakuwa amefika kumtolea bay'a (ahadi ya utiifu) ya baba yake Abdul Malik.

Hajjaj alimwelezea kuwa hakuwa na fursa wakati huo hivyo amwijie kesho yake. Hapo Abdullah binOmar alisikitika mno na kusema "je nikifa usiku wa leo,basi nitakuwa nimekufa bila ya kufanya bay'a yaimamu wa zama zangu na kwa mujibu wa kauli ya Mtume Mtukufu s.a.w.w ,basi nitakuwa nimekufamauti ya ujahiliyya ambavyo ni ukafiri. Hivyo vyo vyote vile,lazima chukua bay'a yangu. "

Hajjaj alimwita ndani (hivyo inamaanisha kuwa mtoto wa khalifa Omar alikuwa bado yupo nje) yanyumba yake na kumwambia kuwa alikuwa anashughulika na hivyo mikono yake ilikuwa mashghulihivyo atoe bay'a yake miguuni mwake. Hivyo huyo masikini mtoto wa khalifa Omar aliifanya bay'amiguuni mwa Hajjaj kwa ajili ya utiifu wa Abdul Malik. Baada ya kufanya hivyo,alirejea nyumbani akiwaamefurahi mno.

(Sharh ya Nahjul Balagha - Ibn Abi al-Hadid,j. 3,uk. 362. Chapa ya Misri)

Jambo la kustaajabisha ni kwamba Abdullah ibn Omar katika zama za ukhalifa wa Amiral MuminiinImam Ali ibn Abi Talib a.s. hakufanya bay'a na alikaa kimya na baada ya kupita miaka minne na nusualipitisha kipindi hicho bila ya kumtambua Imam wa zama zake na wala hakuwa na khofu ya kufa mautiya kafiri !

Vyema hadith hii inatuonyesha waziwazi kuwa katika kila zama kuna ulazima wa kuwapo kwa Imam wazama hizo na ambavyo maarifa yake ni lazima yaelekee kwa kila mtu na vile vile katika zama zetu hizipia yupo Imam ambapo inatuwia faradhi kuwa naelimu na maarifa yake,ama sivyo atakayekufa bila yakumjua na kufanya bay'a yake atakufa kifo cha kikafiri.

Vile vile kuna wataalamu wa kuwapotosha watu kuwa wao wanadai kuwa neno Imam linamaanishaQuran Tukufu. Je watu kama hawa hawawezi kuelewa kuwa Mtume Mtukufu s.a.w.w hakulitumia nenola Imam peke yake bali alitumia Imamu wa zama ? Yaani kusudi lililopo hapa ni kule kubadilika kwaImam katika kila zama yaani baada ya Imam mmoja atafuatia Imam wa pili na kuendelea. Jee na Quranimekuwa ikibadilika katika kila zama au jee kuna taarifa yoyote ya kuja kubadilika ? Jee baada ya Quranmoja itafuatia ya pili na kuendelea? Kwa hakika sisi tusipotoshwe na wazushi kama hao kwa kutumiahila zao.

Hadith ya Pili

Madhehebu yote ya Islam kwa pamoja yanaelezea Hadith ifuatayo na ambayo ni uthibitisho wa ukweliwa Kiislamu na vile vile Sahih Bukhari na vitabu vingine vyote vya hadith pia vinaelezea kuwa MtumeMtukufu s.a.w.w alisema:

"Baada yangu watakuwapo Maimamu kumi na wawili ambao watatokana na Maqureish."

Hadith zenye madhumuni kama haya yamepewa milango makhsusi katika vitabu vya Hadith. Na Hadithhii ipo yenye umuhimu mkubwa mno kwetu sisi kwani twaitegemea mno na kuweza kuelezea usahihi naubatilifu wa Ukhalifa. Jambo lililowazi katika Hadith hii ni kuwa, iwapo kutapungua kwa idadi au kuzidikatika idadi ya kumi na wawili ama kutokea nje ya Qoeish basi mfululizo huo wa makhalifa utakuwa siule aliouelezea Allah swt kwa kupitia Mtume Mtukufu s.a.w.w .

Kwani haiwezekani kamwe kuwa Allah swt alisahau au kufanya kosa katika kuelezea idadi ya makhalifawa Mtume s.a.w.w na ambavyo kwa hakika idadi hiyo sivyo au labda kwa ajili ya kufanya kubadili aulabda inawezekana Mtume s.a.w.w aliutoa huo ubashiri bila ya kupokea Wahyi (ufunulio kutoka kwaAllah swt). Haiwezekani kamwe kwa Allah swt kusahau au kutenda bila ya maarifa au kusema kwaMtume s.a.w.w bila ya kupokea wahyi, basi itawezekanaje kwa idadi ya makhalifa aliyoielezea Mtumes.a.w.w iwe imekosewa? Kwa hakika itatubidi tuyakini kuwa ijma', Istikhlaf, shuraa au taratibu zinginezoambazo ndizo ziizotokezea utawala wa ukhalifa baada ya Mtume s.a.w.w na ambao makhalifa waohawakubakia katika idadi ya kumi na wawili au tawala hizo hazikuwa zile zilizopendwa au kubainishwana Allah swt.

Kwa kifupi, Mashiah wanayo fakhari kwa kuwa na Makhalifa kumi na wawili tu kama vile alivyothibitishaMtume s.a.w.w na vile vile alibashiri majina,idadi na kabila lao pia.

Hadith ya Tatu

Allamah Syed Jamal ud-Din Muhaddath ambaye ni mwachuoni mkubwa wa Ahli Sunna, anaandikakatika kitabu chake Rawdhat ul-Ahbaab kwa kumnakili Sahaba Ja'abir ibn Abdullahi Ansari wakati Allahswt alimfunulia Aya hii Mtume s.a.w.w :-

"Enyi mlioleta Imani! Mtiini Allah swt na Mtume wake na vile vile mumtiini 'ulil Amr'. "

"Basi mimi (anaendelea Bwana Jaabir) niliuliza "Ewe Mtume wa Allah swt! Sisi tunaelewa Allah swtpamoja na Mtume wake. Lakini jee ni wakina nani hao ambao wanajulikana kama 'ulil Amr" ambao utiifuwao umefaradhishwa kwetu sisi?"

Hapo Mtume s.a.w.w alitoa majibu haya yafuatayo:"Wao watakuwa Makhalifa baada yangu na wa kwanza miongoni mwao ni Ali ibn Abi Talib na amfuatayeatakuwa ni mwanae Hasan na atamfuatia Hussein na baadaye atafuatia Ali ibn al-Hussein na baadayeMohammad ibn Ali na anatambulika katika Tawrati kwa umashuhuri wa jina la Baqir na ewe Jaabir!Karibu utafikia zama zake na hapo tafadhali naomba unifikishie salamu zangu.

“Baada yake atakuja Ja'afer as-Sadiq bin Mohammad na baadaye Musa ibn Ja'afer na baadaye Ali ibnMusa na baadaye Muhammad ibn Ali na baadaye Ali ibn Mohammad na baadaye Hasan ibn Ali nabaadaye Muhammad ibn al-Hasan ambaye atakuwa juu ya ardhi hii kama hujjatillah na bakiyallahkatika wamchao Allah swt. Huyo ndiye atakayepata ushindi wa mashariki hadi wa magharibi wa duniahii. Na yeye mwenyewe ambaye atakuwa hayupo mbele ya wafuasi (Mashiah) wake na walewampendaye hadi kwamba hao hawatabakia katika itikadi ya Uimamu illa wale tu ambao Allah swtameshawachukulia mitihani ya nyoyo zao. "

Jaabir r.a. anaelezea kuwa "mimi sikusita kumwuliza Mtume s.a.w.w "Ewe Mtume wa Allah swt! Jekatika zama za Ghaibat, wafuasi (Mashiah) wake wataweza kufaidika naye?"

Hapo Mtume s.a.w.w alijibu:"Naam ! Kwa kiapo cha Allah swt ambaye amenituma nikiwa Mtume wake, kuwa katika zama zake zaGhaibat , Mashiah wake watang'arika kwa nuru yake na kufaidika kwa Ukhalifa wake kama vile watuwanavyofaidika na jua hata kama litakuwa limejificha katika mawingu. "

Hadith hii tukufu ambayo imenakiliwa na mwanachuoni mashuhuri wa Ahli Sunna kutokea kwa SahabaJaabir ibn Abdullahi ansari r. a. ambaye ni mmaarufu na mwenye kuheshimiwa katika Islam.

Hivyo inatudhihirishia katika Hadith hizi tatu, wazi kuwa dunia haiwezi kubakia tupu illa kwa Makhalifakumi na wawili. Ni faradhi kwa kila Mwislamu kuwa na maarifa na elimu yao na hao wote kwa pamojawameshakwisha tambulishwa kuwa ni nani hao na kwamba Khalifa wa kumi na mbili hatakuwaakionekana machoni mwa watu (atakuwa katika hali ya ghaibat). Kipindi hicho kitakuwa kirefu kiasikwamba nyoyo zilizokwisha imtihaniwa, nyoyo zao zitakuwa salama na nyoyo zisizojaribiwa na zisizo naimani zitakuwa zikifanya mzaha na kuyapitisha kwa kicheko na Muumin watakuwa wakifaidika nae kamavile wanavyofaidika kwa jua hata kama litakuwa mafichoni.

Vivyo hivyo haiwezekani kwa Mtume Mtukufu s.a.w.w amekwishatubashiria juu ya Ghaibat bila yakutubashiria juu ya dalili na kudhihiri kwake 2 Napenda kuwaleteeni baadhi ya hadith zinazozungumziajuu ya kudhihiri kwa Al-MahdiError: Reference source not found a.s. na uthibitisho wa kuwapo kwake.Kwa hakika hadith zote ni mutawatir na hivyo hazihitaji dalili za ziada kwa sababu Shia na Sunni wotekwa pamoja wanaitikadi kuwa Imam Mahdi a.s. anatokana na kizazi cha Bi. Fatimah az-Zahra a. s na

kwamba atadhihiri katika kipindi cha karibu na Qiyama.

Hadithi ya Nne

Imam bu Dawud ameandika katika kitabu chake Sunan na Imam Tirmidhi anaandika katika SahihTirmidhi kwa kumnakili Abu Said Khudhri, kuwa:

" Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema:' MahdiError: Reference source not found anatokana nami na mwenye uso unaong'aa na pua yakeiliyo ndefu ataijaza ardhi kwa uadilifu na haki kama vile itakavyokuwa imeshajaa kwa dhuluma naufisadi, na atatawala kwa kipindi cha miaka saba. ' "

5. Hadithi ya Tano

Imam Abu Dawuud katika Sunan amendika kwa kumnakili Sayyidina Imam Ali a.s. :

"Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema kuwa iwapo kwisha kwa dunia hata kama ni siku moja itakayobakia,hivyo pia Allah swt atamtuma mtu mmoja kutokana na Ahli Bayti yangu (kizazi changu) humu dunianiambaye ataijaza dunia kwa uadilifu na haki kama vile itakavyokuwa imejaa kwa dhuluma na ufIssadi. "

6. Hadithi ya Sita

Imam Abu Dawud amemnakili Ummul Moominiina kufuatilia mfululizo huo wake kuwa:Mtume Mtukufu s. a. w. w amesema kuwa' MahdiError: Reference source not found atatokana na Itrati (kizazi) yangu, yaani atatokana nakizazi cha Fatimah az-Zahra a.s. ' "

7. Hadith ya Saba

Imam Bukhari katika Sahih Bukhari , Imam Muslim katika Sahih Muslim na Kadhi ibn Mas'ud Baghawikatika Tasnif Sharh al-Sunnah. Wote wanamnakili Abu Hurayrah akisema:

"Amesema Mtume Mtukufu s.a.w.w'Je hali yenu itakuwaje wakati Mtume Issa a.s. atakapoteremka kwenu na Imam wenu atakuwapoametokea miongoni mwenu?'"

8. Hadithi ya Nane

Imam Tirmidhi katika Sahih Tirmidhi na Imam Abu Dawud katika Sunan Abu Dawud wanamnakiliAbdullah Ibn Mas'ud akinakili riwaya:

" Amesema Mtume Mtukufu s.a.w.wkuwa dunia haitakwisha hadi hapo mfalme wa Kiarabu atatokea kutokana na kizazi changu, na

ambaye jila lake litakuwa kama jina langu. "

Hadithi ya Tisa

Imenakiliwa na Maimamu wa Ahli Sunna katika Sahih zao, riwaya ifuatayo:Amesema Mtume Mtukufu s.a.w.w"Atatokezea mtu mmoja katika Ahli Bayti yangu, atakayetawala na jina lake litakuwa kama jinalangu. "

10. Hadithi ya Kumi

Imam Abu Is-haq Tha'alabi katika tafsir yake anamnakili Anas bin Malik kuwa:

Mtume Mtukufu s.a.w.w amesema kuwa" Sisi wana wa Abdul Muttalib ni viongozi wa watu wa Jannah, yaani mimi , Hamza, Ja'afer na Alina Hasan , Hussein na MahdiError: Reference source not found. "

Dalili zote hizi zimefanya wazi kuwa Mtume s.a.w.w ametuthibitishia nidhamu ya ukhalifa kwa urefu naundani katika maneno yaliyo wazi na yenye balagha na katika maelezo hayo yaliyokuwa na umuhimuzaidi ni juu ya Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na kipindi chake cha Ghaibat navile vile kuhusu kudhihiri kwake.

Iwapo kutakuwa na watu ambao wataendelea kushuku kuhusu Hadith hizo, basi hapa chinininawaleteeni shahada walizozitoa Wanazuoni na Maulamaa wa Ahli Sunnah kwa kuthibitishaitikadi ya Imam wa kumi na mbili yu bado hai na kwamba yupo katika Ghaibat na atadhihiri katikakipindi cha kabla ya Qiyamah Na itikadi hii inaaminiwa na Ahli Sunna na Mashiah.

Wanazuoni wa Ahli Sunna

(1). Allamah Abdul Wahab Shu'arani

Ni mwanachuoni mkuu katika Ahli Sunna na ambaye amesifiwa mno na Shah Waliullah Dehlavi kuwa niSahabi Fadhail na Makarim Aarif Muhaqqiq Awliyaullah na kumshirikisha katika Irthani Rasulullah.

"Na miongoni mwao wapo Sheikh Saleh, Abid al-Zahid mwenye kashif sahih na bwana adhimu SheikhHasan Iraqi, na umri wake ulikuwa kadiri ya miaka mia moja na thelathini, na mara moja mimi na AbulAbbas Harashi, tulimwendea, naye alituambia kuwa mimi ninataka kuwaambieni jambo moja ambalonyie munaweza kuelewa hali yangu ya ujana hadi wakati ule (utakaouelezea). "

Sisi tulimwelezea kuwa atuelezee. Naye alisema kuwa "mimi wakati huo nilikuwa kijana kamili na hukoShaam (Damascus) nilikuwa nikijifunga nguo ya kujivika shingoni hadi miguuni (abaa) na nilikuwa sijizuiikatika kutenda madhambi (kwani nilikuwa nikijivunia juu ya nafsi yangu). Basi siku moja mimi niliingia

katika chuo cha Bani Umayyah, na huko nilimwona mtu mmoja amekaa juu ya kiti akielezea juu ya ImamMahdiError: Reference source not found a.s. na hali ya kudhihiri kwake. Basi hapo moyoni mwangunilijawa na mapenzi yake Imam Mahdi a.s. na nikaanza kuomba duaa kwa Allah swt kuwa anikutanishenaye Mahdi a.s. Ulipita kiasi cha mwaka mmoja hivi nikiwa nikiomba duaa hiyo, siku moja baada yamagharibi nilikuwa katika Msikiti wa Jamea na mara nilimwona kwa ghafla mtu mmoja wa makamoakiingia Msikitini akiwa amevaa kilemba cha kama Waajemi na amevaa jubba lililotengenezwa kwangozi ya ngamia, na akiwa amegusa mabega yangu, alisema:

"Je kwa nini unataka kuonana nami ?"Nami nilimwuliza, 'Je wewe ni nani ?'Alijibu, "Mimi ni MahdiError: Reference source not found. "

Basi mimi nilibusu mikono yake na nilimwomba aje nami hadi nyumbani kwangu, naye alinikubalia nakuwa mgeni wangu kwa muda wa siku saba na alinifundisha dhikiri ya Allah swt na alinihukumu kuwaniwenikifunga saumu siku za katikati na kila siku niwe nikisali sala za rakaa mia tano na kwa ajili yakutaka kulala, nisiwe nikiuweka uso wangu hadi usingizi utakapokuwa ukinighalibu kabisa. Baadayealitaka kuondoka, na kuniambia, "Ewe Hasan! Sasa baada yangu usiende kwa mtu yeyote yule nachochote kile ulichokipata kutoka kwangu kinakutosha kabisa na ujue kuwa kile walichonacho wengineni kidogo na khafifu kuliko kile ulichonacho wewe, kwa hivyo usichukue hisani za wengine zisizo nafaida. Mimi nilisema sam'an wa ta'atan! na nilimshukuru na kumruhusu kuondoka na nilitakakumsindikiza, lakini nilipofika mlangoni, alinizuia nisiendelee na kuniambia nirudie hapo. Basi miminilibakia katika hali hiyo kwa miaka. Nami nilimwuliza Imam MahdiError: Reference source not found a.s.kuhusu umri wake, naye alinijibu, Ewe Mwana! Umri wangu kwa sasa hivi ni miaka 620. "

Sheikh Hasan Iraqi anaelezea kuwa mazungumzo haya yamepita miaka mia moja iliyopita (yaani wakatihuo umri wa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ulikuwa wa miaka 720).

Allamah Abdul Wahab Sha'arani anaelezea kuwa mimi nilimwelezea hayo Ali Khawasi na ambayealiwafikishia umri wa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na ile ya Sheikh Hasan Iraqi. "

Kutokana na kisa hicho cha hapo juu si kwamba tu Allamah Abdul Wahab Su'arani bali hata SheikhHasan Iraqi na Ali Khawasi, hawa wazee watatu wanatupatia uthibitisho wa Itikadi zao za kuwapo kwaImam MahdiError: Reference source not found a.s. na mmoja wa watatu hao alibahatika kuupata ugeniwa Imam Mahdi a.s. na vile vile kupata fursa ya kuelimishwa na Imam Mahdi a.s. Vile vile AllamahAbdul Wahab Shu'arani ameandika katika kitabu chake mashuhuri Yanaqut wa Jawahir katika sura yasitini na tano juu ya dalili za kukaribia Qiyamah,anaelezea dalili ya kwanza ikiwa ni kudhihiri kwa ImamMahdi a.s. na baadaye akielezea dalili zingine anaandika wakati ambapo Din itakapokuwa ikififia, basi:"Wakati huo ndio unaotakiwa kumsubiri Imam MahdiError: Reference source not found a.s. adhuhuri nahuyo Imam a.s. atakuwa ni mtoto wa Imam Hasan al-Askari a.s. na alizaliwa tarehe 15 Sha'aban mwaka255 Hijriyyah. Naye yu hai na ambaye yu bado hai hadi atakapoungana na Mtume Issa bin Maryam a.s.Umri wake wakati huu ni miaka 958, miaka 706 imeshakwisha. "

(2). Mawlana Ali Akbar Mawdudi

Huyu ni miongoni mwa Maulamaa wakubwa mutakhirina naye ameandika, yanayojulikana kwa jina laMakashifat na mwandishi huyu katika kuelezea juu ya Ali ibn Sahil il-Isfihani, anaandika:

"Watu wanasema kuwa kutokufanya makosa katika hukumu au maamrisho ya Dini ni sifa ya Mitume tu,lakini Sheikh r. a. amekhitilafisha jambo hili miongoni mwa watu katika Hadith ile ambayo imeshuka juuya MahdiError: Reference source not found a.s. akiyeahidiwa Babu yake a.s. Baadaye katika sura yaarobaini na tano ameandika kuwa Sheikh Abul Hasan al-Shadhili r. a. amesema kuwa zipo dalili kumina tano za Qutb - Shakhsiyya ya pekee kiongozi - mfano kwamba uthibitisho wake unatokana na uchaMungu wake, kutokuwa na madhambi, rehema, ukhalifa na niaba na kudura huwa vinamsaidia nakudhihirisha waziwazi dhati yake na sifa zake na kadhalika, n.k."

Basi kwa kauli hii (kuwa katika Qutb kuna kuwapo na ile sifa ya kutokuwa na madhambi) inathibitishakwa usahihi kuwa madhehebu ya wanaoamini kuwa wapo Maasum (wasio na madhambi) mbali naMitume. . kwa sababu kuwapo kwa utawala wa al-MahdiError: Reference source not found Maw-ud(aliyeahidiwa) a.s. (yaani yeye ni Qutb baada ya baba yake Imam Hasan al-Askary a.s. kama vile ImamHasan al-Askary a.s. alivyokuwa Qutb baada ya baba yake hadi hapo huu mfulululizo unamfikia ImamAli ibn Abi Talib a.s. ) inatuelezea ishara ya kuwa rutuba hii inakuwa makhsusi kwa ajili ya kizazi hiki tu(Baada ya Imam Ali ibn Abi Talib a.s. kuwa Qutb hadi al-Mahdi al-Maw-ud a.s. ,na wala si kabla yaImam Ali s. a.).

Hivyo yeyote yule atakayekuwa Qutb basi atakuwa ni katika niaba ya al-Mahdi al-Maw-ud a.s. kwasababu Imam Mahdi a.s. yupo ghaibu mbele ya macho ya watu na papo hapo huwa anaonana nabaadhi ya watu makhsusi na huwa sikatika hali ya ghaibu mbele yao. . . . Hivyo imekuwa ni lazimakuelewa kuwa kila Imam a.s. katika Ithna-Asheria ni Maasum (wasiye na dhambi)- elewa faida hii !"

Kwa maelezo hayo, inatuwia waziwazi kuwa Mawlana Ali Akbar Mawdudi anamchukua Imam al-MahdiError: Reference source not found al-Maw-ud a.s. kuwa ni Qutb wa zama baada ya Imam Hasanal-Askary a.s. na vile vile alikuwa akitikadi kuwa alikuwa Maasum (asiye na madhambi) na vile vilealikuwa akisema daima kuwa Imam Mahdi a.s. alikuwa haonekani kwa wote illa wale walio makhsusi tundio walioweza kumwona.

(3). Mulla Jamiy r. a.

Huyu ni Aalim mashuhuri katika Ahli Sunna na iwapo mtu atataka kumsifu yeye basi ni sawa na kutakakuumulika jua kwa taa zetu,huyo anaeleweka kwa kuwa ni kitovu cha elimu ya dhahiri na batini. Yeyeameandika katika tasnif yake mashuhuri Shawahid Nubuwwah kuwa al-Imam MahdiError: Referencesource not found a.s. ni Imam wa kumi na mbili na ameandika sura moja ndefu sana ambamoameandika juu ya miujiza na karama kabla ya kuzaliwa kwa Imam Mahdi a.s. na wakati wa kuandikamatukio yote . Vile vile ameandika kuwa mimba ya Imam a.s. ilikuwa haionekani na kuzaliwa kwake tu

alisujudu na kusoma aya za Qurani Tukufu.

Naye alizaliwa akiwa amekwishakaa jando na hakuwa na ngozi ya utosini na katika bega lake kulikuwakumeandikwa jaal haq wa zahaqal baatil, innal batila kana zahuqa na pale alipokula chafya alisemaalhamdulillahi rabbil aalamiin. Ameandika habari hizi na kama hizi kwa mapana na marefu sana na kwakutoa maelezo marefu na baadaye ameandika hivi:

"Rawi (mwenye kuripoti) amesema kuwa mimi nilikuwa pamoja na Imam Hasan al-Askary a.s. nanilimwambia "Ewe mwana wa Mtume s.a.w.w ! Je ni nani atakayekuwa Imam au Khalifa baada yako ?"

Basi Imam a.s. alikwenda ndani na alirejea akiwa na mtoto mikononi mwake. Mtoto huyo alikwa mfanowa mbalamwezi --- akipendeza na alijawa nuru---na umri wake ulikuwa kama miaka mitatu hivi.

Hapo akasema " Ewe Fulani ! Iwapo wewe usingalikuwa daraja la juu mbele ya Allah swt, basi miminisingalikuonyesha kamwe huyu mtoto. Jina lake ni jina la Mtume s.a.w.w na kuniyah yake ni ile yaMtume s.a.w.w . Na huyu ni yule ambaye atakayeijaza dunia kwa uadilifu na haki kama vileitakavyokuwa imejaa kwa dhuluma na ufIssadi. "

Vivyo hivyo ipo riwaya nyingine isemayo Wakati Imam Hasan al-Askari a.s. alipomwonyesha mtotowake na kusema: "Huyu ndiye Imam wenu !" na hapo Imam MahdiError: Reference source not founda.s. aliteremka kutoka mapajani mwa Imam Hasan al-Askary a.s. . Abu Mohammad a.s. alimwambiamwanae "Ewe mwana ! Uwe mafichoni (ghaibu) hadi wakati maalum" hivyo aliingia ndani ya chumbahuku mimi nikimwona. Hapo Imam Hasan al-Askary a.s. aliniambia "inuka na ukamtafute huyo mtoto" .Nami nilikwenda kumtafuta huyo mtoto chumbani, lakini sikumwona mtu yeyote !

(4). Khwaja Muhammad Parsa

"Ilikuwa ni jambo lafuraha mno kwa masheikh na maulamaa kwa kukutana naye", anaandika katikakitabu chake Faslul Khitab :

Na wakati Abdullah Jaafer, mwana wa Imam Ali an-Naqi a.s. alipozusha habari kuwa ndugu yake ImamHasan al-Askari a.s. alikuwa hana mtoto yeyote na hivyo yeye akiwa kama ndugu yake, basi uimamuulikuwa umepatiwa yeye. Kwa hakika alikuja kuwa mashuhuri kwa jina la kadhib (mwongo) . Na mtotowa Imam Hasan al-Askary a.s. ni Mohammad al-MahdiError: Reference source not found a.s. na watumakhsusi walijua na wanajua.

Baadaye mwandishi anaendelea kuelezea kuwa ilipofika tarehe 15 Sha'aban mwaka 255, usiku huo Bi.Hakimah Khatun alikuja nyumbani mwa Imam Hasan al-askary a.s. naye hakumruhusu kuondoka nakulipokaribia wakati wa alfajiri, alizaliwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na baada yahapo, mwandishi anaendelea kuandika:

"Hakimah Khatun anaelezea:

"Nilipomwijia Imam Hasan al-askary a.s. nilimwona mtoto aliyezaliwa na kuviringishwa katika kitambaacha rangi ya kijani na uso wake ulikuwa umejaa kwa nuru na furaha hadi kunifanya mimi nijiwe namapenzi yake moyoni mwagu. Mimi nilimwambia Imam Hasan al-Askary a.s. 'Ewe Imam wangu ! Iwapounayo elimu yoyote kuhusu huyu mwana mpenzi, basi naoma nami uniambie machache. 'Imam a.s. aliniambia,"Ewe dada yangu! Huyu ndiye yule Imam asubiriwaye ambaye tulikuwatumekwisha pata ubashiri wake. " Bi. Hakimah Khatun anasema kuwa 'mimi papo hapo nilifanya sujudaya kumshukuru Allah swt. Na nilikuwa nikienda daima nyumbani mwa Imam Hasan al-Askary a.s. .Lakini siku moja nilikuwa sikumwona huyo mwana na papo hapo nilimwuliza Imam Hasan al-Askari a.s.'Ewe Imam wangu ! Je umemfanya nini Imam wetu al-Muntadhir (aliyengojewa) ?"

Imam a.s. alinijibu, "Mimi nimeshampa katika hifadhi ya Allah swt ambaye alikadhibiwa Mtume Musa namama yake katika hifadhi Yake (i. e. Allah swt). "

Ibara hii imekuwa ikitoa hidaya lakini vile vile imetuongezea uhakika kuwa Khwaja Muhammad Parsa piani muumin wa Imam al-Asr (Imam MahdiError: Reference source not found a.s. ) na vile vile juu yaghaiba na pia alikuwa akiitikadi kuwa pale atakapotaka Allah swt ndipo atakapodhihiri, hapo ndipoitakapotimia ubashiri wa Mtume s.a.w.w

Vile vile katika kitabu hiki Khwaja Muhammad Parsa ameandika dalili za kudhihiri kwa Imam al-Muntadhar a.s. :

Na zipo Hadith nyingi mno zisizokadirika kuhusiana na maswala haya, na Imam MahdiError: Referencesource not found radhiyallahu Anhu (Imam-i-Zamana -- ambaye haonekani machoni mwa watu naambaye yupo katika kila zama) anaelezewa mambo mengi mno yaliyo mema kabisa. Vile vile zipohadith zinazooana kuhusiana na swala la kudhihiri kwake na kusambaa kwa nuru yake. Yeyeataimarisha sharia ya Mtume s.a.w.w na atafanya jihad kwa ajili ya Allah swt . Ataitakasisha kwakutokomesha najisi na maonevu juu ya ardhi ya Allah swt kutokea ncha moja hadi ya pili, zama zakezitakuwa ni zama za muttaqiina (wacha Mungu), masahaba wake hawatakuwa na mashaka auudanganyifu wa aina yoyote ile na vile hawatakuwa na aibu za aina zozote zile na watakuwa wakimfuataImam wa zama na kutanda kwa mujibu wa hidaya zake na Allah swt atawajaalia maarifa ya Imam Mahdia.s. Imam Mahdi a.s. ndiye atakaye khitimisha Ukhalifa na Uimamu na kwamba yeye yu Imam kuanziasiku ile ambayo baba yake (Imam Hasan al-Askary a.s. ) alipokuwa shahidi. "

(5). Sibt ibn Jawzi

Huyu pia ni miongoni mwa Maulamaa wakubwa wa Ahli Sunna, naye katika kitabu chake mashuhuriTadhkirt khawas al-ummah fi ma'arifat il-Aimmah anaandika kuhusiana na Imam al-MahdiError:Reference source not found a.s. :

Yeye ni mwana wake Imam Hasan al-Askary a.s. na kuniyyah yake ni Abu Abdillah na Abul Qassim.Naye ni i Khalifa hujjat, Imam wa zama hizi,ni Qaim na Muntadhar na baqi na yeye tu ndiye Imam-i-

zamana (Imamu wa zama).

Je kunaweza kubakia chochote katika kuelezea kubakia hai na kuwapo kwa Imam MahdiError:Reference source not found a.s. ?

(6). Abu Abdillah Muhammad ibn Yusuf bin Muhammad Ghibhi Shafi'i

Utunzi wake upo mashuhuri wa kifayat il-taalib na vile vile ameandika kitabu kingine albayan ambachoameandika khususa juu ya hali ya Imam Zamana a.s. kuzungumzia Uimamu, kuwapo kwake, umri wakemrefu na akiandika na kutoa maelezo juu ya kuwapo kwake Imam al-MahdiError: Reference source notfound al-Maw-ud a.s. ,anaandika:

Kuanzia ghaibat ya Imam MahdiError: Reference source not found a.s. kuwapo hai kwake hadi leo kunadalili moja ya kwamba si muhali kwake kubakia kwake hadi leo. Katika Maawliya Allah wapo Mtume Issabin Maryam a.s. na Mtume Khizr a.s. na Ilyas a.s. na hao wapo hai na katika maadui wake Allah swtwapo DajjalError: Reference source not found na mal-un Iblis nao wote pia wapo hai. Na kubakia kwaohai na maisha yao yanaelezea katika Quran na Hadith na vinathibitishwa hivyo.

(Iwapo Allah swt anawaweka hai na baki shakhsiyyah zingine,jee itashindwa nini kumweka hai na bakiImam MahdiError: Reference source not found a.s. ?)

(7). Sheikh Nurdin ibn Sibagh al-Malik

Sheikh mashuhuri na mwenye kuheshimiwa katika Ahli Sunna, anaandika kwa marefu juu ya kuwapokwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s. katika kitabu chake Al-Fusul ul-muhimmahkama yafuatavyo:'Sura ya kumi na mbili: Katika kuzungumzia mwana wa Imam Hasan al-Askary a.s. aitwaye Abul QasimMuhammad hujjat Khalaf Saleh, naye ambaye ni Imam wa kumi na mbili, na kuelezea historia yake yakuzaliwa na Uimamu wake na katika dalili zake na hali yake na ghaibat na muda wa kuwapo kwaautawala wake na katika kuelezea nasabu yake, kuniyyat na laqab yake. '

Katika sura hii kuna habari nyingine ielezewavyo,lakini tunanakili badhi ya habari kama ifuatavyo:Mwana wa Imam Hasan al-Askary a.s. aliyeitwa Abul Qasim alizaliwa tarehe 15 mwezi wa Sha'abankatika mwaka 255 Hijriyyah, katika mji wa Samarrah huko Iraq . . . . . . .

Na hali hii inatudalilisha juu ya mtoto huyo aliyezaliwa ni Imam wa kumi na mbili na ambavyo ipoimebashiriwa na Maimamu watukufu a.s. Zipo riwaya nyingi kuhusu yeye na hadith nyingi zipomashuhuri, nasi bila ya kufikiria tumefupisha maelezo yote yale na kuyaacha na muhaddithiinwanaziandika hadith zile ambazo zimetolewa na wanatutaka sisi tuzikusanye hizo hadith . . . .

Maulamaa wa hadith wamesema kuwa MahdiError: Reference source not found ni yule yule ambaye niqaim al-Muntadhar na kuhusu kudhihiri kwake riwaya zote zipo zinaoana na kuhusu nuru yake pia

wanaafikiana na vile vile dhuluma zote zitaangamia kwa kuja kwake, na kwa kuja kwake hapatakuwa nakiza cha aina yoyote illa mng'aro kama vile usiku unavyobadilika katika siku, na ni karibu tu yeyeatajitokeza kutoka ghaibu na nyoyo zote zitajawa kwa furaha tele.

(8). Shah Waliullah Dehlavi

Ahli Sunna wanamwita Khatimil Aarifiin, Sayyidil Muhaddithiin, Sanadil Mutakallimiin, Hujjatulahi ala-Aalamiin anaelezea kwa marefu mno katika tasnif yake Fadhlul Mubiin juu ya Imam wa zama na kuwapokwake na pia amekuwa mwenye kuamini juu ya Uimamu. Hivyo anaandika kwa kunakili hadith moja:

Mimi nimesema kuwa Ibn Akilah ameniruhusu kwa mdomo mambo yote ambayo riwaya zilikuwazinaruhusiwa kwa ajili yake. Nami katika mfululizo wa Hadith niliikuta hadith moja mfululizo ambayo kilasehemu yake ilikuwa ikichukua upeke wa aina yake na ilikuwa na sifa adhimu ya watu wakuu ,nayo nikwamba Ibn Aqila alisema kuwa mimi niliarifiwa na Sheikh mkuu pekee wa aina yake katika zama zoteSheikh Hasan Ibn Ali Ajmiy, naye aliarifiwa na hafidh wa nyakati zake Bwana Jamalud-Din Bablialiarifiwa na mnakili na mtoa mawaidha, Bwana Muhammad Hajjazi naye aliarifiwa na Sufi wa wakatihuo Sheikh Abdul Wahab Shu'arani, naye aliarifiwa na Mujtahid wa zama zake Jalaludin as-Suyuti, nayealiarifiwa na zahid wa zama Imam Jamaluddin ibn Muhammad ibn Muhammad al-Jamal, nayeamearifiwa na aliyekuwa Muhaddith wa nchi za Uajemi Imam Muhammad ibn Mas'ud, naye amearifiwana Sheikh mkuu wa zama zake Sheikh Isma'il bin Mudhaffar Shirazi, naye aliarifiwa na Muhaddath wanyakati zake Abdus-Salaam bin Abu ar-Rabi'i Hanafi, naye amearifiwa na Sheikh wa zama zake AbuBakar Abdullah bin Muhammad Shaabur al-Kalamsi, naye amearifiwa na Imam wa wakati wake AbdulAziz ibn Muhammad Adami, naye amearifiwa na aliyekuwa mtu wa nadra wa zama zake Suleiman binIbrahim bin Muhammad bin Suleiman naye amearifu kuwa amemwarifu Ahmad bin Hashim Biadhuriambaye amebainisha kuwa aliyekuwa hafidh wa zam zake aliambiwa na Imam al-Asr a.s. Muhammadibn al-Hasan ibn Ali (aliye katika hali ya ghaibu kuwa mimi (Imam MahdiError: Reference source notfound) niliambiwa na Baba yangu Imam Hassan al-Askary a.s. , naye aliambiwa na Baba yake Imam Alian-Naqi a.s. naye aliambiwa na Baba yake Imam Muhanmadtaqi a.s. naye aliambiwa na Baba yakeImam Musa al-Kadhim a.s. naye aliambiwa na Baba yake Imam Ja’afer as-Sadiq a.s. naye aliambiwana Baba yake Imam Muhammad al-Kadhim a.s. naye Imam Zainul Aabediin a.s. naye aliambiwa naBaba yake Imam Syyidus-Shuhadaa, al-Husein ibn Ali ibn Abi Talib a.s. naye aliambiwa na Baba yakeSayyidil Awliya’a Ali ibn Abi Talib a.s. naye aliambiwa na Sayyidil Ambiya Mtume Mtukufu s.a.w.w nayealiambiwa na Sayyidil Malaika Jibraili naye amesema kuwa Allah swt amesema:

“Mimi ni Allah na wala hakuna mwingine wa kuabudiwa ila ni mimi tu. Yeyote yule atakaye kubali nakusadiki upweke wangu basi atakuwa ameshaingia katika ngome yangu na yeyote yule atakaye kuwaameingia katika ngome yangu, basi ameepukana na adhabu zangu. ”

Katika riwaya hii tumeonyeshwa kuwa si Shah Waliullah Dehlavi tu bali Maulamaa kumi na sita wa AhliSunna ambao walikuwa na sifa pekee katika zama zao. . . ambao walikuwa akiamini juu ya ImamMahdiError: Reference source not found Akhiruz-zamaan a.s. kuhusu jina lake na ukoo wake na hali

yake ya ghaibat na kuwapo kwake akiwa Imam wa zama zetu kwani asingelileta riwaya kama hiyo iwapommoja wa waarifu wake angelikuwa hajulikani kwa utukufu wake mbele yake, hivyo aliwaheshimu wotewaliotajwa kwa pamoja.

(9) Sheikh Abdul Haq Dahlavi

Ni miongoni mwa wale walio mashuhuri katika sunan, naye ameandika katika risala yake Munaqib waahwaal Aimma at-haar kuwa:

Na mwana wa Hasan al-Askary a.s. aliyeitwa Muhammad al-MahdiError: Reference source not founda.s. alikuwa akijulikana na Sahaba makhsusi na kundi lililokuwa likiaminika tu.

Ipo riwaya kuwa Bi. Hakimah Khatun binti Imam Muhammad Taqi a.s. ambaye alikuwa ni dada wa babayake Imam MahdiError: Reference source not found a.s. na alikuwa akiomba mno kwa Alah swtamjaalie mtoto Imam Hasan al-Askary a.s. ili aweze kumwona kwa macho yake katika uhai wake. NaImam Hasan al-Askary a.s. alikuwa amemchagua Bi. Nargis Khatun kwa ajili ya ndoa. Ilipofika tarehe 15ya mwezi Sha’aban mwaka 255 Hijriyyah, Imam Hasan al-Askary a.s. alimwambia Bi. Hakimah Khatunabakie nyumbani kwake usiku ule kwani kulikuwa na jambo moja mbele yao usiku ule. Basi kwa mujibuwa ombi la Imam Hasan al-Askari a.s. Bi. Hakimah alibakia nyumbani mwa Imam a.s.

Ilipokaribia wakati wa alfajiri, hali ya Bi. Nargis Khatun ilianza kubadilika. Naye Bi. Hakimah alimkaribia ilikumsaidia lakini alimkuta anaye mtoto mzuri mno aliyezaliwa na akiwa amekwisha tahiriwa nakuogeshwa, nk. Alimchukua mtoto huyo na kumleta kwa Imam a.s. naye alimpapasa kwa mkono juu yabega lake na macho yake na aliuweka ulimi wake mdomoni mwa mtoto huyo, na aliisema Adhaan katikasikio lake la kulia na aliisema Iqamah katika sikio la kushoto na baadaye alimwambia: “Ewe Bibi!Mchukue huyu mtoto kwa mama yake” Na hivyo Bi. Hakimah Khatun alimpeleka mtoto kwa mama yake.

Bi Hakimah Khatun anasema kuwa: “Baadaye nilimwona mtoto akiwa mikononi mwa baba yake akiwaamevishwa nguo za rangi ya kijani na akitokwa na nuru hadi mimi nilijawa na maenzi yake hadi hapoyalinitoka: ‘Ewe Imam wangu! Je kuna chochote unachokielewa kuhusu huyu mtoto aliyezaliwa ili uwezekuniambia?”

Imam Hasan al-Askary a.s. alisema: “Ewe dada yangu! Huyu mtoto ni yule ambaye alikuwa akisubiriwa(al-Muntadhar) na ubashiri wake tulikuwa tumeshaupata. ”

Bi Hakimah Khatun anasema: “Mimi nilifanya sujuda juu ya ardhi kwa kutoa shukrani zangu kwa Allahswt. Na daima nilikuwa nikija nyumbani kwa Imam Hasan al-Askary a.s. Na siku moja nilipokujasikumwona huyo mtoto, basi sikusita kuuliza, “Ewe Imam wetu! Je imemwia nini Sayyidil Muntadharwetu?”

Hapo Imam Hasan al-Askari a.s. alinijibu kuwa alikuwa ameshamkabidhi yule ambaye alikabidhiwa namama yake Mtume Musa a.s.

Na vile vile inapatikana riwaya isemayo kuwa aliulizwa jina la Qaim wao litakuwa nini, alijibu kuwa: “Sisitumehukumiwa kutotamka jina lake kabla ya kuzaliwa kwake. ”

Je dalili zote hizo hazitoshelezi kuthibisha kuwapo kwa Imam MahdiError: Reference source not found a.s?

(10) Muhaddith Jamalud- Din

Huyu bwana anahesabiwa miongoni mwa walio mabingwa katika elimu ya Hadith na vitabu vyakevinatazamwa kwa heshima kubwa. Yeye anadhihirisha itikadi yake katika kitabu chake mashuhurikiitwacho Rawdhatil Ahbaab hivi:

Mazungumzo katika bayani ya Imam wa kumi na mbili:

Mu’tamin Muhammad bin Hasan katika riwaya nyingi mno zinazooana zinaelezea juu ya kuzaliwa kwaImam al-MahdiError: Reference source not found a.s. ilikuwa ni tarehe 15 Sha’aba 255 Hijriyyah mjiniSamarrah na mama yake alikuwa ni mtumwa aliyeitwa Sakil au Susan au Nargis. Majina ya Imam a.s.yalikuwa yakifanana na yale ya Mtume s.a.w.w na vile vile al-Mahdi al-Muntadhar na Khalafi Saleh naSahibu az-Zamaan. Kwa mujibu wa riwaya katika zama za Baba yake (ambaye ni karibu na usahihi)alikuwa na umri wa miaka mitano na pengine labda ni miaka miwili ambapo Allah swt alipomjaaliahekima na alipatiwa daraja la juu la Uimamu kama Mitume Yahya a.s. Zakariyyah a.s. Imam wa zamaa.s. katika kipindi cha Khalifa Mu’atamad na katika mwaka 265 au 266 Hijriyyah, inasadikiwa kuwakatika mji wa Samarrah, alikuwa ghaibu. ”

(11) Allamah Muhiddin bin’ Arabi

Kwa sasa tunawaleteeni ushahidi wa Allamah huyu wa Kisunni na ambavyo kauli yake hadi leo ipomashuhuri kuwa:

Hussein a.s. aliuawa kwa upanga wa Babu yake (Mtumes.a.w.w ) kwa sababu Bay’a ya Yazid ilikuwaimefanyika na Hussein a.s. alimwasi (huyu Yazid aliyekuwa imam wa haki).(Je ni nani aliyekuwa juu ya haki: Hussein au Yazid)?

Ni dhahiri kuwa iwapo Sheik mwenye msimamo mkali kama huo (kwani amethubutu kumwita Yazidkuwa ni Imam wa haki na kwamba Imam Hussein a.s. kuwa ni mwasi)! Akianza kuelezea kuwa ImamMahdiError: Reference source not found a.s. ameshazaliwa na yupo ghaibu na kufikia karibu na Qiyamaatadhihiri na vile vile ni maasum na pia ameelezea kwa kinaga ubwaga sifa njema za Imam al-Mahdia.s. na kumsifu katika kila hali, basi inathibitisha waziwazi kuwa haki daima huwa juu ya kila kitu.

Naye katika kitabu chake mashuhuri kiitwacho Futuhaati Makkiyyah katika sura ya 386 anaelezea kwakirefu juu ya habari zinazomhusu Imam zamana na ametumia karatasi nyingi mno katika hayo,nanakuleteeni baadhi ya habari hizo juu ya kudhihiri kwa Imam MahdiError: Reference source not found

a.s. , zama zake na haki na mwanzoni mwake au zile zinazozungumzia sifa zake au kuhusiana kiilhamuau kiwahii na kuimarisha Din kwa mara ya pili na bayani ya uharifu wake, nk.

Hivyo tunakuleteeni madondoo yanayozungumzia juu ya majina yake, unasaba wake, kuzaliwa kwakena vile vile ghaibat:

Na muelewe kuwa kudhihiri kwa Imam al-MahdiError: Reference source not found a.s. ni dharuri, lakiniyeye hatadhuhuri hadi dunia itakapokuwa imejaa kwa dhuluma na ufIssadi, basi atadhihiri kwa kuijazadunia kwa uadilifu na haki na ikiwa hata kama itabakia siku moja katika umri wa dunia, basi Allah swtatairefusha siku hiyo hadi hapo huyu Khalifa atatawala naye atatokana na kizazi chake Mtume s.a.w.wna atakuwa katika wana wa Fatimah az-Zahra a.s. na babu yake ni Hussein ibn Ali ibn Talib a.s. naBaba yake mzazi ni Imam Hassan al-Askari ibn Ali an-Naqi a.s. (aliendelea kuelezea nasaba nzimahadi kumfikia Imam Amiral Muuminii Ali ibn Abi Talib a.s. ) . . . Vile vile mjue kuwa jina lake litakuwalikiaafikiana na jina la Mtume Mtukufu s.a.w.w . . . Na pia mujue kuwa wakati Imam Mahdi a.s.atakapodhihiri, Waislamu wote kwa pamoja na wale walio makhususi watafurahi mno. . . Na sasa kipindichake kimeshafika na kipindi hicho ndicho kipindi mulichomo. Naye atadhihiri katika karne ya nneambayo ni kabla ya karne tatu zilizopita (yaani wakati wa suluhu katika kipindi cha Mtume s.a.w.wndicho kipindi cha kwanza, kipindi cha pili ni kile kilichofuatiwa cha tabiin na kipindi cha tatu ni kile chatabaa Tabiin kilipita kipindi fulani baada ya vipindi vitatu hivi na kulizuka matukio mapya mapya mawazona matamanio ya nafsi yalisambaa kote na umwagikwaji wa damu ulitokea naye huyo (al-Mahdi a.s. )alikuwa ghaibu kwa kipindi kirefu hadi ‘utakapotokezea’ wakati maalum wa kudhihiri.

12. Kamaluddin bin Talha Shafi’i

Huyu ni Aalim mmoja wapo miongoni mwa wale waliokuwa mashuhuri katika hali Sunna, na kauli yakeinasadikiwa kuwa ni sahihi katika figh, Hadith na usul na katika kila fani, naye ametasnif kitabu kilichopomashuhuri matalib il-usuul fi manaaqib Ali Rasuul humo katika sura ya kumi na mbili, Allamah huyukubatilisha shaka za wazushi yaliyokuwa yakifanywa na wale waliokuwa dhidi yake. Tunawaleteenibaadhi ya habari kutoka kitabu chake, zinazozungumzia juu ya Imam MahdiError: Reference source notfound a.s. kuhusu jina lake, nasaba yake na kuzaliwa kwake na vile vile ghaibat n.k:

Sura ya kumi na mbiliKatika kuelezea juu ya Abul Qasim Muhammad Hujjat ibn Hassan Khalis (Askary) ibnAli Mutawakkil binMuhammad (Taqi) Qania bin Ali ar-Ridha a.s. anaandika:“. . . . . basi alizaliwa (al-MahdiError: Reference source not found a.s. ) tarehe 23 Ramadhaan 258Hijryyah katika mji wa Samarrah. Lakini nasaba yake kwa upande wa Baba na mama yake ni ImamHasan al-Askari a.s. (nasaba nzima hadi kufikia kwa Imam Ali a.s. ) na habari yake kamili ipoimeelezwa mwanzoni, na mama yake alikuwa mtumwa, aliyeitwa Sakiil na vile vile Hakimah pia aliitwaMuhammad, pia anatambuliwa kwa majina ya Abul Qasim, al-Hujjat, Khalaf Saleh na Muntadhar. ”

Baadaye zinazungumziwa Hadith za Mtume Mtukufu s.a.w.w juu ya Imam MahdiError: Reference source

not found a.s. zinazothibitisha kuwa sifa zote hizo (zilizopo katika Hadith) pamoja na majina yakezinapatikana katika Imam Hujjat a.s. kwa hivyo sasa inatubidi kuamini na kusadiki kuwa ni yeye tu al-Mahdi Maw-ud na kwamba atadhihiri pale patakapokuwa hukumu ya Allah swt Katika mazungumzohaya ameandika kurasa nyingi mno, na baadaye anaendelea kuandika kuwa:

Lakini umri wake unapohusika, ni kwamba yeye (al-MahdiError: Reference source not found a.s. )alikuwa katika zama za Khalifa Mu’tamid Allah na alikuwa katika hali iliyojaa khofu na hapo ndipoalipokuwa ghaibu. . . Na kudra ya Allah swt ipo wasili (pana) na amewajaalia rehema zake waja wake naiwapo mashekhe wakubwa wakubwa watataka kujua na kuelewa sababu za kudura na uhakika wa yaleayatendayo (Allah swt), basi hao mashekhe hawataweza kamwe kufanikiwa na macho yao yatachoka nawatarejea wakiwa katka hasara na ndimi zao zitasema na kuchoka kwani Allah swt anatuambia katikaQurani tukufu:Hamkupewa elimu isipokuwa kidogo.

Na si jambo lenye kustaajabisha kuwa Allah swt kurefusha umri wa watu walio makhususi aukuwazidishia umri wao kwa ziada ya kipindi fulani. Je Allah swt hajawazidishia kundi moja umri waoukawa mrefu. . . . . na miongoni mwa maawliya na ma-asfiya na miongoni mwa waliokhilafuDin? Basikatika Maasfiyallah yupo Mtume Issa a.s. na pia humo yupo Imam al-Mahdi a.s. na katika Ambiya,wapo wengi ambao umri yao ipo mirefu hata kuzidi miaka elfu moja au wengineo wanaokaribia miakaelfu moja mfano Mtume Nuh a.s. na wengineo, na katika maadui wake Allah swt wapo Iblis naDajjalError: Reference source not found3 na vile vile kuna wengineo kama qaum ya Add4 ambaowalikuwapo watu waliokwisha fikisha miaka hata zaidi ya elfu moja, navyo vivyo hivyo yupo BwanaLuqman, na mifano yote hiyo inaletwa mbele yenu kwa kutaka kuwaonyesha kuwa ni uwezo wake Allahswt na ni amri yake kwa kutaka kwake anawazidishia umri mrefu wale awatakiao. Sasa itamwiajevigumu kumrefushia umri mrefu al-Mahdi a.s. na je kuna ugumu au ukatazo wa aina gani kwa kufanyahivyo? Iwapo ni Allah swt mwenyewe akihitaji kufanya hivyo?

Basi hadi yeye (al-MahdiError: Reference source not found a.s. ) adhihiri, tunaendelea kutekelezamaamrisho yake Allah swt, na kwa kuwa kauli imeshafikia hadi hapa na kalamu imeshafikia mwishonimwake, basi sisi twamaliza uandishi wa makala haya kwa kalimah ya Alhamdu-lillahi rabbil Aalamiinkwani hiyo ndiyo kalimah tukufu ya waendao katika Jannah kwa kuridhiwa na Allah swt kwani ndiyo duaya mwisho ya waendao Jannah.

Mwisho wa Sehemu ya Pili

1. Katika sehemu ya kwanza ya kitabu hiki,tumezungumzia juu ya 'dalili za kudhihiri kwa Imam Mahdi a.s. kwa marefu naundani zaidi. Hivyo hii ni sehemu ya pili ya kitabu hiki juu ya uthibitisho wa kuwapo kwake.

Makala haya yametarjumiwa kutoka itmam-i-Hujjat cha S. S. Akhtar Rizvi katika lugha ya Urdu na yamewahi kuchapishwakatika Sauti ya Bilal no. 6 Juzuu XXII Novemba 1988.

2.3. Katika sehemu ya kwanza ya kitabu hiki, kuna habari kwa marefu na mapana kuhusu huyu Dajjal kwani nazungumziwakatika riwaya nyingi mno katika dalili mojawapo ya kuja kwa Imam Mahdi a.s.4. Kuhusu kusoma Visa katika Quran unaweza kupata visa na masimulizi mengi mno katika kitabu nilichokitayarisha katika

maudhui haya.

Miaka1 150 iliyopita katika mji wa Kadyan, katika jimbo la Punjab, India, alizuka Gulam AhmedKadianiError: Reference source not found ambaye alijitangazia Utume na Umahdi. Wafuasi wake hataleo wako IndiaError: Reference source not foundna kwingineko. Baada ya kifo cha Gulam Ahmedwafuasi wake waligawanyika katika makundi mawili: Kadiani na Mirzai. Gulam Ahmed alifanya daawakubwa ya Umahdi. Vitabu vingi vimeandikwa na wanazuoni wa madhehebu yote, Shia na Sunni,kubatilisha dai lake na majadiliano yalifanywa kudhihirisha ubatili wa nadharia yake na madai yakeambayo yalikuwa kinyume cha dini. Kitabu hiki hakina lengo la kueleza marefu na mapana juu ya jambohilo, lakini kuthibitisha ukweli wa Uimamu wa Hadhrat MahdiError: Reference source not found (A.S. )suala limeguswa tu ili kuthibitisha ubatili wa dai la Makadiani na maamrisho ya dini juu yake.

Gulam Ahmed Gulam Murtaza Atta Mohamed alifariki duniani 1908 akiwa na umri wa miaka 65. Yeyealikuwa Moghul kutoka Samarkand mwenye asili ya Kiajemi. Alifanya daawa nyingi; kwanza alitangazakuwa yeye ni mwongozi wa dini, baadaye akawa MahdiError: Reference source not found na hatimayekajidai kuwa Mtume.

Kwa kufanya daawa ya Utume yeye na wafuasi wake wameondoka katika Imani ya Islam kwa sababuWaislamu wote hukubaliana kwa kauli moja kwamba Mtume Muhammad s.a.w.w ni Mtume wa mwisho.Katika 1898, Mirza aliwauliza maswali wanazuoni wa Kisunni na kutokana na majibu ya Uimamu wakughibu na kutokeza kwa Imani MahdiError: Reference source not found yalithibitishwa pasipo shaka.Hata hivyo, Mirza bado aliendelea kudai kuwa yeye ni Mahdi, Mtume Issa, Krishna na Mtume.

Munshi Mohamed Abdalla katika kitabu chake Shahadate Qur’any amechapisha maswali aliyoulizwaMirza Gulam Ahmed KadianiError: Reference source not found na majibu aliyopokea kutoka wanazuoniwa Kisunni.

“Suala: Kutokana na hadithi, wafuasi wa madhehebu ya Sunni huamini kwamba katika siku za mwishowa dunia atatokeza MahdiError: Reference source not found ambaye atatokana na dhuria ya Fatima(a.s. ) binti wa Mtume s.a.w.w na ambaye atakuwa mrithi wa kweli wa Mtume s.a.w.w Ikiwa mfuasiyeyote haamini hayo afikiriwe namna gani ? Suala hili lazima lijibiwe na wanazuoni na ulamaa wa dini.Tarehe 29 Desemba 1898, 15 Shaaban 1316 A. H. Mirza Gulam Ahmed”.

Jibu: “ Masunni wote hukubaliana katika imani yao kwamba katika siku za mwisho za dunia kutokanana dhuria ya Fatima (a.s. ) binti wa Mtume s.a.w.w atatokeza MahdiError: Reference source not found.Yeye ataeneza Islam duniani kote na kuitawala dunia katika mambo yote ya kidini na kiulimwengu.Yeyote asiyeamini hayo atastahiki adhabu kufuatana na aya ya Quran isemayo: “Na atakayemwasiMtume ataingizwa Jahannam. . . ”(4:115)Mtu huyo atakuwa amepotea njia, bila shaka amepotea njiakabisa.

Imetiwa saini na Abdul Haq Gazanwy (Mwanazuoni wa Kisunni) na baada ya hapo wanazuoni 19 waKisunni wakatuma majibu yao na baadhi yao walieleza bayana kwamba mtu asiyekuwa na “Imani hiyo”ataishia motoni.

Mwanazuoni wa Kisheria Janab Molvi Seyyid Ali Hainy amethibitishia ukweli wa jibu hilo kwamba mtuasiyekuwa na “Imani hiyo” ni kafiri.

Gulam Ahmed mwenyewe alikuwa Sunni na aliamini kwamba Mtume Muhammad s.a.w.w alikuwa niMtume wa mwisho. Kama vile Waislam wote wanavyoamini kwamba Mtume Issa yupo hai mbinguniyeye vile vile aliamini na hata kuandika hivyo katika kitabu chake Barahine Ahmadia baada yakujitangazia Umahdi. Hatuna haja ya kuendeleza mada hayo, bali nia ni kueleza maneno machafualiyotumia dhidi ya Islam, Quran na Imani za Kiislamu na vipi bishara zake alizotoa zikaonekana zauwongo.

Imani za Mirza Gulam Ahmed

1. Baada ya kutoa ilani kuwa yeye ni Imam MahdiError: Reference source not found, Mirza akachapishakitabu kiitwacho Baharine Ahmadia na katika maelezo katika ukurasa 498 amearidhiwa kwamba: “Ayahii ni kwa ajili ya Mtume Issa ambaye atakuja mara ya pili duniani”.

Zaidi ya hayo mwanae wa mrithi wake Mirza Mahmoud, katika gazeti la Kiurdu Afzal” la tarehe 27 Juni1916 amenakili kwamba: “Zamani ilikuwa itikadi ya Waislamu wote pamoja na viongozi wakuu kwambaMtume Issa bado yu hai. Hata hivyo baba yangu Mirza Gulam Ahmed alikuwa na itikadi hiyo kwa mudawa miaka 10 hata baada ya (kudai) MahdiError: Reference source not found na aliamini hivyo nakusisitiza kwamba Mtume Issa yu hai na yuko mbinguni. ”

1. Kwa muda wa miaka 1300 Waislamu wote hata Mtume s.a.w.w mwenyewe pamoja na Maimamuwote na Wanazuoni walikubali itikadi hii ya kwamba Mtume Issa yu hai. Lakini baada ya miaka kumi nakujitangaza kuwa MahdiError: Reference source not found Mirza alipokea Wahyi kwamba Mtume Issaamefariki dunia na yeye amekuwa Mtume Issa ( kwa utanasukhi?) Amesema kuwa Munguamemteremshia Wahyi: Yule Mtume Issa amefariki dunia wala hatarudi tena duniani na kwa hivyo yeye(Mirza) ni Mtume Issa, mwana wa Maria, alijitokeza. ” Mirza mwenyewe alikuwa mwanazuoni naalifahamu hadithi vizuri sana. Baada ya kufahamu kote huko akadharau imani iliyokubaliwa kwa makinina Waislamu kwa miaka 1300 hata na yeye mwenyewe kwa muda mrefu na kujitangazia kuwa yeye niMtume Issa kinyume cha aya za Quran Tukufu na hadithi, bila kuwa na ushahidi au dalili ya aina yoyoteya kuthibitisha daawa yake.

2. Mirza aliaridhia katika gazeti la “Badar” katika toleo la 5 March 1908, kuwa: “Ni daawa yetu kwambasisi ni Rasul au Mtume. Yeyote anayeteuliwa na Mungu lazima awe bora kuliko wengine kutokana nanasaba yake na sifa zake na awe mtu mwenye kutabiri mambo mengi na sisi tunazo sifa hizo. ”

Katika kitabu cha Shahadate Quran ala kidhbe Krishna Kadiani kilichochapishwa Lahore Pakistan naIslamiyya Steam Press yafuatayo ni maoni yaliyotolewa na Mirza:

1. Mirza ameandika katika Izale Awham, ukurasa 689 kuwa: “Baadhi ya bishara zilizotolewa na MtumeMuhammad s.a.w.w pia yamethibitika kuwa ni uwongo”.

2. Katika Barahine Ahmadia, Ukurasa 556 ameandika, “Mungu amemweka Hadhrat Muhammad s.a.w.wchini ya uongozi wangu na kwa hivyo Mungu huniteremshia Wahyi kupitia kwake. ”

3. Katika kitabu cha Izala ukurasa 25, aliandika kuwa,“Mwenyezi Mungu ameteremsha Quran lakini kunabaadhi za aya ambazo ni kinyume cha ustaarabu na msikilizaji yeyote anayeweza kufahamu hizo ayaatasema kuwa kauli ya aya hizo ni mbaya. Mwenyezi Mungu amewalaani makafiri katika aya hizo.Maneno machafu yasiyoweza kutumika yamezungumzwa juu ya Walid bin Mugheira. ”

4. Katika kitabu cha Anjame Atham:, ukurasa 51, ameandika kuwa: Bibi Maryam (Bikira Maria) namwane Mtume Issa hawawezi kuwa bora kuliko Kaushalya (mama yake mfalme Ramchandra)”.

5. Katika kitabu hicho hicho, ukurasa 80, ameandika kuwa: Waislamu wanaamini kwamba Mtume Issaatarudi duniani lakini Mungu amenijulisha kwamba Mtume Issa amefariki dunia na mimi ndiye MtumeIssa:.

6. Kwenye ukurasa 691, katika Izalae Awhad amewataja kuwa: “Mimi ni Mtume Issa mwana wa Maria,Wakristo ni DajjalError: Reference source not found na gari moshi ni punda wa Dajjal. ”

7. Katika gazeti la kila mwezi la Al Hakam, Juzuu la iv, la 17 Juni 1900, amedai kuwa: “Baina yenu mimindiye Ali aliye hai na nyinyi mnaamini Ali aliyekufa.

8. Anaendelea kusema katika Aine Kamalati Islam, kurasa 564-65 kuwa: “Nimejipatia maongozi yaMungu kwamba mimi ni Mungu mwenyewe. Nafsi Mungu imeingia kwangu. Kwa sababu Nafsi Munguimeingia mwilini mwangu mimi ndiye niliyeumba dunia na mbingu”.

9. Kuhusu Imam Hussein (A.S. ) amesema: “Ninao Hussein kama hao kiasi cha elfu moja mfukonimwangu”.

Bishara za Mirza Kadiani Zimethibitika kuwa ni za Uwongo

Mirza amechapisha bishara nyingi katika kitabu chake Ilhame Mirza na karibu zote zimethibitika kuwa niuwongo.

1. “ Mimi ninabashiri kwa ukweli kwamba Mungu amenisimulia kwamba nitamwoa binti mkubwa waMirza Ahmed Beg. Ubashiri huu ukithibitika idadi maalum ya makafiri watageuka kuwa Waislam nawengi waliopotoka watarudi kwenye njia ya haki”. (Amed Beg alikuwa mtoto wa mjomba wake MirzaKadianiError: Reference source not found).

Alituma ushenga kwa Beg amwoe binti yake, na kutishia kwamba ombi lake likikataliwa bidhaa yakeitakuwa mbaya kwa ajili ya binti huyo na kama akiolewa na mwanamme mwingine, huyo mwanammeatafariki dunia katika muda wa miaka miwili na nusu na katika muda wa miaka mitatu baba mkwe vilevile atafariki. Zaidi ya hayo maafa makubwa yatakabili jamii ya Ahmed Beg. Hata hivyo Ahmed Baghakujali vitisho hivyo; alimwoza binti yake kwa mtu mwingine.

Mirza alipoona ubashiri wake umekuwa udanganyifu tu akatoa ubashiri mwingine: “Mwenye Enzi Munguamenijulisha kuwa: Hatimaye mimi nitamwoa Binti na hakuna hata mmoja ataweza kuzuia jambo atakaloMungu na yeyote atakayekukashifu atadhalilika. ”

Imetiwa saini na mnyenyekevu Gulam Ahmed, Gordapur, tarehe 10 Julai 1888 A. D.

Aliendelea kubashiri mengi juu ya jambo la ndoa na mwishowe katika kitabu chake Shahadatul Quranukurasa wa 4, alitamka kwamba Ahmed Beg na mkwewe hawatakuwa hai baada ya 21 Agosti 1894.Mirza aliendelea kutoa vitisho dhidi ya huyo binti kwa muda wa miaka 20 eti kutokana na habarializopewa na Mungu. Hatimaye Mirza mwenyewe alifariki dunia. Licha ya kumkosa huyo binti lakini yeyemwenyewe alifariki dunia, na huyo binti, babake na mumewe wote walikuwa hai wakiishi rahamustarehe.

2. Katika Ubashiri mwingine katika Jange Mukadas aliandika kwamba “Ikiwa Atham Shakhs hakufa nakuingia motoni katika miezi 15 mimi nipo tayari kupewa adhabu yoyote; mnidhalilishe, mnidharau,mnifunge kamba shingoni mwangu, mpake masizi usoni mwangu na mnilaani kuliko mashetani”. Hatahivyo, muda huo ulipita bila Atham Shakhs kufa.

3. Katika Kitabu chake Dafeul Bala amearidhia kwamba: KadianiError: Reference source not foundhaiwezi kukabiliwa na ugonjwa wa tauni kwa sababu Mtume wa Mungu huishi huko. Baada ya mudamfupi ugonjwa wa tauni ukaenea huko KadianiError: Reference source not found na kusababisha vifovya watu kwa maelfu wakiwemo na wafuasi wa Mirza.

4. Tarehe 15 Aprili 1907 Mirza akatoa kitabu ambamo anadai kuwa ikiwa daawa yake itathibitika basimtu mmoja Mirza Sonullah (wa Amritsar) atakabiliwa na laana ya Mungu na atakufa katika uhai wake(Mirza) kutokana na tauni au balaa nyingine. Akanadi kwamba Mweye Enzi Mungu atathibitisha ukweliwa daawa yake. Hata hivyo, Mirza mwenyewe akafa 26 April 1908 na wakati huo Molvi Sonullah alikuwahai na licha ya kuwa na afya njema lakini hakupata hata kuugua. Bishara nyingi za Mirza zimethibitikakuwa ni udanganyifu tu lakini hatuwezi kuandika yote hapa.

Mirza Kadiani kama Mungu, Mke wa Mungu, na Mwana waMungu (Mungu apishie Mbali)

1. “Mungu anatamani kukuona unaingia mwezini, au unanajisika. Hata hivyo, Mwenyezi Munguatakujulisha alama zake ambazo zitaendelea kukufikia. Wewe hupati hedhi lakini umezaa mtoto ambaye

atakuwa na hedhi ya mwana wa Mungu”. (Hakikatul Wahyi, ukurasa 143, na Arbaeen, uk,12).

2. Mmoja wa wafuasi wake mwaminifu, Kadhi Yar Mohamed B. O. L. Pleader, ameandika katikachapisho lake “Islami Kurbani” Juzuu la 24/Riaz Hind Press, Amritsar: “wakati mmoja Masihianayesubiriwa (Mirza) alisimulia kwamba anapoteremshiwa Wahyi (ufunuo) na Mungu hali yakehugeuka kuwa kama mwanamke na Mungu hutumia nguvu zake za kiume juu yake”. (Audhubillahi).

3. “Roho yake ilipulizwa mwilini mwangu kama alivyofanyiwa Mariyam na kwa mfano mimi nimekuwamja mzito. Baada ya muda usiozidi miezi kumi mimi niligeuzwa kwa njia ya ufunulio, kutoka Maria kuwaMtume Issa (Kishtie Nooh ukurasa 47).

4. “Eh Mirza umetokana na maji yetu (manii) na wengine ni wa vitu vikavu. ” (Arbaeen,toleo 2, ukurasa390).

5. “Baadaye maumivu yakamkokota Mariyam, yaani miye, kwenye mti wa tende. ” (Kishtie Nooh,ukurasa 47).

6. “Wakati wa ufunulio mwumbaji huniita “sikiliza mwanangu” (Hakikatul Wahyi, ukurasa 79, na Arbaeen,uk. 22).

7. “Niliota ndoto kwamba mimi ni Mungu na nina hakika kwamba mimi ni Mungu” (Hakikatul Wahyi,ukurasa 64).

8. “Mungu ameniambia, “Wewe unatokana na mimi na mimi (Mungu) natokana na wewe”. (HakikatulWahyi, ukurasa 74).

Kwa hivyo Mirza amekuwa mwanamke Mariyam - baadaye mja mzito - tena mwana wa Mungu - babawa Mungu na hatimaye Mungu mwenyewe. Ni mtu wa kushangaza mno! Hawezi kueleweka.

Babi, Azali, Bahai

Kama vile huko Punjab, Mirza alifanya daawa ya Utume na Umahdi, huko Iran, kabla ya miaka 100,yalizuka Madhehebu mapya ya Babi, AzaliError: Reference source not found na BahaiError: Referencesource not found. Wafuasi wa madhehebu hayo hadi leo wako Iran na India.

Katika kitabu kidogo kama hiki hayamkiniki kueleleza maisha ya Babi AzaliError: Reference source notfound na BahaiError: Reference source not found na ubatilisho wa madai yao. Hata hivyo, tutaeleza kwamuhtasari historia ya madhehebu haya.

Mwanzilishi wa Ubabi alikuwa Mirza Ali Mohammed Mirza Raza Shirazi. Vichepuko vya madhehebu yaBabi vikawa madhehebu ya AzaliError: Reference source not found na BahaiError: Reference sourcenot found yakimhesabu BaabError: Reference source not found kuwa Mtume na ishara ya habari njemakwa sababu alibashiria juu ya ndugu hao wawili.

Katika Mabahai, BaabError: Reference source not found hujulikana kuwa ni mtu mmoja tu aliyebaki haikutokana na dhuria ya Mtume s.a.w.w na Mirza Husseinali ni Mtume Issa wa pili anayesubiriwa.

Baada ya kifo ya Mirza Mohammed BaabError: Reference source not found, wafuasi wakehawakutambua au kumkubali Mirza Yahya Subhe Azal au Mirza Husseinali kama walivyomkubali Baah.Mirza alidai kwamba Baab alitangaza kuja kwake (Mirza Yahya). Mirza Husseinali BahaiError:Reference source not found mwanzoni alimkubali ndugu yake na kueneza madhehebu yake kwa niabaya nduguye lakini baadaye akageuka na kutangaza kuwa madhehebu ya nduguye ni udanganyifu nakubatilisha madai yake kuwa ni ya uongo kuanza kueneza madhehebu yake mwenyewe ya Ubahai.

Kutoka na mafarakano baina ya ndugu wawili hao, damu nyingi ilimwagika. Wafuasi wa Mirza Yahyawakajitambulisha kuwa Maazali na wa Mirza Husseinali kuwa Mabahai.

Siku hizi Wamisionari wa Kibahai wameenea kote katika mabara ya Asia ,Ulaya na Afrika. Vipi mtuanaweza kuwa na daawa ya kuteremshiwa Wahyi wakati yeye mwenyewe amebadilisha dini yake maratatu ! kwanza alikuwa Shia Ithnaasheri, baadaye akaungana na madhehebu ya Ubabi na baadaye kuwamisionari wa madhehebu ya nduguye Mirza Yahya AzaliError: Reference source not found. Hatimayeakawa mwanzilishi wa madhehebu yake na kujitangazia kuwa yeye ni MahdiError: Reference source notfound anayesubiriwa. Madhehebu yake ni mchapuo wa madhehebu ya Ubabi.

Al-Bayan husemekana ni kitabu alichoteremshiwa mwanzilishi wa madhehebu ya BaabError: Referencesource not found. Maadili kadhaa kutoka kitabu hicho yanaorodheshwa hapa. Itadhihiri kwamba maadiliyote ni kinyume cha maagizo ya Quran na Hadith.

1. Sala ya jamaa hukatazwa.

2. Baada ya raka 17 za kila siku mtu asali rakaa tisa tu na kuna mabadiliko mengi katika hizo sala.

3. Kufunga katika mwezi wa Ramadhan kumekatazwa na badala yake mtu afunge siku 19 tu kuanziatarehe 1 Machi (Asrarul Akaid, uk. 830.

4. Kuoga tohara baada ya mtu kujamiiana na mwanamke au kutoka manii usingizini sio lazima.

5. Mwanamke yeyote, ila mama mzazi, huweza kufungwa naye ndoa.

Mwanzoni, mwanzilishi wa madhehebu ya Babi Mirza Mohammedali BaabError: Reference source notfound alikuwa Shia Ithnaasheri. Alikuwa mwanazuoni wa kidini huko Najaf-Iraq. Baadaye alikwenda Iranna akaanza uombezi. Alikuwa akisimama kichwa wazi juani kwa muda mrefu. Mwishowe, akapotelewana akili na kujitangazia kila daawa.

Katika 1844 A. D. Mirza Ali Muhamad akaanza kutangaza dini yake. Akatangaza yeye ni mlango waMungu (huwezi kumfikia Mungu bila kupitia kwake), Mti wa Toor, MahdiError: Reference source notfound anayesubiriwa na mwishowe Mtume.

Katika majadiliano bayana na mwanazuoni wa Shia Ithnaasheri akatangaza “Kauli zangu ni bora nazenye ufasaha kuliko Quran. Madhehebu yangu hubatilisha Islam. Tahadharini mimi nitawauawapinzani wangu wote”.

Aliwaamuru wafuasi wake kuongeza katika Adhana kauli ya kuwa: “Nitatoa ushahidi kwamba AliMohammed ni dalili ya Mungu na vile vile natoa shahada kwamba Ali Mohammed ni mlango wa Mungu”

Katika washabiki wakuu wa kueneza na kukubali madhehebu ya Babi alikuwa mwanamke mmoja,Kurratul Ayn, ambaye alikuwa binti wa mwanazuoni naye aliolewa na mwanazuoni. Alikuwa mwanamkemjanja, aliyeelimika na msemaji hodari. Jina lake la mwanzo lilikuwa Zarrin Taj na alikuwa mwanamkemwenye sura nzuri sana. Kutokana na mafarakano na mumewe akaungana na madhehebu ya Babi ilialipize kIssasi dhidi ya mumewe. Kila alipopata fursa alionyesha umbo na uzuri wake kwa kuvua buibuilake hadharani. Siku moja alipanda juu ya mimbar mbele ya watu wengi, akavua buibui na kutangaza:“Marafiki na maadui! Kutokeza kwa madhehebu ya Babi kumebatilisha Islam. Amri zote kuhusu sala,saumu, kutoa sadaka na kadhalika zimetenguliwa. Tahadharini. Hadhrat BaabError: Reference sourcenot found akaiteka dunia nzima na karibu hakutakuwa na dini yoyote duniani ila Ubabi na kwa hivyo kilamtu anawajibika kuungana nasi kwa wingi kadri iwezekanavyo. “Achilieni mbali baibui ambalolawatenganisheni na wanawake. Mkumbuke kuwa mwanamke ni ua linalonukia la bustani la dunia hii.Hivyo, lichume na kulistaladhi. Ua huzawadiwa kwa marafiki. Tamaa mbele giza nyuma. Msikosekuwapa marafiki zenu, wake zenu na maana vikwazo kama hivyo vimekwishaondolewa katikamadhehebu ya Ubabi. Staladhi raha zote za dunia maana hakuna lolote baada ya kifo. ”

Mwenye akili hahitaji maelezo zaidi kuhusu imani ya madhehebu hayo.

Ubahai

Ubahai ulianzishwa 1853 B.K. na mwanzilishi wake Husseinali ambaye hujulikana kama Bahaullah, hukoMazinderan Iran baadaya kuacha madhehebu ya Ubabi. Watu wengi waliuawa.

Mwishowe kwa amri ya Shah wa Iran, Nasiruddin, Bahaullah akafungwa jela na kufia huko gerezani1886. Alirithiwa na mwanawe Abbas Effendi ambaye alistakimu katika jiji la Akka huko Palestina.

Professa Browne aandika kwamba Ubahai ni muundo mpya wa Ubabi. Kama vile Mababi humtukuza AliMohammed (BaabError: Reference source not found) kuwa mtukufu mno vivyo hivyo Mabahai vile vilehumfikiria Mirza Husseinali Bahauddin kuwa mtukufu mno.

Mabahai huamini kwamba Ali Mohammed BaabError: Reference source not found alibashiri tu juu yakutokeza kikamilifu kwa amri ya Mungu na hilo likafuatwa na kuzaliwa kwa Bahauddin kwa sababu MirzaHussein Ali alikuwa kiwiliwili cha Mungu. Hata Bahaullah mwenyewe alipokuwa gerezani alitangazakwamba “hakuna Mungu ila mimi mwenyewe aliyefungwa na kukandamizwa”. Mtu atamfikilia nini huyoMungu aliyefungwa gerezani na anayekandamizwa? Madhehebu hayo vipi huweza kuhesabiwa kuwa na

uhusiano wowote na Islam ?

Kitabu cha kwanza cha Mabahai kilikuwa Aykan Baada ya kujitangazia kama yeye mwenyewe ndiyeMungu akachapisha kitabu cha pili kiitwacho Aqdas ambacho kinadaiwa kuwa ni bora kuliko vitabu vyotevya dini. Katika humo imearidhiwa: “Mama zenu tu hamwezi kulala nao na ustaarabu tu tunakatazakutoa kanuni kuhusu kumfeli (Mwanume kulala na) mtoto mwanamume mwenye sura ya kupendeza”.Hivyo, inamaanisha kwamba mtu anaruhusiwa kuingiliana na kila mwanamke ila mama yake mzazi navile vile kufeliana na mwanamume mwenzie.

Uchochezi wa Babi-BahaiError: Reference source not found ulisababisha umwagaji mkubwa wa damuhuko Iran. Wanazuoni, Mawaziri na mwishowe Shah wa Iran Nasirrudin Shah waliuawa. Idadi kubwa yaMababi na Mabahai waliokuwa Iran na Mayahudi wa Hamadan, Kashan na Yazd waliokubalimadhehebu hayo, na vile vile Maparisi wa Iran na India . Waislamu wachache mno walikubalimadhehebu hayo.

Mmisionari Mkuu wa madhehebu ya BahaiError: Reference source not found, Mirza Hassan Niku,alikuwa mwanzilishi wa Abbas Effendi, mwana wa Bahaullah. Abbas ambaye alitunukiwa jina kuu la“Jibrael” na Mabahai. Jina lake la Kiislam lilikuwa Abdulhussein Ayni naye alikuwa mfuasi mkuu wamadhehebu hayo. Hao wote pamoja na wamisionari wakuu wa madhehebu hayo wakatubu na kuandikavitabu dhidi ya Ubahai na kufichua mabaya ya madhehebu hayo.

Avarah katika kitabu cha Kashful Hiyal amechapisha kibayana picha zinazofichua siri za madhehebuhayo. Kwa sababu tu kuimarisha upinzani dhidi ya Islam huko Iran ndiyo Mayahudi na Maparisiwalijiunga na madhehebu hayo.

Mdai Umahdi katika karne ya 13 na 14, Mirza KadianiError: Reference source not found mwanzonialikuwa mubalighi wa Kisunni. Pole pole, akaanza kudai Umahdi, Utume na mwishowe Uungu. Vile vile,Mirza Mohammed Ali BaabError: Reference source not found wa Ubaabi na Husseinali Bahaullah waUbahai mwanzoni walikuwa Mashia-kila mmoja akaanzisha madhehebu mapya na wakadai kuwa niwawakilishi wa Baab, MahdiError: Reference source not found, Mtume na mwishowe Mungu.

Babu zake His Highness AgakhanError: Reference source not found walikuja India kutoka Iranwakiwa Shia Ithnaasheri na kuamini Maimam kumi na wawili, watukufu kumi na wanne na wakifuatasheria za kusali, kufunga Ramadhani na kanuni zote za madhehebu ya Shia. Siku za mwanzoni viongoziwa dini ya AgakhanError: Reference source not found walijulikana kwa jina la “Peer”. Jamatini watuwakiswali na kufunga Ramadhani. Quran ikisomwa na watu wakiamini Maimam kumi na wawili. Polepole katika karne hii Maagakhani wakaanza daawa ya Umahdi, utume na hatimaye kiwiliwili cha Mungu.Mwanzoni, wafuasi wa Agakhan wakijulikana kwa jina la Bhagat na Mashia Ithnaasheri Subhanya.Baadaye Wa-AgakhanError: Reference source not found wakajigeuza kuwa Maismaili na kitambokidogo wamekuwa wakijitambulisha kama Shia Imami IsmailiaKwa upande mwingine, kwa mujibu wa itikadi ya Shia Ithnaasheri, tangu kuja kwa Islam, Imani katika

Quran, Maimam kumi na wawili, kuzaliwa kwa Hadhrat MahdiError: Reference source not found(A.S. ),kughibu kwake na kutokeza mara ya pili kumethibitishwa kutokana na Quran, Hadith na historia. Dalilimadhubuti za uhakika huo na ufununuzi wake umeelezwa kikamilifu katika kitabu hiki.

Waliodai Umahdi ulijitokeza mmoja baada ya mwingine,na kueleza nadharia zilizokuwa kinyume natofauti na maadili ya Islam kama ilivyoelezwa katika Quran na Hadith. Hapana shaka wadai wote haohawawezi kuwa wakweli kwa sababu ubashiri uliopo ni wa MahdiError: Reference source not foundmmoja tu.

Hadithi maarufu ya Mtume Mtukufu s.a.w.w kwamba watakuwa Maimam kumi na wawili baada yake namwisho ni Hadhrat MahdiError: Reference source not found (A.S. ) imenakiliwa na wanazuoni maarufuwa Kisunni katika vitabu vifuatavyo:-

1. Kanzul Ammal, Juzuu la 6, uk. 198

2. Sunan Abi Daud uk. 558

3. Jama-e-Tirmizi uk. 269

4. Sahih Muslim, Juzuu la pili, uk. 119

5. Sahihih Bukhari, Kitabul Fitan, Babul Istikhlaf, Juzuu la 29, uk. 629

Bila shaka Mume Mtukufu s.a.w.w alitangaza Hadith hiyo kuhusu Maimam kumi na wawili kutokana naamri ya Mwenyezi Mungu Mwenyewe. Kwa hivyo, lazima wawe warithi 12 wa Mtume s.a.w.w Basi imaniyoyote kuamini warithi zaidi ya kumi na wawili wa Mtume s.a.w.w haiwezi kuwa na ridhaa ya Allah swtna Mtume s.a.w.w

Ifuatayo ni orodha ya madai ya warithi wa Mtume s.a.w.w :

1. Msururu wa kwanza ni wa Khulafa-ul-Rashiden ambao walikuwa wanne tu na sio kumi na wawili.

2. Msururu wa pili wa daawa ya urithi ni kutoka nasaba ya Bani Umayyah ambao walikuwa kumi nawanne.

3. Msururu wa tatu ulikuwa wa Bani Abbasi ambao walikuwa 37 (thelathini na saba).

4. Msururu wa nne ulikuwa mchanganyiko wa watu wa Misri na Bani Abbas ambao walikuwa kumi nawanane. Halaku Khan alikomesha ukhalifa wa Bani Abbas huko Baghdad, na mfalme wa Misrialimtawaza mwana wa mfalme wa Bani Abbas kuwa Khalifa na kufanya idadi yao iwe kumi na wanane.

5. Msururu wa tano unatokana na Makhalifa wa Kituruki. Khalifa wa kwanza wa Kituruki Salim Sultanaliiteka Misri na kuanzisha ukhalifa wa Kituruki. Idadi ya Makhalifa hao ilikuwa thelathini, lakini alipokujaMustafa kamal Pasha akakomesha ukhalifa huo; kwa hivyo, duniani sasa hayupo Khalifa wa Kusinni.

Madai ya Madhehebu Mengine

1. Madhehebu ya Bab AzaliError: Reference source not found bna BahaiError: Reference source notfound, ambayo yamejitenga mbali na itikadi ya Islam, hayawezi kufikiriwa kwamba ni madhehebu yaKiislam.

2. Vile vile U-Kadiani hupinga moja kwa moja imani ya Islam na kwa hivyo madhehebu hayo pia siyo yaKiislam.

3. Hata hivyo waumini wa madhehebu ya Dawoodi Bohora ni Waislamu lakini huamini Maimam ishirinina mmoja na vile vile huamini hadi leo kuwa Imam wao wa mwisho, Imam Tayab amejificha hivyo,daawa yao huzidi idadi ya Imam kumi na wawili.

4. Waismailia, wafuasi wa AgakhanError: Reference source not found, huamini imam wao wa kipindi hikini wa 49; kwa hivyo idadi yao huzidi idadi iliyotajwa na Mtume s.a.w.w zaidi ya mara nne.

5. Ni Shia Ithnaasheri pekee yao tu ndio wanawaamini Maimamu kumi na wawili, kama ilivyosimuliwana Hadith ya Mtume s.a.w.w . Imam wa kwanza ni Hadhrat Ali (A.S. ) na wa kumi na mbili HadhratMahdiError: Reference source not found (A.S. ) kama ilivyoridhiwa katika vitabu vitano mashuhuri vyamadhehebu ya Kusunni na kutajwa katika vitabu vingi vingine . Jina maalum la kila Imam (A.S. ) lilitajwana mwenyewe Mtume s.a.w.w . Ukweli huu vile vile umethibitishwa katika vitabu maarufu vya Kisunni, k.m.

i. Mawaddatul Qurba uk 34, kilichoandikwa na Allamah Seyyid Ali Hamdan, kilichochapishwa BombayPress.

ii. Arjahul Matalib , uk. 402, Lahore Press.

iii. “Yanabiul Mawaddah”, uk. 445, kilichoandikwa na Allama Sheikh Suleiman Kanduzi, Sheikh waIstanbul. Istambul Turkish Press.

iv. Tarikhul Rawzatul Ahbab, Yanabiul Muwaddah Juzuu 3, uk. 27. Licha ya hivyo, kuna vitabu vingivimetaja majina halisi ya Imam MahdiError: Reference source not found a.s.

v. Babu zake AgakhanError: Reference source not found wa siku hizo wakiamini Maimamu Kumi naWawili kama ilivyoelezwa katika vitabu vyao ambavyo tumekwishavitaja.

1. Makala haya katika sura hii ya tatu yametolewa kutoka Imam Zaman Hadhrat Mahdi a.s. kilichoandikwa na MullaMuhammadjaffer Sherif Dewji na kutarjumiwa na Alhaj Zakirhussein M. S. Lakha, kilichotolewa na Bilal Muslim Mission ofTanzania, P. O. Box 20033 Dar Es Salaam, Toleo la kwanza 1991.

Source URL:

https://www.al-islam.org/sw/dalili-za-qiyama-na-ubashiri-wa-kudhihiri-imam-mahdi-amiraly-m-h-datoo

Links[1] https://www.al-islam.org/sw/user/login?destination=node/24302%23comment-form[2] https://www.al-islam.org/sw/user/register?destination=node/24302%23comment-form[3] https://www.al-islam.org/sw/person/amiraly-m-h-datoo[4] https://www.al-islam.org/sw/library/imam-al-mahdi[5] https://www.al-islam.org/sw/tags/qiyama[6] https://www.al-islam.org/sw/tags/hadith[7] https://www.al-islam.org/sw/person/imam-al-mahdi[8] https://www.al-islam.org/sw/person/imam-ali[9] https://www.al-islam.org/sw/person/imam-jafar-al-sadiq