UFUGAJI BORA WA KUKU - Lantern e-Books
-
Upload
khangminh22 -
Category
Documents
-
view
5 -
download
0
Transcript of UFUGAJI BORA WA KUKU - Lantern e-Books
�
UFUGAJI BORA WA KUKU • Uboreshaj� wa Ufugaj� wa Kuku wa K�enyej�• Ufugaj� wa Kuku Chotara• Magonjwa, K�nga na T�ba yake• V�melea, K�nga na T�ba • V�sumbufu na Maovu ya Kuku, K�nga na T�ba
P�us B. Ngeze
TANZANIA EDUCATIONAL PUBLISHERS LTD
��
Tanzan�a Educat�onal Publ�shers Ltd,TEPU House,Barabara ya Uganda,K�wanja Na. 45, K�talu MDA, S�mu: 0685 997583/0758 147871/0784 690277Baruapepe : [email protected]�: tepu.co.tzS.L.P. 1222, Bukoba, Tanzan�a.
© P�us B. Ngeze 2008 Toleo la kwanza 2008 Toleo la p�l� 2013 Toleo la tatu 2015
ISBN 978-9987-07-016-9
Hak� zote z�meh�fadh�wa. Ha�ruhus�w� ku�ga, kutafs�r�, kup�ga chapa, kunak�l� au kuk�toa k�tabu h�k� kwa j�ns� ny�ng�ne yoyote �le b�la �dh�n� ya maand�sh� ya Tanzan�a Educat�onal Publ�shers Ltd.
���
YALIYOMO Uk.Utangul�z� .................................................................... �x
1 ASILI, MAANA YA KUFUGA, MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUAMUA KUFUGA, FAIDA NA HASARA ZA KUKU ............................................. 11. As�l� ya kuku ............................................................................... 12. Sehemu kuu za kuku ................................................................... 13. Mfumo wa uzaz� wa kuku ........................................................... 24. Maana ya ufugaj� ......................................................................... 25. Mambo ya kuz�ngat�a kabla ya kuanza ufugaj� wa kuku ............ 26. Fa�da za kuku .............................................................................. 37. Hasara za kuku ............................................................................ 4
2 AINA KUU NA MAKABILA YA KUKU ................................ 6 1. Kuku wa k�enyej� .................................................................... 6 2. Kuku wa k�gen� ....................................................................... 6 A: Kuku wa k�zaz� menyu .......................................................... 7 · Kuku wepes� ......................................................................... 7 · Kuku waz�to .......................................................................... 8 B: Kuku chotara .......................................................................... 11
3 MAMBO YANAYOATHIRI UFUGAJI BORA WA KUKU NCHINI ..................................................................................... 14 1. Kutojua umuh�mu wa kufuga kuku na namna ya kuwafuga .. 14 2. Kutokuwa na ujuz� wa kufuga kuku ..................................... 15 3. Upungufu au ukosefu wa Mtaj� ............................................. 15 4. Magonjwa na v�melea ........................................................... 16 5. Uchache au kutokuwapo kwa v�tuo vya kuangul�a v�faranga 16 6. Kutopat�kana kwa urahs� chakula cha kuku .......................... 16 7. Utaf�t� mdogo ........................................................................ 17
4 MIFUMO YA UFUGAJI WA KUKU ....................................... 18 Mambo ya kuzingatia katika kuchagua aina ya mfumo .... 18
1. Madhumun� ya kufuga ....................................................... 18
�v
2. Mtaj� ul�onao ...................................................................... 183. Ukubwa wa eneo ul�lonalo ................................................. 184. Idad� ya kuku watakaofugwa ............................................. 18
Aina za mifumo ...................................................................... 191. Ufugaj� hur�a ..................................................................... 192. Ufugaj� wa ndan� na nje .................................................... 20 (a) Ufugaj� kwa kutum�a nyumba na ua ............................ 20 (b) Ufugaj� wa kutum�a nyumba ya kukunja �nayoham�sh�ka ............................................................ 223. Ufugaj� wa ndan� kwa ndan� .............................................. 23
(a) Ufugaj� wa kutum�a matand�ko .................................... 23(b) Ufugaj� kat�ka nyumba ya waya .................................. 26
5 BANDA BORA LA KUKU .................................................... 291. S�fa za banda bora la kuku ................................................ 292. V�faa v�navyoh�taj�wa kat�ka banda la kuku ..................... 33
6 MAHITAJI NA UMUHIMU WA MAJI NA CHAKULA KWA KUKU ........................................................................... 37
1. Utangul�z� ........................................................................... 372. Fa�da za chakula bora ........................................................ 373. Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula ................................ 384. A�na za vyakula na kaz� zake ............................................ 39
7 UPATIKANAJI WA VYAKULA VYA KUKU WA UMRI NA AINA TOFAUTI .............................................................. 46
1. A�na na mah�taj� ya vyakula kwa kufuata umr� ................ 462. Kanun� ya kuj�tengenezea chakula ..................................... 473. Kukokotoa uw�ano wa kubad�l� chakula kuwa mazao ya kuku .............................................................................. 48
8 UBORESHAJI WA UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI ....................................................................... 52
1. Utangul�z� ......................................................................... 52
v
2. S�fa za kuku wa k�enyej� ................................................... 533. Nj�a za kuboresha ufugaj� wa kuku wa k�enyej� ................ 53
9 UFUGAJI WA KUKU WA KUTAGA .................................... 601. S�fa z�nazotak�wa kwa Watagaj� ........................................ 602. Maandal�z� yanayotak�wa kabla ya kuleta watagaj� ......... 613. Maandal�z� ndan� ya nyumba ya kufug�a kuku wa maya� 624. Matunzo baada ya ku�ng�za kuku kat�ka nyumba ............ 645. Uokotaj� wa maya� ........................................................... 666. Usaf�shaj� wa maya� na kuyapanga kat�ka gred� .............. 667. H�fadh� ya maya� .............................................................. 678. Uwekaj� wa kumbukumbu ............................................... 679. Mambo yanayosabab�sha utagaj� ukosekane kab�sa, upungue au maya� yawe na kasoro .................................... 6810. J�ns� ya kutambua kuku wanaotaga ................................... 6811. Mpang�l�o wa ufugaj� kuku wa maya� utakao kuhak�k�sh�a mapato kwa k�p�nd� k�refu .......................... 6912. Sababu za maya� meng� kuvunj�ka kund�n� ..................... 6913. Mambo ya kufanya �l� kuku waendelee kutaga v�zur� ..... 6914. Mambo yanayoweza kusabab�sha upungufu wa �dad� ya maya� ................................................................................ 70
10 UFUGAJI WA KUKU WA NYAMA .................................. 731. Maana na s�fa za kuku wa nyama .................................... 732. Upat�kanaj� wa v�faranga wa kuku wa nyama ................. 733. Mambo ya kuz�ngat�a �l� kufan�k�sha ufugaj� wa kuku wa nyama ......................................................................... 734. Utunzaj� wa kuku wa nyama ............................................ 74
11UBORESHAJI WA UTOTOAJI NA MALEZI YA VIFARANGA VYA KUKU WA KIENYEJI ........................ 76
1. Utotoaj� wa v�faranga kwa kutum�a makoo badala ya v�atam�o ............................................................................. 762. V�ota kwa aj�l� ya kuatam�a .............................................. 763. S�fa za koo anayefaa kuatam�a maya� .............................. 77
v�
4. S�fa za maya� ya kuatam�a ................................................ 785. Utunzaj� wa kuku anayeatam�a ......................................... 786. Malez� ya v�faranga .......................................................... 797. K�p�nd� cha kuku kulea v�faranga ..................................... 808. Ugonjwa mbaya wa v�faranga na udh�b�t� wake .............. 819. Usaf� wa v�ota, vyombo vya kul�a chakula na kunywea maj� ................................................................................... 81
12 UTOTOAJI WA VIFARANGA KWA KUTUMIA VIATAMIO .......................................................................... 82
1. Kuchagua maya� yanayofaa .............................................. 832. Kutayar�sha k�atam�o ........................................................ 843. Upevushaj� na utotoaj� wa v�faranga ............................... 844. Utotoaj� na hadhar� ndan� na nje ya chumba cha kutotolea ........................................................................... 86
13 MALEZI YA VIFARANGA WA KUKU WA KIENYEJI NA KUKU CHOTARA ............................................................. 88
1. Nj�a za kupata v�faranga .................................................. 882. Kanun� za kulea v�faranga ............................................... 893. Nj�a kuu za kulea v�faranga ............................................. 90
(a) Kwa kutum�a makoo ................................................ 90(b) B�la kutum�a makoo ................................................. 92
14 TARATIBU ZA KULEA NA KUKUZA VIFARANGA WA KUKU CHOTARA NA KUKU KIENYEJI .................. 100 A: Vifaranga wa kuku chotara ............................................. 100 1. Maandal�z� yanayotak�wa .............................................. 100 2. Mambo ya ms�ng� ya kuz�ngat�wa .................................. 101 3. Maandal�z� ya chumba au banda la kulelea v�faranga .... 101 4. Tarat�bu za kuz�ngat�a kabla na baada ya ku�ng�za v�faranga bandan� (chumban�) ........................................ 102 B: Vifaranga wa kuku wa kienyeji ....................................... 104
C: Mfano wa utaratibu wa kulea vifaranga wa kuku wa nyama ................................................................................. 105
v��
15 MAMBO YANAYOATHIRI AFYA ZA KUKU .................. 107 1. Athar� za mambo makuu .................................................... 107 1.1 Chakula ........................................................................ 107 1.2 V��n� vya magonjwa ..................................................... 109 1.3 V�melea ........................................................................ 109 1.4 Sumu ............................................................................ 110 2. Kaz� za V��n�l�she, Mad�n� na V�tam�n� kat�ka m��l� ya kuku ................................................................................... 111 2.1 Chakula ........................................................................ 111 2.2 Mad�n� .......................................................................... 111 2.3 V�tam�n� ....................................................................... 112
16 NJIA ZA KUZUIA KUKU WASIAMBUKIZWE NA MAGONJWA ................................................................ 114
17 MAGONJWA, KINGA NA TIBA ....................................... 1211. Mdondo ......................................................................... 1212. Gumboro ....................................................................... 1253. Koks�d�a ........................................................................ 1264. Homa ya Matumbo . ...................................................... 1295. Ndu� ya kuku ................................................................ 1336. Mahepe ......................................................................... 1357. Ugonjwa sugu wa upumuaj� ......................................... 1368. Ugonjwa wa kuhara wa v�faranga v�dogo .................... 1379. Ugonjwa Mkamba unaoambuk�za ................................ 13810. Saratan� ya kuku ........................................................... 13811. K�p�ndup�ndu cha ndege wa kufuga ............................. 13912. Homa ya kuku ............................................................... 140 13. Kukohoa kohoz� la damu .............................................. 14114. Mafua ya Ndege ............................................................. 14115. Ugonjwa wa v�faranga v�dogo ...................................... 14416. Kupooza ......................................................................... 14517. Kuv�mba kwa m�guu .................................................... 14518. Magonjwa yaletwayo na v�melea vya ngoz� . ................ 14619. Magonjwa yaletwayo na m�nyoo . ................................. 147
v���
20. Magonjwa yaletwayo na sumu ...................................... 14721. Magonjwa yaletwayo na ukosefu wa v�rutub�sho muh�mu vya vyakula .................................................... 148
18 VIMELEA NA VISUMBUFU VYA KUKU ....................... 151A: Vimelea ........................................................................... 151 1. V�melea v�navyoshambul�a kuku kwa nje .................. 151 2. V�melea v�navyoshambul�a kuku kwa ndan� .............. 157B: Visumbufu ...................................................................... 160
19 MAOVU YATENDWAYO NA KUKU KUNDINI NA KINGA YAKE .................................................................... 162
1. Kudonoana ..................................................................... 1622. Ulaj� wa maya� ............................................................... 163
20 UTAFUTAJI WA SOKO NA MAANDALIZI YA MAZAO YA KUKU KWA AJILI YA KUUZA .................. 165
1. Maana ya soko na utafutaj� wake .................................. 1652. Utayar�shaj� wa mazao makuu ya kuku ......................... 166
21UFUGAJI WA KUKU KIBIASHARA NA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU ZA UFUGAJI .................................. 169
1. Soko na mtaj� wa kuanz�sh�a ufugaj� ............................. 1692. Utunzaj� kumbukumbu za ufugaj� .................................... 170 (a) Maana ya kumbukumbu ............................................ 170 (b) A�na za kumbukumbu ................................................ 170 (c) Fa�da za kumbukumbu. .............................................. 174
VITABU VYA MAREJEO ........................................................... 175
TAFSIRI KWA KINGEREZA YA MAGONJWA NA VYAKULA VYA KUKU .............................................................. 176
�x
UTANGULIZI Ndege maarufu wanaofugwa na b�nadamu kwa aj�l� ya maya� na nyama yao n� wa a�na s�ta z�fuatazo: kuku, bata, batamz�nga, bata buk�n�, nj�wa na kanga. Kat� ya hao s�ta, ndege al�ye maarufu za�d� ya weng�ne n� kuku. Kutokana na umaarufu huo, k�tabu h�k� k�nahusu ndege huyu. Kuku wanaofugwa hapa nch�n� hutengwa kat�ka a�na kuu mb�l�: (a) Kuku wa K�enyej� na (b) Kuku wa K�gen�. Kuku wa K�gen� nao hutengwa kat�ka a�na kuu mb�l�, yaan� (a) Kuku K�zaz� Menyu na (b) Kuku chotara. Hapa nch�n� kuku wanaofugwa za�d� n� Kuku wa k�enyej� na Kuku chotara. Kuku chotara n� kwa aj�l� ya ufugaj� wa k�b�ashara. Kuku K�zaz� Menyu hawafugw�. Inak�s�wa kuwa as�l�m�a t�s�n� (90%) ya makaz� nch�n�, hasa ya V�j�j�n�, yanafuga kuku. Kuku wanaofugwa za�d� n� wale wa k�enyej�. Kwa makaz� meng�, �dad� ya kuku wanaofugwa ha�z�d� kum� (10). Mfumo wa ufugaj� unaotum�wa n� Ufugaji Huria. Yaan�, kuku huach�wa jukumu la kuj�tafut�a malaz�, chakula, maj� na kuj�l�nda dh�d� ya v�sumbufu vyake. Ak�ugua hat�b�shw�! Atakufa au atapona. Madhumun� ya ufugaj� huu s� ya k�b�ashara, n� ya kuj�pat�a k�toweo k�dogo, maya� kwa aj�l� ya watoto na fedha k�dogo ak�uza mazao yao, yaan�, kuku kwa aj�l� ya nyama na maya�. Ufugaj� wa k�b�ashara huendeshwa na wafugaj� wachache wa m�j�n�. Hutum�a kuku chotara kwa kufuata kanun� za ufugaj� bora wa kuku. Wafugaj� wa a�na h�yo s� weng� hata m�j�n�. H�� n� kwa sababu watu weng� huogopa kufuga kuku chotara b�la kuwa na ujuz� wa kanun� za ufugaj� bora wa kuku hao. K�tabu h�k� k�meandal�wa �l� kuwashaw�sh� watu weng� V�j�j�n� na M�j�n� kuanz�sha shughul� ya ufugaj� wa kuku k�b�ashara. Shughul� h�� �nal�pa sana. Mfugaj� anaweza kuachana na umask�n� baada ya m�aka m�w�l� (2) tu. K�tabu h�k� k�naeleza:• Namna ya kuboresha Ufugaj� wa Kuku wa K�enyej� �l� waweze
kuongezeka k��dad�, waongeze uwezo wa kutaga maya� na waongeze uz�to wa nyama.
• Namna ya kufuga k�b�ashara kuku chotara wa kutaga na wa nyama.• Kanun� za Ufugaj� Bora wa Kuku ambazo n� pamoja na h�z� z�fuatazo:
(�) Kuchagua na kufuga kuku wenye s�fa nzur�.
x
(��) Kuwapat�a kuku nyumba bora.(���) Kuwapat�a kuku chakula bora kwa kuz�ngat�a umr� (v�faranga na kuku wakubwa) na a�na ya kuku.(�v) Kuwapat�a kuku maj� saf�, salama na ya kutosha.(v) Kuzu�a na kudh�b�t� maambuk�z� ya magonjwa.(v�) Kudh�b�t� v�sumbufu vya kuku, kama v�le v�melea, wadudu,
ndege na wanyama.(v��) Kudh�b�t� v�tendo v�ovu vya kuku.(v���)Kutafuta soko la maya� na nyama ya kuku.(�x) Kuandaa maya� na kuku wa nyama kwa aj�l� ya soko.(x) Kuweka kumbukumbu muh�mu za ufugaj� wa kuku.
K�tabu h�k� k�natoa ufafanuz� wa kanun� h�zo.Mbal� na kuandal�wa mahsus� kwa aj�l� ya wafugaj� na wale wanaotaka kuanz�sha ufugaj� wa kuku, �mekusud�wa k�tabu h�k� k�wasa�d�e p�a Maof�sa Ugan� na Wataalamu wa M�fugo, hususan, wa kuku, �l� waweze kuwasa�d�a wafugaj� wapya na wa zaman� wa kuku kusud� waweze kufuga k�b�ashara. Soko la nyama ya kuku ambayo n� nyeupe na maya� n� kubwa sana. K�la s�ku walaj� wa mazao hayo maw�l� wanaongezeka na wataendelea kuongezeka. Watu wal�o na umr� wa m�aka hams�n� na kuendelea wanashaur�wa na madaktar� kula za�d� nyama ya kuku na samak� badala ya nyama nyekundu ya ng’ombe, mbuz�, kondoo n.k. A�dha, watoto wadogo, v�jana na watu waz�ma, was�okuwa na tat�zo la sh�n�k�zo la damu au magonjwa ya moyo, wanashaur�wa kula maya� kwa afya nzur�. Kwa h�yo, n� busara ufugaj� wa kuku nch�n� upewe msukumo mpya, kuanz�a ndan� ya fam�l�a, v�j�j�, kata, w�laya, mkoa na ta�fa. Natuma�n� k�tabu h�k� k�tatoa mchango wa kutosha kat�ka msukumo huo �l� kuondoa umask�n� kwa watakaoamua kufanya h�vyo k�b�ashara na kuwa na ta�fa lenye afya, kuanz�a kwenye ngaz� ya fam�l�a. Lengo n� k�la fam�l�a kufuga kuku k�sasa �l� kutosheleza mah�taj� ya fam�l�a na z�ada �uzwe �l� kuj�pat�a fedha. K�la fam�l�a nch�n� �naweza kufuga kuku wachache.N� matuma�n� yangu kuwa k�tabu h�k� k�tawaf�k�a walengwa na watak�soma, watak�elewa na watatum�a el�mu �l�yomo �l� waweze kuboresha Ufugaji wa kuku wa kienyeji na Ufugaji wa kuku chotara wa kutaga na wa nyama.
1
1Sura ya
ASILI, MAANA YA KUFUGA, MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUAMUA KUFUGA, FAIDA NA HASARA ZA KUKU.
1. Asili ya KukuAs�l� ya kuku wanaofugwa popote dun�an� n� a�na fulan� ya ndege wa mw�tun� ambao wal�kamatwa na kufugwa kwa madhumun� mbal�mbal�. Kat� ya m�aka elfu nne (4,000) na elfu tano (5,000) �l�yop�ta watu wa wakat� huo wal�anza kutotoa v�faranga b�la kutum�a makoo. Mnamo karne ya kum� na t�sa (19), watu wal�anza ufugaj� wa kuku kama shughul� mojawapo ya k�l�mo. Mafunzo ya ufugaj� bora wa kuku yakaanz�shwa kwenye baadh� ya Vyuo vya K�l�mo. Baadaye, shughul� za ufugaj� wa kuku z�l�panul�wa kat�ka nch� mbal�mbal�.
2. Sehemu kuu za kukuKuku n� ndege anayefugwa. Ana sehemu kuu kama z�navyoonekana kat�ka mchoro hapa ch�n�:
Sehemu za kuku
J�cho
Paja
S�k�o
Undu
Mk�aMdomo
Bawa
MguuV�dole
Tumbo
K�fua
Tundu la pua
2
3. Mfumo wa uzazi wa kukuMfumo wa uzaz� wa kuku n� kama ul�vyoonyeshwa kat�ka mchoro ufuatao:0
Mfumo wa uzazi wa kuku
4. Maana ya UfugajiUfugaj� n� shughul� mojawapo ya k�l�mo ambayo �nahusu uzal�shaj�, utunzaj�, ul�shaj� na t�ba kwa mojawapo ya a�na kadhaa za m�fugo. A�na h�zo n� pamoja wanyama wakubwa (kama v�le ng’ombe, faras�, punda, mbuz� na kondoo) na wanyama wadogo (kama v�le sungura, mbwa, pamoja na paka). Weng�ne n� kuku na a�na ny�ng�ne za ndege, kama v�le bata, batamz�nga, batabuk�n�, kanga na nj�wa. A�na ny�ng�ne ya m�fugo n� samak� na wadudu kama v�le nyuk� na v�pepeo. K�la a�na ya m�fugo �na fa�da zake, ny�ng�ne z�k�wa n� maalumu. Mkul�ma huamua kufuga moja au za�d� ya a�na h�zo kwa sababu mbal�mbal�.
5. Mambo ya kuzingatia kabla ya kuanza Ufugaji wa KukuK�la mtu anaweza kufuga kuku. Lak�n�, s� k�la mtu anaweza kuwafuga k�uchum� na kupata fa�da ya kutosha. Kwa upande mw�ng�ne, kwa v�le kuna nj�a mbal�mbal� na madhumun� tofaut� ya kufuga kuku, wafugaj� wataweza kuchagua mfumo wa kuwafuga. Kabla ya kuanza kufuga na afuge k�as� gan� cha kuku, kuku wa
Chembek�ke UtumboKloaka
MkunduGole
Mferej� wa kusaf�r�sha maya� kutoka ovar� kwenda Mj� wa m�mba
3
a�na �p� na kwa kutum�a mfumo up�, n� laz�ma mfugaj� aj�ul�ze na kuz�ngat�a mambo yafuatayo:(a) madhumun� ya kufuga kuku.(b) A�na ya kuku wa kufuga.(c) Mtaj� al�onao au �wapo anazo s�fa za kuweza kupata mkopo.(d) Iwapo analo eneo l�nalofaa kwa ufugaj� na l�nalotosha.(e) Maz�ng�ra na tab�a ya nch� ya mahal� al�po.(f) Iwapo l�po soko zur� la kuuza mazao ya kuku.(g) Iwapo ana el�mu na ujuz� wa a�na ya kuku anaotaka kufuga.(h) Iwapo huduma za ugan� z�napat�kana kat�ka sehemu h�yo. Huduma
h�z� hutolewa na wataalamu wa m�fugo, hususan, wa kuku.(�) Je, ser�kal� �nayo m�pango na programu ya kuendeleza ufugaj� wa
kuku?(j) Je, upo uwezekano wa kupata v�faranga au kuku wa kufuga,
pamoja na mah�taj� yake kama v�le dawa, vyakula, maj� saf�, v�faa vya kujengea n.k. kwa be� nafuu na kwa wakat� unaofaa.
6. Faida za kukuKuku wana fa�da ny�ng�. Z�l�zo muh�mu za�d� n� h�z� z�fuatazo:(a) Mayai na nyama kwa matumizi ya familia Kuku hula nafaka na vyakula vya a�na ny�ng�. Huv�geuza vyakula
h�v� kuwa maya� na nyama. Nyama ya kuku �na prot�n� ny�ng�. Maya� yana prot�n� ny�ng�, v�tam�n� na mad�n�. Kwa h�yo, b�nadamu ak�la maya� na nyama ya kuku huj�pat�a prot�n� ny�ng�, v�tam�n� na mad�n� kwa urah�s�. A�dha, mfugaj� wa kuku huj�pat�a maya� na nyama kwa aj�l� ya fam�l�a yake.
(b) Urahisi wa kuchinja kuku kwa ghafla N� rah�s� kuch�nja kuku kul�ko mbuz� au ng’ombe. Uk�pata mgen�
wa ghafla n� rah�s� kumch�nj�a kuku kul�ko mnyama wa a�na ny�ng�ne.
(c) Uwezo wa kutumia chakula kidogo kutengeneza mayai na nyama Kuku wana uwezo mkubwa sana wa kutum�a k�as� k�dogo cha
chakula chao kutengeneza maya� na nyama. (d) Urahisi wa kuwafuga katika eneo dogo la ardhi A�dha kutokana na kuku kuwa na umbo dogo �nakuwa rah�s�
4
kuwafuga kat�ka sehemu ndogo ya ardh�.(e) Fedha kwa mfugaji Mfugaj� ak�uza maya� na nyama ya kuku huj�pat�a fedha, tena
ny�ng�.(f) Mbolea K�nyes� cha kuku k�mechangany�ka na mkojo wake. N� mbolea
nzur� sana kwa kurutub�sha udongo. Mbolea ya kuku �na n�trojen� ny�ng�. Upotevu wa mbolea n� k�dogo sana. A�dha, gharama za uchukuz� na za kutandaza mbolea h�� n� ndogo uk�l�ngan�sha na kutum�a samad�. Kuku aroba�n� (40) wak�fugwa ndan� ya nyumba yenye matand�ko, huweza kutoa tan� moja ya mbolea kwa mwaka. M�mea �nayostaw�shwa kwa mbolea h�� hustaw� v�zur�.
(g) Manyoya Manyoya ya kuku n� meroro. Kwa sababu h��, yanafaa kujaza
magodoro, m�to n.k. Manyoya haya yanapendwa na n� ya gharama. Kwa h�yo, yak�uzwa humpat�a mkul�ma fedha. Anaweza p�a kuyatum�a kwa mah�taj� ya fam�l�a yake.
(h) Huangamiza wadudu waharibifu Kuku wanaweza kuangam�za wadudu. Baadh� yake huhar�bu
m�mea ya mazao shamban� na mavuno yal�yoh�fadh�wa maghalan�. Kuku hula mchwa, nz�ge, panz� na a�na fulan� za wanyama wadogo kama v�le nyoka.
5. Hasara za kukuPamoja na fa�da z�l�zoelezwa hapo juu, kuku huleta hasara p�a. Kuku wanaofugwa na kuachwa hur�a kuj�tafut�a chakula na kuj�l�nda:(�) Huhar�bu mazao shamban�. Huweza kula maua, m�mea m�changa
au majan� yake.(��) Huweza kuvuruga udongo ul�otengenezwa kwa aj�l� ya kupanda
mbegu.(���) Huvuruga na kutawanya matandazo yal�yo shamban�.(�v) Wadudu, kama v�le ut�t�r�, wanaoshambul�a kuku, huweza p�a
kuwasumbua b�nadamu.
5
MASWALI YA KUJIPIMA UELEWA
1. Taja a�na nne (4) za ndege wanaofugwa.
2. Taja a�na kuu mb�l� za kuku.
3. Kuku wa k�enyej� n� wa a�na gan�?
4. Eleza kwa k�fup� kuku wa k�gen�.
5. Taja kanun� s�ta za ufugaj� bora wa kuku.
6. As�l� ya kuku n� �p�?
7. Kufuga n� n�n�?
8. Taja mambo matano ya kuz�ngat�a kabla ya kuanza ufugaj� wa kuku.
9. Taja fa�da s�ta za ufugaj� wa kuku.
10. Taja hasara tatu za kuku.
6
AINA KUU NA MAKABILA YA KUKU Makundi makuu ya kukuKuku wanaofugwa nch�n� wamegawany�ka kat�ka makund� maw�l� yafuatayo:(a) Kuku wa k�enyej� (k�as�l�) na (b) Kuku wa k�gen�.
1. Kuku wa kienyejiWafugaj� weng� wa kuku nch�n� hufuga a�na kadhaa za kuku wa k�enyej�. J�na l�ng�ne la kuku wa k�enyej� n� kuku wa as�l�. Tab�a za kuku hawa s� maalumu na huweza kubad�l�kabad�l�ka na kutofaut�anatofaut�ana. Tab�a h�zo n� pamoja na ukubwa wa kuku, uz�to, rang� ya manyoya, uwezo wa kutaga maya� na k�wango cha kukua. Kuku wa k�enyej�:(a) hukua polepole.(b) N� wadogo kwa umbo.(c) Maya� yao huwa madogo. (d) Nyama yao n� ngumu, lak�n� �k�p�kwa na ku�va v�zur� �na harufu
nzur� na ladha yake n� nzur� p�a. Kutokana na a�na ya vyakula wanavyokula, nyama yake n� maarufu sana, hasa kwa walaj� wa m�j�n�.
2. Kuku wa kigeniKuku hawa as�l� yao n� nje ya nch�, yaan�, z�l��ng�zwa nch�n� kutoka nch� ny�ng�ne za nje. Kuku hawa hutengwa kat�ka a�na kuu mb�l�, yaan�: (a) K�zaz� menyu na (b) Chotara. S�fa za kuku wa k�gen� n� h�z� z�fuatazo:(a) Hukua haraka.(b) N� wakubwa kwa umbo, kwa h�yo, wana nyama ny�ng�.(c) Hutaga maya� meng� na makubwa.(d) Nyama yake n� la�n�.
2Sura ya
7
A: Kuku wa kizazi menyuKuku hawa n� menyu kwa a�na moja na hutengwa kat�ka makund� maw�l� yafuatayo: (a) Kuku wepes� na (b) kuku waz�to.
(a) Kuku WepesiKuku wa kund� h�l� huwa na mw�l� mdogo na hata wak�wa na mw�l� mkubwa, huwa wepes� za�d� wak�l�ngan�shwa na kuku wal�o kat�ka kund� la kuku waz�to. Kutokana na kuwa wadogo kul�ko kuku wakubwa, hawafa� kufugwa kwa aj�l� ya nyama. Wafugwe kwa aj�l� ya kupata maya�, au maya� na nyama.
Sifa:(�) Wana umbo dogo.(��) N� watagaj� wazur� wa maya�. Kuku mmoja hutaga maya� 140-300
kwa mwaka. Idad� hal�s� ya maya� hutegemea matunzo mazur� wanayoyapata.
(���) Hutaga maya� yenye ganda jeupe.(�v) N� wakal�.(v) Hutaga maya� kum� na maw�l� kwa uw�ano wa 1:82 kwa k�lo moja ya
chakula.(v�) Hukua haraka. Wanakomaa upes� za�d�. Mtetea anaweza kutaga
ak�wa na umr� wa m�ez� m�nne au m�tano, ak�wa na uz�to wa wastan� wa k�logramu moja na nusu.
(v��) Lobu zao za mas�k�o n� nyeupe.(v���) Undu au ushung� au upanga huwa n� mkubwa. Kwa tembe undu
huweza kuonekana kama wa jogoo.(�x) Kwa kawa�da hawaonyesh� dal�l� za kuatam�a maya�. S�fa h�� n� nzur�
kwa ufugaj� wa kuku wa maya�, lak�n� s�fa h�� n� mbaya kwa ufugaj� kwa aj�l� ya kuangua maya� kwa kutum�a temba.
Makabila ya Kuku WepesiKab�la l�nalofugwa za�d� hu�twa Leghorn. A�na ya kuku wal�o kat�ka kab�la h�l� hutambul�wa kwa rang� zake, nao n�:(�) White Leghorn: Hawa wana rang� nyeupe.(��) Black Leghorn: N� weus�.
8
(���) Brown Leghorn: N� hudhurung�.
White Leghorn
Kab�la l�ng�ne n� M�norcas. Lak�n�, hawa hufugwa kwa uchache uk�l�ngan�sha na Leghorn. Ancona n� kab�la j�ng�ne. Anafanana na Leghorn.
Ancona
(b) Kuku WazitoKwa kawa�da kuku hawa huwa na mw�l� mkubwa na huwa waz�to wak�l�ngan�shwa na kund� la kuku wepes�. Hawa n� kuku wa nyama.
9
Hufugwa kwa aj�l� ya kul�wa nyama. Kwa v�le kuku hawa n� wakubwa, hula chakula k�ng� na huh�taj� nafas� kubwa ya nyumba kul�ko kuku wepes�. Kwa kawa�da hufugwa kwa aj�l� ya nyama na maya�. A�dha, wanaweza kufugwa �l� kupata mbegu bora kutokana na kuku wetu wa k�enyej�.
Sifa:(�) Hukua haraka sana.(��) Wana nyama nyeupe na nzur�.(���) N� wapole, lak�n� wanaweza kubad�l�ka na kuwa wakal�. (�v) Wana uz�to mkubwa. Wak�shakua na kukomaa, temba huf�k�a uz�to
wa k�lo 2.8 na jogoo huf�k�a uz�to wa k�lo 3.6 kwa wastan�.(v) Muda ambao kuku huchukua kutoka k�faranga mpaka wakat� wa kukomaa n� mrefu za�d� kul�ko ule wa kuku wepes�, hata kama
makund� haya yanafugwa kwenye hal� z�l�zo sawa.(v�) Kwa kawa�da wanaweza kuonyesha dal�l� ya kuatam�a maya�.(v��) Umbo lao n� mraba.(v���) V�chwa vyao n� v�dogo uk�l�ngan�sha na umbo la m��l� yao.(�x) Wana sh�ngo nene na fup�.
Makabila ya Kuku WazitoMakab�la maarufu kat�ka kund� h�l� n� haya yafuatayo:(i) Rhode Island Red
Rhode Island Red
10
Kuku hawa wana rang� kar�bu nyekundu. Wanafugwa sehemu ny�ng� sana nch�n�. Wametum�ka kutoa mbegu bora kwa kuwachanganya na kuku wa k�enyej�.
(ii) Australorp Kuku hawa wana rang� nyeus� (labda kama wamechangany�ka
damu).(iii) New Hampshire
New Hampshire
Kuku hawa n� wakubwa, weupe na mchangany�ko wa manyoya meng�.(iv) Light Sussex
Light Sussex
Hawa hufugwa za�d� kwa aj�l� ya maya�. Kwa ujumla n� weupe na wana manyoya meng� sh�ngon�.
168
kusagwa �l� kul�sha kuku na wanyama weng�ne. Watakuwa wamej�pat�a kal�s�.
(g) Makaka ya mayaiHaya nayo yanaweza kusagwa na kutum�ka kul�sha kuku, kwa h�yo, kuj�pat�a kal�s�.
MASWALI YA KUJIPIMA UELEWA
1. Eleza kwa ufup� maana ya soko.
2. Soko la maya� na nyama ya kuku n� ........................
3. Eleza kwa ufup� nj�a bora ya kuch�nja kuku.
4. Eleza kwa ufup� namna ya kutayar�sha maya� kwa aj�l� ya soko.
5. Taja mazao meng�ne matano ya kuku.
169
UFUGAJI WA KUKU KIBIASHARA NA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU ZA UFUGAJI
1. Soko na Mtaji wa kuanzishia ufugajiUfugaj� wa kuku k�b�ashara n� shughul� ya b�ashara kama v�le kuendesha b�ashara ya duka, k�wanda, nyumba ya kulala wagen�, baa, hotel� ya kuuza chakula n.k. Kama mwenye duka au k�wanda hana soko la kuuza b�dhaa al�zonazo au anaz�uza kwa hasara, atalaz�m�ka kufunga duka h�lo au k�wanda h�cho. Atafanya h�vyo baada ya kuj�kuta mtaj� unaz�d� kupungua na matum�z� kwa mwez� au mwaka n� makubwa kul�ko mapato. K�l�chotokea n� kuwa ama wateja wamepungua kutokana na sababu mbal�mbal� au hakufanya utaf�t� kabla ya kuanza a�na h�yo ya b�ashara �l� kujua ukubwa wa soko. Hal� n� h�yo hata kwa ufugaj� wa kuku.
K�tabu h�k� k�nazungumz�a ufugaj� wa kuku k�b�ashara. Lengo n� kumwondoa mfugaj� kat�ka kund� la mask�n�. Kwa h�yo, �l� kufan�k�wa, laz�ma mfugaj� kabla hajaamua kuanza kufuga kuku k�b�ashara afanye yafuatayo:(a) Afanye utafiti wa kina �l� kujua ukubwa wa soko la maya� au nyama
ya kuku. Kama hawez� kufanya kaz� h�yo, bas� aombe msaada wa wataalamu wa Halmashaur� ya W�laya, Man�spaa au J�j�. Matokeo ya utaf�t� huu nd�yo yatakayokusa�d�a kufanya uamuz� wa kufuga au kutofuga au ufuge kuku wa kutaga au kuku wa nyama na k�as� gan�.
(b) Apate uhakika wa kupata mtaji wa kuanzishia na kuendeshea biashara hii.
Ufugaj� wa k�sasa wa kuku unah�taj�:• Ujenge nyumba nzur� ya kuku.• Ununue maramba, nyas� kavu n.k. kwa aj�l� ya matand�ko ndan�
ya nyumba ya kuku.• Ununue vyombo vya kul�a (chakula) na kunywea (maj�).
21Sura ya
170
• Ununue v�faa (vyombo) v�takavyotum�ka kutoa joto kat�ka chumba cha v�faranga.
• Kununua chakula, chanjo na dawa za kutum�a had� utakapoanza kuuza maya� (baada ya w�k� 6 - 10) au kuuza nyama ya kuku.
• Kuwal�pa wafanyakaz� m�shahara.• Kufanya mal�po ya a�na ny�ng�ne.
Fedha z�nazotak�wa z�naweza kuwa malak� kadhaa au mam�l�on� ya sh�l�ng�. Je, fedha h�zo unazo? Kama huna utapaswa kuz�kopa kutoka benk� au asas� ny�ng�ne za fedha z�nazokopesha. Swal� n� je, uk�omba mkopo utapewa? Us�popewa au us�pokuwanazo huwez� kufuga hata kama soko l�po! Kama utapewa mkopo, utalaz�m�ka kuendesha shughul� h�yo k�b�ashara.
2. Utunzaji, Aina na faida za Kumbukumbu za Ufugaji(a) Maana ya kumbukumbu
Kumbukumbu n� maand�sh� yal�yo sah�h� ya matuk�o, jambo au habar� �l�yotokea au ya mambo yal�yofany�ka kwenye shamba au yanayohus�ana na shughul� unayofanya. Il� baada ya k�p�nd� fulan� (mwez� au mwaka) kuweza kujua �wapo mrad� huu wa ufugaj� ul�leta fa�da au hasara, n� laz�ma utunze kumbukumbu ya mambo na matuk�o mbal�mbal� yanayotokea au kufany�ka kwenye shamba lako kuhus�ana na ufugaj� huu wa kuku.
(b) Aina za kumbukumbuZ�fuatazo n� a�na muh�mu za kumbukumbu za ufugaj� wa kuku:(i) Kumbukumbu ya chakula Iand�kwe k�la s�ku. Kumbukumbu h�� huanz�a tarehe 1 had�
tarehe ya mw�sho wa mwez�. Humsa�da mfugaj� kujua kama kuku wanakula haraka au polepole.
Tarehe A�na ya kuku
Idad� ya kuku Chakula Maelezo
A�na k�lo sh�l�ng�
Jumla
171
(ii) Kumbukumbu ya Utagaji Iand�kwe k�la s�ku. Humsa�d�a mfugaj� kujua ufan�s� wa
kuku wake kwa kul�ngan�sha chakula k�nachol�wa na maya� yanayotagwa au k�lo za nyama ya kuku �l� kupata uw�ano au as�l�m�a. Kuku wanaotaga v�zur� huf�k�sha as�l�m�a 85 ya kuku al�onao.
Tarehe Idad� ya kuku Ukusanyaj� wa maya� Maelezo
Jumla (iii) Kumbukumbu ya chanjo
Tarehe A�na ya
kuku
Idad� ya
kuku (s�ku)
Umr� wa
kuku (s�ku)
J�na la mtu al�yechanja
A�na ya
chanjo
Nj�a �l�yo-
tum�ka
Wate- ngene-
zaj�
Maelezo
Jumla
(iv) Kumbukumb ya matibabu
Tarehe A�na ya
kuku
Umr� A�na ya
dawa
Wate- ngene-
zaj�
J�na la mtu
al�yetoa
K�as� k�l�-
chotu-m�ka
Thaman� ya dawa
Matokeo Maelezo
Jumla
172
(v) Kumbukumbu ya Uanguaji / Utotoaji
Na.ya banda
Tarehe Idad� ya
maya�
Idad� ya v�faranga
wal�oangul�wa
As�l�m�a ya v�faranga
V�faranga v�navyouz�ka
Maelezo
Jumla
(vi) Kumbukumbu ya vifo vya kuku na Waliopunguzwa
Tarehe Na. ya banda/nyumba
Idad� ya kuku
A�na ya kuku
V�fo Wal�opunguzwa Sababu ya v�fo
Idad� sal�o
maelezo
Jumla
Kad� h�� �jazwe k�la s�ku. Humsa�d�a mfugaj� pamoja na
mambo meng�ne, kujua k�as� cha chakula cha kuwapat�a kuku wal�osal�a na �dad� ya maya� yatakayotagwa.
(vii) Kumbukumbu ya Vifaranga
Tarehe wal�pof�ka Na. ya chumbaIdad� yao Tarehe ya kuzal�waTarehe ya s�ku A�na
Tarehe Chakula k�l�chotum�ka Idad� yawal�okufa Meng�neyo
173
Kumbukumbu nyingine ni:• Up�maj� wa damu na v�nyes� vya kuku �l� kujua usalama
wao dh�d� ya maambuk�z� ya magonjwa na v�melea.• Up�maj� wa hal�joto kat�ka nyumba ya v�faranga na kuku. Kwa kutum�a kumbukumbu h�zo za k�la s�ku,
unaweza kukokotoa kumbukumbu za w�k� moja, mwez� mz�ma, robo mwaka, nusu mwaka na mwaka mz�ma.
(viii) Utunzaji wa Leja Leja n� kumbukumbu ny�ng�ne muh�mu ambayo laz�ma
uwe nayo na u�jaze k�la s�ku. Tum�a kurasa mb�l�. Ukurasa wa kushoto n� wa Matumizi. K�la s�ku and�ka a�na ya matum�z� na k�as� cha fedha k�l�chotum�ka. Upande wa kul�a and�ka Mapato au Mauzo. Mw�shon� mwa mwez� fanya ul�ngan�sho. Toa matum�z� kat�ka mapato. Sal�o l�pelekwe mwez� ujao na l�taonekana kama salio - anzia.
Angalia mfano ufuatao wa Leja
MATUMIZI MAUZO NA MAPATO
Tarehe A�na ya Matum�z�
K�as� Tarehe Chanzo cha Mauzo na Mapato
K�as�sh. sent� sh. sent�
JUMLAIl� uweze kujaza leja kwa usah�l� n� laz�ma:- Ununue v�tabu vya:
• Stakabadh� kwa aj�l� ya kuand�ka mapato na vyanzo vyake.• Hat� ya Mada� kwa aj�l� ya kuwapelekea Mada� watu unaowada�.• Hat� ya Makab�dh�ano kwa aj�l� ya kuwakab�dh� wal�oag�za kwa
mkopo mazao ya kuku unayouza.
174
- Ufungue akaunt� benk� �l� uweze ku�ng�za humo mauzo ya k�la s�ku pamoja na fedha ul�zol�pwa na watu ul�okuwa unawada�. U�ng�zaj� na utoaj� fedha benk� utakusa�d�a kuwaonyesha wal�okupa mkopo j�ns� unavyotum�a fedha zao na matokeo ya matum�z� ya mkopo huu.
(c) Faida za kumbukumbu Fa�da kuu za kumbukumbu n�:
(�) Kumwezesha mfugaj� kujua kama baada ya k�p�nd� fulan� (kwa mfano mwez�, robo mwaka, nusu mwaka, mwaka mz�ma n.k.) al�pata fa�da au hasara. Ak�shajua h�vyo, huchukua hatua za kuboresha ufugaj� au kufanya maamuz� meng�ne. Maamuz� hayo n� pamoja na kuacha ufugaj� wa a�na h�yo ya kuku. Kama al�kuwa anafuga kuku wa kutaga anaweza kuwauza wote na kuanza kufuga kuku wa nyama au akaacha kab�sa ufugaj� wa kuku wa a�na yoyote.
(��) Kumbukumbu h�zo z�tatum�ka kutengeneza hesabu za b�ashara kama v�le M�zan�a, Akaunt� ya Fa�da na Hasara n.k. Hesabu h�zo huweza kutum�wa na benk� au asas� ny�ng�ne z�natoa m�kopo kukupa au kukuny�ma mkopo mpya.
Mbal� na fa�da h�zo mb�l� kubwa, fa�da ny�ng�ne ndogondogo, lak�n� muh�mu, n� h�z� z�fuatazo: • Kukuwezesha kufanya maamuz� mbal�mbal� kama v�le k�as�
cha chakula cha kununua na kuwapa kuku.• Kujua n� k�as� gan� cha chakula kuku ul�onao wanakula k�la
s�ku.• Kujua ufan�s� wa kuku ul�onao kat�ka kubad�l� chakula
wanachokula kuwa nyama au maya�.• Kujua k�as� gan� cha maya� au nyama wanazal�sha.• Kujua �dad� ya maya� yanayotagwa k�la s�ku, ubora wake
n.k.• Kujua �dad� ya v�fo na chanzo chake.• Kujua a�na za magonjwa yanayoshambul�a kund� lake na
kwa n�n�?• Kujua gharama mbal�mbal� kwenye kund� lako, kama v�le
za chanjo, za kut�b�sha n.k.
175
Fomu za kumbukumbu z�l�zoelezwa kat�ka (�) had� (v�) z�band�kwe kwenye chumba cha kuku, hasa mlangon� kwa ndan�. K�la fomu (karatas�) �tosheleze s�ku za mwez� mz�ma. Z�jazwe k�la s�ku na kuondolewa asubuh� ya tarehe 1 ya mwez� ujao na kuband�kwa fomu mpya.
MASWALI YA KUJIPIMA UELEWA
1. Mtaj� n� ............................................................................2. Taja mambo maw�l� ambayo mfugaj� anatak�wa kuyafanya kabla ya
kuanza ufugaj� wa kuku wa k�b�ashara.3. Kumbukumbu n� n�n�?4. Taja a�na nne za kumbukumbu.5. Leja �na sehemu ngap�? Z�taje?6. Taja fa�da kuu mb�l� za kumbukumbu.
VITABU VYA MAREJEO1. Cheah Kok Kheong, Modern Agriculture for Tropical Schools, (Oxford
Un�vers�ty Press, London, 1973). 2. D.Joy & E.J. W�bberley, A Tropical Agriculture Handbook (Cassell Ltd,
1979).3. D.N.Ngug� & others, East African Agriculture: A Textbook for Secondary
Schools (Macm�llan Educat�on Ltd, London, 1978)4. W�ll�amson and W.J.A. Payne, An Introduction to Animal Husbandry
(Engl�sh Language Book Soc�ety and Longmans, Green & Co. Ltd). 5. Helen Cockburn (1968), Poultry Keeping in East African, East African
L�terature Bureau, Dar es Salaam, Na�rob� na Kampala. 6. Ngeze, P.B. Mwongozo wa Uhasibu wa Shamba (Tanzan�a Educat�onal
Publ�shers Ltd, 2007). 7. Ngeze, P.B. Misingi ya Kilimo Bora (Tanzan�a Publ�sh�ng House, 1976).8. N�ls Erneholm, Agriculture for Schools (He�neman Educat�onal Books,
Na�rob�, 1976) 9. Oluyem� Ak�nsanm�, Certificate Agricultural Science, (Longman, Group
Ltd, London, 1976). 10. P. Otmar Morger na P.B.Ngeze, Mkulima Stadi (Bened�ct�ne Publ�cat�ons
Ndanda/Peram�ho, 1985.)11. W�zara ya El�mu, Tanzan�a, Mkulima wa Kisasa, 1975.12. V.O. Ak�nyosoye, Senior Tropical Agriculture for West Africa (Macm�llan
Educat�on Ltd, London, 1976).13. Ukul�ma wa K�sasa, 2006, Ufugaji Bora wa Kuku.
176
TAFSIRI KWA KINGEREZA YA MAGONJWA NA VYAKULA VYA KUKU
Kiswahili Kingereza1. Mdondo Newcastle d�sease2. Gumboro Gumboro d�sease3. Koks�d�a Cocc�d�os�s d�sease4. Kupooza Fowl paralys�s 5. Homa ya matumbo Fowl typho�d 6. Ndu� ya kuku Fowl pox7. Mahepe Mareks d�sease8. K�p�ndup�ndu Fowl cholera9. Homa ya kuku Infect�ons coryza 10. Kulemaa kwa v�dole na m�guu Gout d�sease11. Ugonjwa sugu wa Upumuaj� Mycoplasmos�s chron�c
resp�rat�on 12. Ugonjwa wa Kuhara wa V�faranga v�dogo Coll�bac�llos�s 13. Mafua ya Ndege Av�an �nfuluenza (Fowl
plaque/B�rd flu)14. Ugonjwa wa Makamba unaoambuk�za Infect�ous Bronch�t�s 15. Saratan� ya kuku Av�an Leukos�s 16. Kukohoa kohoz� la damu Infect�ous laryngotrache�t�s 17. Ugonjwa wa v�faranga v�dogo Av�am encephalomyel�t�s 18. Kuv�mba mguu Bumble/ Swollen foot19. Magonjwa yaletwayo na m�nyoo D�seases caused by worms.20. Magonjwa yaletwayo na v�melea D�seases caused by sk�n vya ngoz� paras�tes21. Magonjwa yaletwayo na ukosefu wa D�seases caused by m�neral
v�rutub�sho kat�ka vyakula and v�tam�n def�c�ency22. Magonjwa yaletwayo na sumu D�seases caused by po�son 23. Chakula cha v�faranga Ch�ck mash24. Chakula cha kukuza kuku Growers’ mash25. Chakula cha kutag�sha Layers’ mash26. Chakula cha kuzal�sha Breeders’ mash27. Chakula cha kuku wa nyama Bro�lers’ mash.
THANK YOU FOR READING THE PREVIEW To read the entire book
please login and rent the book at www.lantern.co.tz